Kiasi wanacholipa YouTube kwa kila view

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • Katika video hii nimeelezea na kujibu swali la Kiasi wanalipa RUclips kwa kila view moja ama mia au hata 1000. Naamini mpo wengi mliotamani kufahamu hili swala ambalo nimelielezea kwa undani zaidi.
    Usisahau ku subscribe video hii baada ya kuitazama ili usipitwe na tutorials zijazo.
    FOLLOW ME:
    Instagram: / richstartz
    Twitter: / richstartz
    Facebook: / richstatz
    Email: rmaguluko@gmail.com

Комментарии • 140

  • @zaromedia5027
    @zaromedia5027 3 года назад +35

    Ndugu yang mungu akulipe, kwan kuna kipindi cha nyuma nilikupigiaga simu.. nikaomba maelekezo flani kuhusu youtube nawe ulinielekeza bila ya gharama yeyote.. sasa sasa ivi japo chanel yang ni ndogo ila naona dalili nzuri.. naheshimu saba mchango wako broo . God bless u

    • @manuelraulchimangande
      @manuelraulchimangande Год назад +4

      Ulipata wapi number ya huyu bro mbona natafuta sana.from mozambique

  • @prophet_gamaliel_mkailwa
    @prophet_gamaliel_mkailwa 3 года назад +5

    Vizuri sana brother

  • @ibnmasoud8151
    @ibnmasoud8151 3 года назад +4

    Asante boss nakubali sna kazi zako💪

  • @JuchonlineTV
    @JuchonlineTV 3 месяца назад +1

    Mwambq nakukubali sana..

  • @ROMTV5
    @ROMTV5 2 года назад +1

    Asante sana Kaka mkubwa 💪💪 somo zuri

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 года назад

      Asante kwa kuwa hapa pamoja

  • @schoolofsuccess666
    @schoolofsuccess666 3 года назад +8

    Hii muhim xna rich, umejua content ya kuandaa!!

    • @Richstartz
      @Richstartz  3 года назад

      Asante sana kuna nyingi zinakuja

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 3 года назад +1

    Mungu akubaarik

  • @saimontech2530
    @saimontech2530 3 года назад +9

    Nzur Sana hii ivi kwa mfano ukiw unatumia video ambazo license reuse allow hazitakuwa na re used content wakat wa monetization naomb jb

    • @Richstartz
      @Richstartz  3 года назад +4

      Kutumia content nyingine inaruhusiwa aila lazima uwe umeziongezea vitu ama kuzi edit ama kuzichambua haitakiwi uzi upload kama zilivyo

    • @RockShine-lg6dg
      @RockShine-lg6dg 3 месяца назад +1

      Kaka naomba no yako tafadhar kuna inshu tuongee

    • @yusufmsaa5693
      @yusufmsaa5693 2 месяца назад +1

      ​@@Richstartz brother naomba mawasiliano Yako Kuna jambo kidogo natamani kulijuwa naomba nitagharamika kwa muda wako

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 месяца назад

      @@yusufmsaa5693 0714250356

  • @ejntv
    @ejntv 3 года назад +5

    Asante bro🤗🤗🤗kwa elimu yaan ukipata viewers kutoka malvides 500 tu unakula kitimoto😀😀😀CPM ya huko ni balaa

    • @Richstartz
      @Richstartz  3 года назад +1

      Hahahaha noma

    • @ejntv
      @ejntv 3 года назад +1

      @@Richstartz aisee kuna nchi ukipata Viewers wa huko umetoboa

    • @zemasterbeatz
      @zemasterbeatz 3 года назад +1

      @@ejntv nchi zipi hizo broh

    • @ejntv
      @ejntv 3 года назад +2

      @@zemasterbeatz kuna malvides ndo inaongoza then zinafata USA,UK,South Africa,Canada,japan

  • @Japhalazard54
    @Japhalazard54 2 года назад +1

    Brother naomba unijibu nataka kujua masaa 100 miamoja ni sawa na views wangapi 🙏🙏🙏 naomba nijibu

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 года назад +1

      Inategemea. Swali lako ni pana sana.

