Dodoma Jiji 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 17/05/2024
HTML-код
- Опубликовано: 16 май 2024
- Goli pekee la Freddy Michael Koublan limeipa Simba pointi tatu muhimu, wakiichapa Dodoma Jiji 1-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma.
Hii ni #NBCPremierLeague - Спорт
Hussein abel ni kipa mzuri sana
Hongera Viongozi wa Simba Hongera wachezaji wa Simba, Hongera Mashabiki wa Simba munaoiunga timu yetu ya Simba. Simba nguvu mojaaaaaa 🎉🎉🎉❤❤
Waooooh,mmecheza vizuri❤❤❤❤simba oyeee.
HIYO killer pass
ya Fabrice Luamba Ngoma macho yako yameona Kama Mimi like gonga hapa boss 💪🏿
Hili jamaa litakujakuwa vizur fred
Siachi kuipend simba
Yani hiz mechi mbili tungepata magoal km 8 hiv
Naomba Coch Mgunda apewe wachezaji tuone cv yake ikue haraka❤
Natamani wamuache ili awakomaze hawa kina chasambi km watataka kuleta basi dirisha lijalo😢 tatizo akija mgeni hatakuwa na muda kuwapa watakaa benchi
Mdomdo tutafika tu Simba yetu naipenda xana
Simba nguvu moja💪💪
Simba wamenyimwa Penalti.
Kob kob noma huyu mwamba🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤
Simba nguvu moja❤❤❤
jana boli imenoga sn kwa team zote mpipa wakasiii yan ukizingua watu washafika golin kwako nilieenjoy kuona jasho la wachezaj wa simba wamepambna ❤❤❤ simba nguvu moja
Mzamiru alivyompora😂😂😂😂
Offside hile kibendera kapuyanga
Dodoma wanacheza rafu😢
Eee na kwenye shida tuipende ni Simba yetu
Simba tamu nyie
😂😂😂😂hta mimi naona
@@salmamlokela1987WEWE TOPOLO MACHOGO FC 😂😂😂😂😂
Yanga tamu zaidi. Mabingwa wa ki historia kwa mara ya 30
Chasamb🔥🔥 🙌🙌🙌
Kweli
Watoto kila wakipata boli wanataka kupiga mashuti tu
Wanacheza kisifa wataharibikiwa ,,, sehem ya pasi piga pasi
Kuna Utopolo hajui sheria Mchezaji akiumia kichwani tu ndio mpira unasimamishwa .Jifunze sheria za mpira wacha kukurupuka.
Wew ndo hujui
Unyama
Simba wamenyimwa penalty ya par Omar jobe
Uyu mwamuz wa mchingo
Tun imani na simb yetu
Muamuzi haja tenda haki
fuledy umetish🎉a
Vipi wachambuzi freddy na Gwede wanafanana?
dahh se kuna faulo hapo aisee alaf refa yupo karibu ...😢
Hivi timu inafunga goli dakika ya 7 halafu hawafungi tena , hii timu kweli inashida
Si bora imefunga lakini vp kama isingefunga kabisa
Offside hilo,, Alitoka lkn akapokea pasi kashazidi tena
We fala kweli,mbona rahisi tu,basi tufanye dodoma jiji 1 - 0 Simba
@@HamisiMagala-yk4cysafi kaka jibu zuri Simba ikishinda offside mala wamependelewa tufanye Dodoma 1Simba 0
Kaka umeongea ukwl balua alichelewa kutoa pass japo refa kakubali goli
aujui mpira ww
SSa hii ndo simba
😂😂😂hivi yule mtenje wa dodoma jj anavyofanyaga enterview zake anakuaga na ile ya kuirudia baada ya mchezo ama
Na tabola Goli kama ilo mulikataa
Nguvu Moja
Yani ni aibu tupu mchezaji kalala na maumivu na mpira unaendelea duuh mpira wa bongo Noma ,msionyeshe live aibuuu.nafasi ya pili inatafutwa na staili hii watani hamna timu hapa.
Nakuona zimbwe oyaoya
Mapema tuuu
Chasambi😂😂😂
chap wenye simba yetu
Wachaa weee😊
Waaaaaaaaoooooooo. ❤❤❤❤🦁🦁🦁🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪😍
Hivi kwa Nini serikali isiangalie huu uwekezaji wa mo dewj kwenye club ya Simba Kama imemshinda si atafute namna mweekezaji mwingine aingie
Acha ujinga
Hivi Kama timu imemshinda si aache tu anashindwa je kufuatilia pesa zake na kuhakikisha timu inasasili wachezaji wa kuisaidia club timu inasasili wachezaji hovyo
Hivi Kama timu imemshinda si aache tu anashindwa je kufuatilia pesa zake na kuhakikisha timu inasasili wachezaji wa kuisaidia club timu inasasili wachezaji hovyo
serikali ina husikaje hapo we uto
@@luckygmdegela8477 kwani Nini hausiki mbona serikali ya uengereza iliuza Chelsea baada ya kumnyang'anya abromovic
Simba yetu tunaipenda hata iweje siwezi shabikia majini
😂😂kwani umeletewa kadi ya uanachama ujiunge na Yanga...ovyoo
@@salmamlokela1987IMEKUTACH 😂😂😂😂 MACHOGO FC WEWE
Nimtazamo wake mbna Majin fc kushoboka
Kwahiyo nyie makolo tuwaulize mnatafuta kombe au inakuaje😁😁😁😁🏃🏃👁️
😂😂😂
Weeeeeeee ngogwe huna jipya kafiembele kombe la Tanganyika au Tanzania?nani analo hilo kombe?
Mjinga wewe tunatafuta bichwa lako hilo
Muulize babu yako anajuwa
Kweli shida ipo tena kubwa 2 tuspoangalia mwakani tuna shika nafasi ya kimu
Wamebebwa
𝑇𝑢𝑚𝑒𝑘𝑜𝑠𝑎 𝑚𝑎𝑔𝑜𝑙𝑖 𝑚𝑒𝑛𝑔𝑖 𝑠𝑎𝑛𝑎