Halo ndugu nimefungua account ya youtube kupitia vipindi vyako mpaka sasa ninabcribe 58 na wameanza kuniletea matangazo je idadi ya subscribe wameipunguza
Da kaka unafundisha vizuri sana na uneleweka ila nilikuwa na shwar ivi nimefungua channel ya youtube ghafra channel ikawa haionekan mtandaon na kwenye sim yangu imebak imel tu hii inakuwaje
sorry bro Niko nje ya maada hii Nina camera Nikon D3400 kinacho niumiza kichwa ni jinsi ya kupata saut ya nje kwa kutumia boom mic Cox ile waya yake nimeikosa so please my brother kama unaweza jua napo weza kuipata nisaidie nipo mkoani mwanza asante 🙏🙏🙏🙏
Brooo shukuran kwa som naswali mafungua acount kama ulivyo elekez lakin nilikua nayo ya google nilip kuja youtube nikakut iko ileile lofungua google ndo imekubali au imekataa?
Sasa bro je ukiwa umeanza tu kupost vitu direct bila ya kufungua account kwa process kama ulivyoelekeza, unakuwa upande wa manage my business au for my self...?
Maana zinafanana lakini content zina maboresho kutokana na baadhi ya vitu nilivyoelekeza kwa sasa vinebadirika hivyo lazima ufundishe tena same topic, same flow ila context tofauti.
umetishaaa
ahsant Sana kwa elimu nzuri napenda nijfunze zaidi kufungua RUclips channel bado sjaelewa bro!
Nashukuru
Halo ndugu nimefungua account ya youtube kupitia vipindi vyako mpaka sasa ninabcribe 58 na wameanza kuniletea matangazo je idadi ya subscribe wameipunguza
Mbona we unatumia kompyuta sio simu kwahiy kama huna kompyuta huwezi anzisha RUclips channel au??
Appreciate sana
Somo zuri sana kaka
Shukrani sana
I like it
Makini sana
Nakubali
Asante brother
You are welcome
Da kaka unafundisha vizuri sana na uneleweka ila nilikuwa na shwar ivi nimefungua channel ya youtube ghafra channel ikawa haionekan mtandaon na kwenye sim yangu imebak imel tu hii inakuwaje
Asante sana
Good brother
Nice
Shukran saan
Asante
asant nimekupata broo
OK Asante
Hongel San br
Shukran
Ahsante naomba mawasiliano yako
0714250356
@@Richstartz nahitaji kufungua hiyo kitu
Sawa
asante
Good asante
Mamb vp...Mm nataka kufungua account ya RUclips... Lakin Sasa naona Sim yangu haina fail la Google kna fail la crome tu... Nfanhejee msaada kdogoo
Ingia playstore kisha download
Safi
sorry bro Niko nje ya maada hii Nina camera Nikon D3400 kinacho niumiza kichwa ni jinsi ya kupata saut ya nje kwa kutumia boom mic Cox ile waya yake nimeikosa so please my brother kama unaweza jua napo weza kuipata nisaidie nipo mkoani mwanza asante 🙏🙏🙏🙏
Nambona upo spid sana kwenye kuelezea
Hongera sana kaka kwa somo zuri.
Naomba unisaidie kwa Ilo please 🙏
Asante brow
Prfect
Mm nauliza ivi nikwann youtube wana remove chanel ya mtu balasababu
Kaka Mimi nilifungua channeli RUclips sasa ile simu nilio fungulia nime uza sasa nime nunua nyingune sasa nashindwa kuirudisha naonba msaada wako
Tatizo langu, you tube yangu iko katika turn off?
Asante sana mwalimu 🙏🏿
Shukrani sana
Good brow
Mbona video niliyokuwa najaribu kama chanel imefunguka haitaki kutoka je mwenye video yake si atachukia?
Thanks
Mbona Za Laptop Yako Vimekua Vidogo Sana Avionyeshi Vizuri Kwa Screen
Vp hiyo uliyo ekekeza ndy ya kulipwa? Na Kama siyo ya kulipwa natengenezaje ya kulipwa
Good Mkali
Asante sana kaka
Hivi nawezaje kufungua youtube channel nyingne? ( Kuachana na ya zamani)
Sasa vp kuhusu program ya tube buddy mbona yenyewe wanasema sio lazima ufikishe subscriber 1k
Yani sielew elewi ivi
good
Nimekusoma master
Shukrani sana
Bro nakukubar San najifunza mengi kupitia ww na naamin nitafika kam ww endelea kufanya meng makubwa nasi tujifunze mengi zaiidi
Habari brother. kama uliweka for myself je unaweza kubadilisha to manage my business?
Inawezekana ila Haiwi FREE tena
Ya free Ni ipi na gharama kwa serekali zikoje ?
Nimesikia Kuna kujaza fomu Ni shulingi laki moja na leseni Ni milioni moja .Naomba ufafanuzi
Malipo ya TCRA ni sh ngapi?
kaka msaada natala kuingia kwenye account yang ya u tube ya zaman nfanyeje
Ok
Nimejifunza vyema
Brooo shukuran kwa som naswali mafungua acount kama ulivyo elekez lakin nilikua nayo ya google nilip kuja youtube nikakut iko ileile lofungua google ndo imekubali au imekataa?
Nimependa totalio yako
Naomba namba yako kaka ninashida
❤❤❤
Habari brother.. Hivi inawezekana kubadilixha kama uliweka for my self ili iwe to manage my business..?
Inawezekana ila haiwi free tena
Sasa bro je ukiwa umeanza tu kupost vitu direct bila ya kufungua account kwa process kama ulivyoelekeza, unakuwa upande wa manage my business au for my self...?
BROO NATAKA KUFUNGUA ILA INAZINGUA
Iko poa mkali
Good
Thanks
Maelezo hayaeleweki
Wapi hujaelewa
Hlw
Njoo inbox kiongozi tufanye business,
Inbox iko wapi?
Tunaomba utwelekeze namba ya kurenda mchoro uliop kwe archicad kwa kutumia adobe
Nitalifanyia kazi
Vp
Naomba namba yako
Kaka mbon nakuomba namba yako haunipi tafadhar naomba
Wapi unakwama ?
Mada zako zinajirudia kilasiku mzee no new update
Maana zinafanana lakini content zina maboresho kutokana na baadhi ya vitu nilivyoelekeza kwa sasa vinebadirika hivyo lazima ufundishe tena same topic, same flow ila context tofauti.
Mashaallah
Kaka kwani kufungua chaneli mpaka ulipie
Hapana
Ukisha fungua unaanza kulipwa ukiwa na views wangap kak
@@ibraphilipo6365 Mpaka utimize vigezo na masharti
Vipi bro ninashida na wewe kunamambo nahitaji unisaidie
PW pw
Brother whatsApp hujibu text
Nashukuru
Nice
Shukran
Asante
❤❤
Nice