Bwana Wa Majeshi na awe pamoja nawe Na Bwana akupe kibali Na Bwana akulinde wewe na familia yako Na Apatikane mwengine kama wewe kutoka kwa kiuno chako baada ya uzee wako sawa sawa na mapenzi ya Mungu Aishiye Neno ufundishalo ni mazuri sana
Shalom shalom mt wa Bwana... namwinua Yesu kwa ujumbe huu... kweli ni roho inayonisumbua sana... maana mpaka sasa sina kanisa sahihi ya kuabudu na kumtumikia
Mungu wa mbinguni akubariki mkabwa
Mungu niondolee hii roo yakutangatanga kwa jina la Yesu
Bwana niponye na roho hii ktk maisha ya familia yangu
Asante pastor God bless you
Bwana Wa Majeshi na awe pamoja nawe
Na Bwana akupe kibali
Na Bwana akulinde wewe na familia yako
Na Apatikane mwengine kama wewe kutoka kwa kiuno chako baada ya uzee wako sawa sawa na mapenzi ya Mungu Aishiye
Neno ufundishalo ni mazuri sana
Amen Amen
Amina 🙏
Amina
Aminaa
I ROHO INIACHIEEEEEEEEEEEEEE LEO AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEN
Mungu nisaidie,eeh Baba uniondolee roho ya kutangatanga🤲
Ameen and Ameen Our God is powerful ❤❤❤❤
Aki hii ROHO nko nayo aki naimenikosesha amani kabisa pastor remember for prayer
Amen 🙏🙏 MUNGU akubariki sana mutumishi naomba uniombe sana na family yangu napitia changamoto katika kazi
Amen
Very great I wish I knew you in early watching from Kenya am blessed alot
Amen 🙏🙏🙏
Somo zuri mno. Barikiwa sana Mchungaji🙏
Amen Glory to God
Baba Yangu wakiroho,naamini sikumoja nitafika kanisani
Shalom shalom mt wa Bwana... namwinua Yesu kwa ujumbe huu... kweli ni roho inayonisumbua sana... maana mpaka sasa sina kanisa sahihi ya kuabudu na kumtumikia
Naomba maombi mt wa Bwana
Mungu akubariki kwa somo lako Mungu amenifungua kupitia somo hili Asante Mungu
Ameen glory to God
Blessed dsdy kweli wewe niwabaraka,unayo akili ya kristo kabisa
Ibada hii jana imenibariki sana na kunitoa katka kifungo hakika MUNGU alisema na mimi Ameeen
Napebda mafunxo yako