Kitendo WASAFITV walichomfanyia ALIKIBA / MUNGU Yupo Atawalipa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Kitendo cha WASAFITV walichomfanyia ALIKIBA / MUNGU Mkubwa
    © 2018 Romanus Television. All rights reserved.

Комментарии • 269

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 6 лет назад +7

    Isingepigwa bado mgelaumu lkn imepigwa bado mnaleta maneno mengi...big up wasafi kwa sapoti yenu kwa kiba.

  • @khamismasaai5307
    @khamismasaai5307 6 лет назад +9

    Mziki hauendi kwa team ndio maana kunabaki watu wawili tuu siku zote na kuna vipaji Vingi sana bongo is time to wake up angalia Nigerian's wanavyo bebana na wanafanikisha suport good music to the world maswala ya team wa bongo acheni munaua industry yenu wenyewe kwakuto kuelewa gonga like kama ni fun wa mziki mzri team uwanjani.

    • @rosemaiko9405
      @rosemaiko9405 6 лет назад +1

      Khamis Masaai wakina Mario wanakuja,Benson Na wengi watafikaje juu utim tu

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 6 лет назад +1

    daima kiba na mondi hawana bifu ila watu wanaotafuta mkate wawatoto kwanguvu ndio wagombanishi ilo mbona tunalijua#
    by the way kiba ni kakaake mondi kimziki na mond anamuheshim kama kakaake kimziki ndio maana unaona anaruhusu ngoma ya kiba kuchezwa kwenye wasafi tv,Hongera mondi kwa moyo mzuri wa sapport pia hongera kiba kwa ngoma tamu....
    mwambie sina ohh,wakutamba nae.
    mwambie sina ohh,wakuringa nae.
    #Kizazi sana asee.
    #call me yuzo b mapesa from dsm tz.

  • @aminadaudi4680
    @aminadaudi4680 6 лет назад +6

    WASAFI TV nikama tuu TV nyingine nawala sio kwa sababu ndo tv ya wcb basi warushi nyimbo zao tuu amna uwo ni mtazamo wawatu wanje jinsi wanavyo ona wenyewe ila mond wala hata roho mbaya ya ubaguzi ndio maana anafanikiwa sana coz roho yake aina konyongo wala bifu na mtu yeye anaangalia maisha yake na pesa na kuishi na watu vizuri basiii😍😍😍😍

    • @RomanusTv
      @RomanusTv  6 лет назад +1

      Umeandika point tupu

    • @ritherfintan1119
      @ritherfintan1119 6 лет назад +1

      Nikwelii kabisa magazeti na mitanandao uwatengenezea team Katie ya kiba na mond lakini wakosawa mbona

    • @agostinomapigano3299
      @agostinomapigano3299 6 лет назад +1

      Amina Daudi poa sana

    • @aminadaudi4680
      @aminadaudi4680 6 лет назад +1

      Romanus Tv pa1 sana 👏

    • @aminadaudi4680
      @aminadaudi4680 6 лет назад +1

      Rither Fintan sawa kabisa hawa waandishi wa habari ndo huwa wanaanzisha hayo mambo ya team

  • @lenjeevara3407
    @lenjeevara3407 6 лет назад +7

    wamepiga mbona wamepost

  • @omalykipeto2390
    @omalykipeto2390 6 лет назад +1

    Rajab abdul wasaf tv ni chaneli kama nyengne haimaanish ya wcb wacheni ushamb

  • @husseinc
    @husseinc 6 лет назад

    Wasafitv isaidie sanaa yenu icho ndo chamuim kuliko kumfikilia kiba nyimbo moja miaka 7 na hii juzjuz katoa wmbowa2012 yani ajielewi

  • @diamondplatnumznewsajm2053
    @diamondplatnumznewsajm2053 6 лет назад +5

    Wasafi na Diamond haina tatzo na m2 ila wao wengine ndo wanamatatzo

  • @benoseaone
    @benoseaone 6 лет назад +15

    Waandishi wa habari ndio wachochezi wa migogoro.
    Ndiyo maana hata Serikali inavifungia vyombo vya habari visivyo na maadili kutorusha matangazo.
    Kiba na Chibu wote ni watafutaji so lazima kila mmoja apambane ili afanikiwe kuliko mwingine but haimaanishi kuwa ni maadui kiasi cha kutoshirikishana mambo yao.
    Kazi ya chomba cha habari ni kufukisha habari au ujumbe kwa wasikilizaji, watzamaji na wasomaji so wasafi tv wako kwenye majukumu yao.
    We mtangazaji acha roho mbaya ya uchochezi.
    Siku nikitoka na demu wako nadhani hata hatutasalimiana wakati yeye mwenyewe atakuwa karidhia.