  • @pastorappy7680
    @pastorappy7680 2 года назад

    Barikiwa kuelewesha

  • @lizzotech
    @lizzotech 3 года назад +6

    Kwa mfano ukapat viewers 100k mwezi wa kwanz ila mwez wa pil haukufikish haulipw pesa kwa sababu haukifikish viewers 100k kwa huk mwez wapili

    • @Richstartz
      @Richstartz  3 года назад

      Yes watajumlisha na views zitakazopaikana mwezi ujao

    • @Waukaearts
      @Waukaearts Год назад

      Naomba niandikie namba zako Ili nikupigie

    • @AzaniJuma
      @AzaniJuma 6 месяцев назад

      We namba broo​@@Richstartz

  • @thinkbig2925
    @thinkbig2925 3 месяца назад

    Asante Sana kwa mafunzo, na vp ukilipwa hzo Pesa zinaenda wapi

  • @Jmediasports
    @Jmediasports Год назад

    kaka unafundisha vizuri sana nilikuwa napenda niombe namba yako tuwe tunachati kwa mawasiliano ya kawaida

  • @ONEdreamfilmtz
    @ONEdreamfilmtz Год назад +1

    Umetoa elimu kubwa sana mkuu

  • @franknkonjerwa
    @franknkonjerwa Год назад +1

    Naitaji kujua je nikijiusixha na mambo ya michezo nikawa na post game au Short video goal

  • @paulngusa192
    @paulngusa192 Год назад

    Hongera sana kwa ufafanuzi wako mzuri, naomba unifafanulie tena kwamba nitajuaje kama nimetengeneza pesa na nitaipataje?

  • @gololaOnline
    @gololaOnline 3 года назад +8

    content creator 😊

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115
    @rabanphotostudionyakanazi_4115 2 года назад +1

    Asante sana..

  • @elycreativetz9947
    @elycreativetz9947 3 года назад +1

    Asante maana nimejua ambayo nilikuwa siyajui🙏🏿

  • @ROMTV5
    @ROMTV5 2 года назад +2

    Very nice content 👍

  • @macthebandlaber..
    @macthebandlaber.. 3 года назад +3

    Bro mimi nataka kujua ni kitu gani nifanye Ili RUclips channel yangu iweze kukua kwa kasi yani

    • @Richstartz
      @Richstartz  3 года назад +1

      Jifunze hapa ruclips.net/video/AMWn_yPmoJU/видео.html

  • @kamatiaraza3132
    @kamatiaraza3132 3 года назад +2

    Sawa na ngap

  • @andrewbenard53
    @andrewbenard53 3 года назад +3

    Aisee

    • @Richstartz
      @Richstartz  3 года назад +1

      Asante sana. Usisahau ku subscribe katika channel hii

    • @youngdavizytz1626
      @youngdavizytz1626 2 года назад +1

      Bro mambo vp aiseee uko vizuri sana kwaelimu yako sisi tunapata matumaini kwakeli nafurahi Sana na nnakufatilia San kila chaneli yako ila mi naomba kitu kimoja tu kak eti ukiwa umefikia wakati wakulipwa je wanakulipeje ama iyo hela unayolipwa unaipateje? Kak naomba unielekeze apo afu pia umesemea na upande wa matangazo kwenye video yani ili video yako iwe na tangazo unafanyeje apo kaka naomba nipate ujuzi uo ama unitumie namba yako bro nikupigie unielekeze Ila sorry kwa usumbufu kidog kak

  • @MyChannel-x8m
    @MyChannel-x8m 3 года назад +2

    Here we go

  • @Lodybeat36
    @Lodybeat36 3 года назад +4

    Ok thanks broo ivi atakama ujakizi vigez utalipwa ilaa autaipata ety broo?

    • @Richstartz
      @Richstartz  3 года назад +1

      Kama hujakizi vigezo maana yake hauwexi kulipwa kwa sababu haupo katika mfumo wa malipo japo matangazo yanaweza onekana

    • @Lodybeat36
      @Lodybeat36 3 года назад +1

      @@Richstartz Ooooh sawa brooo nashukulu sana ila nilikua nauitaji wa namba yako brooo

  • @SAYMON794
    @SAYMON794 8 месяцев назад +1

    Asante

  • @Tinoshootit
    @Tinoshootit 3 года назад +6

    Nashukuru kwa somo, sasa kwa nini siku hizi video kwanye youtube matangazo hazitokeze?

    • @Richstartz
      @Richstartz  3 года назад

      Sijaelewa swali lako

    • @Tinoshootit
      @Tinoshootit 3 года назад

      Matangazo hazionekanaki tena kwenyi video zote za RUclips

  • @Kingshine
    @Kingshine 3 года назад +1

    Asante mwalimu

  • @chachmedia
    @chachmedia 2 года назад

    Mr Rich Tunaomba Utupe Kipindi Juu Ya Namna Gani Unaweza Ifanya RUclips Kuwa Biashara ya Kudumu

  • @RumarineWistonly-jv2of
    @RumarineWistonly-jv2of Год назад

    Thanks

  • @robphieofficial
    @robphieofficial Год назад +1

    🎉🎉🎉

  • @khamishaji2037
    @khamishaji2037 2 года назад

    kusajili channel ya kawaida ya elimu unalipia sh ngapi TCRA. asante kwa kutielimisha

  • @Pachomusic254
    @Pachomusic254 2 года назад +1

    Bro Niko swali

  • @DhanuniRayani
    @DhanuniRayani Месяц назад

    Kwani mtu aki download video yako inakusaidia nini kwenye channel yako..

