MWIMBIENI BWANA WIMBO MPYA By Davis Milenguko | KWAYA YA MT.AUGUSTINO - UDSM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Ili kuifikisha huduma ya neno la Mungu mbali zaidi Tafadhari Subscribe kisha Like, Comment na Share
    Tufuate Kwenye Mitandao ya Kijamii:-
    Facebook: / theservantmedia
    Mawasiliano:-
    THE SERVANT MEDIA,
    Parokia ya Chuo kikuu,
    P. O. BOX 35027,
    Dar es Salaam.
    For Bookings
    Phone Number +255758949904
    +255788865025

Комментарии • 41

  • @emmanueljohnmbeho-bw6oi
    @emmanueljohnmbeho-bw6oi Месяц назад

    Asanteni sana na Mungu awabariki kwa Uimbaji na ustadi wa hali ya juu sana

  • @vincentonchieku9535
    @vincentonchieku9535 Год назад

    Hakika mmemwimbia bwana wimbo mpya

  • @isaacgara3528
    @isaacgara3528 2 года назад +2

    Nguvu na uzuri zipo katika patakatifu pa patakatifu pake

  • @paulmthethe1111
    @paulmthethe1111 Год назад

    Hakika heshima na adhama ziko mbele zake nguvu na uzuri zimo katika patakatifu pake..Mungu ni mkuu mwenye kusifiwa kuliko miungu yote

  • @vincentonchieku9535
    @vincentonchieku9535 Год назад

    Asante waimbaji mnapendeza na wimbo huu ambao vioungo vyote vimekamilika. Mpiga kinanda hongera sana na muimbie mingi kwa hiyo taranta

  • @revocatusmwanga472
    @revocatusmwanga472 Год назад

    MBARIKIWE SANA WATU WA MUNGU

  • @bernardkuloba2993
    @bernardkuloba2993 11 месяцев назад +2

    Dah! Kwaya uangu ya chuo hii, nakumbuka mwaka 2014 wakati tunafundishwa huu wimbo na mwalimu Raphael Imani na Peter Farayo wa Star TV, tukiwa na Dominic Urio, David Likanga Chuwa na wengine tukiwa sauti ya nne

  • @lucasmabanda6847
    @lucasmabanda6847 Год назад +2

    Amen, we are all blessed !! Good job

  • @ysmasalu
    @ysmasalu 2 года назад

    Wimbo mzuri sana huu. Kwaya hii imejitahidi sana. Na mpiga kinanda pia.

  • @frankkomba9397
    @frankkomba9397 2 года назад +1

    Mko motoo

  • @frankkomba9397
    @frankkomba9397 2 года назад

    Organist umetishaa sana

  • @mathewmgao6338
    @mathewmgao6338 2 года назад

    Mmemuwakilisha vema mwalimu wangu milenguko from Mt agustino kndege dodoma good performance good voice kinanda safi nawakaribisha mje dodoma muimbe nasi

  • @salomemlingano6604
    @salomemlingano6604 2 года назад

    Mko vzr sana

  • @compatible8242
    @compatible8242 Год назад

    I love this song ❤️

  • @agathakatana6553
    @agathakatana6553 2 года назад

    Imenituliza saana

  • @estarchanga5947
    @estarchanga5947 2 года назад

    Mungu awabaliki

  • @priscaabednego9719
    @priscaabednego9719 2 года назад +2

    What A performance kinanda kimepigwa ipasavyo saut zote zimeimba ipasavyo hongereni vijana wa fr mosha hakika mnainjilisha vyema,👏👏👏

  • @georgedeo6860
    @georgedeo6860 2 года назад +1

    wimbo mzuri pia wanakwaya wametulia kwenye uimbaji,,
    namwona ndgu yangu fidelis mseminari anaupiga mwingi

  • @paskalimeesay4032
    @paskalimeesay4032 Год назад

    Wimbo amazing xana big uppppppplp

  • @danielmangame3968
    @danielmangame3968 2 года назад +1

    Utume Mwema !!

  • @sittamajesymalongo2410
    @sittamajesymalongo2410 2 года назад +1

    barikiwa sana

  • @titusmmasi6324
    @titusmmasi6324 2 года назад

    Very natural. kinanda safi, slyle nzuri ya kikatoliki, wimbo unatoka katika maandiko matakatifu, tumebarikiwa sana na wimbo wenu.

  • @amundalakolomoni
    @amundalakolomoni 2 года назад

    Muzuri sana ndungu, Baba Mungu awabariki.

  • @editamujuni94
    @editamujuni94 6 месяцев назад

    Amina

  • @frankfocus5484
    @frankfocus5484 2 года назад

    Congrats you have done the best

  • @farajavitalis6358
    @farajavitalis6358 2 года назад

    That's my family always doing the best .
    God bless us always!!!!

  • @martinnkupe4186
    @martinnkupe4186 Год назад

    Powerful

  • @agathakatana6553
    @agathakatana6553 2 года назад

    Sichoki kuisikiliza

  • @guygerardmaindo3202
    @guygerardmaindo3202 2 года назад +1

    Merci pour la chorale

  • @liberatusfausto1166
    @liberatusfausto1166 2 года назад +1

    Good work

  • @laurenciafeya4283
    @laurenciafeya4283 2 года назад

    Hongereni sana kwa utume 🥰

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 2 года назад

    Yes bravo bravo

  • @reu.mathematicsacademy8566
    @reu.mathematicsacademy8566 2 года назад +1

    This is amazing 😍...be blessed team

  • @antonynyama3428
    @antonynyama3428 2 года назад

    Good job

  • @daliaphilibert3955
    @daliaphilibert3955 2 года назад

    Nice🙏🙏

  • @DicksonNdeombo
    @DicksonNdeombo Год назад

    good

  • @tesharose5041
    @tesharose5041 2 года назад

    Nice song love song 🥰👌

  • @ruchusprospa7796
    @ruchusprospa7796 2 года назад +2

    Belle performance , que Dieu Vous benisse

  • @beatusidama6233
    @beatusidama6233 2 года назад

    So pure!

  • @felisterligwa
    @felisterligwa 2 года назад

    Amina