MPINA;IUNDWE TUME YA KUCHUNGUZA KIFO CHA MAGUFULI/MAKONDA,CHALAMILA WATAJWA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 апр 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 288

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 16 дней назад +33

    Nakuunga mkono sana mheshimiwa mpina.Mungu azidi kukulinda na kukupa maisha marefu zaidi

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 16 дней назад +3

      ni mwendawazimu tu ndie anayeweza kuamini kuwa Dr.Magufuli hakukatizwa maisha yake na maadui zake ambao wote wamerudi madarakani baada ya kifo chake..

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 16 дней назад +46

    Nakuunga mkono kwenye uchunguzi wa kifo cha JPM

    • @qonquererqanquerer1781
      @qonquererqanquerer1781 15 дней назад

      Ben Saanane Na Wengine Vp Waliopotezwa Nakuuawa Mf Alphonce Mawazo?

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 15 дней назад

      @@qonquererqanquerer1781peleka tume na wewe

    • @user-qe5cb7vy6o
      @user-qe5cb7vy6o 15 дней назад

      HAKI NI HAKI HATA KAMA UNA PESA AU,MHESHIMIWA HAKI ITENDEKE.MPINA OYEE KAZA UZI MHESHIWA TUAKUNGA MKONO.

  • @atutweve4160
    @atutweve4160 16 дней назад +32

    NAUNGA MKONO HOJA, NAUNGA MIKONO HOJA, NAUNGA MIKONO NA MIGUU HOJA, NAUNGA MWILI MZIMA HOJA ,,, mpina you are the legend 🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 16 дней назад +36

    Sanaaaa wachunguze Sanaaaa hiyo kweli kabisa kifo chake kinatuuma Sanaaaa wstanzania

    • @joycengoda6567
      @joycengoda6567 15 дней назад

      Waliomshambulia. Tundu Lisu pia ichunguswe

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 15 дней назад

      @@joycengoda6567 Sawa kabisa wote wachunguzwe hakuna siri duniani ukiuua ndiyo umejimaliza ukimpiga mtu risasi umejimaliza siri zote nje ccm oyeeeee kazi inaendelea watajisema wenyewe la kila kitu wafanyacho kinaharibikia wanabaki na wasiwasi wa roho Mungu tenda miujiza

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 16 дней назад +39

    Kati ya wabunge Bora huyu Nampa asilimia 98.5 kwa kusema hoja bora

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 16 дней назад +3

      Unfortunately he is alone😢

    • @Lubango-gj3ud
      @Lubango-gj3ud 15 дней назад +2

      Haungwi mkono na wenzake (ccm ) yawezekana hana u-ccm wanaoutaka!! It's very wonderful!!

    • @mabondolawrence1812
      @mabondolawrence1812 15 дней назад +1

      Huyu ni mtu sahihi ana hekima na ni mzalendo

    • @Brno984
      @Brno984 15 дней назад

      Kabisa

    • @davidsimbeye1548
      @davidsimbeye1548 14 дней назад

      Hana lolote huyo ni maumivu ya kuukosa uwaziri tu huyo, Katika yote aliyosema hilo la viongozi ambao siyo raia na kwenye uongozi kwamba lifanyiwe kazi hilo ndo namuunga mkono, huyo hapo akipewa uwaziri hautamsikia tena

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 15 дней назад +9

    Safiii mpina,.we ni jembe!..hakuna aliyeweza kuzungumza hayo ila wewe umeweza!..big up sana mungu akulinde!..wasije wakakuuwa na wewe

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 15 дней назад +10

    Nakuunga mkono mpina sanaa sanaaa juu ya jambo hilo

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 16 дней назад +19

    Mpina ni mzalendo wa kweli wa nchi hii na mbunge mwenye maadili mazuri sana.Utawala bora,utu,ubinadamu na haki huinua taifa na kutokomeza mafisadi.

