Ni comedy ila ina funzo kubwa ndani yake Wanawake wa leo asilimia kubwa ndivyo walivyo tena ni bora umdhamini hata Mmasai atakuachia hata golole anavyo kukimbia kuliko hawa madem wa siku hizi acha alama twende sawa kama tuko pamoja !!
I was shock our driver told me this very few minute early in the morning in the market that you're a vlogger a known vlogger here in tanzania. I just wanna drop my full support to you
Ni comedy ila inafunzo kubwa ndani yake Wanawake wa leo ndivyo walivyo Tena Bora umdhamini hata mmsai atakuachia hata golole lakini sio madem wa leo mnao kubali weka alama twende sawa
My ribs 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 joti nimependa facial expression yako walae 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ....me naona mda umefika sasa wakutoa series ama movie please joti 😢😢
Kaka Joti tena wala usijiunge na wakinamasanja na mpoki waache kabisa yan wewe unajitosheleza kabisa maana Haubahatishagi Hongera sana unaweza kaka joti nakuomba unifanyie mpango niigize na wewe maana napenda sana komedi niunganishe kwenye kundi lako niwe kijana wako
Kama unamkubali Joti weka like yako apa🎉🎉
Aisee huyu nishai siyo mtu wa mbingu hiii ila watisha sana ila pesa bhana dondosha like kama unampenda nishai
Nakupa
😂
😅😥😥?
LIKUD R4Uy
Utakujaolewa kupendapenda like acha ujinga
@@jacobmwalituke8981 Kaa Kwa kutulia boya ww
Huyu mr khan ametembea mule mule na joti super talented asee mmetushe
Anaenda kupiga unajua😂😂😂joti chizi
One love tm jot pia msalimie sana kaka zito apo naomba sapot yenu wadau na like zen
Nishai you're my man!! And thank you for your script!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Yule unamjuwa ? Sasa wewe nilikuwa nakujua 😂😂 I love this lady ..she isbac good actor
Jotiii salute to you 😂😂😂😂. Never disappoint Kama unamkubali Brother Jotiii gonga like 😂😂😂😂
Kweli mimi Nina mkubali Nisha I sana
🤣🤣 Samia umemponza Nishai Mtombagile Kitwango
Enheee anaenda kupiga😂😂😂😂😂unafanya mchezo😂😂😂😂mjini ujanja kupata sio kuwahi😂😂😂
Damn joti mungu akuekee!! Nimecheka kicheko pekee yangu hadi najishuku 😅😅😅😊 from Texas 🇺🇸 🇺🇸 with love ❤️ 😍 💖 ❣️
Can we be friend?
Zito Unajua sana mwamba kama hauigizi vile 😂
Joti igizA tena na mwarabu🎉
Nishai Kitombangile kitwango mikazo miguno milio mayoe kelele 😂😂😂😂
Samia nasema wamowamo ❤❤❤ mashallaah
Nishai Mtombangile Kitwango Mikazo Miguno hutaki HELA 😂😂😂😂😂
Noma
🤣🤣🤣🤣🤣
Nishai mishanga😂😂😂
Unaupenda eeh
😂😂😂😂
From Japan Kuma Moto I love you YANGA bingwa 23 ( 24
Ni comedy ila ina funzo kubwa ndani yake Wanawake wa leo asilimia kubwa ndivyo walivyo tena ni bora umdhamini hata Mmasai atakuachia hata golole anavyo kukimbia kuliko hawa madem wa siku hizi acha alama twende sawa kama tuko pamoja !!
