Kitu msichojua ni kuwa wamarekani weusi hawajitambulishi km waafrika,na Huwa hawataki kabisa Hii nimesema sbb ya kusema p did ni mwenzetu wao Huwa hawoni hiyo
Biblia ya kiswahili Ina miss vitu vingi Ndoa ya mitala sio sahihi zina spirit nyuma yake zinazopush kufanya hivyo Ss Bora aoe hao wake wengi ,haoi ila ila Kila Kona michepuko imekaaje hiyo?
Nikweli sasa nimesha amini vita hivi ni vya dunia sasa ndio zimeshaanza watanzania na wakenya me to nawashairi msije anza gombanishwa maana sisi ni ndugu na majirani hawa jamaa wakataeni ipo siku mtapiganishwa kwa kitu kidogo mkajikuta tena unamuua mjomba au mjukuu wako kwa maana unakuta masai yupo kenya na ana familia Tanzania hivyo kwa makabila zingine
Una swaga
Kumbuka mungu ame kataza vinubi mziki ww una amini Nini
Mungu akubarik sana Kuna vitu nimepata,hakika ni muda wa kujiandaa kwa unyakuo
Amen
Ameeeen
Kitu msichojua ni kuwa wamarekani weusi hawajitambulishi km waafrika,na Huwa hawataki kabisa
Hii nimesema sbb ya kusema p did ni mwenzetu wao Huwa hawoni hiyo
Yaani ndoa za mitala Kwa waafrika ni tatizo
Ndo maana siwataki kabisa
Ni shida kubwa mno
Kwahiyo mwili 1 hapo kwenye mitala inakuwaje?
Roho Mtakatifu atusaidie sn kuyaelewa maandiko
Tutakuwa na hilo somo hivi karibuni.
Biblia ya kiswahili Ina miss vitu vingi
Ndoa ya mitala sio sahihi zina spirit nyuma yake zinazopush kufanya hivyo
Ss Bora aoe hao wake wengi ,haoi ila ila Kila Kona michepuko imekaaje hiyo?
Nikweli sasa nimesha amini vita hivi ni vya dunia sasa ndio zimeshaanza watanzania na wakenya me to nawashairi msije anza gombanishwa maana sisi ni ndugu na majirani hawa jamaa wakataeni ipo siku mtapiganishwa kwa kitu kidogo mkajikuta tena unamuua mjomba au mjukuu wako kwa maana unakuta masai yupo kenya na ana familia Tanzania hivyo kwa makabila zingine