KIJANA ANAEMILIKI MGAHAWA CHINA, 'SIKUTAKA WATANZANIA WALE NYOKA, NIMEKUJA KUSOMA'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #KilimanjaroRestaurant #YiwuChina
    Kilimanjaro Restaurant ni mgahawa ulipewa jina la mlima uliopo Tanzania na ndio sehemu pekee inayopika chakula cha Kitanzania kwenye mji wa Yiwu China

Комментарии • 612

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 4 года назад +520

    Sijui ni mm tu?
    Kila nikimuona mTanzania mwenzangu amefanya jambo nje ya mipaka nafurahi sana...Mungu akufanyie wepesi usonge mbele zaidi uwe na migahawa kama hiyo China nzima

    • @lupahmwakabenga7559
      @lupahmwakabenga7559 4 года назад +23

      Kwa niaba ya wenzangu tulioko nje ya mipaka nasema asante sana karibu Zambia

    • @dullybrown3635
      @dullybrown3635 4 года назад +15

      Mimi nafurahi sana ila hua nahisi wivu sana nami kutaka kufanya kitu zaidi ya hicho siku moja.

    • @sofiasofia7557
      @sofiasofia7557 4 года назад +8

      Karibuni mi nipo omani

    • @samwelnaal7952
      @samwelnaal7952 4 года назад +2

      @@sofiasofia7557 asante

    • @sofiasofia7557
      @sofiasofia7557 4 года назад +2

      Khery tupo Pa1 kaka

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 4 года назад +147

    Cha kwanza nikumpongeza AYO tv kupenya Hadi China,give him hi five,afu tumpongeze kijana wenzetu

  • @hajivuai3454
    @hajivuai3454 4 года назад +105

    na hapa Dubai ipo moja inaitwa ZANZIBAR RESTAURANT , katika mji wa Deira,yaani very nice vyakula vyote vya Kitz vipo hapo hadi raha,yaani watu wanaweza wakiamua.

    • @abdullahrashid6297
      @abdullahrashid6297 4 года назад +3

      Ndugu yangu ile ya deira inaitwa Daresalaam restaurant ya zanzibar restaurant iko AL aweer... Ya al aweer ndio chakula cha kila aina vya kibongo wako vizuri kwa mapishi

    • @mligosandrah7851
      @mligosandrah7851 4 года назад +2

      @@abdullahrashid6297 🤣🤣🤣 nimecheka mm nakulaga moja iko deira bufee dirham25

    • @abdullahrashid6297
      @abdullahrashid6297 4 года назад +1

      @@mligosandrah7851 Deira kuna moja iko hotel iitwayo phonecia ni balaa misosi ya kila aina buffet la kiafrica

    • @rosemaganga3901
      @rosemaganga3901 4 года назад +1

      @Rugamba Shabani plz nielekeze kaka namm nipo Dubai lakin mgen

    • @rahmaathman7431
      @rahmaathman7431 4 года назад

      Rose Maganga rose rose nipe contact zako tuwasiliane

  • @pastorbaharia598
    @pastorbaharia598 4 года назад +248

    YESU NI NJIA YA KWENDA MBINGUN,KAMA UNAAMINI LIKE ZA KUTOSHA.

    • @godiegodie1336
      @godiegodie1336 4 года назад +1

      Unatafuta likes kupitia jina la Mungu? kweli ushafilisika

    • @pastorbaharia598
      @pastorbaharia598 4 года назад

      @@godiegodie1336 ahsante

    • @mohamedAli-vf8hp
      @mohamedAli-vf8hp 4 года назад

      Ni njia yakwenda mbinguni kwa wana wa izrail cio ww

    • @Andy_tz
      @Andy_tz 4 года назад +3

      Ko ulitaka atafute like kwa jina la bibi ako?😅

    • @user-nf9cc1hi1t
      @user-nf9cc1hi1t 4 года назад +1

      @@Andy_tz muha una roho mbaya kwel, hilo jibu, hahaaaaa

  • @AllaNetWork
    @AllaNetWork 4 года назад +3

    Safi sana my Brother. Songa mbele. As your fellow small business owner abroad, we understand exactly what it takes and what you went thru to get there. Hongera sana na kwa wenzetu wengine walioko abroad na hata nyumbani, tusizime hizo njozi za kuanzisha business. “It can be done my brothers and sisters, it can be done.” Usisikilize kelele za nje. Listen to your heart and thrust forward with your dream.

