Mambo ya kutegemea ukikaa ukweni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our RUclips Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

Комментарии • 121

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 3 года назад +10

    Mizengwe wote mnaweza lakini mimi nikimuona SUMAKU nacheka kabla hajaongea ""eti huyu bwana ananenepa kwa uzoefu"" 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 3 года назад +2

    Dah hizi comedy bado zipo?? Nawakumbuka Sana nkiwa home Arusha via ITV🤣🤣🤣, I love both haswa huyu mama. Watching from USA

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 года назад +1

    Mzee matata Mungu akulaze mahali pema peponi Amen

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 3 года назад +26

    Hawa mizengwe nawapenda sana, kati ya comedy zote TZ hawa number one bila ubishi, tena wasije kuongeza mtu mwingine kwenye group lako.

    • @lusese1
      @lusese1 3 года назад +2

      Asante kwa kutuunga mkono tunafanyia kazi ushauri wako.

  • @muhingiramuhingira9715
    @muhingiramuhingira9715 3 года назад +5

    Nawapongeza wahusika pamoja ITV super brand Africa

    • @lusese1
      @lusese1 3 года назад

      Asante, asante kwa kutuunga mkono.

  • @stanfordaladinmwakalibule2895
    @stanfordaladinmwakalibule2895 3 года назад +9

    ....ise nimependa sana

    • @lusese1
      @lusese1 3 года назад

      Karibu sana.

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 года назад +3

    bonge la bwana unanenepea ukwen 😁😁😁😁💃💃💃

  • @hamismgaya1584
    @hamismgaya1584 3 года назад +1

    Nimekubali wakongwe

  • @nehemiakiswaga1819
    @nehemiakiswaga1819 3 года назад +1

    15:28 ananenepa kwa uzoefu tu😂😂😂😂😂 sumaku bhana

  • @nancyl6068
    @nancyl6068 3 года назад +1

    Content ya episode zao safi sana ila background music jamani, punguzeni sauti kidogo.

  • @khalidtv6200
    @khalidtv6200 3 года назад +6

    "Ningumu sana mkongo kuuza mkaa"😃

  • @justinalonda8220
    @justinalonda8220 3 года назад +3

    Napenda sana Kazi Zenu zawapa wanangu furaha sana Mimi naishi Marekani, kama kuna namba yamchango naitaka tusaidiye kundi hili

    • @lusese1
      @lusese1 3 года назад

      Asante sana kwa kutuunga mkono, na hatutawaangusha burudani kama kawaida. number nicheck mimi producer wa kipindi. +255712219950

  • @aploscoder4358
    @aploscoder4358 3 года назад +6

    Utu pesa, KAZI ndo heshima, imenitachi. I think They do it for me it's Pain

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 3 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣Nimecheke sana

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 3 года назад +3

    Ananenepa Kwa Uzoefu😂😂😂😀😀😆😅

  • @mauamawazo1573
    @mauamawazo1573 3 года назад +1

    I love you guys

  • @uwezosimoni6975
    @uwezosimoni6975 3 года назад +3

    Duuhh fundisho tosha wanaokaa ukweni nimewapa asilimia 100

  • @mohammedrajabu7449
    @mohammedrajabu7449 3 года назад +4

    Dah kiukweli mko vizuri nawakubali japo sasaiv mmepunguza muda wa filam

    • @lusese1
      @lusese1 3 года назад

      Asante kwa kutuunga mkono, hatujapunguza, muda ni uleule.

  • @baitulquranallyibrahim3185
    @baitulquranallyibrahim3185 3 года назад +2

    Baba Nikakukodie gar??
    Haahhaahhaha
    Bati hizo

  • @richardchaula1860
    @richardchaula1860 3 года назад +3

    Dah!!!!,hatari sana

  • @Falsharji77
    @Falsharji77 3 года назад +1

    Stop the background music, it's too loud 😤

  • @sajdatomar2264
    @sajdatomar2264 3 года назад +1

    Bora ungejenga kwenu mkwele 😄 🤣 😂

  • @mwitasamwel409
    @mwitasamwel409 3 года назад +3

    Hakika mnatufunza mengi sana pongezi kwenu

  • @user-eu2zc1nr4f
    @user-eu2zc1nr4f 3 года назад +1

    Mmh..dada umenenepa

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 3 года назад +8

    Kuna mwana yuko ukweni ngoja nikae karibu nae kama ataangalia hii😂😂

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 года назад +1

      😃😃🏃‍♀️

    • @dsgroup6093
      @dsgroup6093 3 года назад +1

      😂🤣🤣🤣🤣🤣

    • @charlesmagere1519
      @charlesmagere1519 3 года назад

      😀😀😀😀😀😀😀😀😀daaaah umalize unipe matokeo kama ameangaliaa

    • @frediricknandonde1690
      @frediricknandonde1690 3 года назад

      @@charlesmagere1519 😂😂 nitakuambia naona leo atarudi mapema nitakupa matokeo

    • @lusese1
      @lusese1 3 года назад +1

      Ha haa haaaa!! hata hivyo asituchukie hatukumlenga yeye.

