Dodoma Jiji 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 17/05/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 май 2024
  • Goli pekee la Freddy Michael Koublan limeipa Simba pointi tatu muhimu, wakiichapa Dodoma Jiji 1-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.
    Hii ni #NBCPremierLeague
  • СпортСпорт

Комментарии • 78

  • @emmanueltesha5612
    @emmanueltesha5612 23 дня назад +5

    Hussein abel ni kipa mzuri sana

  • @JosephLamau-yq1lx
    @JosephLamau-yq1lx 23 дня назад +3

    Hongera Viongozi wa Simba Hongera wachezaji wa Simba, Hongera Mashabiki wa Simba munaoiunga timu yetu ya Simba. Simba nguvu mojaaaaaa 🎉🎉🎉❤❤

  • @mwajumaabdallah3254
    @mwajumaabdallah3254 23 дня назад +3

    Waooooh,mmecheza vizuri❤❤❤❤simba oyeee.

  • @meshackdauda4315
    @meshackdauda4315 23 дня назад +5

    HIYO killer pass
    ya Fabrice Luamba Ngoma macho yako yameona Kama Mimi like gonga hapa boss 💪🏿

  • @fabianbenardngatunga2713
    @fabianbenardngatunga2713 23 дня назад +4

    Hili jamaa litakujakuwa vizur fred

  • @hunainamudhiry
    @hunainamudhiry 23 дня назад +4

    Siachi kuipend simba

  • @user-cq4lp5rv1l
    @user-cq4lp5rv1l 23 дня назад +4

    Yani hiz mechi mbili tungepata magoal km 8 hiv

  • @chrizostomchristian1884
    @chrizostomchristian1884 23 дня назад +3

    Naomba Coch Mgunda apewe wachezaji tuone cv yake ikue haraka❤

    • @bellenoe414
      @bellenoe414 22 дня назад

      Natamani wamuache ili awakomaze hawa kina chasambi km watataka kuleta basi dirisha lijalo😢 tatizo akija mgeni hatakuwa na muda kuwapa watakaa benchi

  • @JumaFesto
    @JumaFesto 23 дня назад +2

    Mdomdo tutafika tu Simba yetu naipenda xana

  • @user-yq7dm4gw6j
    @user-yq7dm4gw6j 22 дня назад +1

    Simba nguvu moja💪💪

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 23 дня назад +3

    Simba wamenyimwa Penalti.

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946 22 дня назад

    Kob kob noma huyu mwamba🎉🎉🎉

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g 23 дня назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @beatricembunda6168
    @beatricembunda6168 22 дня назад

    Simba nguvu moja❤❤❤

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 22 дня назад

    jana boli imenoga sn kwa team zote mpipa wakasiii yan ukizingua watu washafika golin kwako nilieenjoy kuona jasho la wachezaj wa simba wamepambna ❤❤❤ simba nguvu moja

    • @bellenoe414
      @bellenoe414 22 дня назад

      Mzamiru alivyompora😂😂😂😂

  • @EnockMwakajila
    @EnockMwakajila 23 дня назад +2

    Offside hile kibendera kapuyanga

  • @bellenoe414
    @bellenoe414 22 дня назад +1

    Dodoma wanacheza rafu😢

  • @RemmyMluge
    @RemmyMluge 22 дня назад +1

    Eee na kwenye shida tuipende ni Simba yetu

  • @uchebetz7284
    @uchebetz7284 23 дня назад +4

    Simba tamu nyie

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 23 дня назад

      😂😂😂😂hta mimi naona

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 23 дня назад +1

      ​@@salmamlokela1987WEWE TOPOLO MACHOGO FC 😂😂😂😂😂

    • @jamesmartin7026
      @jamesmartin7026 23 дня назад

      Yanga tamu zaidi. Mabingwa wa ki historia kwa mara ya 30

  • @SimonAmon-dr8xw
    @SimonAmon-dr8xw 22 дня назад

    Chasamb🔥🔥 🙌🙌🙌

  • @user-iq4bl5uf7l
    @user-iq4bl5uf7l 23 дня назад

    Kweli

  • @husseinshamte7129
    @husseinshamte7129 22 дня назад +1

    Watoto kila wakipata boli wanataka kupiga mashuti tu
    Wanacheza kisifa wataharibikiwa ,,, sehem ya pasi piga pasi

  • @mahadshekh398
    @mahadshekh398 23 дня назад +2

    Kuna Utopolo hajui sheria Mchezaji akiumia kichwani tu ndio mpira unasimamishwa .Jifunze sheria za mpira wacha kukurupuka.

  • @AtanasMnkondya-qq7vh
    @AtanasMnkondya-qq7vh 23 дня назад +2

    Unyama

  • @davidyongolo8102
    @davidyongolo8102 23 дня назад +1

    Simba wamenyimwa penalty ya par Omar jobe

  • @WaziriMuthafa
    @WaziriMuthafa 23 дня назад +3

    Uyu mwamuz wa mchingo

  • @YulithaYoram
    @YulithaYoram 23 дня назад +1

    Tun imani na simb yetu

  • @user-zm1uw4me5b
    @user-zm1uw4me5b 23 дня назад +1

    Muamuzi haja tenda haki

  • @Dickson-su4cf
    @Dickson-su4cf 21 день назад

    fuledy umetish🎉a

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 23 дня назад

    Vipi wachambuzi freddy na Gwede wanafanana?