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry76 4 года назад +8

    MaashaaAllah nafurah kusikia mtanzania akifungua mgahawa nje ya nchi mungu akupe afya na umri kaka kwa kazi hii

  • @bone102
    @bone102 4 года назад +131

    Millard huyu jamaa aongezewe mshahara anajua kutangaza sanaa

  • @Papaahansmo
    @Papaahansmo 4 года назад +3

    Safi Sana.NAOMBA MAWASILIANO YAHUYU KAKA MWENYE HII RESTAURANT NZURI YA KIAFRIKA NCHINI CHINA

  • @hurumasilasmwamwezi4351
    @hurumasilasmwamwezi4351 4 года назад +4

    Dafi sana nimependa umeajiri wachina. I love Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @niyonkurusaidi6157
    @niyonkurusaidi6157 4 года назад +45

    Daaah jama wako vizuri sana, chakula cawo kitamu sana. Thank you kilamanjaro restaurant

  • @Pandumasoftware
    @Pandumasoftware 4 года назад +9

    Mi huwa napenda combination/uhusiano mnaounyesha, nikiona Watanzania au Waafrica mnaishi ivi uko nje najiskia Raha sana.
    Sijui kwenye Media tu au ni Real lkn mi huwa napenda sana hii kitu Mungu awabariki wote...

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 4 года назад

      Ni balaaa huko nje ngoja utaona competition majungu yataanza

    • @Tv-rh5mv
      @Tv-rh5mv 4 года назад

      Lakini mzee baba sheria za service ufti

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 года назад +16

    Safi sana My Bro it's So Encouraging 👏👏👏

  • @richardgaya3965
    @richardgaya3965 4 года назад +2

    Hongera Ndugu....I have noticed a Kenyan customer ..by his wrist band... enjoying his "tilapia" dinner!

  • @sangaTv_
    @sangaTv_ 4 года назад +22

    Uuuwiiiii this is soo lovely!!!!

  • @daprince7545
    @daprince7545 4 года назад +15

    Congratulations bro big up for such ideas 👌👌

  • @kingcobra9238
    @kingcobra9238 4 года назад +3

    Salute kwako ndg kutoka china maana vyakula vya wenzetu ni balaa nawapata kutoka U.A.E, ABU DHABI gonga like zako zote kama na wewe unapenda african food pindi ukiwa nje ya nchi yako

    • @lucylucy2404
      @lucylucy2404 4 года назад

      Nimegonga like ila naomb n Mimi nifike hapo ulipo kama utojali

  • @coletashirima2193
    @coletashirima2193 4 года назад +5

    nlichopenda mimi anaongea kiswahili vzur sio wale u know you know ,,, hongera kaka umefanya jambo la muhimu

    • @issarashid8280
      @issarashid8280 4 года назад

      Daa kweli kabisa sio awa uk mtu teja lakini abaongea luga za watu

    • @zubedarichard2311
      @zubedarichard2311 3 года назад

      Umenikumbusha magufuli you know

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 года назад +20

    Maa shaa Allah hongera sana kijana

  • @hamedamahamd1222
    @hamedamahamd1222 4 года назад +3

    Asante sana ayo tv upo vizuri hujawahi niangusha unavija wapo vizuri katika utangazaji

  • @georgekasim8534
    @georgekasim8534 4 года назад +2

    Hongera sana mtanzania mwezetu, godbles you

  • @nicemuba4990
    @nicemuba4990 4 года назад +8

    Anaongea kiswahili ila lafudhi ishakua ya kichinaa ... Amaizng xana congrats💗

    • @na0m1fes51
      @na0m1fes51 4 года назад

      😂😆😆 kweli lafudhi isha change

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson1525 4 года назад +1

    HONGERA KUJANA SHUJAA WA KITANZANIA, TUNAFURAHI KUONA MTU UNAKUWA NA WAZO KUBWA KAMA HILO, KUTOKA KIMARA DAR NIMEANGALIA, HONGERA SAAANA MDOGO WETU...WAAFRIKA TUMEUMBWA KWAAJILI YA MAKUBWA, KEEP ON GROWING TO HIGHER AS MOUNT KILIMANJARO..

