ENG. HERSI ATHIBITISHA AZIZ KI KUTOKUSAINI MKATABA MPYA NDANI YA YANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Rais wa Young Africans Eng Hersi Said kupitia moja ya kituo nchini South Africa amethibitisha kuwa klabu hiyo bado haijamuongezea mkataba mchezaji wake Stephen Aziz Ki Raia wa Burkinafaso.

Комментарии • 28

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana
    @ExecutiveHouseKeeperElewana 2 месяца назад +8

    Kiukweli hiyo cyo taarifa ya kweli. Viongozi wetu wapo making,nina imani Azizi Ki atasign tu.

  • @LambertNandi-kf3ww
    @LambertNandi-kf3ww 2 месяца назад

    This is business. Very creative and smarter eng.Hersi

  • @calmjnr
    @calmjnr 2 месяца назад +1

    Wananchi tulipie ada za uanachama tuisaidie klabu mapato. hatuwezi kuwabakisha wachezaji wazuri wa kutupa klabu bingwa kama hatuiwezeshi klabu kupata pesa kupitia ada za uanachama.

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 месяца назад +5

    mlitaka aseme kasign ili mpate content rais anajua kucheza na akil zenu akienda bhs akibaki bhs aendi na timu timu itabaki pale pale

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 2 месяца назад +2

    Huyo naye aende, yeye siyo Yanga. Wachezaji wako wengi. Nunueni mchezaji mwingine

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 месяца назад +2

    Nilijua tu,lkn viongozi kama mnataka mafanikio ya yanga vunjeni kibubu

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 2 месяца назад +1

      Mchezaji ana matakwa yake na pia club inaangalia profit na demerit

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 2 месяца назад

      Akitaka kwenda tunamtakia Kila la kheri we unataka 54m Kila mwezi na sis mashabik tunalipa 25elfu Kwa mwaka unategemea nn

  • @SEVENTAIMBEMBELA
    @SEVENTAIMBEMBELA 2 месяца назад +1

    Aondoke tu asitubabaishe yanga kubwa kuliko yeye alafu pia akumbuke kuwa mfumo wetu nao ulimbeba

  • @AmaniMnzava-c3c
    @AmaniMnzava-c3c 2 месяца назад +4

    Kama tunamalengo yakuchukua uningwa wa Caf lazima tumbakishe Aziz tunawaamini viongozi wetu tunaomba kwa gharama yeyeto abaki

  • @emmahuruma7595
    @emmahuruma7595 2 месяца назад +1

    Kama mchezaji hataki unamfunga kamba

  • @ZachariaMwita-bu7rw
    @ZachariaMwita-bu7rw 2 месяца назад

    😂😂😂 acheni kumng'ang'ania mchezaj

  • @elidifridajingu3153
    @elidifridajingu3153 2 месяца назад

    Aende tu.

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 2 месяца назад

    akitaka kuondoka aondoketu asituumize akili zetu kwani yeye ninani bwana asijione mungu mutu ilimudi tumemupata dube inatosha aendetu

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 2 месяца назад

    Amesema hvyo

  • @SEVENTAIMBEMBELA
    @SEVENTAIMBEMBELA 2 месяца назад

    Uwanja na usajili ni malendo tofauti kabisa

  • @AmaniMadata
    @AmaniMadata 2 месяца назад

    Mpenja Tv nilikuwa nawakubali Kwa taarifa za uhakika kumbe na nyie nikama hale wengine

  • @deograsiassteven9262
    @deograsiassteven9262 2 месяца назад +1

    Mwache tusikie akiongea

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 2 месяца назад +1

    Tunshindwa kumsajiri Aziz Je uwanja utajengwa kweli?

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 2 месяца назад +2

      Wangapi wamebakia akiona hatujafikia matakwa yake aende tutamtakia Kila la kheri uwanja na mchezaji ni vitu viwil tofauti we tulia

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 месяца назад +3

      Nawewe acha kuamini Kila kitu

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 2 месяца назад

      Umeweka sh. ngapi ? .....

  • @ernestdismaseryd1677
    @ernestdismaseryd1677 2 месяца назад

    Si mmuache mwenyewe aseme acha uongo wewe alikuwa anazungumzia mualiko sio Azizi k

  • @Veni584
    @Veni584 2 месяца назад

    Tayari anaepiga nae picha keshafanya yake,

  • @PrisilaKatobe
    @PrisilaKatobe 2 месяца назад

    Shoga wewe