Asante, ila hukusisitiza kuwa vigezo vya 1000 subscribers na 4000 watch hours VINATAKIWA VIWE REACHED KWA MWAKA MMOJA SINCE UMEFUNGUA RUclips CHANNEL YAKO! Asante kwa elimu brother.
@@Richstartz hello with forgiveness I would like you to help me with the color theme in premiere pro please. greetings from equatorial guinea I NEED PROFESSIONAL HELP AND YOU ARE
hello with forgiveness I would like you to help me with the color theme in premiere pro please. greetings from equatorial guinea I NEED PROFESSIONAL HELP AND YOU ARE
Mimi karibu kila siku, wakati mwingine na upload mbili kwa siku
Asante, ila hukusisitiza kuwa vigezo vya 1000 subscribers na 4000 watch hours VINATAKIWA VIWE REACHED KWA MWAKA MMOJA SINCE UMEFUNGUA RUclips CHANNEL YAKO! Asante kwa elimu brother.
Unafundisha vizuri sana kaka
Naomba tuwasiliane tufanye kitu cha maendeleo🙏🏽
Asante sana kwa somo nimekupata vizuri sana
Brother naomba unijibu nataka kujua masaa 100 miamoja ni sawa na views wangapi 🙏🙏🙏 naomba nijibu
Zinajumlishwa dakika wanazo tumia watizamaji wako so inategemea pia na ulefu wa video zako
Asantee kaka richstar nimejifunza vingi kwako had sasa nikushukuru mungu azidi kukubarik kwa msaada wako
Asante sana
bro nimejifunza vingi
Asante sana mwamba nakufuatilia muda mrefu una madini yakueleweka🙏🙏🙏
Darasa Zuri Sana 🙏🙏🙏
Shukrani
Sanaaaaa mkuuu
@@fredymastory6208 ✊🏼✊🏼
Maybe one day na Mimi Nitafikia monetazation dah! Mambo Ni Moto yani nitayafuata mafunzo yako Bro yatanisaidia kwakweli.
Kila la heri
unapatikana wapi ndugu
Hongera una subs 20k naimani sasa hivi ushakua monetized kitambo😊
asante sana mwalimu wetu
ENJOY
Naomba msaada ndugu yangu,,mm masaa yangu yamepungua Sana ,,yaani kutoka 1800 mpaka 600 ,,tatizo linaweza likawa nn maana mpaka nimechoka
Asante kwa elimu🤗🤗🤗
Shukran sana kwa Darasa Bro 🙏🙏
Asante na Ubarikiwe
@@Richstartz Hata wew pia
ndonamimi naanza kaka asante kwa ushaur wako🙏
Asante sana kk
Ongera bro
Umeeleweka kaka asant kwa ushaulii
Ahsante brother
Hakika we ni mtaalam nimepata vitu vikubwa sana
Inakuwaje mzee Wangu Richstar
Salama mzee wangu Upo ?
Ahsante sana
Advice is on top
Asante sana
😂❤❤Asante sana
We jamaa unaelekeza vizuri mno.
Bonge la darasa big up bro
Thanks
Sana kaka 💕💕💕🎉🎉
Asante sana
Vizuri sana mkuu
Asante sana
@@Richstartz najifunza mengi toka kwako ubarkiwe sana
Asante sana nimeona mdhaifu yangu yalipo
Jee nikiingia lev wale wanao tazama wanazisha masaa?
Kaka. asante
Broo mimi nina miaka mi 3 mwaka huu ndo nime fikisha masaa 4000 ila subscribe ni 2.7k je naweza monetaize
Asante kwa kaka
Your great
Watching this with my 29 subscribers ❤
Unyama broooh
Nimekuelewa kaka
asante sana kaka
Thanks brother
You ARE WELCOME
@@Richstartz hello with forgiveness I would like you to help me with the color theme in premiere pro please. greetings from equatorial guinea
I NEED PROFESSIONAL HELP AND YOU ARE
Nice
Thanks
Mkuu ili uwe monitezed wanaangalia masaa kwenye life time au yanayoonekan kwenye dashboard kwa wakat huo?
assnde kwamafundisho ndio nimefungua yangu siku 3
Ninzuri sana ila niele weshe vizuri kwaku post siku nzuri yaku post na saa nzuri please ni jibu
Unaeleweka baba
Kaka Channel Yangu imejibadili mwaka inakaaje hii?
