World War III | With Prophet Musa Meizon

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Karibu sana katika Ibada ya Jumamosi ya leo, ibada ya Kinabii ya mtandaoni. Karibu kusikia NENO linalohusiana na MAISHA YAKO YA KIMWILI NA YA KIROHO.

Комментарии • 11

  • @MussaBakil
    @MussaBakil 8 дней назад

    Una swaga

  • @MussaBakil
    @MussaBakil 8 дней назад

    Kumbuka mungu ame kataza vinubi mziki ww una amini Nini

  • @venancembwaga-uw6kb
    @venancembwaga-uw6kb 7 дней назад

    Mungu akubarik sana Kuna vitu nimepata,hakika ni muda wa kujiandaa kwa unyakuo

  • @HappyJohn-h8q
    @HappyJohn-h8q 9 дней назад

    Ameeeen

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 8 дней назад

    Kitu msichojua ni kuwa wamarekani weusi hawajitambulishi km waafrika,na Huwa hawataki kabisa
    Hii nimesema sbb ya kusema p did ni mwenzetu wao Huwa hawoni hiyo

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 8 дней назад

    Yaani ndoa za mitala Kwa waafrika ni tatizo
    Ndo maana siwataki kabisa
    Ni shida kubwa mno

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 8 дней назад

    Kwahiyo mwili 1 hapo kwenye mitala inakuwaje?
    Roho Mtakatifu atusaidie sn kuyaelewa maandiko

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 8 дней назад

    Biblia ya kiswahili Ina miss vitu vingi
    Ndoa ya mitala sio sahihi zina spirit nyuma yake zinazopush kufanya hivyo
    Ss Bora aoe hao wake wengi ,haoi ila ila Kila Kona michepuko imekaaje hiyo?

  • @SeuriMollel-im5yw
    @SeuriMollel-im5yw 9 дней назад +1

    Nikweli sasa nimesha amini vita hivi ni vya dunia sasa ndio zimeshaanza watanzania na wakenya me to nawashairi msije anza gombanishwa maana sisi ni ndugu na majirani hawa jamaa wakataeni ipo siku mtapiganishwa kwa kitu kidogo mkajikuta tena unamuua mjomba au mjukuu wako kwa maana unakuta masai yupo kenya na ana familia Tanzania hivyo kwa makabila zingine