ASIJE AKAPATA KUKUSHINDA: BISHOP DR JOSEPHAT GWAJIMA: MOSHI DAY SEVEN: 18.01.2020
HTML-код
- Опубликовано: 17 янв 2020
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Asante pastor Lema Mungu ameniona kifungo changu, nami natangaza leo kwamba *shetani imetosha na mda wako ulionifunga umeisha sasa* nimefunguliwa kifungo na niko huru kwajina la Yesu Amina...
AMEEN AMEEN NINAPENYA, NAPENYA, NAPENYA, NAPENYA, NAPENYA, NAPENYA, NAPENYA, NAPENYA, KWA JINA LA YESU 😭😭😭🤲🏻🤲🏻🤲🏻🙌🙌🙌
Naanza kupenya kwenye Biachara yangu, Ndoa yangu, Nyumba yangu, família yangu, kutembeya, napenya kwenye kazi selekalini.
Napenya kwenye hatima yangu kwajina la Yesu
KWA JINA NINAPENYA, NAPENYA, NAPENYA, NAPENYA, NAPENYA, NAPENYA, NAPENYA, NAPENYA, KWA JINA LA YESU 😭😭😭🤲🏻🤲🏻🤲🏻🙌🙌🙌
KRISTO YESU amekutumia kwelikweli kuinua IMANI yangu ili niweze kusimama kwa miguu yangu. Huu ni mwaka wa BWANA uliokubalika kwa ajili ya kutiisha, kumiliki na kutawala. BARIKIWA MNO KIPURI CHA YESU !!!
Ameni.
Napenya kwajina la yesu
Man of God please pray for me
Mafundisho mazuri watumishi Wa Yesu
Amina sana.
MUNGU aku zidishiye nguvu
Very true daddy
Asate baba
Amen
God bless you massively, servant of God.
Mungu akubariki saaana baba kwa kwenda Moshi kwetu nimefurahi na nimebarikiwa sana. Barikiwa sana baba yetu
Amina Amina mtumishi Napokea Karibu na tunduma border
Mimi sikati tamaa mpaka hatima yangu itimie
Amen
Napokea firaha jioni ya leo.
Napenya kibiashara
😃😃😃🙌
Ubarikiwe bishop
Hiyo mizimu ni Africa tu jamani?
Hata ulaya ipo
@@happyelias4536 tena ulaya ndo kiboko , ni sebren mwa shetan anapita akiwa anatoka chumban kwake
Amen Amen baba.
Njoooni tu karibuni saana
Ameen baba
Napenya kwa jina la Yesu kristo.
Amen
Very true daddy