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 4 года назад +7

    Salam. Nduguyagu kazimzuri message from USA 🇺🇸👍birian.sisi.wa. zanzibar kwa.biriani.

    • @khamisjuma5046
      @khamisjuma5046 4 года назад

      @@maryammaram2612 alykum.asalam. nduguyagu salamu.nimezipata. sitakuvunja.moyo. zanzibar beautiful a.m miss so.much home 👍🇺🇸

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 4 года назад +2

    Kaka anasigda mashallah m.mungu akujaalie ivyo ivyo

  • @matthewben2146
    @matthewben2146 4 года назад +50

    Huyu Dulla TZA,VIDO VIDOX hawa jamaa Millard ujakosea kuwapa mchongo

  • @mariammgaya7566
    @mariammgaya7566 4 года назад +15

    Nice .....Hongera sana 💪

  • @representativevox2660
    @representativevox2660 2 года назад +2

    Jamani zeno tumesoma wote chinese language ♡♡♡

  • @claysonjulius6520
    @claysonjulius6520 4 года назад +1

    Huyu mtangazaji anajua kazi!! He really knows what he does!

  • @paschalwilbroad1762
    @paschalwilbroad1762 4 года назад +2

    Ongera kaka safiii sanaa Mungu akuongozee unaonekana unaupeo wa kuona mbali nitakujutafuata

  • @beatraceketto3880
    @beatraceketto3880 4 года назад +2

    Milad uko juu napenda kuangalia ki tv chako kwanza hunauongo kitu ukweli milad juu mpaka china najua utatoa ndugu zetu wengi kuwapa kaz Mungu akutunze Ar moja iyo

  • @catherinemmbando6949
    @catherinemmbando6949 3 года назад

    Ongera sn zeno kutoka mawanda holili mpaka China uko poa sn,good my friend

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 4 года назад +64

    JAMAA ANACHAKULA KIZURI SANA,,, UWA NAKULA SANA HAPO ,,
    KWANZA HUDUMA ZAO NIPOA
    THEN UNAKUTANA NA WATANZANIA WENGI MPAKA UNAFURAHI

    • @froliangrevigian9213
      @froliangrevigian9213 4 года назад +10

      Ahaaaaaaaa,, Nimekukumbuka Boss,,kuna siku nilikupa hai Pale Mlangoni tulipishana ukanikaushia kibingwa.... Ila hongera sana kwa kumuunga mkono Mwana...

    • @giftkaisy3061
      @giftkaisy3061 4 года назад +4

      HahHahhahahHahah

    • @sintasmarty4974
      @sintasmarty4974 4 года назад +3

      He umeshaenda mwenzangu

    • @hisanmwakijungu10
      @hisanmwakijungu10 4 года назад +2

      @@sintasmarty4974 umebaki wew tu!!!

    • @sintasmarty4974
      @sintasmarty4974 4 года назад +3

      @@hisanmwakijungu10 nipe ofa hiyo niende na mm

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 4 года назад +33

    MashaAllah tabarakaAllah kijana yupo Sawa, hongera kwake

    • @samilaayomba4203
      @samilaayomba4203 4 года назад

      Kaka mmnahitai kazinimpishi mzuli sana namba ajila nim tazaniya ilakwasasa nipo oman

  • @selemanmuhomba497
    @selemanmuhomba497 4 года назад +1

    Mungu akujalie kwa kazi nzuri na mawazo mazuri ila tafadhali naomba sana usisahau nyumbani Tanzania

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Год назад +1

    Masha allah congratulations brother kaz iedelee 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mtoimohamed6701
    @mtoimohamed6701 4 года назад +1

    Yani umeni inspire sanaa Masha Allah,Allah azidi kukupa nguvu na kupanda kiuchumi.

