CHECHE ZA AHMED ALLY/CHAMA BADO HATUJAACHANA NAE/AYOUB LAKRED AMEONGEZA MKATABA/LAMECK LAWI NI WETU
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Klabu ya Simba SC Leo July 8,2024 imeanza safari kuelekea Misri,ambapo itaweka kambi kwa ajili ya kujianda na msimu wa 2024/2025.
Kama umempenda uyo mzee apo gonga like Nione apa
Utopolo tuliyeni ya Simba hayawahusu!! Mtakandwa nyie nyooo! Tuachen na Simba ye2❤❤❤
Labda mjikande wenyew lkn hamuwezi iKanda Yanga kwa Karne hii
Nafurahi San simba ya msimu huu ni 🔥
Gonga like kwa ayubu kubakia simba, pia kwa wachezaji
Mjomba Shabani umeaga unaenda kutafuta chochote kitu kumbe umekuja Airport kushangilia Speech za Semaji
Semaji ni mwananchii km hamjui utakuwa mjanj kumsom mtu,, ni mnafki t ten haumii akifungw na yanga,, but hamjamgundua t damu yke ni Wananchi tupu chukueni iyo!!!
😂😂😂😂😂😂😂 haka kasemaji kaende kuomba usajiri Kwa akina Jot na Mpoki comedian sanaaaa😂😂😂😂
Hahahahahahahahahha. Uyo mzeee apo nyumaaaaaa😅🙌
Nawatakia safari njema na mazoezi mema huko Misri.
Simbaaaa
Huyo mwamba nyuma mwenye jezi ya Simba anafurahia tu😅😅
Huyo Mwamba hapo nyuma sijamuelewa .....mm napenda Simba lakini huyo kaka hapo nyuma ni zaidi
😂😂😂😂😂 chenjeu jitu zimaa kujidharirisha hvy nd nn
Kweli
Wewe ndio chenjeu hujielew Kwan hapo amekosea nn @@fettymilly7664
😂😂😂utadhan n yule usiku wa manane wa kenya
Ahamed wachezaji ambao hawakuonekana kwenye msafara maana yake ni wao wametoa THANK YOU Kwa Simba SC eti the comedian of colo sports club sema kweli usirukeruke kama maharage. 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🤭🤭🤭🤭🙊🙊🙊🙊🙊🙊🙊🙊🙊
Semaji la dunia,simba nguvu moja
Huyo mzee baba sasa hapo behind ananiua 😂😂😂😂🤣
the future is bright
Simbaaa❤ me ntakua shabiki wa valetne nouma kuanzia sasa
😂😂😂 yan huyo mzee uuuuwwiii
Safi Sana semaji la simba
Jaman mzee kanirahisha
Huyo mtangazaji wa Tuzo tv nimempenda bure 😜😜
Nakukubali wewe, Acha na wasemaji wengine warembo.
Ila uyo mjomb apo nyuma nimkereketwa kwely ao ndio wanao lia sasaaaaa timu ikitoa ata saree
Naona kama yanga wanakuwa na hasira ivi😂😂😂😂😂😂😂
Nendeni MKAZURULE mkirudi ni VIPONDO tu...!
😂😂😂😂😂😂 Comedy ishaaanza aisee😅😅
Hivi Deborah na Mudathir nan mkali
Haisee uyo rafik yang AP nyum mweny jezi ananifurahish xaan ,,!!
🦁🦁🦁🦁💪💪
Simba nguvu mojaaaa
Huyu mzee kwake haonekan kweli
😅😅😅
Ukiona hivyo ujue dili la lawi limebuma
Comedian imeanza ata apo nyuma naona mchombezaji
Nipeni moyo nyie Vyura ila kuweni mvua zimekata! Sijui nitaishije....! Ubaya.. Ubwela ! Yangu macho...
