ENG. HERSI ATHIBITISHA AZIZ KI KUTOKUSAINI MKATABA MPYA NDANI YA YANGA
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Rais wa Young Africans Eng Hersi Said kupitia moja ya kituo nchini South Africa amethibitisha kuwa klabu hiyo bado haijamuongezea mkataba mchezaji wake Stephen Aziz Ki Raia wa Burkinafaso.
Kiukweli hiyo cyo taarifa ya kweli. Viongozi wetu wapo making,nina imani Azizi Ki atasign tu.
This is business. Very creative and smarter eng.Hersi
Wananchi tulipie ada za uanachama tuisaidie klabu mapato. hatuwezi kuwabakisha wachezaji wazuri wa kutupa klabu bingwa kama hatuiwezeshi klabu kupata pesa kupitia ada za uanachama.
mlitaka aseme kasign ili mpate content rais anajua kucheza na akil zenu akienda bhs akibaki bhs aendi na timu timu itabaki pale pale
Huyo naye aende, yeye siyo Yanga. Wachezaji wako wengi. Nunueni mchezaji mwingine
Nilijua tu,lkn viongozi kama mnataka mafanikio ya yanga vunjeni kibubu
Mchezaji ana matakwa yake na pia club inaangalia profit na demerit
Akitaka kwenda tunamtakia Kila la kheri we unataka 54m Kila mwezi na sis mashabik tunalipa 25elfu Kwa mwaka unategemea nn
Aondoke tu asitubabaishe yanga kubwa kuliko yeye alafu pia akumbuke kuwa mfumo wetu nao ulimbeba
Ila kweli kabisa
Kama tunamalengo yakuchukua uningwa wa Caf lazima tumbakishe Aziz tunawaamini viongozi wetu tunaomba kwa gharama yeyeto abaki
Ubigwa wa caf upi
Kama mchezaji hataki unamfunga kamba
😂😂😂 acheni kumng'ang'ania mchezaj
Aende tu.
akitaka kuondoka aondoketu asituumize akili zetu kwani yeye ninani bwana asijione mungu mutu ilimudi tumemupata dube inatosha aendetu
Amesema hvyo
Uwanja na usajili ni malendo tofauti kabisa
Mpenja Tv nilikuwa nawakubali Kwa taarifa za uhakika kumbe na nyie nikama hale wengine
Mwache tusikie akiongea
Tunshindwa kumsajiri Aziz Je uwanja utajengwa kweli?
Wangapi wamebakia akiona hatujafikia matakwa yake aende tutamtakia Kila la kheri uwanja na mchezaji ni vitu viwil tofauti we tulia
Nawewe acha kuamini Kila kitu
Umeweka sh. ngapi ? .....
Si mmuache mwenyewe aseme acha uongo wewe alikuwa anazungumzia mualiko sio Azizi k
Tayari anaepiga nae picha keshafanya yake,
Shoga wewe