Kutana na Askari mwenye Mbwembwe balaa Barabarani akiwa kazini, Ni vituko Mwanzo Mwisho, Utampenda!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 июн 2021
  • #sirizabongo
    Kutana na Askari mwenye Mbwembwe balaa Barabarani akiwa kazini, Ni vituko Mwanzo Mwisho, Utampenda! Askari huyu mara nyingi anakuepo maeneo ya Mbezi shule, Mwenge

Комментарии • 1,8 тыс.

  • @robertmwakimi3116
    @robertmwakimi3116 Год назад +35

    Namkubali sana huyu jamaa,hata ukiwa na hasira ukimwona tu zinapotea.kama matraffic wengine wangekuwa hivi,tanzania tungekua mbali sana,mungu ampe maisha marefu.

    • @user-cv1hk8vn9j
      @user-cv1hk8vn9j Год назад +1

      The best traffic officer ever well done our super traffic officer❤🎉

  • @magdalenemuchoki9326
    @magdalenemuchoki9326 Год назад +22

    love from Kenya. Beautiful. Sijastaajabu kuona haya kutoka Bongoland. Creativity yenu ni ya hali ya juu, nd'o maana tunawapenda

  • @user-iq1qu2ot8h
    @user-iq1qu2ot8h 10 месяцев назад +13

    Hakika askari wetu huyu anastahili kuwa mfano wakuigwa, Mungu amjalie maisha marefu na afya njema

  • @delphinamakupa4914
    @delphinamakupa4914 Год назад +9

    I visited dar es salaam...around goba..I saw thus guy...I laughed the whole day but was happy that he was happy enjoying his work....

  • @tumainilukumay9907
    @tumainilukumay9907 2 года назад +87

    Damu ya Yesu imfunike nimempenda kwakwel,Mungu amuongezee nguvu daima

    • @mossesmichaelnzowa3378
      @mossesmichaelnzowa3378 Год назад

      Amen.

    • @MwittaJuma-yk5dm
      @MwittaJuma-yk5dm Год назад +1

      Huyu anapenda kazi yake Kwa moyo mumoja Yan safii, mungu ambariki San aendelee nakazi yake

    • @alexymdee
      @alexymdee Год назад

      Asipandishwe cheo bali aingezewe mshahara

    • @kigwandiohome4174
      @kigwandiohome4174 Год назад

      yesu kafikaje tena apa

    • @geofreylulu4360
      @geofreylulu4360 Год назад

      @@alexymdee pesa siyo kitu bro. apandishwe cheo kwa ufanisi wake maana anaweza kuwahimiza wenzake kujitoa kazini Kama yeye na yeye akiwa role model wao. vile vile cheo kikipanda sidhani kama mshahara wake utabakia pale pale

  • @josephmsanga6751
    @josephmsanga6751 2 года назад +139

    Napenda Askari Wote Wange kuwa kama Huyu! Maana pia anaondoa pia hata stress za madereva.Hongera Zake Kipenzi cha Madreva.Mungu Amwongezee Umri na Afya njema.

    • @angelbabee6233
      @angelbabee6233 2 года назад +2

      Nimempnd sanaaaa uyo tlafick mbwembwe nyngiiii hahahaha

    • @rosekimario8223
      @rosekimario8223 Год назад +3

      Mungu amwepushe na ajal za barabaran nampenda san

    • @ankohillary2165
      @ankohillary2165 Год назад

      M. Napenda wote wawe kama huyu

    • @sharifashabani8689
      @sharifashabani8689 Год назад

      Kiukweli ukifanya kazi kwa moyo unajisikia raha lkn ukifanya hupendi utaona no mzigo

    • @josesway8797
      @josesway8797 Год назад +1

      Aisee yuko vizuri sana. Napenda sana kupita njia hiyo na gari. Huwa nainjoy sana nikifika mazingira yale.

  • @convenantTV
    @convenantTV 4 дня назад

    Yupo vizuri ukipenda KAZI yako hakuna uchungu moyoni ...Mungu amlinde baraka Tele kutoka kenya

  • @sabryahmed6940
    @sabryahmed6940 Год назад +14

    This officer is a one in a million.

  • @saleheselemani5581
    @saleheselemani5581 2 года назад +42

    Mungu ambariki sana kwa kazi yake ikibidi aongezewe mshahara. Allah amlinde inshallah!!!