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid5459 3 года назад +3

    Mizegwe wapojuu sana wanafuza mambo yamaana naheshima.tunawapenda sn

  • @mamahance9049
    @mamahance9049 3 года назад +1

    huni kuti kwa mkwe 🤗🤗

  • @mihangwamasingija3754
    @mihangwamasingija3754 3 года назад

    Hili ni kundi zuri saana, keep it up guys Kazi zenu za maana saana!

    • @lusese1
      @lusese1 3 года назад

      Asante kwa kutuunga mkono.

  • @takimbawala5966
    @takimbawala5966 3 года назад +3

    Nimejifunza jambo ila namimi ninajambo langu ntahitaji ushauri

    • @lizzyshayo209
      @lizzyshayo209 3 года назад

      Mshauri yuko hapa....kwaziadaa angaliaa video za Baba mmoja anaitwa Chris Oyakhilome kwa ushauri zaidi

  • @innocentmarunda5853
    @innocentmarunda5853 3 года назад +2

    mnakaa mdaa sana ila mko vizuri sana.soma nzuri

    • @lusese1
      @lusese1 3 года назад +1

      Asante kwa kutuunga mkono, tulisimamisha production kipindi kile cha CORONA Sasa tumerudi, burudani kama kawaida.

  • @simonndune4457
    @simonndune4457 3 года назад

    maringo is my all time fav😂🤩

  • @asseytv7269
    @asseytv7269 3 года назад +1

    😂😂😂big up sanaaa

  • @lawrencegorden6678
    @lawrencegorden6678 3 года назад +1

    Nzuri sana isipokuwa umaliziaji haukukaa vzr

  • @mtitagirloriginal6890
    @mtitagirloriginal6890 3 года назад +1

    Gusa picha yangu kuona kaZ yangu🥰🥰🥰🥰

  • @jamilasaid2718
    @jamilasaid2718 3 года назад

    Hata mie nawapenda sana

  • @mibokichannel4006
    @mibokichannel4006 3 года назад +3

    Somo zuri sana

    • @lusese1
      @lusese1 3 года назад

      Asante kwa kutuunga mkono.

  • @kaba7911
    @kaba7911 3 года назад +9

    Mimi ni a Big fan of the show lakini please punguza background sound ya filimbi inaovertake the comedi voices and punchlines

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 3 года назад

      Upo sahihi kabisa asee

    • @lusese1
      @lusese1 3 года назад +2

      Asante kwa kutuunga mkono, tutafanyia kazi ushauri wako.

  • @wazirisukari5178
    @wazirisukari5178 3 года назад +1

    Sasa alipe kodi ya nyumba ya nini wakati huyo nyumba cyo ya kupanga jamani

  • @manko5627
    @manko5627 3 года назад +2

    Mwanaume kazi nasio kupendeza

  • @jambo3751
    @jambo3751 3 года назад +3

    Nikakudie gari?😄😄😄 Sasa hizi bati unamwachia nani?😄😄😄

  • @allyidrisa1520
    @allyidrisa1520 3 года назад +3

    Nikakukodia gari mm hahaha

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi8451 3 года назад +1

    Excellent

  • @georginajohn8456
    @georginajohn8456 3 года назад

    Kweli kabisa Mwanaume anaweza kuishi na Mwanamke asiye na kazi lakini Mwanamke huyohuyo hawezi kuishi na Mwanaume pindi anapokosa kazi kwa sababu yoyote ile wakati huohuo Mama Mzazi wa huyo Mwanamke anaishi na Baba yake hana kazi Wanawake badilikeni haya ni maisha tu

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 3 года назад +5

    Kunenepa kwa uzoefu duu

  • @selemanlwiza9283
    @selemanlwiza9283 3 года назад +1

    👍

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 3 года назад +1

    Jamani hivi ni kweli kuoa mtoto mwisho ni nongwa ? 🤔

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb 2 года назад

    😃😃😃😃nawapenda sana

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lawrencegorden6678
    @lawrencegorden6678 3 года назад +3

    Wanawake jifunzeni badirikeni.Mizengwe nyie ni hatari

  • @moseshaji1177
    @moseshaji1177 Год назад

    R.I.P mzee Matata

  • @titojeremia8365
    @titojeremia8365 3 года назад

    Nyie kiboko nawakubali sana

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 3 года назад +1

    Kweli kuhisi ukweni kwataka uzoefu na je umemchunguza mkeo yukoje,hapa nimejifunza kitu.

