Tazama Kilichomtokea Mwigulu Nchemba akisoma Bajeti yake; asahau kuomba Fedha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Waziri wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba akisoma makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2023/24 Bungeni jijini Dodoma leo.

Комментарии • 7

  • @davisnaftal
    @davisnaftal Год назад

    Mheshimiwa kikotoo kinawaumiza walimu Kwani tukiwa kazi I
    hatukuwa na ziada ya kipato zaidi ya mshahara milioni 50 au 48 hazitusaidia wastaafu tukizingatia tumejitahidi kufanya kazi Kwa uaminifu mkubwa miaka 40 au 38 ya kazi hailingani na tunachokipata

  • @HeavyrainKuresoi-ke9df
    @HeavyrainKuresoi-ke9df Год назад

    Unasoma bajeti ungemalizia tu kwa kauli yako maarufu wasioipenda waende Burundi,,,,

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Год назад

    Common sense: watu hawatakwepa kodi endapo kodi ni ya wastani na ya uadilifu. Sababu kubwa ya ukwepaji kodi ni ukubwa wa kupindukia na kutowepo na uwiano wa kodi na maduhuli ya anayekatwa kodi.
    Ni aina ya mtindio wa akili kuweka nguvu nyingi kuwasaka wakwepa kodi, kwa kutumia mabilioni, wakati ungepunguza kodi kwa kutumia pesa hizo za utumiaji nguvu....ungepata maokeo yale yale tena kwa ridhaa ya watoa kodi.
    Fanya mambo mawili tu na Tanzania itakuwa the best country:
    1- punguza kodi, ushuru, vat nk (nyie watawala jibaneni. Kodi nyingi ni kwa sababu ya ku finance your lifestyle!).
    2- Simamia udhibiti wa matumizi ya serikali na punguza kwa asilimia 20 ya matumizi ya sasa. Utaweza? Kama huwezi jiuzulu. Watanzania kwa kweli wamechoka. Hakuna civil servant hata mmoja mwenye disposable income mwisho wa mwezi. Utaendeshaje nchi namna hiyo? Mtazania ataishi vipi bila kuiba kulaghai, kula rushwa?
    Hata hiyo miradi yenu mikubwa mnayofanya, kamwe haiwasisimui Watanzania. Mtu hawezi kula atafurahia vipi madege ya kila siku? Utasema hii ni kwa future! Mmm, tangu uhuru tumekuwa tukisubiri angalau ahuweni ndogo, na sasa siye wengine twaelekea kwenye makaburi yetu na mambo yanazidi kuwa mabaya! Hata kokotoo hamwezi kulipa! Kwa kweli ni uchungu mkubwa kwa Watanzania wengi waliozaliwa baada ya Uhuru!

  • @Moodandvibes23
    @Moodandvibes23 Год назад

    😊