    • @FADHILICHIKOLO-pb8iy
      @FADHILICHIKOLO-pb8iy 16 дней назад +3

      Huyu mbunge ndiyo amejitoa kusema kweli.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 16 дней назад

      @@FADHILICHIKOLO-pb8iy Wabunge wote wangekuwa kama huyu ,mifumo yote ya nchi na taasisi zote za nchi zingekuwa imara.Tungekuwa na Taifa imara na lenye utawala bora wenge kufuata katiba na kulinda sheria za nchi.wizi wa kura na tume ya hovyo ya uchaguzi visingekuwepo.ubadhirifu,ufisadi rushwa,mafisadi wala rushwa na wabadhirifu wangedhibitiwa.Utu,ubinadamu haki ,upendo na furaha vingeshamiri nchi.Hakika haki huinua taifa.Tunataka wabunge kama huyu wenye kutanguliza mbela maslahi ya taifa.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 15 дней назад +1

      Huyo Mbunge wa uhakika Mpina muache aseme Mzalendo wa kweli hata qampige vita vipi muacha ayamwage mwana wane yombaga sanaaaa Mwanazengo

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 16 дней назад +22

    Uko sahihi kabisa mheshimiwa mpina japo wengi watakupinga nchi yetu inatakiwa wabunge kama wewe

  • @ndilibangokaruhawe9335
    @ndilibangokaruhawe9335 16 дней назад +16

    Ni sahihi Mimi naamini ipo siku uchunguzi wa kweli utafanyika kwa Sasa wakweli Ni wachache

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 16 дней назад +13

    Naunga mkono hoja,nawew ujue sio mbunge wa kisesa tu ila ni Mbunge wa Tanzania nzima maana wabunge wengi hawapo na wananchi wamebaki kuwa machawa tu

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 16 дней назад +21

    MWILI HAUPO...LAKINI ROHO YAKE BADO IPO HAI KABISA BILA UBISHI.....ANATUSIKIA

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 16 дней назад +16

    Mpina 1 mpina 2 mpina 3 wewe ni mtetezi wa wanyonge ila kaka yangu wataku ua maana kapuku huna nafasi magenge ya kishenzi yanayo Linda matumbo Yao na vizazi vyao hawana uchungu na nchi Bali matumbo Yao na familia zao ira hio ni raaana Hadi kwa vizazi vyao kwa zuruma kwa watanzania ira muenderee kuiba na kufuja Mari za wanchi ira ipo siku nyinyi baazi ya viongozi mtukura nyasi tu hata mbinguni kwa mungu

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 16 дней назад +16

    Natamani uwe raisi na mimi niwe makamu wako, ninaamini Tanzania ingekuwa kama nchi ya Ujerumani, Austria, Italy, Swizlend, na ufaransa. Wako vizuri, wanajali raia, na barabara za ndani mpaka mlangoni

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 16 дней назад +15

    YAANI HATA MKE WAKE HAKUJULISHWA UGONJWA WA MUME WAKE. ?. HII SIYO HAKI KABISA.

    • @bint8178
      @bint8178 15 дней назад

      Inauma sana

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 16 дней назад +11

    Yani apo ndipo mambo yanapochanganya vichwa..kuna viongozi wanaongozwa na kuna viongozi wanaongoza na kuna viongozi wanaongozana 🦧

  • @MweraRiro
    @MweraRiro 16 дней назад +18

    Lakini Pia watanzania hawakupewa taarifa Kwa mujibu Wa katiba ibara ya 18(2)