  • @afizuboy3433
    @afizuboy3433 3 года назад +1

    Wanawake wanarohombayasana

  • @kaitaramadan6340
    @kaitaramadan6340 3 года назад +2

    Jenga kwenu ukweni unapoteza

  • @ibrahimmwilo1586
    @ibrahimmwilo1586 3 года назад

    #Sumaku hio hela utakayo kodishia gar si bora umpe akaanzishie maisha 🤣🤣🤣🤣

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 года назад

    Haha Kama si ufala. Ujenge ukweni badala ya kujiwekeza

  • @issamsumi538
    @issamsumi538 3 года назад +3

    Wale Wa kulelewa tuwajua msijifiche

  • @user-eu2zc1nr4f
    @user-eu2zc1nr4f 3 года назад

    Itv ya kaole

  • @ivaniavianarodrigo7201
    @ivaniavianarodrigo7201 3 года назад +2

    huyu rasta mbona anakonda sana??!!, au ngoma??!!.

    • @devidkingu2439
      @devidkingu2439 3 года назад

      Kufuga Nywere nyingi zinakondesha sna kwa mwanamme kama hali vizuri hasa chakula cha protein

  • @erickkipenya5801
    @erickkipenya5801 3 года назад +1

    Ahahaha uzoefu

  • @issamsumi538
    @issamsumi538 3 года назад

    Njooni jamani muone Mpya mpya bado ya moto

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 3 года назад +4

    Nyinyi bwana munatuchosha
    Sana yan ni bora MUGAILI na hizi
    Comedy zenu na hiki kipindi chenu
    Maana mpaka munavyo jisikia
    Ndiyo munapandisha mtandaon
    Tatizo sijui uwongoz wenu ndiyo
    Kuna matatizo ya mikatabaa yan
    Sijui kwann na ndiyo maana
    Amuli vyuwazi za kutosha watu
    Tuna wasaau ksbisa
    Nyinyi ni wazembe sana sana

    • @ahdal5288
      @ahdal5288 3 года назад +3

      Mbona huweleweki? Tumia lugha ya Kiswahili maanake sijui ni lugha gani uliyotumia

    • @frediricknandonde1690
      @frediricknandonde1690 3 года назад

      Ni kweli kabisa aisee

    • @kupasteven7128
      @kupasteven7128 3 года назад +1

      Mbona kama umechukia Na wewe imekugusa nn? Upo kwenye list

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 3 года назад

      Kabisa kaka

    • @pieremchome5202
      @pieremchome5202 3 года назад +1

      Ni kujifunza kisoma ukubwani au kiswahili haukijui?

  • @afizuboy3433
    @afizuboy3433 3 года назад

    Wanaume mnaokaa ukweni amkeni fanyenimtoke ukweni.sio pazuli wanawake mnadhalilikasana.

  • @kisoukejothame210
    @kisoukejothame210 3 года назад

    Kweli ukweni sio powa

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 3 года назад

    UNANYENYEPAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAH

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 3 года назад

    Fundisho tosha ilo eti nikakukodie gali

  • @elizabethstephen7814
    @elizabethstephen7814 3 года назад +1

    Bati hizi😝

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 3 года назад

    Matata bahna

  • @maicojoseph7386
    @maicojoseph7386 3 года назад

    Nice

  • @allymohando6209
    @allymohando6209 3 года назад

    Funzo kubwa

  • @mwendokaudanzi4688
    @mwendokaudanzi4688 3 года назад

    Du muko vzur sn

    • @lusese1
      @lusese1 3 года назад

      Asante kwa kutuunga mkono.

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis3115 3 года назад

    Uzoefu unanenepesha

  • @sophiakasana2937
    @sophiakasana2937 3 года назад

    😂😂😂

  • @fatumamroki2716
    @fatumamroki2716 3 года назад

    😁😁😁😁

  • @masumbukosendwa3216
    @masumbukosendwa3216 3 года назад

    Pendeza sana

  • @saidyori7044
    @saidyori7044 3 года назад

    muna chelewa kutupa uondo

    • @lusese1
      @lusese1 3 года назад

      Poleni sana, tulikuwa mapumziko kupisha balaa la Corona, sasa tumerudi kazi kazi tu.

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 3 года назад

    Hahahaha

  • @francissamson7594
    @francissamson7594 3 года назад +1

    Ni funzo

    • @allyidrisa1520
      @allyidrisa1520 3 года назад

      Eti nikakukodie gari mm ndio msuruhishi wa kesi huyo hahaha

    • @salehemapande36
      @salehemapande36 3 года назад

      mzee matataaaa.sina swaliiiii umefiti mzee wangu