Safi mzeeee
Unamchongea mwalim akifukuwza yy sijui itakuwaje juu ya wachewaj mliomsajilia na kusema mmemshilikisha
🦁🏆💪💪💪
Hawachelewi kutimuana nimekaa paleeee😊😊
Kwa simba hii mambo ni
Na mpogoro ni wa Iringa 😂
Mnaanza tena kwenda vipande vipande
Ilo upara linacheka to
😮
❤❤❤❤❤❤🎉🎉
Sasa si mlitwambia Janney kishai si wa Mpenja Tv tena mbona tunamkuta apo akisakua content?? Hii ipoje?
Hongera
🦁 ❤
Mzee wa komedi wandishi mnafurahi mpira umevamiwa
Huyo mzee hapo nyuma.mshabiki kindakindaki kweli
❤❤
Huyo mzee hapo nyuma
Ana tingisha bichwa tuu kama feni bovu 😂😂😂
Uyo mzee utakuja kulia baadae ajui anapogezw na msemaji
Mfia timu nyuma ya msemaji mbona unanichekesha unahisia sana na timu 🤣🤣
Semaji ni mwananchii km hamjui km unajuw kumsom mtu mtagundua
Hao nyuma waganga
Ila kumuacha Mgunda kwenye benchi la ufundi haipendezi
Ww wadanganye madunduka wenzio tu ivoivo mkirud kuzurura huko mnakandwa semaji unakimbia
Huyo mwamba hatar hapo nyuma
😂😂😂 semaj letu utatuua
,😂😂😂😂😂
Na mpogolo wa iringa
Simba ina comedy si msemaji mwenye akili hata hajiulizi kama simba ipo kimkakati.
Dunduka lipo nyuma hapo limedata na comedian wa taifa
Ubaya ubwera😂
Tunamtumia kocha msaidizi kwenye Ligi ngumu na Timu kubwa kama Simba ? Number 7 Africa?
Raja ni ya ngapi kwa Ubora?
Anyway results dont lie all the best
Bado naamini Mgunda ni bora zaidi
Raja ni bingwa Morocco
@@anthonylusuva6039 Kwenye Viwango Africa number ngapi? Bado kocha wa kawaida huyu
Watu wanasifia alat ata match 1 aijachezqa
ASANTE SANA MO NA BECHI LAKO. MAYELE NA FEI VP
Aendeleee kutoa milio ya mbuzi hapo wacha mbungi lianze wakataane
😂😂😂😂
MIMI CJAJUA HABARI KUHUSU KRAMO
Amesha chinjwa huyo
@@GibsonNtamamilo tarifa yake cja iyona ndio mana nikauliza
Nguvu moja
VP kuhusu jum mgunda
Yaan kuchukua ma ex zetu tuuu kusajiri aaaah
Kulopoka ndo msgoli lakini 5 pale pale
😂😂😂😂😂
Kaka uchoshi wewe
Semaji ni mwananchii km hamjui utakuwa mjanj kumsom mtu,, ni mnafki t ten haumii akifungw na yanga,, but hamjamgundua t damu yke ni Wananchi tupu chukueni iyo!!!
Semaji ni mwananchii km hamjui utakuwa mjanj kumsom mtu,, ni mnafki t ten haumii akifungw na yanga,, but hamjamgundua t damu yke ni Wananchi tupu chukueni iyo!!!
Semaji ni mwananchii km hamjui utakuwa mjanj kumsom mtu,, ni mnafki t ten haumii akifungw na yanga,, but hamjamgundua t damu yke ni Wananchi tupu chukueni iyo!!!
Semaji ni mwananchii km hamjui utakuwa mjanj kumsom mtu,, ni mnafki t ten haumii akifungw na yanga,, but hamjamgundua t damu yke ni Wananchi tupu chukueni iyo!!!
Semaji ni mwananchii km hamjui utakuwa mjanj kumsom mtu,, ni mnafki t ten haumii akifungw na yanga,, but hamjamgundua t damu yke ni Wananchi tupu chukueni iyo!!!