    • @RomanusTv
      @RomanusTv  6 лет назад +1

      Kwani kuna sehemu nimeongea vibaya ndugu? Ipi hiyo? Kama ipo nisamehe sana

    • @festoedward1902
      @festoedward1902 6 лет назад

      Benedicto Hosea hahahahahaha

    • @ayubuhenry5426
      @ayubuhenry5426 6 лет назад

      @@RomanusTv Labda amemanisha kichwa cha habari kama mtu hata watch mmh ataelewa makubwa

    • @elizacharles3147
      @elizacharles3147 6 лет назад

      Benedicto Hosea Fact

  • @mr.crazytv7649
    @mr.crazytv7649 6 лет назад +7

    WCB ni kama media zingine

  • @jildow4533
    @jildow4533 6 лет назад

    Tz yetu. Na wote wanaipeperusha bendera hii ya Tz. Hivyo kama wamefanya ku shared muziki wa ndugu zetu Kutoka Kingmusicrecord wamefanya vyema. Mungu ndie muweza na anajua kwanini iwe hivyo.

  • @mkwandagaspar7098
    @mkwandagaspar7098 6 лет назад +1

    Wasafi ndio maisha mzee baba

  • @allihassan3188
    @allihassan3188 6 лет назад +9

    ngoma Kali n Kali tu waicheze wasicheze

    • @RomanusTv
      @RomanusTv  6 лет назад +1

      Duuh 😀😀😀😀

    • @salimaamir5561
      @salimaamir5561 6 лет назад

      Kiba alisema utaicheza hata ukiwa chooni

  • @RomanusTv
    @RomanusTv  6 лет назад +23

    watu wanashindwa kuelewa kilicho zungumzwa kwenye video,ni hivi = wasafitv wamepiga wimbo wa alikiba bila hata mwenyewe kuupeleka ofisini kama wanavyofanya wasanii wengine, *so kitendo hiki ni upendo wa dhati na MUNGU ATAWALIPA KWA HILI, fikilia kabla ya kutoa comment yako*

    • @etropiabrighton6365
      @etropiabrighton6365 6 лет назад +1

      tatizo wanakurupuka tu na stress zao

    • @jayratumaulid582
      @jayratumaulid582 6 лет назад +2

      Romanus Tv sio mapenzi tyu bali ni mziki umekubalika jaman ndo maan akaitwa king

    • @mohamedhamis9933
      @mohamedhamis9933 6 лет назад

      Wapendane &kusupportiana tu sioni km ni xhida saaana..One love

    • @princehancesam9892
      @princehancesam9892 6 лет назад +1

      Diamond nia yake mxiki ufike mbali zaid

    • @kaushibe_tz6478
      @kaushibe_tz6478 6 лет назад

      Status yako inafanya watu waplay tujue ulivyo andika ni kweli acha uchochezi ms3ng3 nn

  • @willyhill7593
    @willyhill7593 6 лет назад +2

    What I know Kiba Na Diamond have no beef,, if you know you know,,,hit my comment,,,from Kenya 254

  • @mwajayshekallaghe568
    @mwajayshekallaghe568 6 лет назад +10

    Hata Iweje Kiba Ni King Him self Jesh La Mtu M1 Mungu Akucmamie zaidi

    • @feliciankazimoto8888
      @feliciankazimoto8888 6 лет назад

      Leo ndo nimeamini kuwa mashabiki wa Kiba ni wapumbavu.

    • @samsonmusa7626
      @samsonmusa7626 6 лет назад

      Jeshi la mtu mmoja hao wengineo akina abdu kiba, k2ga, cheed na Killy wao sio jeshi

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 6 лет назад

      Jeshi la watu 5

  • @paschalluwela5629
    @paschalluwela5629 6 лет назад

    ngima kaliii sana mtuanapofanya kizul anasitahil pongez ngoma ya kings muzk ikopoa sanaaa king kiba sana.

