Wamesema sio ndugu ili wapate msamaha kaka yangu kipind kagongwaga alipelekwa tu na watu akapataga msamaha sisi tulipata taarifa badaye tulikuwa tunamtafuta kwa, bahat Kuna mtu yeye alienda muona ndugu yake kaka yangu anamjuwa na yeye anamjuwa akamwita akamjuza mgonjwa
Pole sanaa familia ya mizengwe, mm hua nawapenda sanaa. Mungu awape uvumilivu . R. I. P mzeee matata.
mungu amlaze maala pema mzee matata
Haha🤣🤣🤣 Baba!!! Babaaaa umechemshaaa!!!
Wakwanza nipeni like zangu
Nyie mnaoomba like mlitununulia bando?
Mh,nyinyi timu yenu ilikuwa vizuri sana ingawa mmoja kapungua Sasa.
Shukran itv ndani ya damam city
Duh,wanamizengwe mnatesa Sana!!!
Innalilahi wahinalilai rajiun poleni sana family ya mzee
😓😓🤲🤲Allah ampumzishe Salama
Amin yarabbi
tumeumia sana wana mizengwe lala maali pema matata wetu
R.i.p mzeee wetu matata😭😭😭
Nimekuja hapa baada ya mzeee kuondoka mbele ya hakki nani amekuja kam mie allah amrehem mzee wetu jmn
Mizengwe sijaona muda nilikuwa tunaipendaga uyo mzee alisomaga na mama na Kuna siku wameonana wakasalimiana nikasema wamekumbukana.
Pumzika kwa amani babu yetu
Dah mzeee karibu dili loteeee 🤣🤣🤣
R.I. P mzee matata, Mungu akupe pumziko lamilele
Mkwele anachekesha nampendaga na Safina na uyo mzee
Daah mbele yake nyuma yetu
Allah amlaze mahali pema pepon marehem matata
mungu amrehem mzee matata!!
Rip baba Allah akurehem 😢
Eti mzee kaaribugi mwenyewe, moja tano unayo 😀😀😁😁
Nacheka kama mazuri😂😂😂😂😂nawapenda hatari
Mungu amuweke mahali panapo stahili
Daah umelala we baba jmn
Apumzike kwa Amani baba
Innalillah wainnailaih rajuun
Safina hongera kwa dred💋💋💋
Mola akulaze pema baba akupe kauli thabit. Innalillah Wainnailayhi Rajioon .
Duh? Jamani mm naangaliya hii video ya mizengwa machozi yananilegalega kwakweli Mzee matata nipigo mizengwa
Safina na uyo anayeongea mikono niliwaonaga uyo anayeongea kikongo nilipandaga naye gar Safina nilimuonaga mnazi mmoja
R.i.p Mzee wetu
Daaah rlp mzee matata
❤️❤️minzwengwe
Mh mkwele eti baba umechomoa betri
Hahaha 🤣🤣🤣 elfu Kumi na tano???
R.I.P Legend Mzee Matata
Dah!!mzee matata 😢😢😢
Pumzika salama baba
Mzee kazingua sana
Hahaha nacheka kama mazuri maigizo jmn
Mmmh ndo ilikuwa kifo kweli
Safina kapendeza kanenepa
R.I.P mzee wetu
Huyu mzee namkubar sana
😀😀😀😀😀🏃♀️🏃♀️
R.i.p mzee matata
Babu huyo
Nishidaa 😂😂
Nimewahi
Rip matata😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
Ha ha ha
Mungu amuweke anapostaili mzee Matata
Safina,,,,
Wamesema sio ndugu ili wapate msamaha kaka yangu kipind kagongwaga alipelekwa tu na watu akapataga msamaha sisi tulipata taarifa badaye tulikuwa tunamtafuta kwa, bahat Kuna mtu yeye alienda muona ndugu yake kaka yangu anamjuwa na yeye anamjuwa akamwita akamjuza mgonjwa
ITV mkowpi...hawa watu wametoa mchango mkbwa ktk kiwavuta watu kuipenda itv..
Mzee kachomoa betri hahahah r.i.p
🤣🤣🤣
Wataumbuka
🤣🤣🤣🤣🤣
RIP mzee matats
😅
Kinafunza kwakweli
Maringo 7 mbona amekonda sana au anaumwa
Ni kweli bhana amekonda kweli alikua mnene kinyama
Duh
Nawapenda bule
Hahahahaha👈👈👈👈👈
R.i.p mzee matata
R.I.p mzee wetu