  • @erikoctavian748
    @erikoctavian748 22 дня назад

    dahh se kuna faulo hapo aisee alaf refa yupo karibu ...😢

  • @mishlay8164
    @mishlay8164 23 дня назад

    Hivi timu inafunga goli dakika ya 7 halafu hawafungi tena , hii timu kweli inashida

    • @omariaman7818
      @omariaman7818 23 дня назад

      Si bora imefunga lakini vp kama isingefunga kabisa

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 23 дня назад +2

    Offside hilo,, Alitoka lkn akapokea pasi kashazidi tena

    • @HamisiMagala-yk4cy
      @HamisiMagala-yk4cy 23 дня назад

      We fala kweli,mbona rahisi tu,basi tufanye dodoma jiji 1 - 0 Simba

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d 23 дня назад

      ​@@HamisiMagala-yk4cysafi kaka jibu zuri Simba ikishinda offside mala wamependelewa tufanye Dodoma 1Simba 0

    • @jumaseif2452
      @jumaseif2452 23 дня назад

      Kaka umeongea ukwl balua alichelewa kutoa pass japo refa kakubali goli

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 22 дня назад

      aujui mpira ww

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 22 дня назад

    SSa hii ndo simba

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 23 дня назад +2

    😂😂😂hivi yule mtenje wa dodoma jj anavyofanyaga enterview zake anakuaga na ile ya kuirudia baada ya mchezo ama

  • @dalluchiwinga-np2su
    @dalluchiwinga-np2su 21 день назад

    Na tabola Goli kama ilo mulikataa

  • @flaviusflavius3979
    @flaviusflavius3979 23 дня назад

    Nguvu Moja

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 23 дня назад +2

    Yani ni aibu tupu mchezaji kalala na maumivu na mpira unaendelea duuh mpira wa bongo Noma ,msionyeshe live aibuuu.nafasi ya pili inatafutwa na staili hii watani hamna timu hapa.

  • @anthonywapaduanyampandesen2301
    @anthonywapaduanyampandesen2301 23 дня назад +2

    Nakuona zimbwe oyaoya

  • @BahatiLinje
    @BahatiLinje 23 дня назад

    Mapema tuuu

  • @deogratiouswipson8448
    @deogratiouswipson8448 23 дня назад

    Chasambi😂😂😂

  • @BabieMuni-rz8uy
    @BabieMuni-rz8uy 23 дня назад +14

    chap wenye simba yetu

    • @pricelessintown4536
      @pricelessintown4536 23 дня назад +3

      Wachaa weee😊

    • @maryamnofli2109
      @maryamnofli2109 23 дня назад +2

      Waaaaaaaaoooooooo. ❤❤❤❤🦁🦁🦁🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪😍

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 23 дня назад +3

    Hivi kwa Nini serikali isiangalie huu uwekezaji wa mo dewj kwenye club ya Simba Kama imemshinda si atafute namna mweekezaji mwingine aingie

    • @donaldmwahalende4841
      @donaldmwahalende4841 23 дня назад

      Acha ujinga

    • @simonzelote5998
      @simonzelote5998 23 дня назад

      Hivi Kama timu imemshinda si aache tu anashindwa je kufuatilia pesa zake na kuhakikisha timu inasasili wachezaji wa kuisaidia club timu inasasili wachezaji hovyo

    • @simonzelote5998
      @simonzelote5998 23 дня назад

      Hivi Kama timu imemshinda si aache tu anashindwa je kufuatilia pesa zake na kuhakikisha timu inasasili wachezaji wa kuisaidia club timu inasasili wachezaji hovyo

    • @luckygmdegela8477
      @luckygmdegela8477 23 дня назад +1

      serikali ina husikaje hapo we uto

    • @simonzelote5998
      @simonzelote5998 22 дня назад

      @@luckygmdegela8477 kwani Nini hausiki mbona serikali ya uengereza iliuza Chelsea baada ya kumnyang'anya abromovic

  • @gustaphkadio5144
    @gustaphkadio5144 23 дня назад +2

    Simba yetu tunaipenda hata iweje siwezi shabikia majini

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 23 дня назад +1

      😂😂kwani umeletewa kadi ya uanachama ujiunge na Yanga...ovyoo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 23 дня назад +2

      ​@@salmamlokela1987IMEKUTACH 😂😂😂😂 MACHOGO FC WEWE

    • @TedyElisha
      @TedyElisha 23 дня назад

      Nimtazamo wake mbna Majin fc kushoboka

  • @RobartLukas
    @RobartLukas 23 дня назад +2

    Kwahiyo nyie makolo tuwaulize mnatafuta kombe au inakuaje😁😁😁😁🏃🏃👁️

    • @consolathamlimi7883
      @consolathamlimi7883 23 дня назад

      😂😂😂

    • @Gisakijamaduda
      @Gisakijamaduda 23 дня назад +1

      Weeeeeeee ngogwe huna jipya kafiembele kombe la Tanganyika au Tanzania?nani analo hilo kombe?

    • @sangaelly8548
      @sangaelly8548 23 дня назад +1

      Mjinga wewe tunatafuta bichwa lako hilo

    • @user-pm2ww1ir8z
      @user-pm2ww1ir8z 23 дня назад +1

      Muulize babu yako anajuwa

  • @rizioniramadhan1674
    @rizioniramadhan1674 22 дня назад

    Kweli shida ipo tena kubwa 2 tuspoangalia mwakani tuna shika nafasi ya kimu

  • @KispanmeshiliMollel
    @KispanmeshiliMollel 22 дня назад

    Wamebebwa

  • @rajabually8659
    @rajabually8659 23 дня назад +2

    𝑇𝑢𝑚𝑒𝑘𝑜𝑠𝑎 𝑚𝑎𝑔𝑜𝑙𝑖 𝑚𝑒𝑛𝑔𝑖 𝑠𝑎𝑛𝑎