  • @aminabkr3192
    @aminabkr3192 2 года назад +5

    Huyu jamaa yuk pw San mwenyew nimemshuhudia kabisa mbezi shule pale👍👍👍

  • @JumanneKapinga-mk9zm
    @JumanneKapinga-mk9zm Месяц назад +2

    Na wengine waige kazi nzuri ya huyu afande Nampa big. Up

  • @sebastianrespickius5267
    @sebastianrespickius5267 Год назад +2

    MUNGU Abariki kazi ya mikono yako mahana unaipenda nimejifunza kit kwak chanzo cha kupoteza uchovu n kupenda Nazi yako God bless you

  • @allykarama5574
    @allykarama5574 2 года назад +8

    Maa Sha Allhaa Hiki ni Kipaji Alicho Tunukiwa na Allhaa Anafanya Kazi Ndani ya Nafsi yake Nimeipeda

  • @jujudanda5511
    @jujudanda5511 2 года назад +48

    This man must be promoted binafsi nilishawahi kumzawadiya 20,000. Akiwepo hapo makutano ya fire. Good guy serikali impromote itakuwa motisha kwa wengine. Japo I will stay missing him

    • @kazenmronga4163
      @kazenmronga4163 Год назад

      Ckuhz yup chin uku mbez shule

    • @jonasmpita2206
      @jonasmpita2206 Год назад

      clean money alijipatia wala sio rushwa

    • @LizzyMeibuko-qr7iy
      @LizzyMeibuko-qr7iy Год назад

      dah ningekuwa nae karibu ningempa binti yang amuoe kam hajaoa nampenda san

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg 6 месяцев назад +1

    Hongera Sana, Yuko na moyo Safi, damu ya Yesu imfunike Kaka yetu ili na wengine wajifunze kupitia kwake.

  • @neemaally5997
    @neemaally5997 Год назад +2

    Yaan hata mda wa Kuwaza rushwa hana hata kidgo yaan nampenda sana na alivyokijana anapendeza sana na Mungu kampa mwili mwepesi furahia tu kazi yako kijana ❤❤❤❤

  • @robertbutahe2835
    @robertbutahe2835 2 года назад +6

    Bonge la Traffic police officer. Safi sana. Good job, keep it up.

  • @martinisadru
    @martinisadru 2 года назад +11

    Mungu amlinde katika kazi yake, wangepatikana Askari wengi kama huyo katika majiji makubwa hapa nchini foreni zingetoweka na maendeleo yangekua kwa kasi, maana watu watafika kwa wakati katika kazi zao.

  • @nimphermonicah4754
    @nimphermonicah4754 Год назад +14

    This guy is Amazing ❤️❤️❤️👍

    • @bscollection9469
      @bscollection9469 Год назад

      Ulinzi wa KRISTO uwepo juu yake na pis watu wajitolrr kumsapoti

  • @halimahamis3280
    @halimahamis3280 Год назад +12

    Mungu amlinde sana nawenye husda!Aamiin rab

  • @girremahamed5451
    @girremahamed5451 2 года назад +5

    Ma sha Allah Tabarakaala, jamaa yupo fit sana na anaimudu kazi yake,na pia ana enjoy sana tena sama

  • @rashadymuhamad6293
    @rashadymuhamad6293 2 года назад +6

    Jamaa yupo vizuri, namkubali kwa sanna. Mungu ampe afya na kila la heri katika kazi yake na maisha yake kwa jumla.

  • @dannypeter4951
    @dannypeter4951 Год назад +10

    Huyu mtu mungu ampe maisha marefu katika kazi yake

  • @powerofgodtv9982
    @powerofgodtv9982 Год назад +4

    Kwa mm binafsi kwakweli nimejifunza kitu huyu askari anaipenda sana kazi yake wala hajalazimishwa piya inatakiwa awe mfano kwa wengine utakuta trafiki anasababisha foreni bila sabbu za msingi ila huyu dah!!! aiseee big up sana bro God bless you

  • @raphaelmitimingi6081
    @raphaelmitimingi6081 3 года назад +14

    Anafaa kuongezwa mshahara na kuwafundisha wengine waww na ari ya kuipenda kazi kama yeye! Nimempenda sana!