Mmmh ata wanaume wa sikuizi mpo hivyohivyo muhim kuomba Mungu tu akupe mtu sahihi
Naomba like zangu jamaaaaann wa kwanzaaaa
Hahahaha yaan joti pigo hizi unanauwa ila ukiliwa na pigo za za kimama unaleft group mshuaa😅😅😅
🎉😅😅😅😅😅😅😅😅😅 gooooooooooood maokoto
Haya,wakwanza mimi,wanaomkubali joti gonga like yako hapa na Mungu atakubariki😅
Complain zako nd zinafanya boss anaongea helaaa hahahah 😂😂😂💔🖐️
Joti wewe jamani😂😂😂 utauwa watu 😅 nipeni like kutoka DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Congo ✈️🇨🇩 piya tunafuata
😂😂😂😂ha ha ha yaani nimecheka tena na tena 😂😂
Joti ungemalizia tu bodaboda wa chamanzi 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 Joti kaikimbia laki 3😂😂😂
#JOTI MUONGZE NA #KHAN KWENYE GROUP LAKO HUYU MWAMBA TUNAMKUBALI AISEE.!😂😂😂😅
saaana mwanaguuuu anajuaaa
Kweli asa anajuwa
sa mbona boss wako anaongeza ela ovyo😂😂😂
Joti kachukue hela chumbani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊
😂😂wew ungeendaaa
😅😅😅 joti punguza tamaa
Joti bhna eti Kuna watu wanaishi ila sisi wengne ni wasindikizaji😂😂😂
😂😂😂Siutani
Good job Mr Joti with Your Team
Never disappoint jotiiii😅😅😂😂🎉
Maliza kabisa😂mhindi Domo zege
Eti mimi Babu ila Joti 😂😂😂 eti mimi sio Bro
Hehehehehehehehehheehehehe
I was shock our driver told me this very few minute early in the morning in the market that you're a vlogger a known vlogger here in tanzania. I just wanna drop my full support to you
Nadeem hongera kaka🔥🔥🔥kama umefika hapa na joti ame confirm, ni hatua kubwa kupiga colabo na joti🔥🔥🔥
#KHAN noma sana "NITAMPA_LAKITATU 😅😂😂😂
Joti Is a Living Legend 🔥🎯⚡👑
Joti never disappoint 🤣🤣🤣
Ni comedy ila inafunzo kubwa ndani yake Wanawake wa leo ndivyo walivyo Tena Bora umdhamini hata mmsai atakuachia hata golole lakini sio madem wa leo mnao kubali weka alama twende sawa
Kama unakubali joti like apa
Uwiiiii Jotiiiii😂😂😂😂u made my day
😂😂 my family naver disappointed
😂😂😂Joti Maisha😂😂
Eti mbna kalala vzr😂😂
leo nimekuwa wa kwanza kuangalia video hii kaka nisha umetisha sana kama korona
😂
Joti ww utabaki kuwa no 1 comedian nimecheka cn mbona umekataa hela😂😂😂😂
😂😂😂🤣🤣 we live for the moment so Everytime enjoyment
Kalala vzuli kwa stail hii vijna hku mjini watauponza wnatka kuuza madem zao😂😂
Hatari unatisha mzee❤
😂😂umetisha sana @joti😂
Kaa hapaaa😂😂😂
Oya umeongea nae vzr au mnataka kunichanganyaa😅😅
Nakuombea maisha maref sana joti, hakika ukifa pengo lako halitozibika 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂joti kiboko sanaaaaaa
Anaenda kupiga huyu 😂
Ayaaaaah Hahahaha nishai anajua sana
Et anaenda kupiga unajua🤣🤣🤣🤣
Ayaa anaenda kupiga uy😂😂
😂😂😂😂😂ebu njo belgium ❤️❤️❤️
Nyoooo!😂😂😂hatari sana!Comedian mje mjifunze kwa joti kuwa wabunifu.
Oyaa wee mpambee😂😂😂😂🎉🎉😅
CREATIVITY 👌🏿📣
Hata mim yamenikuta haya mke wangu wa ndowa nilimfumania akaniambia hanijuwi
Hehehehehehehehehheehehehe jotiiiiiii best comedian
East Africa television dadaz
Wakuu Leo Ni mm wa Kwanza naomba likes if unamkubali jota
khani anajuaa
Mr khan katisha ❤❤😊
😂😂😂😂 joti fala sana...
Jot leo umepatkana
😂😂😂chupli chupli umeponea kudadek😅😅😅
Gari ni Gari mamae...!!
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌,.... Tutafute maokoto jamani...
Uko sawaa joti 😂😂😂
Joti nipe like zangu
😂😂😂Yaaan ya leo angekuepo sopa na kipande ingekua kali zaidiiiiii
True
My ribs 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 joti nimependa facial expression yako walae 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ....me naona mda umefika sasa wakutoa series ama movie please joti 😢😢
So talented
Hahahaaa daah anaenda kupiga unajua
Watu hamlali jaman kaah😂😂
Wa kwanza kucomment👊👊
Anaenda kupiga huyu😢
Wa kwanza mpaka mida hii.. nipeni like zangu team joti..
Ongea na mm hapana mm naongea n huyu ahahahahaha
😂😂😂😂 Joti we Kiboko! Dadeeek
Ukweli joti upo vizuri hongera
Anaenda kupiga uyuuh 😅😅
Na mm leo nimewai
Kaka Joti tena wala usijiunge na wakinamasanja na mpoki waache kabisa yan wewe unajitosheleza kabisa maana Haubahatishagi Hongera sana unaweza kaka joti nakuomba unifanyie mpango niigize na wewe maana napenda sana komedi niunganishe kwenye kundi lako niwe kijana wako
haha et kuchukua helaa weee naijua
joti 🔥🔥🔥🔥
Nac san kaka jot mihaka y kobe
Kiranga komo😂😂😂😂😂Joti 💐❤️❤️
Oyaaa mwarabu
Eti Aiyaaaaa😂
Boni habari
Duh umeifanya nianze Ijumaa vizuri sanaaa
Jha bless you❤
Mmmmhh mambo yakuliwa tena jaman kwanaume mmmh sio sawa
😂ila uhuru umezidi. Yaani bidada anajiita Samia 😁
Kwamba hukuwah kulisikia hilo jina kabla au
Daah wadada muache kutuonea 🤣🤣🤣