  • @windkazidi690
    @windkazidi690 6 лет назад +1

    Ninachojuaga waandish ndiowachochez kumbe namashabikipia!acheni uteam mnafeli waswahiliwenzangu.( by wind the one)

  • @simonpadon6458
    @simonpadon6458 6 лет назад

    Alie post hii habar mm namuona boya kwan haelew kaz media sasa hapo raajabu nn???

  • @davidavda2922
    @davidavda2922 6 лет назад +6

    Mzk mzur utaimbwa ata choon

  • @jumakapora2691
    @jumakapora2691 6 лет назад

    Nyie waandishi wapumbavu sana acheni kuchonganisha watu waacheni wapige kazi apa kazi tu majungu kwenu waandishi """"""

  • @muhsinmsimu7115
    @muhsinmsimu7115 6 лет назад

    kiba tatizo unachelewesha sana nyimbo.

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 6 лет назад +18

    Hata wasipopiga bado itaendelea kuwa juu kiba ndiyo kiba

  • @jumaiddy3636
    @jumaiddy3636 6 лет назад

    Mbona headline zenu zinapishana na video zenu unazingua

  • @misalabadotto6251
    @misalabadotto6251 6 лет назад +1

    ngoma yetu nizur

  • @eddiemnene3022
    @eddiemnene3022 6 лет назад

    Hivi wasafiTv ni ya Diamond???

  • @didierdrogbar2302
    @didierdrogbar2302 6 лет назад

    production yako ya sound ni mbovu just fix it utastk stak

  • @athumanbisudy4635
    @athumanbisudy4635 6 лет назад +10

    Watanzania tuache ushamba iyo media inahaki ya kuonyesha chochote kile tuache maneno na tuache bifu zisizo tuhusu na tim zetu zisizo na maana

    • @RomanusTv
      @RomanusTv  6 лет назад +1

      Kweli kabisa ndugu

    • @ramseyrmsy3366
      @ramseyrmsy3366 6 лет назад

      Athuman Bisudy kabisa kaka maana hata Kiba angekuwa na roho mbaya angekataza Wasafi wasipige lakin sijawahi kumskia wala kulala mika hivyo wote wako sawa hawana shida tatzo ni ushabiki wakijinga na media zinaongoza kwa kuchonganisha baada ya kubuni vitu vizur ili ziendelee wao wanaendekeza chuki ili wapate pesa.

  • @stephennzaro643
    @stephennzaro643 6 лет назад

    Hapo zarau kaka amefanya kitendo cha unyama sana kwa mwwnzake akumbuke pia yeye ana roho kama yy mbona umuone mwenzake kama kiatu...walllahi Mungu ywamuona.

  • @abdulahimohamed9480
    @abdulahimohamed9480 6 лет назад

    Kama umesikia I don't sure like hapa

  • @ashanuru4234
    @ashanuru4234 6 лет назад +12

    king kiba nakukuball

    • @mohamedkhatib5526
      @mohamedkhatib5526 6 лет назад

      nyie mnawaza bifu wenyewe wanapiga mpunga hahahahaha twende kaz mziki mzur na mtamu king music mooko!!!!!!

    • @jayratumaulid582
      @jayratumaulid582 6 лет назад +1

      Asha Nuru sanaa tyu yaan

    • @hoseanobocka4533
      @hoseanobocka4533 6 лет назад

      Msimshindanishe Diamond na msanii yeyote East Africa ukweli unajulkana ,sasa washndani wa Diamond ni wizkid na davido ,tu kiba mshndanshe na akina aslay ,mbosso harmonize na wengne

    • @ashanuru4234
      @ashanuru4234 6 лет назад

      Jayratu Maulid umeonaa eeee

    • @allizohhassan5964
      @allizohhassan5964 6 лет назад

      Hosea Nobocka mziki n mashabiki asa ukisema ashindanishwe na kina mboso wamansha mashabiki wa alikiba mboso anseza washnda, that is not real my frinend truly kiba can only compete with diamond bt those small kinds ......think twice b4 u talk.

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 6 лет назад

    Ngoma ya Kiba na watoto wake ni kubwa kuliko kangaroo,na nyimbo zote za wasafi 2018

  • @romydmichael6434
    @romydmichael6434 6 лет назад

    Nimependa sana

  • @mohamedbakari9167
    @mohamedbakari9167 6 лет назад +1

    Watangazaji punguzeni njaa,,Wasafi ni homa ya Dunia

  • @beingharmonyharona4835
    @beingharmonyharona4835 6 лет назад +9

    i don't sure😂😂stick to Swahili

    • @RomanusTv
      @RomanusTv  6 лет назад

      HAHAHAHA!