    • @nobertevarist6952
      @nobertevarist6952 Год назад

      Me Kwa mala ya kwanza kumuona nilijua anatumia kijit ise

    • @guidokalinga
      @guidokalinga Год назад

      Mm namkubali sana tena sana na ni shauri mzuri kwa madereva kama kuna mapungufu katika gari hatoi adhabu atakupa onyo , kwa mdomo, ilikaidi unapigwa faini Mungu mtie nguvu

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi5943 3 года назад +32

    Mungu amtangukie katika kazi yake.

    • @Innocentlichad
      @Innocentlichad Год назад

      Jamani naipenda mimwenyewe kaziyangu kamahuyu trafiki

    • @user-ly8hd6pg7w
      @user-ly8hd6pg7w 3 месяца назад

      Kweli Mungu akulinde Sana

    • @user-ly8hd6pg7w
      @user-ly8hd6pg7w 3 месяца назад

      ❤❤❤❤❤❤❤ waoooooh nimependa Sana🙏🙏🙏🙏🙏

  • @stievengenerally963
    @stievengenerally963 Год назад

    Hongera sana,this guy is great and talented,Amen.

  • @cynthiawashisino3735
    @cynthiawashisino3735 Год назад

    Amazing 😍 God bless you

  • @Mtayamwega
    @Mtayamwega Год назад +6

    Daaah! Binafsi mwenyewe nimemkubali sana huyu jamaa. Mungu ampe maisha marefu na mafanikio katika maisha yake.

  • @saidifund3868
    @saidifund3868 2 года назад +5

    Vizuri sana ni mazoezi ya mwili viungo vinakuwa madhubuti Mungu ampe afya njema.

    • @alymuhammad8104
      @alymuhammad8104 Год назад

      Mm nimefikia kutaka nimuon laiv yan kwa anvyo furahisha by abeid ridhwan suleiman kutaka dong kitarun ukipenda $tar big*

  • @luluchasama9347
    @luluchasama9347 Год назад +2

    Huyo jamaa ni noma,ni kweli anapenda kazi yake,asiondoshwe barabarani bila kufundisha wengine,ila aongezewe mkwanja

  • @user-eq2wg9hx6o
    @user-eq2wg9hx6o 5 месяцев назад +4

    Jamanii aamishiwe arusha tutafurahi sana❤

  • @haikaelmamuya931
    @haikaelmamuya931 2 года назад +4

    Ni kweli huyu Kaka ndio maisha take mwanzo siku amini mpaka nilipopita eneo lake la kazi Ila ndio utendaji wake. Mungu azidi kukubariki Bro.

  • @makameali6441
    @makameali6441 3 года назад +12

    Mimi nimempenda na nuombea kwa Allah adumu nayo kazi yake inshaallah

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 Год назад

      Kabisa nimempenda mno yaani ningekuwa boss wake ningempandisha cheo faster

  • @metuselangungulu4011
    @metuselangungulu4011 Год назад +4

    Tz we are proud with this kind of workers may God bless a man

    • @yasinta2342
      @yasinta2342 Год назад +1

      Proud of** SIO PROUD WITH!

    • @RamjiNdomba-cz7qv
      @RamjiNdomba-cz7qv Год назад

      Yuko poa vizuri na Kila mtu ana kalama yake so huyo ni kalama ambayo Mungu amempa pamoja na kwamba ananipenda kazi yake

  • @IsayaMtasiwa-jd4ei
    @IsayaMtasiwa-jd4ei Год назад +2

    Uyu mtu mungu ampe maisha malefu kwenye maisha yake kwamana niwachache sana wenye moyo kama wake safi

  • @shamsafarijala4801
    @shamsafarijala4801 3 года назад +10

    Nimempenda bureee mungu aendelee kukupa afya njema

  • @kelvinmhilu6509
    @kelvinmhilu6509 2 года назад +11

    I love this guy his in love with the job and his enjoying it his super

  • @peteruzia8313
    @peteruzia8313 Год назад

    Asanteee sana yupo vizuri sana
    Lakn pia hicho ni kipaji.kuroka kwa
    Mungu.kweli hasa
    Maana sis tunaona kwa macho yetu. Wenyewe kuna matrafk wana upendeleo kabsa hawamuogop mungu.
    Ukfka matumbi unakaa masaa ma2
    Mpaka uvuke tazara hv ni kweli

  • @erickegidius6625
    @erickegidius6625 2 месяца назад

    Mungu akulinde Afande, chapa kazi. Idara zote za Serikali na hata zile za Private sector wanatakaiwa kuwa na watumishi wa hivi kuanzia ngazi ya juu.