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx 16 дней назад +10

    Big up. Mbunge wa Taifa zima

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 15 дней назад +9

    Mpina Mungu akukinge namabalaa yakila aina

  • @reginas1832
    @reginas1832 16 дней назад +15

    Mh. Mpina Mungu akulinde upo hatarini maana ccm si watu

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 16 дней назад +10

    Naunga mkono mpina akili kubwa sana ee mungu mlinde mpina

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 16 дней назад +34

    Kwakweli mpina una maono marefu, ingefaa uwanie urahisi wa 2025

    • @hassanmsumari1200
      @hassanmsumari1200 15 дней назад

      Hiii imeenda

    • @hassanmsumari1200
      @hassanmsumari1200 15 дней назад

      Anatoka povu

    • @angelanaftael7965
      @angelanaftael7965 14 дней назад

      Huyu kijana ni mzuri sana, ila huwa wanampinga sana, hakika uovu wote uliofichika utafichuka kwa jina la Yesu, na ndio hao hao waliojificha wanaanza kumtukana rais aliyeko madarakani

  • @sujatatom5047
    @sujatatom5047 16 дней назад +9

    Uko sawa Mh Pina. Nakuunga mkono. Hakika umethubutup.

  • @gwamakagwamaka
    @gwamakagwamaka 15 дней назад +7

    Mungu akuweke miaka mia mpina we nimkweli

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 16 дней назад +14

    Kiongozi leo umeongea jambo muhimu sana

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn 16 дней назад +18

    Ni hatari kumwaga damu isiyo na hatia;ipo siku itakuwa waz tu

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 15 дней назад

      Yeye alikuwa anauwa watu wasio na hatia, kilichompata kilimstahili

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 15 дней назад +2

      alimuua nani mbona baba yako bado yupo

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 15 дней назад +1

      @@samwelsimon7392 Baba yangu yupo hai ?. Wewe umelewa asubuhi ?. Dawa za kulevya azitakusaidia,

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 15 дней назад

      @@romanamassawe814 una matatizo wewe

    • @romanamassawe814
      @romanamassawe814 15 дней назад

      @@samwelsimon7392 sawa, Mimi Nina matatizo, Hilo sipingi, Nina matatizo makubwa Sana, ila naomba uelewe Mimi sijawahi kuvuta sigara, sijawahi kuvuta bangi, sijawahi kula mirungi sijawahi kunywa pombe, sijawahi kutumia coken, sijawahi kutumia broen sugar, sijawahi kutumia hirone, Wala Dawa yoyote ya kulevya,na hata Sasa situmii ulevi wowote, na nitskufa bila kutumia ulevi wowote, wewe endelea na hayo maisha yenu ya ulevi kwenye umasikini ulio kisiri mwisho utauwona, mwenzio alikuwa anavuta bangi, aliwahi kulazwa milembe hospital Dodoma, hospital ya vichaa, na hakuacha bangi mpaka mwisho na matokeo ya maamuzi yake unayaona yalivyokuwa ya ovyo, afadhali yeye alipata bahati ,je wewe ?. Tafakari kwa kina hayo maisha ya Dawa za kulevya

  • @franksabas6339
    @franksabas6339 16 дней назад +9

    Ndiye anayesimama na wananchi wengine ni kujipendekeza na kusifia tuu - proudly of you - we need you in a future - upo straight sana hupindishi upo transparent ingawa wengi hawakuelewi ipo siku watakuelewa

  • @mapundawilliam370
    @mapundawilliam370 16 дней назад +10

    Amen kwawazo nzuri

  • @robertigohe7477
    @robertigohe7477 15 дней назад +4

    Uko vizuri sana,nakuunga mkono maana aliyefariki alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hakuwa ....

  • @justice607
    @justice607 16 дней назад +13

    Uchunguzi ufanyike😢😢

  • @MweraRiro
    @MweraRiro 16 дней назад +16

    Maana tungepewa taarifa hata tungemuuombea lakini Pia swala la raisi kuomba arudishwe akafie nyumbani ni haki yake kitaalaamu tunaita DAMA (discharge against medical advice

  • @Princewaweru
    @Princewaweru 15 дней назад +5

    Huyu na MAKONDA mmoja awe rais mwingine makamo full story

  • @user-op4cb3yi8k
    @user-op4cb3yi8k 15 дней назад +7

    Mpina mungu akulinde

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 15 дней назад +4

    Mpina mungu akulinde vigogo wasije wakakumaliza na wewe km walvyofanya kwa Magufuli

  • @stephenwakunyala4004
    @stephenwakunyala4004 15 дней назад +3

    Mungu akulinďe ktk maisha yako yote Mh. Mpina, nanga mkono

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 15 дней назад +5

    Ni kweli Watanzania tunataka ukweli khs kifo Cha Magufuli!