  • @nesielias317
    @nesielias317 3 года назад +1

    Ukipenda mafanikio ya mwenzako Mungu anakupa yako hongera sana

  • @stevenbenard6603
    @stevenbenard6603 2 года назад +1

    Mimi rai yangu kwa serikali za Kiafrika, hakuna haja ya kulazimishana kukaa humu kama naona hali ya nchi yangu haziridhishi DUNIA KIJIJI POPOTE KAMBI. ILA SALUTE BROO FROM CHINA

  • @masikasaidi8805
    @masikasaidi8805 Год назад +1

    Mungu Akubariki Kazi Yako hongera sana

  • @mkundemsuya2504
    @mkundemsuya2504 4 года назад +1

    Hongera sana mdogo wangu kwakua na fikra pevu na yakinifu
    Mungu azidi kukufanikisha

  • @mariamahmad8261
    @mariamahmad8261 4 года назад +1

    maa shaa Allah nimeipenda sana sijuu wanaweza kunipa kazi ya kupia 😍😍😍😀😀😀

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 4 года назад +15

    Haki vinaonekana ni vitamu sana,Hongera sana broo

  • @ms_caramel2688
    @ms_caramel2688 4 года назад +7

    MashaAllah

  • @thurayyaomar655
    @thurayyaomar655 4 года назад +4

    mashllah hongera kaka , niajiri nitafute 🙏

  • @rjjosephat8075
    @rjjosephat8075 4 года назад +1

    Hakikisha unakaa vizur katika IMANI yako wqla usiruhusu mafanikio ya kiMungu kwa wengine yakakukatisha tamaa Wengine wamejikwaa katika maombi yao ...Badala ya kuomba Mungu awabaliki na wao ..Wamebaki wanamnung'unikia Mungu kwa kuwabariki wengine
    Pia baadhi ya Wakrsto wameanzisha vita juu ya wenzao walio kumbukwa na Mungu katika maeneo mbalimbali ya Maisha yao ya Rohoni na maisha yao yakawaida bibilia inasema kaini akamwinukia Habili na kumwua Ngoja niseme kidogo hapo ....
    Mafanikio yako hayategemei mafanikio ya mwingine wala sio kanuni ya lazima kwamba ufanikiwe kwanza ww ndipo wengine wafanikiwe.Tambua kuwa hatima yako ni Tofaut na hatima ya mwingine sasa haina sababu yeyote kukasilika sababu ya mwingine kabla yako Maana utakuwa unadhindqna na Mungu alive MPA KIBALI
    chat.whatsapp.com/C8tApyLwFhN9A2cstIPCBU

  • @omarymohamedy7414
    @omarymohamedy7414 4 года назад +6

    Hongera sanaaa kaka mungu azidiii kukuinuaaa

  • @idrisslewis7753
    @idrisslewis7753 4 года назад +1

    Daah very nice ma bro I like something like that vijana tukiamua kujiwekeza tunaweza aise safi sana

  • @glorylimo8695
    @glorylimo8695 4 года назад +1

    Safi Sana Kaka me too nataka kufungua mgahawa nje Mana Tanzania ndio country yenye chakula kitaam duniani ....na ivi wewe mtu unae unlike sikuelewi una Mana gani

  • @michaelkasogela370
    @michaelkasogela370 4 года назад +7

    Kaka mm napia najua kupika hasa vyakula vya asili km mlenda, kichuli na nk. Naomba ajira apo

  • @dorinimalisa3062
    @dorinimalisa3062 4 года назад +2

    Nice

  • @bintialfan2143
    @bintialfan2143 4 года назад +6

    Nisingeweza kula chochote china dah sio kwa nyoka zile bonge moja la idea big up bro

    • @ojasoojaso9479
      @ojasoojaso9479 4 года назад +2

      China bara kubwa ndugu yangu usidhani ukienda huko utamuona huyu jamaa kwani unaweza kwa mfano kuwa Sudan na huyu yuko msumbiji .
      Omba utembelee mji aliyopo.Ama cy mh kobe ni wako

    • @bintialfan2143
      @bintialfan2143 4 года назад

      @@ojasoojaso9479 hahaha kobe tena mie sikuwezi uko bora nijilie zangu dagaa

    • @ojasoojaso9479
      @ojasoojaso9479 4 года назад

      @@bintialfan2143 ukisafiri chona usisahau dagaa zako kwenye begi nd yangu

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 года назад

    Wow!!!

