Muda wa maneno umekwisha ni kuondoa watendaji wasiona tija wasionewe huruma ondoa.Tunakerwa na kuendeshewa na wawekezaji/ubia wakati wtz wenye uwezo wapo.👍
Mheshimiwa bashungwa Ila tukiacha mambo mengine naona kabisa quality ya uraisi unayo kabisa kabisa kama ndo sisi tunatoa uaraisi sisi wananchi tungekupa kabisa
Muda wa maneno umekwisha ni kuondoa watendaji wasiona tija wasionewe huruma ondoa.Tunakerwa na kuendeshewa na wawekezaji/ubia wakati wtz wenye uwezo wapo.👍
Mheshimiwa bashungwa Ila tukiacha mambo mengine naona kabisa quality ya uraisi unayo kabisa kabisa kama ndo sisi tunatoa uaraisi sisi wananchi tungekupa kabisa