  • @GONGALIFESTYLE
    @GONGALIFESTYLE 16 дней назад +9

    Wanajua wamefanikisha malengo yao

  • @ga2revocatus91
    @ga2revocatus91 16 дней назад +22

    Wanyonge ndo tuna umiaa kifo Cha maguu hatuelewi:::::?!!!

    • @hassanmsumari1200
      @hassanmsumari1200 15 дней назад

      Kwaiyo wewe ni mnyonge ????

    • @hassanmsumari1200
      @hassanmsumari1200 15 дней назад

      ???

    • @user-qe5cb7vy6o
      @user-qe5cb7vy6o 15 дней назад

      WAONO PINGA KUUNDWA KWA TUME NI HAWO NDIYO WALIOHUSIKA KUMUA RAIS MAGUFULIBILA HIVYO WATAZOEA KUUAVIONGOZI WETU HATAKAMA NI WAHESHIMIWA,WANA 0RSA HAKI NI HAKI HAMUOGOPI MWENYE PESA WALA MHESHIMIWA.

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x 15 дней назад +4

    Nakubaliana , kifo Cha magufuli Bado watu hawajui chanzo

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 15 дней назад +2

    dah mpina unatutonesha vidonda halafu bado vibichi nahatujui vitapona lini ila naunga mkono hoja ya uchunguzi wakifo cha JPM weng tunajua kwamba rais wetu hajafa kifo cha kawaida2

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 16 дней назад +17

    Damu ya mtu haipotei

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 16 дней назад +12

    Big up Mpina

  • @jeremiahbabalove5446
    @jeremiahbabalove5446 16 дней назад +4

    Yani huyu mbunge ndo aliyebaki tu mwenye akiri kwa Sasa hivi katika bunge la jamuhuri ya muungano ya Tanzania nafunga mkono Yani kwenye kifo Cha magufuli Mimi naunga mikono na viungo vyote vya mwili wangu

  • @peterlove4g869
    @peterlove4g869 16 дней назад +4

    Sema huyu mwamba yuko vizuri

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 15 дней назад +1

    Very good Mr Mpina

  • @raismalingumutz8473
    @raismalingumutz8473 15 дней назад +2

    Naunga mkono yote uko vizuri tunataka ukweli

  • @GwamakaAngela
    @GwamakaAngela 16 дней назад +6

    Huyu jamaaa haya anhaaaaaa

  • @JaphetJohn-qo1yn
    @JaphetJohn-qo1yn 15 дней назад +4

    Hivi kwa nn hamchukui hatua inamaana hamsikii au ni dharau tutaonana 2025

  • @rehemakimungu6494
    @rehemakimungu6494 15 дней назад +2

    Haya ya Makonda na Chalamila tuachane nayo kubwa kifo cha kipenzi chetu Magufuli kichinguzwe ,Najua watalipotezea hilo

  • @DavivaNce-hn8jx
    @DavivaNce-hn8jx 15 дней назад +2

    Huyu ni kiongozi anayetustahili xana kwenye nchi hii namkubali sana na ni mwamba,jasiri xana