  • @amaniswai4969
    @amaniswai4969 3 года назад +7

    Awe mwalimu kwa wengine,na hapendi sifa Ila anajali kazi yake na anaifanya wa upendo wa Hali yajuu.hongera bro

  • @charlessando4129
    @charlessando4129 2 года назад +23

    I like this man Soo
    Much the way he is responsibilities for his duty

    • @mirajiissa4721
      @mirajiissa4721 2 года назад +3

      Safi sana uyo jamaa

    • @saidally4890
      @saidally4890 2 года назад +2

      Nampenda sana naomba hapewe posho ilinawengine wawe nawivu waige undajiuo

    • @saidimgawe6548
      @saidimgawe6548 2 года назад

      👍

    • @amirikyaka6942
      @amirikyaka6942 2 года назад +1

      Safi sana mkuu hinimeipenda sana

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 Год назад

      Jamaaa anafanya kazi vizuri sana inafaa aongezwe cheo Ila hata akipewa cheo zaidi ,asiache kuongoza magari barabarani . Kulikuwa na mtu akiitwa mayenu pia vizuri sana.

  • @SimeonMwakalobo
    @SimeonMwakalobo 8 месяцев назад +1

    Hongera sana Askari kwa kuipenda kazi yako. Nakuombea Baraka na Neema ya Mungu.

  • @user-sb5ei2bh6k
    @user-sb5ei2bh6k 4 месяца назад

    Uyu djaama nampenda sana Kuna watu wako ici anavituko asipo Vanya vituko Yani kama anaumwa Yuko vizuri from congo DRC.

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Год назад +3

    Afande wangu mungu akupe maisha marefu kwani nafurahi sana unachokifanya

  • @peteryonna4434
    @peteryonna4434 2 года назад +5

    Ama kweli anafanya kazi vizuri sana mungu amlinde na ambariki katika kazi zake aliyoichagua na vituko vyake nimevikubali sanaaaa

  • @anastasiakaindi7326
    @anastasiakaindi7326 Год назад

    Wow good job May God bless you and protect you forever and ever

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Год назад

    Daaaah nimeipenda style yake feeling today from NEW YORK CITY 🏙️

  • @hashimuhaji1036
    @hashimuhaji1036 2 года назад +4

    Dah!kusema ukweli kila mtu na kipaji chake ila jamaa yuko vizuri zaidi ya sana

  • @leahmgunda5248
    @leahmgunda5248 2 года назад +5

    Anafanya kazi aliyopangiwa na Mungu mwenyezi.Wazazi tusilazimishe watoto kazi wasizozipenda.

  • @jacquelinechriss6085
    @jacquelinechriss6085 Год назад

    Ni Poa Sana Mungu Ampe Kipawa Cha Milele,,,Kazi Nzuri Mno Aisee!!! Safi Sana

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 Год назад

    Yuko vizuri sana... akikaa barbarians hakuna misongamano.... welcome. Mungu akulinde Ascari wetu.

  • @graciousdavid9818
    @graciousdavid9818 2 года назад +18

    He is amazing!! I like it.

  • @paulolaizer9133
    @paulolaizer9133 2 года назад +3

    Mwambo yuko vizuri kwa kweli mungu amtiye nguvu

  • @ErickIsaya
    @ErickIsaya Час назад

    Nimemkubali hyo trafiki aje huku kwetu Arusha 😂😂😂

  • @user-ve3wu5jn1l
    @user-ve3wu5jn1l 3 месяца назад

    Mashalah inapendeza Sana . Anafamya kazi yake kiuweled Sana .Mwenyezi Mungu ampe Maisha marefu

  • @margaretwangari3523
    @margaretwangari3523 Год назад +6

    This is so good! GOD BLess him and help others to learn from him 😂

  • @emmanuelshayo2794
    @emmanuelshayo2794 2 года назад +3

    Mungu ambariki aisee. Ni kijana mzuri na anaipenda kazi yake.. BIG UP

  • @rehemamkumbo6746
    @rehemamkumbo6746 10 месяцев назад

    Safi sana kwakweli inafurahisha inaonyesha jinsi gani anavyo ipenda kazi yake namuombea kwa MUNGU YESU AMLINDE NA MABAYA YOTE YASIMPATE DAMU YA YESU IWE JUU YAKE POPOTE ATAKAPO KUA

