SPONSORED ADS:Jinsi ya Kufanya Sponsored ads Instagram na kupata Wateja Wengi Sana(NJIA MPYA)
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Sponsored Ads ni njia iliyoletwa kurahisisha Biashara ya kila mtu anayejitangaza instagram au Facebook. Ukitumia njia Hii ya Sponsored ads unaweza kufikia idadi yoyote ya watu unayohitaji. Kikubwa uwe na bajeti ya kurusha matangazo. Kama umejifunza namna sahihi ya kuboost post zako/ Sponsored ads Usisahau kulike na KUSUBSCRIBE katika Chanel hii
-------------------------------------------
-------------------------------------------
MASTERCLASSES
1)Jifunze Sponsored ads masterclass kwa usimamizi wa mwaka mzima
2)Jifunze jinsi ya kutengeneza video aina zote kama vile Lyrics, matangazo, katuni kwa kupitia Simu tu..
LIMITED OFFER Bonyeza hapa Chini kuwasiliana nami whatsApp👇
wa.me/message/...
--------------------------------------
--------------------------------------
Vitabu 5 Vilivyobadili Maisha yangu Hasa ya kiuchumi pindi nilipoanza kufanya biashara Mtandaoni.. Hakikisha unavisoma Kama kweli unataka mafanikio makubwa katika biashara
Mambo 55 Ya kuzingatia Kabla ya kuanzisha biashara👇
bit.ly/3pRHH2c
Mawazo 60 Ya Biashara👇
bit.ly/3pNdotS
Mbinu 16 za kuongeza Mauzo kwenye Biashara Yako👇
bit.ly/3PQYPjp
Njia 7 za Kuiteka Dar👇
bit.ly/3dYRdOm
Ukombozi wa Fikra👇
bit.ly/3AlSeb3
----------------------------
----------------------------
⚠️DISCLOSURE:
This Video and Description may contain Links, which means that If You Click On one of the Product Link, I will receive small Commission.This helps Support the channel and Allows me continue to make amazing videos
---------------------------------------
---------------------------------------
TAZAMA PIA;
1)🔥Jinsi Ya Kuunganisha Facebook Na instagram/Jinsi ya kuswitch account type
• Jinsi Ya Kuunganisha I...
2)🔥Jinsi ya Kuagiza Bidhaa Dubai
• Jinsi Ya Kuagiza Bidha...
3)🔥Sponsored Ads Sehemu ya 3( Vitu vya muhimu vya kuwa navyo ili urushe Tangazo la sponsored ads Facebook na Instagram
• Vitu 6 Vya Muhimu Ili ...
4) 🔥SPONSORED ADS Sehemu ya 4(Jinsi ya kufungua Facebook Page)
• Namna Sahihi Ya kufung...
5) 🔥Sponsored Ads Sehemu ya 5(Jinsi ya Kubadili Akaunti ya instagram kuwa ya kibiashara)
• Jinsi Ya kubadili akau...
6) 🔥Sponsored Ads Sehemu ya 6(Jinsi Ya kutengeneza njia za Malipo mtandaoni
• SPONSORED ADS:Jinsi ya...
7) 🔥Sponsored Ads sehemu ya 7(Mambo ya Lazima kabla na Baada ya kurusha Tangazo la Sponsored Ads
• Video
8)🔥Jinsi Ya kufungua Account ya Facebook na Instsgram iliyofungwa
• Jinsi Ya KUFUNGUA Inst...
-------------------------------------
-------------------------------------
SUBSCRIBE
Kumbuka KUSUBSCRIBE katika Channel ili Usipitwe na Mafunzo yatakayokusogeza mbele katika kufanya Biashara Mtandaoni👇
/ @wantedlifemarkerting
------------------------------------
------------------------------------
😍TUWE MARAFIKI
Hello, Naitwa Ezrah Mhonda, Ni mjasiriamali wa mambo ya Mitandao.
Nasaidia Wafanyabiashara na Wajasiriamali kukuza biashara zao kupitia Mitandao ya kijamii. Pia nasaidia vijana wanaotamani kuingiza kipato kupitia smartphone zao.
Unaweza nifuatilia
INSTAGRAM: / wantedlifemarketing
FACEBOOK: / wantedlifemarketing
TWITTER: wa...
WHATSAPP:wa.me/message/...
EMAIL: wantedlifemarketing@gmail.com
------------------------------
------------------------------
#sponsoredads #sponsorship #Jinsiyakusponsormatangazo #wantedlife #Ninimaanayasponsoredads #instagram #facebook #visacard #mastercard
USISAHAU KUSUBSCRIBE🤩
Unya brother 🎉
Naomba kujua namna ya kutengeneza iyo cadi na kulipia mtaandaoni maana naona kuna sehemu wanasema ingiza namba ya kadi
Wasiliana nami whatsapp 0656781501
😂😂😂 AI
Siku hizi sijui imekuaje,unakuta unaboost vizuri tu lakin wateja hupat hii imekaaje wakuu
Ushindani mkubwa boss... Wekeza nguvu kubwa kwenye content marketing....Au ongeza bajeti
@@WantedlifeMarkerting pamoja broo
Wakati wanafanyia review tangazo lako,je pesa ya kwenye card itakuwa imeshakatwa au inakatwa baada ya tangazo kuwa approved?
Itakatwa baada ya Tangazo kuanza kutembea kama unatumia Post Paid payment method...
Ila kama unatumia pre paid hela itakatwa kabla halijaanza kuwa active
👊👊
Nzuri
Nahitaji kupata namba zako
0656781501
Siku izi imekuw changamot sana je kuna namna mpya yenye kuleta matokeo mazur
Jifunze kutumia copywriting kwenye Matangazo yako utapata matokeo mazuri
@@WantedlifeMarkertingAsante nitajifunza
Copywritting unamaanisha nini mkuu tupe na mfano@@WantedlifeMarkerting
Wewe ni mtu wa iringa !??
Ndio
Thanks,the instructions is more value to me
Karibu sana
Nataka kujua tu Kama ina kuanga ukweli bro
Ndio... Ukweli
Facebook ads na Instagram ads ipi ina matokeo. Mazuri
Zote zina matokeo yanayowiana kikubwa ni kuangalia wateja wako unaowalenga wanapenda kutumia mitandao ipi hasa..Mfano Mtu anayeuza Pembejeo za kilimo ana nafasi kubwa ya kufikia wateja wengi kupitia facebook na sio instagram... Na mtu anayeuza vipodozi au perfumes ana nafasi ya kufikia wateja wengi instagram na sio Facebook... Hivyo inategemeana na aina ya biashara lkn pia aina ya wateja unaowalenga
Ikiwa Mimi Nina bidhaa za afya unanishauri nitumie app gani?
@@ChristinaMalisa tumia insta mara kadhaa.... Kisha facebook mara kadhaa... Na baada ya hapo pima matokeo.. Kutakakokupatia matokeo makubwa endelea kukomaa nako hukohuko
Na je kama nataka tangazo langu lionekane mpaka nchi jirani nafanyaje?
Kwenye kuset audience(location) unaichagua hiyo nchi husika
Naomba.unitumie.namba.yako
0656781501