  • @user-ni9zc3gx5t
    @user-ni9zc3gx5t 15 дней назад +2

    Karibu wananchi wote tunataka kichunguzwe kifo cha jpm

  • @user-he6de1yj6l
    @user-he6de1yj6l 15 дней назад +2

    Mpina anakitu ila itafika hatua ataongea kama akiamua jua polepole ndyo mwendo

  • @mwemezirukoijo3868
    @mwemezirukoijo3868 16 дней назад +2

    Hakika nimekuelewa juu ya kufanyika kwa uchunguzi wa kifo Rais Wetu

  • @jamilijuma2738
    @jamilijuma2738 15 дней назад +2

    ..nakuuunga. Mkono mpina ww ni kiiongz to bora

  • @user-bp7fe1gx4v
    @user-bp7fe1gx4v 15 дней назад +2

    Na Unga mkono haja kichunguzwe kifo cha magufuri Nani kausika tuwajue

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 15 дней назад +1

    Kweli Mpina ,Mheshimiwa Mpina Safi Sana!!

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 16 дней назад +3

    Ningekupongeza tu endapo ungeomba pia uchunguzi wa Kifo cha Ben Saanane and others.

  • @JoshuaMbugi
    @JoshuaMbugi 15 дней назад +1

    Nilikuwa nalisubili hilo tangu siku nyiiingi sana twende pamoja nakukubali mpina

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 15 дней назад +2

    kweli kabisa tume iundwe makufuri hakufa kawaida

  • @ludanishirima5102
    @ludanishirima5102 15 дней назад +1

    Wakati huo tunapofikiri kutunga tume ya Uchunguzi wa Rais wetu Magufuli pia tufikiri na kuunda tume ya Uchunguzi wa Walio mpiga risasi tundulizi pia maana na Yeye ni mtanzania pia

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis9991 15 дней назад +2

    Naunga mkono Kwa uchunguzi kifo Cha magufili

  • @user-qe5cb7vy6o
    @user-qe5cb7vy6o 15 дней назад +2

    NAUMGA MKONO IUNDWE TUME UCHUNGUZI KIHUSU WALIOHUSIKA KUUA RAI MAGUFULI HAKUNA KULINDANAMAUAJI YA VIONGOZI WA KITAIFA TABIA KAMA HII YA KUUA VIONGOZI WA KITAIFA ITAZIDI IWEFUNDISHO.NAUNGA MKONO %100 BILA HIVYO MAUAJI YA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA LITAENDELE.USIPOZIBA UFA UTAJENGEA UKUTA.

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 14 дней назад

    Naunga mkono hoja. Big up Mbunge Mpina

  • @OscarFabian-uu3rs
    @OscarFabian-uu3rs 15 дней назад +1

    Mungu atawaumbuatu, kifo Cham agufuri. Mungu hajalala yupomacho, tusubili kisasi Cha bwana., Kinakujsa.

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 14 дней назад

    Long live mtoto wetu, mko wachache sana, walio wengi ni wahaini na mafisadi

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 16 дней назад +2

    Mpina ni mbunge bora sana. Kawaida wabunge bora hunyimwa nafasi za uongozi. Watu wanaopewa nafasi wengi ni wanafiki wenye kumutupia Rais sifa za uwongo huku pembeni wanabeza

  • @Emmanuelmbai-in8ie
    @Emmanuelmbai-in8ie 16 дней назад +5

    Mhh Aya mpina

  • @modestamakoye9319
    @modestamakoye9319 16 дней назад +2

    Tume iundwe kuondoa sintofahamu bado tunamlilia Magu

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 16 дней назад +2

    Bado kuna watu wengi Tanzania hata watu kutoka nchi za nje wana wasiwasi na Kifo cha Hayati Magufuli. Tanzania tajiri lakini uongozi ndiyo mbaya. Mali za watanzania zinaibiwa, na wanaoiba hawachukuliwi hatuwa. Kuna watu wanaogopewa wameishika Tanzania Kama Mali yawo binafisi.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 16 дней назад +2

    Watanzania wengi wanaunga mkono uchunguzi kifo cha Hayati Magufuli. Watanzania wana Mashaka makubwa ya kifo chake. Mabeo statement yake kifo cha Hayati Magufuli, kimeongeza Mashaka makubwa kwa watanzania na wengi kuwa mini kuna jambo limefichwa. Watanzania wana haki ya kujuwa. .

