Kweli kabisa Mwanaume anaweza kuishi na Mwanamke asiye na kazi lakini Mwanamke huyohuyo hawezi kuishi na Mwanaume pindi anapokosa kazi kwa sababu yoyote ile wakati huohuo Mama Mzazi wa huyo Mwanamke anaishi na Baba yake hana kazi Wanawake badilikeni haya ni maisha tu
Nyinyi bwana munatuchosha Sana yan ni bora MUGAILI na hizi Comedy zenu na hiki kipindi chenu Maana mpaka munavyo jisikia Ndiyo munapandisha mtandaon Tatizo sijui uwongoz wenu ndiyo Kuna matatizo ya mikatabaa yan Sijui kwann na ndiyo maana Amuli vyuwazi za kutosha watu Tuna wasaau ksbisa Nyinyi ni wazembe sana sana
Mizengwe wote mnaweza lakini mimi nikimuona SUMAKU nacheka kabla hajaongea ""eti huyu bwana ananenepa kwa uzoefu"" 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dah hizi comedy bado zipo?? Nawakumbuka Sana nkiwa home Arusha via ITV🤣🤣🤣, I love both haswa huyu mama. Watching from USA
Mzee matata Mungu akulaze mahali pema peponi Amen
Hawa mizengwe nawapenda sana, kati ya comedy zote TZ hawa number one bila ubishi, tena wasije kuongeza mtu mwingine kwenye group lako.
Asante kwa kutuunga mkono tunafanyia kazi ushauri wako.
Nawapongeza wahusika pamoja ITV super brand Africa
Asante, asante kwa kutuunga mkono.
....ise nimependa sana
Karibu sana.
bonge la bwana unanenepea ukwen 😁😁😁😁💃💃💃
Nimekubali wakongwe
15:28 ananenepa kwa uzoefu tu😂😂😂😂😂 sumaku bhana
Content ya episode zao safi sana ila background music jamani, punguzeni sauti kidogo.
"Ningumu sana mkongo kuuza mkaa"😃
Napenda sana Kazi Zenu zawapa wanangu furaha sana Mimi naishi Marekani, kama kuna namba yamchango naitaka tusaidiye kundi hili
Asante sana kwa kutuunga mkono, na hatutawaangusha burudani kama kawaida. number nicheck mimi producer wa kipindi. +255712219950
Utu pesa, KAZI ndo heshima, imenitachi. I think They do it for me it's Pain
the same here
🤣🤣🤣🤣Nimecheke sana
Ananenepa Kwa Uzoefu😂😂😂😀😀😆😅
I love you guys
Duuhh fundisho tosha wanaokaa ukweni nimewapa asilimia 100
Dah kiukweli mko vizuri nawakubali japo sasaiv mmepunguza muda wa filam
Asante kwa kutuunga mkono, hatujapunguza, muda ni uleule.
Baba Nikakukodie gar??
Haahhaahhaha
Bati hizo
Dah!!!!,hatari sana
Stop the background music, it's too loud 😤
Bora ungejenga kwenu mkwele 😄 🤣 😂
Hakika mnatufunza mengi sana pongezi kwenu
Mmh..dada umenenepa
Kuna mwana yuko ukweni ngoja nikae karibu nae kama ataangalia hii😂😂
😃😃🏃♀️
😂🤣🤣🤣🤣🤣
😀😀😀😀😀😀😀😀😀daaaah umalize unipe matokeo kama ameangaliaa
@@charlesmagere1519 😂😂 nitakuambia naona leo atarudi mapema nitakupa matokeo
Ha haa haaaa!! hata hivyo asituchukie hatukumlenga yeye.
Mizegwe wapojuu sana wanafuza mambo yamaana naheshima.tunawapenda sn
huni kuti kwa mkwe 🤗🤗
Hili ni kundi zuri saana, keep it up guys Kazi zenu za maana saana!
Asante kwa kutuunga mkono.