  • @hamthemanja5471
    @hamthemanja5471 4 месяца назад

    Mbon wengne vitu vyetu vinamatangazo lakn hatulipwi kaka

  • @ejntv
    @ejntv 3 года назад +3

    Kuna watu wa tech pia wanapiga RPM balaa unakuta mtu anapiga RPM ya $38 kwahiyo kwa viewers 1k anapata $38 daah

  • @MangiAlex-bh8cr
    @MangiAlex-bh8cr 6 месяцев назад

    Kwanin toto viz zinapungua alafu viewers Zina panda

  • @LucasMgaya
    @LucasMgaya 27 дней назад

    Kaka nisaidie niweze kupata adobe Photoshop

  • @jaynationtz2100
    @jaynationtz2100 3 года назад +4

    Kaka mi naomba namba yako tafadhali

  • @Mrlucas-ic6ks
    @Mrlucas-ic6ks Год назад

    Nikweli anachoongea😂😂

  • @kyelaonlinetv2
    @kyelaonlinetv2 3 года назад +1

    Nime elewa sana kuna mengi ume niongeza kitu kichwani

  • @barackzacharia907
    @barackzacharia907 2 месяца назад

    Kwa vewas 10 wa USA nisawa nashingapi

  • @Jay-Ningo
    @Jay-Ningo Год назад

    Sasa mimi Nina chaine yangu nikifanikiwa kupata vieus nyingi nikataka kuripwa nitaripwa nabani?

  • @zabronnduwayo9857
    @zabronnduwayo9857 Год назад +1

    Hivi kaka matangao huwa wanaweka wenyewe ama ni wew mhusika wa ocount ndo unaweka?

    • @Richstartz
      @Richstartz  Год назад

      Wewe unayaruhusu wao wanaweka automatically

  • @MiwagoTz
    @MiwagoTz Год назад

    Mambo vipi kaka,mimi nataka unisaidie njia za kujisajiri hili nipate pesa account yangu ndo hii

  • @hamysonpictures7274
    @hamysonpictures7274 3 года назад +6

    Je unaeza lipwa views wakati subscribers wako chini ya elfu moja?

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY3656 2 года назад

    Bado nakufatilizia kaka

  • @talentdzonetv
    @talentdzonetv 2 года назад

    Asante kwama yote ila kk misijuwi lakimoja ningapi kwa kifaranca ni explique kidogo yani laki moja100 ama 1000

  • @PizzoBeatz
    @PizzoBeatz 3 года назад +5

    Mimi mwemyewe nilikuwa naisubiri hii course

    • @Richstartz
      @Richstartz  3 года назад +1

      Asante sana usisahau ku subscribe na kushare video hii

    • @PizzoBeatz
      @PizzoBeatz 3 года назад +1

      @@Richstartz Kuna somo Fulani Hivi nalisubiri kuhusu code zote za piano na jinsi ya kitengeneza beat

    • @Richstartz
      @Richstartz  3 года назад +1

      @@PizzoBeatz Nitalifanyia kazi

  • @TRUEWAYDELIVERANCECHURCH-vc7tv
    @TRUEWAYDELIVERANCECHURCH-vc7tv 4 месяца назад

    The true way tv

  • @bekamboy910
    @bekamboy910 Год назад

    Samahan kwahyo ukifikisha masaa elf4 kabla ya mwaka mzima kuisha huwezi ukalipwaa au n lazima mwak uishe

  • @heavenmusicbeats894
    @heavenmusicbeats894 3 года назад +2

    Asante Sana somo zuri

    • @Richstartz
      @Richstartz  3 года назад +2

      Asante sana kwa. Ubarikiwe

  • @moneemusic76
    @moneemusic76 2 года назад

    Pitia monee music

  • @KANUMBAMASINDE
    @KANUMBAMASINDE 2 года назад +1

    Mimi naitaji kijua namna ya kufungua google adsens

  • @TinyClassic-c1r
    @TinyClassic-c1r Год назад +1

    Kaka ili ufungue youtube chanel ambayo itakua inakulipa inatakiwa uwe na vigezo gani

