MAREKANI YAHITAJI JESHI LENYE NGUVU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Wagombea urais wa Marekani Joe Biden na Donald Trump wote wanasema Marekani inahitaji jeshi lenye nguvu. Biden anasema jeshi la marekani lina nguvu hivi leo, wakati Trump anasema Biden amelidhoofisha jeshi la Marekani na kwamba yeye atalijenga tena atakapokuwa rais. Mwandishi wa VOA Scott Stearns anaripoti na Patrick Nduwimana anasimulia taarifa yake. VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi.
    Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
    Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000.
    Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru.
    Jiunge na VOA Swahili:
    » Tembelea Tovuti Yetu: bit.ly/3PtyNWc
    »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: bit.ly/3TNTiiI
    »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : bit.ly/VOAPlus
    »Download VOA+ katika vifaa vya Android bit.ly/3KykriI
    »Tembelea Tovuti yetu: www.voaswahili...
    »Upende ukurasa wetu wa Facebook: / voaswahili
    »Tufuatilie katika Instagram: / voaswahili
    »Tufuatilie katika X: / voaswahili
    »Tufuatilie katika RUclips: / @voaswahili

Комментарии • 9

  • @antonyelias866
    @antonyelias866 4 месяца назад +1

    Nyie babari zenu ziko upande mmoja tu hakuna habari apo

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 4 месяца назад

    Trump ndie RAIS muhimu kwa marekani

  • @nizarrama225
    @nizarrama225 4 месяца назад +2

    mashoga wanatoa wapi nguvu ikiwa halali yao ni shetani nasiyo "MUNGU" 😂

    • @RhodaJohn-vt2xz
      @RhodaJohn-vt2xz 4 месяца назад +1

      Unahitajii Elim😂😂😂😂😂

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 2 месяца назад

      ​@@RhodaJohn-vt2xzElimu yake ya juu na uelewa wake juu kabisa ni Issue za ushoga tu😂😂😂

  • @Irene-cc5qi
    @Irene-cc5qi 4 месяца назад +1

    Nawapata vizuri nikiwa Muganza Geita Tanzania

  • @JumaNtasimba
    @JumaNtasimba 4 месяца назад +1

    Hawa watu nao wanaongea mauaji tu

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz 4 месяца назад

    Mbona Hao wanajeshi asiliyao ni Asia wamarekani asili, washakua mashoga

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz 4 месяца назад +1

    Misaada imeenda Gaza baada ya Iran kuishambulia Israeli, ni wapumbavu tu ndiowanaweza kuhariri habari kama hii, ni habari ya kiuwendawazimu😢😢😢