Nimejifunza jambo ila namimi ninajambo langu ntahitaji ushauri
Mshauri yuko hapa....kwaziadaa angaliaa video za Baba mmoja anaitwa Chris Oyakhilome kwa ushauri zaidi
mnakaa mdaa sana ila mko vizuri sana.soma nzuri
Asante kwa kutuunga mkono, tulisimamisha production kipindi kile cha CORONA Sasa tumerudi, burudani kama kawaida.
maringo is my all time fav😂🤩
😂😂😂big up sanaaa
Nzuri sana isipokuwa umaliziaji haukukaa vzr
Nimelia kwa kweli hya ni mambo ya kweli
Gusa picha yangu kuona kaZ yangu🥰🥰🥰🥰
Sawa nitafute
Hata mie nawapenda sana
Somo zuri sana
Asante kwa kutuunga mkono.
Mimi ni a Big fan of the show lakini please punguza background sound ya filimbi inaovertake the comedi voices and punchlines
Upo sahihi kabisa asee
Asante kwa kutuunga mkono, tutafanyia kazi ushauri wako.
Sasa alipe kodi ya nyumba ya nini wakati huyo nyumba cyo ya kupanga jamani
Mwanaume kazi nasio kupendeza
Nikakudie gari?😄😄😄 Sasa hizi bati unamwachia nani?😄😄😄
Nikakukodia gari mm hahaha
Excellent
Kweli kabisa Mwanaume anaweza kuishi na Mwanamke asiye na kazi lakini Mwanamke huyohuyo hawezi kuishi na Mwanaume pindi anapokosa kazi kwa sababu yoyote ile wakati huohuo Mama Mzazi wa huyo Mwanamke anaishi na Baba yake hana kazi Wanawake badilikeni haya ni maisha tu
Kunenepa kwa uzoefu duu
👍
Jamani hivi ni kweli kuoa mtoto mwisho ni nongwa ? 🤔
😃😃😃😃nawapenda sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanawake jifunzeni badirikeni.Mizengwe nyie ni hatari
R.I.P mzee Matata
Nyie kiboko nawakubali sana
Kweli kuhisi ukweni kwataka uzoefu na je umemchunguza mkeo yukoje,hapa nimejifunza kitu.
Mwenyew nawakubal sana
Wanawake wanarohombayasana
Jenga kwenu ukweni unapoteza
#Sumaku hio hela utakayo kodishia gar si bora umpe akaanzishie maisha 🤣🤣🤣🤣
Haha Kama si ufala. Ujenge ukweni badala ya kujiwekeza
Wale Wa kulelewa tuwajua msijifiche
Haaahaaahaaa
Mbona wacheka ndugu
@@masazivinallo3883 mbona wacheka ndugu
Mimi nataka sana ila sijapata wa kunilea
Itv ya kaole
huyu rasta mbona anakonda sana??!!, au ngoma??!!.
Kufuga Nywere nyingi zinakondesha sna kwa mwanamme kama hali vizuri hasa chakula cha protein
Ahahaha uzoefu
Njooni jamani muone Mpya mpya bado ya moto
Nyinyi bwana munatuchosha
Sana yan ni bora MUGAILI na hizi
Comedy zenu na hiki kipindi chenu
Maana mpaka munavyo jisikia
Ndiyo munapandisha mtandaon
Tatizo sijui uwongoz wenu ndiyo
Kuna matatizo ya mikatabaa yan
Sijui kwann na ndiyo maana
Amuli vyuwazi za kutosha watu
Tuna wasaau ksbisa
Nyinyi ni wazembe sana sana
Mbona huweleweki? Tumia lugha ya Kiswahili maanake sijui ni lugha gani uliyotumia
Ni kweli kabisa aisee
Mbona kama umechukia Na wewe imekugusa nn? Upo kwenye list
Kabisa kaka
Ni kujifunza kisoma ukubwani au kiswahili haukijui?
Wanaume mnaokaa ukweni amkeni fanyenimtoke ukweni.sio pazuli wanawake mnadhalilikasana.
Kweli ukweni sio powa
UNANYENYEPAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAH
Fundisho tosha ilo eti nikakukodie gali
Bati hizi😝
Matata bahna
Nice
Funzo kubwa
Du muko vzur sn
Asante kwa kutuunga mkono.
Uzoefu unanenepesha
😂😂😂
😁😁😁😁
Pendeza sana
muna chelewa kutupa uondo
Poleni sana, tulikuwa mapumziko kupisha balaa la Corona, sasa tumerudi kazi kazi tu.
Hahahaha
Ni funzo
Eti nikakukodie gari mm ndio msuruhishi wa kesi huyo hahaha
mzee matataaaa.sina swaliiiii umefiti mzee wangu