  • @user-hm6hy6rr1h
    @user-hm6hy6rr1h 4 месяца назад

    Honger san kk mung akubarik🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mung akuwek uhamishiwe pemb jaman

  • @omarykiza
    @omarykiza Год назад +10

    This man deserves a Prize 🏆

  • @sharifuteacher5025
    @sharifuteacher5025 2 года назад +4

    Allhamdulillah allh amtangulie kwa kila jema kwenye kazi yake insha allh

    • @magumeangelo7926
      @magumeangelo7926 2 года назад

      Mungu ampe afya njema ikiwezekana serikali imwongezee mshahara maana anaipenda kazi yake. Na anaifanya kwa weledi mzuri sana

    • @magumeangelo7926
      @magumeangelo7926 2 года назад

      Mungu ambariki

    • @magumeangelo7926
      @magumeangelo7926 2 года назад

      Piga kazi kaka wengine wajifunze kwako

  • @LauraHonory64
    @LauraHonory64 13 дней назад

    Nimempenda gala mungu ampe maisha marefu

  • @tinahemmanuel2667
    @tinahemmanuel2667 8 месяцев назад

    This is good;; God bless I like this man soo

  • @josemgy1199
    @josemgy1199 Год назад +4

    This man deserves a prize

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 3 года назад +4

    Mimi nimempenda hakika anafanya vizuri, barikiwa mtangazaji

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 5 месяцев назад +1

    Yaani Ningekua Dereva Ningempa Hata Lako Moja Maana Kanivutia Sana
    Wengine Wamebakia Rushwa Tyu Buku Buku zetu Wana Chukua Watakufa na Laana za Rushwa na Watakufa Vibaya

  • @juniorberbilizjr921
    @juniorberbilizjr921 Год назад +7

    ❤❤ God bless him

    • @anastanziaaroisi8666
      @anastanziaaroisi8666 Год назад

      Safi nimeturia sana huyu turafk jembe anaipenda kazi take naanajali uutu sana nawengine wajinze

  • @janetmanyansa7385
    @janetmanyansa7385 2 года назад +8

    so encouraging,l like it

  • @ahmadalli8169
    @ahmadalli8169 Год назад +1

    Kazi nzuri kheri kubwa ikufikie askar wangu aaaammin

  • @abdulqareemabdallah2579
    @abdulqareemabdallah2579 5 месяцев назад

    Dah analet raha za barabarn mawazo hakun makosa tufanye wenyewe kwa huyu askar big up Allah akupe umri mrefu

  • @f.a6043
    @f.a6043 2 года назад +6

    Hakuna jambo zuri kama mtu kupenda kazi yake MUNGU AKUBARI Traffic officer asipandishwe Cheo ili azidi kuonyesha mfano mzuri wa kazi lkn aongezewe mshahara

    • @samwelimabula
      @samwelimabula Год назад

      Wao jamaa anaheshim kazi yake mimi binafsi nimempenda

  • @mourinhowakawe7867
    @mourinhowakawe7867 3 года назад +3

    Mungu akuzidishie police wetu

  • @OnesmusLodea-pf5zl
    @OnesmusLodea-pf5zl 4 месяца назад

    ILike him,may God bless for loving his work

  • @davidkariuki4406
    @davidkariuki4406 Год назад

    Huyu jamaa Kweri yeye ni police??aiiii well-done,kiererezo good job, God bless

  • @adammartinmwigune4501
    @adammartinmwigune4501 2 года назад +4

    Mimi binafsi nimemkubali, anaonyesha dhahiri kazi ipo kwenye damu.

  • @dayanakassanga944
    @dayanakassanga944 2 года назад +3

    Safi wazalendo bado wapo nchi hii

  • @aishaseif3817
    @aishaseif3817 Год назад +1

    Hongera sana unaipenda kazi yako mungu akutangulie ktk kila jambo nakupenda sana kila ninapokuona

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 года назад +3

    Mashaallah 💞

  • @pendopeter3769
    @pendopeter3769 3 года назад +3

    Nimependa pia nafikiri ni askari kijana ndo maana. Askari ambao umri umeenda pia na walionenepa wanaona tabu kusogea sogea haraka kwa kuchangamka wanasimama sehemu moja, japo wapo vijana ambao hawajitumi hii inakuwa nitabia ya mtu pia.