    • @Richstartz
      @Richstartz  Год назад

      Subscribers 1000
      Watchtime 4,000 hours
      Views 10,000+

  • @halisimediatz
    @halisimediatz 3 года назад +4

    Kaka Please Tuwekee Somo Nini Chakufanya RUclips channel ikizuiliwa Kumonetize

  • @mtangawisse6o1
    @mtangawisse6o1 Год назад +2

    Je video short una lipwa

  • @youngdavizytz1626
    @youngdavizytz1626 2 года назад

    Bro ikiwa nimeanza kulipwa je iyo hela naipateje

  • @SaidIsack-xl8kl
    @SaidIsack-xl8kl Год назад

    Jinsi yaku angalia vuwazi na kiasicha mapato

  • @computersales-tz
    @computersales-tz 3 года назад +3

    Kumbe malipo ni kila mwezi

  • @thinkbig2925
    @thinkbig2925 3 месяца назад

    Na unaonaje kuwa umelipwa

  • @KymNicky
    @KymNicky 3 года назад +1

    Shukran san rich je kuusu kusaji channel nimuhim kwa kila channel au inategemea na channel inausu nini

  • @CHIPACHIPANDAGO
    @CHIPACHIPANDAGO 5 месяцев назад

    Mimi naswari iri uaze kuripwa utakiwa ufanye nn

  • @nicholausmsaki358
    @nicholausmsaki358 2 года назад +2

    Bro mi Kuna kitu kinanichanganya je unaweza kulipwa bila kwenda basata

  • @ZUMBEFILM6073
    @ZUMBEFILM6073 8 месяцев назад

    Kk nitajuaje kama you Tobe wame nilipa

  • @teachingtrueofgod
    @teachingtrueofgod 3 года назад +1

    *Hili somo lazima tuwe sambamba kaka*

  • @ShadrackaZakayo
    @ShadrackaZakayo 8 месяцев назад

    Sawa Kiongoz Umetisha.

  • @Samienovember.88
    @Samienovember.88 Год назад +1

    You Tube studio yakwangu haionyeshi views kama kawaida Naomba msaada kwailo ndugu yangu utakuta mtu ana views zaidi ya 15k ila wanaonyesha 2k

    • @Richstartz
      @Richstartz  Год назад +1

      Switch from 28 Days to life time Time frame ktk analytics

    • @Samienovember.88
      @Samienovember.88 Год назад

      @@Richstartz Ina badilika kwa ule mda unao weka lifetime kaka ila kwa kwenda kwenye dashboard moja kwa moja haiendi Naomba msaada wako zaidi nipe namba zako sa simu ili tuweze kuwasiliana WhatsApp maana naona kama huku sio sehem sahihi Sana kaka

    • @IbrahWAKITENGA
      @IbrahWAKITENGA Год назад

      ​@@Richstartz hello

    • @Richstartz
      @Richstartz  Год назад

      @@IbrahWAKITENGA Hello

    • @IbrahWAKITENGA
      @IbrahWAKITENGA Год назад

      Mzma wew

  • @amillotiger5981
    @amillotiger5981 2 года назад

    Naomba namba yako nameng yakukuuliza ndugu

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115
    @rabanphotostudionyakanazi_4115 2 года назад

    Nani anaeruhusu matangazo yapite kwenye channel ya RUclips?!

    • @DULLAY-DJ
      @DULLAY-DJ 4 месяца назад

      😂😂😂dah

  • @alexmbuku1791
    @alexmbuku1791 2 года назад +2

    Alaf ukiwa 1.3k unapata pesa gap

  • @paulngusa192
    @paulngusa192 Год назад

    Je, hizo Dola nazipataje

    • @Richstartz
      @Richstartz  Год назад

      Zinaingizwa katika account yako

  • @amoss.tz1
    @amoss.tz1 Год назад

    Kaka je tik Tok

  • @smartboyvevo1573
    @smartboyvevo1573 2 года назад

    Mambo yako

  • @Zetiboy
    @Zetiboy 10 месяцев назад

    bro mim naitaji namba yako

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide 3 года назад +2

    Mmh kinyonge sana yaan 1k= 2-5$ nitafika nimechoka sana mm nikajua inaanzia $50 hiv ?

    • @BigDreamsWorldwide
      @BigDreamsWorldwide 2 года назад

      @Njoo Studio yeah najua hilo but wastani ni $2-5 ina hata nipate CPM ya india haiwez vuka $50, kwa 1k sio uhakika japo

  • @gabrieljakobondolezi2388
    @gabrieljakobondolezi2388 2 года назад +1

    Naomb unpigie xamhni maana nahitji msaad wako

  • @daudshadrack4465
    @daudshadrack4465 2 года назад +1

    Vp subscribe wapo 11 na video yenye views weng ni 1 je ntalipwa

  • @ApipaTV
    @ApipaTV Год назад

    Bro sorry, maiki kama yako sh ngapi