  • @mabulajoel1967
    @mabulajoel1967 16 дней назад +4

    Kufa kupo tu mhe. Mpina hata kama Magufuli kafa kwa sera na michakato ya watu hili tulishalia na kuomboleza acheni kutuumiza na kutukumbusha habari za baba mpambanaji na mwendazake hakika amelala hatuna namna wakati uliopo pambaneni na kujenga Nchi si migogoro kila leo.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 16 дней назад

      Punguza mdomo.umelia sana kwani ni baba yako mzazi.unajifanya una uchungu kumbe mnafiki tu.Uchunguzi husaidia kama kuna watu fulani walihusika wasirudie tena jinga we

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 16 дней назад

      Hawa baba isha bwegwe tuu...!! Hawana lolote wanafanya ivo kwassb uchaguz unakaribia...!!

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 16 дней назад +1

      @@aishakhamis2996 Ila mpina ni mzalendo wa kweli,anayoongea ni ukweli mtupu.

  • @user-cz5sd6ys8i
    @user-cz5sd6ys8i 15 дней назад +1

    Hongera San mh mipna siku sote umejaribu kuwa mkweli,

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 15 дней назад

    Huyu Mpina katoka Mbingu ,naomba Mungu akulinde kwa malaika wenye panga za Moto ,damu ya Yesu ikulinde

  • @officialkinghimself2637
    @officialkinghimself2637 16 дней назад +2

    Hakuna haja mbona kwa Tundu Lissu haikuchunguzwa pamoja na watu wanao potea mngekua mnatenda haki basi mnge anza hayo.

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 15 дней назад

      Yeye ameona tukio hilo lichunguzwe, kama wewe una matukio mengine unataka yachunguzwe toka hadharani useme ya kwako Mhe, Mpina hawezi kufikiri ya moyoni mwako na shida zako haziwezi kumfanya afikiri kama wewe!

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania 15 дней назад

    Nakupenda mh mbunge

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 15 дней назад +1

    naunga hoja ya uchunguzi wakifo cha JPM ila mama yetu namshauli asigombee tena amuachie majaliwa awe rais wazili mkuu awe makonda wazili wa Mambo ya ndani awe chalamila

  • @talents7934
    @talents7934 14 дней назад

    Nakuunga Mkojo mheshimiwa

  • @BarakaMashimba-sr9ow
    @BarakaMashimba-sr9ow 14 дней назад

    Daa Mungu akubariki sana

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 16 дней назад +1

    Unaposema nchi ytu bado ni changa hatukuelewi hatari JPM alishatufumbua macho hii nchi ina rasilimali zote unazozijua na usizozijua itakuwaje changa

  • @elevenmeela8713
    @elevenmeela8713 15 дней назад +1

    Ni vema Kama kuchunguza kifo Cha raisi kuliko kupotezea na pia wale waliyotaka kumuua tindu lisu pia iundwe timu ya kucgunguza

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 15 дней назад +1

    Mpina mpina mpina umeongea ukweli anbao hata sisi wananchi wengi kimoyomoyo tunajiuliza hivyo lkn kwanza tujue aliempiga tundulisu risasi ni nani huyo? Halafu ndio tuje kwa mzee wetu magufuri

  • @ostenmwakasita6960
    @ostenmwakasita6960 16 дней назад +1

    Kweli kabisa kunahaja kundwa tume ya kifo Cha Makufuli maana tumedanganywa sana mwingine katwambia anachapa kazi mwingine Makufuli anawasalumia inabidi tuunde tume ya kuchunguza kifo Cha Makufuli

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 15 дней назад

    Tume pekee na amnayo itakuwa huru na tukaiamini na ina uwezo wa kuchumguza jambo hilo la kifo cha Mpigania Wanyonge Hayati Magufuli ni kutoka kwa wale wenzetu wa lugha ya kikwetu, yaani scottland yard au interpol. Halafu ndugu zangu mhe. Mpina hayuko pekee bungeni. Wapo wengine wanaounda kundi lake na kwao hao angaa wananchi tunapata faraja. Nao ni: Aida Kenani, Easter Matiku au Bulaya (nisahihishwe kama nimekosea ubini) na Halima Mdee. Mungu awabariki sana.