  • @user-kj8bd6rq5c
    @user-kj8bd6rq5c Год назад

    Hata Mimi nimependa
    Yuko sawa kabisa
    Mungu amlinde na ampe maisha marefu

  • @joycenasieku8374
    @joycenasieku8374 Год назад

    Nimemkubali Sana huyu Askari wow!! Keep it up

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 2 года назад +3

    Mashaallah

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi5943 3 года назад +3

    Miaskari mingine inajificha pembezoni kutafuta mlungula

  • @SalmaNnimala
    @SalmaNnimala Месяц назад

    Good your job we blessed you

  • @user-up2ef7dc6k
    @user-up2ef7dc6k 5 месяцев назад

    Yupo vizuri cn askari ❤mng amtangulia ktk kz yake in shaallah

  • @rukiammanyi-qm9iz
    @rukiammanyi-qm9iz Год назад +7

    So proud of him 🫠

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 2 года назад +4

    ❤😍❤

  • @madamelucy8429
    @madamelucy8429 4 месяца назад

    Mie mwenyewe nimempenda bure ila sijaona hata wa kudondosha hela ya soda wakati wakiwa baa wakihudumiwa vizuri wanaacha keep change , pongezi kwake ❤

  • @mukafumumukafumu6100
    @mukafumumukafumu6100 Год назад +1

    Kweli kazi hii usipoipenda utakuwa mtumwa. Hongera kijana wetu mpendwa.

  • @nkolemuya9283
    @nkolemuya9283 2 года назад +3

    Huku kutesana tena karne hii ya technology
    Msiweke traffic lights kwa nini
    Hongera kwa kujitoa askari wetu ila afya yako ni muhimu pia ili ulitumikie taifa na familia yako kwa umri mrefu zaidi

    • @jemawiliam9075
      @jemawiliam9075 2 года назад +1

      Traffic light zipo ila maranyingi huwa ndio sababu ya jam ndio huenda askari kupunguza jam kwakuwa taa hazina upendeleo huluhusu kwa muda marumu

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Год назад

      @@jemawiliam9075 kweli anasaidia unakuta taa zinaruhusu upande ambao magari hamna au machache, so anasaidia sana nimependa ubunifu sio kila saa stooop! Lete kadi lesenia mara bima mara fire extinguisher

  • @ndinhesyaasukenie1014
    @ndinhesyaasukenie1014 Год назад

    Big up, nilimwonaga Bamaga, i enjoyed fir real.

  • @user-fl1df7ve7e
    @user-fl1df7ve7e 5 месяцев назад

    Amina mungu amuongoze na awe na afya njema .Apande cheo awe mwalimu wa wengne

  • @user-ts1sx7fg7f
    @user-ts1sx7fg7f 3 месяца назад

    Jaman nimependa sn mngu amubariki yy nauzao wake mashalaa❤

  • @philipokitutu-4064
    @philipokitutu-4064 Год назад

    Mungu akubar ki sana my trafiki huyu aishi milele❤️❤️💯💯💯

  • @nurujulius1797
    @nurujulius1797 Год назад +1

    Nampenda bure Mungu amtie nguvu Daima kwakuifurahia kazi yake🥰

  • @Alex-nz2sk
    @Alex-nz2sk 5 месяцев назад

    ❤vizuri siku zote waga iviishi mda mlefu nikumhombea kwa mungu hamhepushe na mabalaa ya wanadai

  • @abdulazeezuae2442
    @abdulazeezuae2442 Год назад

    Mi naona hana habar ya kupendwa ndivo halivyo uyoo hata kwake hanaonekana mtu mwenye vichekesho mashaAllah

  • @mohammedkombawadomtznamungopig

    Huyu mwamba nakubali sana namfahamu muda kidogo ukipita maeneo alipo una enjoy kiukweli
    Mungu ambariki sana

  • @deusogiro9044
    @deusogiro9044 Год назад

    nampenda ssna Askari uyo Kama wangekuwa wote Kama uyo daa tungefurai Sana mungu ampe ulizi afanye kazi vizuri kupita iyo