MC PETIT: CHAMA HAKUWA NA MCHANGO WOWOTE SIMBA/MASHINE TUNASHUSHA ZA MAANA SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июл 2024
  • Timu ya Simba SC Leo July 4,2024 imezindua mfumo utakaowawezesha mashabimi wa Simba SC kupata taarifa za klabu hiyo.
  • СпортСпорт

Комментарии • 9

  • @DeborahSaitoti-oy7fm
    @DeborahSaitoti-oy7fm 3 дня назад +1

    Safi sana waambie ukweli kaka

  • @SaidiKaniki-rn8yh
    @SaidiKaniki-rn8yh 4 дня назад +1

    Ni kweli kabisa,!!!!!Waambie hao si malimbukeni,,,Wanalazimisha kujulikana hao utopwize.

  • @VitalessGalus
    @VitalessGalus 4 дня назад +1

    watu msio jua mpila mnatakiwa mjue kuwa chama alimaza mkataba wake hakiwa ximba Ameondoka ximba akiwa uhuru sawa

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 2 дня назад

    💟💟💟

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 3 дня назад +1

    Hahahhahahahahaa nimecheka hatari, mchezaji anaenda timu ambayo malipo ya mchezaji yanaenda kumaliziwa mahakamani

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638 4 дня назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @LuqmanIddi-cb8me
    @LuqmanIddi-cb8me 4 дня назад +2

    Mimi niwashauri waandishi wa habari sasa hivi msiwahoji mashabiki wa simba kuhusu chama wanaweza kulia.

  • @barakamwamkinga4624
    @barakamwamkinga4624 3 дня назад

    Mc umezingua chama kafanya mambo makubwa ndani ya simba yetu unayoongea ni siasa za mpira wa Tanzania kwa mfano ntibazokiza alipokuwa Yanga sisi tulisema mzee akaja kwetu kijana na wao chama wa simba mzee aliyeenda Yanga kijana ila chama analijua bili ila sijui kama atakuwa bora kama wa simba