MTANGA BAMBO NA ZIMWI ,MIKOPO YA KAUSHA DAMU LAZIMA UCHEKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2023
  • #mtanga #bamboo #zimwi
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 55

  • @mzamilyginga7321
    @mzamilyginga7321 Год назад +2

    Zimwi namkubali sanaaa

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 Год назад +3

    Leo watatu naomba like zangu mtanga comedy ni zaidi ya moto yaani kila dakika kila saa kila time vitu vipya

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 Год назад +2

    Zimwi mtanga bambo how are you "U to nawapenda sanaa jamni 🤣🤣🤣🤣

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Год назад +1

    Jamaa wanaenda na wakati hii kampuni inazungumziwa bungeni😀😀😀😀😀😀

  • @user-rr3qb5oi9e
    @user-rr3qb5oi9e 8 месяцев назад +1

    Zimwi mbona unatuacha sana tunakupend tunataman kukuon ukishirk na wezak kilamd please

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 Год назад +1

    Zimwi bigup

  • @devotajaphet7312
    @devotajaphet7312 Год назад +1

    Utaminimizo mtanga kinondo😀😀

  • @moodanimations3267
    @moodanimations3267 5 месяцев назад

    Iyo team pamoja na zimwi inabidi irud mjin

  • @felisterbaraka6152
    @felisterbaraka6152 Год назад +4

    Mtanga huyu zimwi usije ukamuacha anaweza sana

  • @dianacharles8147
    @dianacharles8147 Год назад +2

    Yahn nikimuonaga zimwi naanza kucheka kabla hajaongea

  • @omaraboud2115
    @omaraboud2115 Год назад +2

    😂😂😂 Bambo serikali inayotembea yaani mobile government

  • @officialtinnyaltezza9878
    @officialtinnyaltezza9878 Год назад +2

    Sisi ndo NIDA bwana

  • @selemankishuga948
    @selemankishuga948 Год назад +1

    Zimwi Akili una kweli kwaio mt asipake mafuta

  • @Jrhythms.
    @Jrhythms. Год назад +1

    Uta-Minimaizo 😂

  • @davidmwandenuka1712
    @davidmwandenuka1712 Год назад +1

    Hilo neno la lazima ucheke lifuteni

  • @malobyaodelo6311
    @malobyaodelo6311 Год назад +1

    Kwahy Masai sio mtu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdulzanzibar7154
    @abdulzanzibar7154 Год назад +1

    Zimwi anikosha sanaaa

  • @Mgema001
    @Mgema001 3 месяца назад

    Zimwi😅😅😅

  • @omaraboud2115
    @omaraboud2115 Год назад +2

    Yaani wiki hii mumenikoma nambar uno wenu kama kawa kama dawa

  • @lowasakitwiyan7758
    @lowasakitwiyan7758 Год назад +2

    Nani kaona miwani za Bambo

  • @user-ex1um2qk1e
    @user-ex1um2qk1e 3 месяца назад

    Si munipe haka kanjiti jameni

  • @dogosheby5847
    @dogosheby5847 Год назад

    namkubali sn bambo kutoka🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @browndickison3418
    @browndickison3418 Год назад

    Ongern san kwa kaz nzur🇹🇿

  • @yohanalukindo3737
    @yohanalukindo3737 Год назад +1

    Ameshindwa kulipa ki silencer😃😃😃

  • @danielmabilika3695
    @danielmabilika3695 4 месяца назад

    😂😂😂😂tuko kazino😆😆😆😂😂

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2u 17 дней назад

    Unadaiwa umepaka perfume ya nini

  • @lucasnghambi2566
    @lucasnghambi2566 Год назад

    Siachi kuwa follow ni daily niko na nyinyi zimwi aaah mmaaa

  • @ambrosmtupili4668
    @ambrosmtupili4668 Год назад

    Bora wakinamama wapate wakuwatetea, kwakweli

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 Год назад

    Daaah

  • @AllexanderBieber
    @AllexanderBieber 2 месяца назад

    Unadaiwa alafu unapaka pafyum yanini

  • @Masai_kifimbo
    @Masai_kifimbo Год назад

    👍👍

  • @Baddeset87
    @Baddeset87 Год назад

    Zimwi namona kwambari nakubari

  • @abdurahmnsobo4810
    @abdurahmnsobo4810 Год назад

    Uckubal kuanza na Sheria mpya

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2u 17 дней назад

    Tai nlidhani ni manager kumbe wanagawana elfu 5 watu watatu

  • @bekaali8930
    @bekaali8930 Год назад

    Hio ofisi au mabwana zenu

  • @jumaissa
    @jumaissa Год назад +2

    😁😁😁😁

  • @omaraboud2115
    @omaraboud2115 Год назад

    😂😂😂 Mtanga matusi hayo yaani waongea na watu kwani Masai si mtu?

  • @malataogtz2080
    @malataogtz2080 Год назад +1

    Unadaiwa unapaka pafyumu

  • @officialmwabambatv1350
    @officialmwabambatv1350 Год назад

    😂😂😂😂 bamboo
    Noma
    Bomba likoli moto

  • @magrethsimon5787
    @magrethsimon5787 Год назад

    😁😁😂

  • @BigKidCrib93
    @BigKidCrib93 Год назад +4

    Mtanga Pigeni Kazi Kwa Bidii Sisi tupo Nyuma Yenu Kwa Support.

    • @mtangacomedy
      @mtangacomedy  Год назад +1

      🙏🙏🙏

    • @mudyrumohd2177
      @mudyrumohd2177 Год назад

      Mtanga izo nyumba inakua marufuku kuingia ndani...
      Yan kila cku mnakaa nje mukisha kujipanga mstari kama vile gwaride ?

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 Год назад

    Unadaiwa pafyum ya nn mtanga

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Год назад

    😂😂😂😂😂

  • @kawambwagude8340
    @kawambwagude8340 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bboymelvo5494
    @bboymelvo5494 Год назад

    Eeeee jamani nachelewa sana ku comment hii nnkali zimwi nakuona umetisha ati kupata 😄 🤣 😂 bamboo umepiga pamba weeee team imekamilika sasa ati me 2 two me

  • @omaraboud2115
    @omaraboud2115 Год назад

    😂😂😂 Tight mark free nimeipenda kampuni hiyo kuna watu nawadai huku Mombasa tafadhali Bambo naomba huduma zako

    • @mtangacomedy
      @mtangacomedy  Год назад +1

      Hahahaha yaan ni kiboko zaidi tight mark free🤣🤣🤣🤪🤪🤪🤝

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 Год назад

    Hawa wazee wavigar Ningekua Rais ningetia ndani wote,wanafilis mioyo wajaslia mali

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 Год назад +1

    Eti bwana kwesheni maki

  • @omaraboud2115
    @omaraboud2115 Год назад

    🤣🤣🤣 duh Mtanga wewe kiboko yaani umebadilisha kesi papo kwa hapo

  • @barakaharony4396
    @barakaharony4396 Год назад

    🤣🤣🤣🤣