  • @JohnKibebah-px8ci
    @JohnKibebah-px8ci 15 дней назад

    Wazo sahihi kabsa kwa taifa letu ili tujue ukweliii wa kifo cha mpendwa wetu

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 15 дней назад +1

    Naunga mkono wachunguze kifo

  • @user-ub2sm5vy2z
    @user-ub2sm5vy2z 15 дней назад +1

    Huna ubnasfisi mpina nakakukubali sana

  • @abdulrahmanngaluma3768
    @abdulrahmanngaluma3768 15 дней назад

    Kila aliyekufa tukisema tuunde tume ya uchunguzi itakuwa mchezo wa pwagu na pwaguzi, kwani nani asiyeamini kifo ni mpango wa mungu na hutokufa bila kutimia kwa siku zako

  • @mwitanyahiri4586
    @mwitanyahiri4586 15 дней назад +1

    Ni Moja kati ya wabunge wanaotokana na ccm amba akianza kuongea unakuwa na kiu ya kumsikiliza

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 15 дней назад +1

    Unajuaje hawajaadhibiwa.inawezekana walishwa tumbuliwa

  • @amanigilberth1259
    @amanigilberth1259 15 дней назад

    Nakukubali Sana mzee yaani watanzania tumekuwa kama watoto wadogo ambao tunasikiliza na kila kinachoongelewa na wakuu na hakuna anaetupatia majibu ya maswali yetu naumia viongozi wetu tunaowaamini wanavyo tuchukulia poa 😢😢😢

  • @sebastianjacob8915
    @sebastianjacob8915 14 дней назад

    Kiukweli mpina ukosawa maana viongozi wengine sijui kwanini hawaoni Hilo we unatufaa kabisa kuwa rais uje uchukue form 2025.

  • @lazaroletion2420
    @lazaroletion2420 15 дней назад +1

    Iyo ni ndoto kutokea, uchunguzi utaundwa tu pale ambako ikatokea ndugu yake akaja kua rais

  • @geey7893
    @geey7893 14 дней назад

    Ewaaaaah Kwenye kuchunguza kifo Cha Jemedari wetu ntakuunga mkonoo

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 16 дней назад +2

    Uchunguzi ufanyike hata mm naunga mkono

  • @BabaZuu-fq8zj
    @BabaZuu-fq8zj 15 дней назад +1

    Mpina watu kama nyie tanzania amtakiwi sasa hivi na wewe itaundwa tume wachunguze kifo chako

  • @annamushiaminaaa4367
    @annamushiaminaaa4367 15 дней назад +1

    Mkishajua mnafanya nnii???kama mlichelewa vileee

  • @aminiyasini7271
    @aminiyasini7271 16 дней назад +1

    Pamoja kabisa naunga MKONO

  • @princehenry7113
    @princehenry7113 15 дней назад +1

    Utakutwa na kitu kizito... Lkn tupo nyuma yako

  • @ChancellorFelix-vm5yp
    @ChancellorFelix-vm5yp 15 дней назад +1

    Hio tume hata isipoundwa na serekal hii IPO serekal ambayo itakuja imtendee haki magufuli n swala la mda tu dam ya mtu hua haipotei Bure

  • @agustinoandrea6030
    @agustinoandrea6030 15 дней назад

    Mungu akupe uhai mrefu xna kiongozi,Yan kwnye serikal hakuna hata aliiejitokeza kukanusha au kuthibitisha hayo