Good
Na kama unataka uone history ads
Nakubal bro
SAwa kaka
A.alaykum, kaka nahitaj msaada kuweza kurecieve PIN from Google adsense
Brother nitumie number yako
Brother sorry naomba kuuliza masaa 100 miamoja ni sawa na views wangapi ??🙏🙏
🎉🎉🎉🎉
Daa bro jinsi ya kutengeneza video kwa kutumia simu
Asante sana. Naomba namba yako tafadhali
Sawa
Waooo
Pow
Code toka Google itapatikana kivipi ?
Inatumwa katika Bahasha
Respect master
Tupo pamoja
good
Vyote tyr, hata wew unatak ulipwe na youtube japo umekuj na gia ya mafunzo
Kaka,naomba promotion tafadhali ,nimekwama kwa 3 subscribers
Unatak utangaziwe au
Thenks
Naomba mwelekezo wa ku apload RUclips shorts tafadhali
Mbn rahis tu
Hapa mkuu penyewee
Shukrani sana
Nime vutiwa Mno Na somo Lako
je nawezakuwa na chanel 2
Kaka Mkubwa, naomba msaada wa namna ya kupromote video RUclips
Unataka kutumia RUclips Paid Ads ama ?
@@Richstartz ndio mkuu
@@selaalpha1384 Unataka ufanye promo ya kitu gani
Video za Mafundisho ya Neno la MUNGU
@@selaalpha1384 lengo lako la kupromote ni nn viewers, subscribers, $ Au watch hours?
Kaka ukovizuri sana ubarikiwe kutufunguwa akili
ni kweli lakin
😮😮
Hivi comedy za video cover hiyo content inakubalika na RUclips?
Kama Content zote ni zako Original haina shida
Asante bro ila nilikuwa na shida ya namna spelling za hizo app zinavo andikwa
Programu za ku design Thumbnails
1. Adobe Photoshop
2. Canva.
RUclips Channel Management Toolkit
1. TubeBuddy
2. VideoIQ
@@Richstartz ahsante sana🙏🙏🙏👌mungu akubariki
Hiiii sorry naomba unipatie no yk wht up nataka kuongea n ww khs ki2fulan plz
instagram.com/richstartz
Nina yotininamba garama shilingingap
Yes
Brother kwa upande wa Msanii anae anza inatakiwa afanyaje
Vitu vingi vinafanana so unaweza ukafuatisha nilioyazungumza kwa yale yanayowezekana
Naomba namba zako kaka tafadhali
Duu!!!
Br mie naomba namba zako
sasa una maanisha video za namna gani mziki au video yoyote ya vichekesho
Naomba namba yako kka
Mkuu natumia Camtasia studio lakini napata changamoto ya sauti. Natumiaa Logitech USB headset 540
Ukiwa una records una kumbuka ku set default Audio input device ?
@@Richstartz yes nachagua hiyo Logitech 540 kwenye Camtasia.
@@Richstartz unatumia software gani kuandaa video zako?
@@LayersPro Ku record tutorial natumia Camtasia, Ku edit video nilizoshoot natumia Premiere Pro
@@Richstartz hizo software ni free au zikulipia
Br nipe namba yako
Broo etii ukipopy wimbo wa mtuu haulipwiii
Ndiyo
@@Richstartz ivii kwanini viwes huwa wanashukaaa ukiwa unapg promo au ukiwa unasambazaa
hello with forgiveness I would like you to help me with the color theme in premiere pro please. greetings from equatorial guinea
I NEED PROFESSIONAL HELP AND YOU ARE
Send me email to rmaguluko@gmail.com
Well done kaka like yangu na subscription yangu umepata
Kaka naomba namba yako tafadhar
Angalia ktk video description
sawa
Nice
Good
Thanks
Thanks
Naomba namba zako kaka
Thanks
Naomba namba zako kaka
0714250356