  • @nellymatalanga5033
    @nellymatalanga5033 4 года назад +1

    This has been my wish fr so long hope to do it one day so God help me 😘

  • @sofiakalinga1100
    @sofiakalinga1100 3 года назад

    Hongeraaa sana

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 4 года назад

    Pesa hiyo, hapa nilipo waafrika wachache sana pasua kichwa , dah ningeanzisha na mimi huwo mchongo big up sn mwana from Taipei in Taiwan

  • @queenwinnie256
    @queenwinnie256 4 года назад

    Safi sana Milady Ayo na hongera sana kaka kwa kazi nzuri, mm niko vizuri niajiri tu kaka nami nienjoy mtanzania mwenzangu,

  • @eddahhawa7471
    @eddahhawa7471 4 года назад +1

    Hongera sana sana,,,mungu akuongezee maarifa na nguvu zaidi

  • @alexshauri4899
    @alexshauri4899 4 года назад +16

    Nikiwa usa 🇺🇸
    Ongera sana brother wangu
    Na mimi nimepata wazo
    Kiukweli brother wangu,ongera mno.

  • @carlosmkindi2807
    @carlosmkindi2807 3 года назад +1

    Prezoo @bmss aminia sana bro pamoja

  • @talibally8743
    @talibally8743 4 года назад +1

    Big up restaurant nikiend ten nitatfuta... Kikwel tunpt tbu... Like 😘😘😘😘😘

  • @josephchala4483
    @josephchala4483 4 года назад

    Big upp sana vijana wa ayo tv kwakutupeleka mpaka china na kumjua mwafrika mwenzetu kuwa ame ivestement huko ase

  • @bernadethamlundebartlett387
    @bernadethamlundebartlett387 4 года назад +2

    Hongera Sana bro Nami napambana nimeanzisha Catering hapa Texas vyakula vya Kitanzania

  • @shifumponda666
    @shifumponda666 4 года назад +1

    Hongera sana broo mungu akuongoze sana na biashara yako

  • @perpetuagodfrey7050
    @perpetuagodfrey7050 4 года назад

    Hongera kaka umethubutu ,,na Mungu akupe wepesi zaidi,,,, na sisi unatupa hamasa kwamba ukithubutu inawezekana

  • @hasanimsantu3694
    @hasanimsantu3694 3 года назад

    Ho ng era sana vijana wakiafrica mnapambana mm ni mtanzani naishi kenya wakenya wanaonyesha ushirikiano pia cc nindugu

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 года назад +1

    Bro anaongea na yy kama wachina😅😅ila hongera kwake.safi sanaaa 💯💪kaitumia fursa ipasavyo..

  • @janesabore2965
    @janesabore2965 4 года назад +2

    kilimanhanjaro wana chakula kazuri sana 👏👏👏 napenda

  • @emanuelmurumbi6946
    @emanuelmurumbi6946 3 года назад

    Safi Sana man nafurahi kusikia mtanzania mwenzetu anatangaza NCHI YETU BONGO

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 года назад +28

    Nimependa sana kaka mashallah

  • @rajabuhondo4973
    @rajabuhondo4973 3 года назад

    Bgp kk umee washika wa tz 🇹🇿 wenzako hongera kawnza mzarendo jina Kili Manjaro Aflc mungu aku zidishie hotel hiyo

  • @michelletv5648
    @michelletv5648 4 года назад

    Woow l like it ongera Sana kaka mpaka unanitamanisha na mm kuja china

  • @partohmsee5992
    @partohmsee5992 4 года назад

    Nakuombea sana kaka Maulana akujalie Baraka tele ili Uweze kustahimili na kuwaelimisha watanzania na watu wote kwa jumla Inshallah

  • @khadijaathumani5686
    @khadijaathumani5686 4 года назад +1

    Faheem mwanangu...Allah akupe hitaji lako

  • @isayasway8633
    @isayasway8633 4 года назад

    Dahh yan Millard ayo nawamini asilimia buku kwa tarifa zenu ni tofauti na Chanel nyingine

  • @teddyewaldmboya5200
    @teddyewaldmboya5200 2 года назад

    Zenooo hongeraaaa sana jaman kutuwakilisha China kwa misosi mitamu

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Год назад

    Should open one in South Pacific etc

  • @user-dx5lz6du4y
    @user-dx5lz6du4y 4 года назад +3

    I love mtangazaji upo vizur kikazi

  • @leoniakimati3434
    @leoniakimati3434 Год назад

    Congrats Zeno,kila la kheri

  • @JoelKakizibaJK
    @JoelKakizibaJK 3 месяца назад

    Great job 🔥

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 4 года назад +4

    Masha Allah kazi nzuri 👍

  • @safiajuma1561
    @safiajuma1561 4 года назад +14

    Nnjoo nichukue na mie niwe mmfanyakaz wako japo cleaner🙇🙇

  • @dioskorimtalo2348
    @dioskorimtalo2348 4 года назад +2

    Huyo Samaki mmmh , nadondosha mate hapa Kama teja 😋😋😋

  • @misanamohamedi8438
    @misanamohamedi8438 4 года назад

    Vizuri ndugu yngu endelea kupambana Sana mungu akupe nguvu,Mana najua changa Moto ni nyingi kwnye nchi za watu.tz oyee

  • @ellysilwani9287
    @ellysilwani9287 4 года назад +16

    Hongera brother..

  • @mrsochu-hv7bm
    @mrsochu-hv7bm 4 года назад +1

    DAAH CHAKULA CHAO NI KITAMU
    SANA JAMANI MAANA MI KILA SIKU NAKULA HAPA

  • @mamarafiki283
    @mamarafiki283 4 года назад

    Hongera zake mungu amzidishie maarifa.

  • @dorcasgerald9948
    @dorcasgerald9948 4 года назад +2

    Said nikija nipeleke plz,Zawadi mwambie aweke na majani ya maboga

  • @maryanaambrocy8976
    @maryanaambrocy8976 2 года назад

    Congratulations bro keep going

  • @tabumussa6705
    @tabumussa6705 4 года назад +2

    M/MUNGU akujalie mtanzania mwenzetu akondoshee vikwazo

  • @djkash466
    @djkash466 4 года назад +2

    Mashaallah...safi sana

  • @michaelkasogela370
    @michaelkasogela370 4 года назад +1

    Respect to you blazaaa

  • @theophilukapinga2316
    @theophilukapinga2316 4 года назад +25

    Huo ndio udhubutu, sio kuogopa ogopa tu

  • @mutuachris
    @mutuachris 4 года назад +19

    Nmeskia kenya tupo pamoja

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 4 года назад +1

    Maashallah 😍😍😍😍

  • @maryamgalu5523
    @maryamgalu5523 2 года назад

    Masha Allah

  • @kwasimutokalondon-nafreddy5278
    @kwasimutokalondon-nafreddy5278 4 года назад

    Vijana wajitahidi sana. Tuwape heko. Kibiashara na kihabari. Tatizo siku hizi mnaboronga sana Kiswahili. Mathalan : neno ' restaurant' mmekosa la Kiswahili? Hoteli, Mkahawa, nk? Baadae tutakuwa hatujulikani kama tunasema Kiswahili au Kiingereza?

  • @gracekimamre2117
    @gracekimamre2117 2 года назад

    Ongera sana

  • @saudambinga3832
    @saudambinga3832 4 года назад +17

    Ayo mm naishi Muscat Oman ,naweza pata mawasiliano na uyo mmiliki wa iyo restaurant pls!!!

  • @neemamagoma2993
    @neemamagoma2993 4 года назад +3

    Very nice my dear big up brother for helping African people

  • @veronicachamle467
    @veronicachamle467 Год назад

    Hongera sanaa bro... Imeniispire sanaaaa