    • @RomanusTv
      @RomanusTv  6 лет назад

      😀😀😀😀

    • @meddy_upette9511
      @meddy_upette9511 6 лет назад

      Hahaaaaa kabla cjaskia nlitaka nkuponde wewe ghafla nkaiskia..Lugha hiz jamn tunapata shda jah..

    • @RomanusTv
      @RomanusTv  6 лет назад

      *Mills* 😀😀😀😀

    • @jbrillshetta8070
      @jbrillshetta8070 6 лет назад

      I was so sure this post is from a kenyan.

  • @wilymsumary6263
    @wilymsumary6263 6 лет назад +26

    Daimod hanatatzo na mtu na sijaona tanzania hiii msanii wa kumlignisha na daimod simba ni habali nyingne simbaaaaaaaaaaa

    • @RomanusTv
      @RomanusTv  6 лет назад +1

      KWELI

    • @ramseyrmsy3366
      @ramseyrmsy3366 6 лет назад

      Wily Msumary naomba nikuweke sawa hata Kiba hana tatzo na mtu kwasababu anayohaki ya kuwakataza Wasafi wasipige nyimbo zake uliwahi kumskia au kulalamika acheni kukuza vitu visivyo na maana wote wako poa tu.

    • @sracabdull3095
      @sracabdull3095 6 лет назад

      Hata kiba ana tatizo na mtu toka ahanze mziki watu.wanamsema ila sijawai ona anajibu na maintavyuu ya.ajabu ajabu hana.kiki wala mpango na.mtu.anaemsema iwe.mwanamke.hata.mwanamme kumwanika mtu tu mitandaon hawez

  • @martleonardileonardi9241
    @martleonardileonardi9241 6 лет назад +1

    Juu sana

  • @valentinetesha7915
    @valentinetesha7915 6 лет назад

    Ile ni media na wapo kibiashara so hawawez acha kupiga ngoma ya msanii mkubwa km Alikiba

  • @mdouharuna6849
    @mdouharuna6849 6 лет назад +1

    Ally kwan kafanya nn kwnye bongo fleva tuxm na ukwel king angepewa fully sky's or q chilla na wengn achen ugombnxh wa tz

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 6 лет назад +10

    Mwisho wa siku kila mtu afanye muziki wake,lkn nyimbo za kiba zinaishi,tizama seduce mi na zilipendwa ambayo wasafi walijikusanya wote kuitengeneza ishindane na seduce me,Nani anajua sikiliza zilipendwa tena baada ya ule mwezi mmoja wa viewers,seduce hamna club inakosa kuupiga na ukipigwa mahali hata kama humpendi kiba utakugusa

    • @rashedmido4793
      @rashedmido4793 6 лет назад

      B

    • @jastinmushi4031
      @jastinmushi4031 6 лет назад

      Ni kwel kbs

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 6 лет назад

      Hatufanani Hayo ni mapenzi yako wewe kwa sababu kipimo kizuri angalia mpk sasa kati ya zilipendwa na seduce me ipi in views wengi seduce me imepata watazamaji wengi tena wengi sana kuliko hio seduce me yani nina maana hatufanani nikiwa na maana walioupenda wimbo wa seduce me ni watu milioni 10 na waliopenda wimbo wa zilipendwa wako milioni 25 kwa hiyo wewe upo kwenye ile list ya watu milioni 10

  • @ziadajoisa8752
    @ziadajoisa8752 6 лет назад

    Ifike mahali tubadike watanzani kwani muziki watanzania ni wetu sote kwahiyo japo NASIBU ni msanii anaweza ipenda ngoma ya ALLIKIBA na akaisikiliza na Kiba vilevile anaweza kufanya hivyo kwenye ngoma za Nasibu. Tusiwe wachochezi kwani hakuna anayejitosheleza kila kitu hivyo wanatakiwa kushirikiana kwani wao ndiyo kioo cha Tanzania .

  • @denismrema4062
    @denismrema4062 6 лет назад

    Mbona ni editing kila kimacho onekana

  • @georgeearthworker7981
    @georgeearthworker7981 6 лет назад

    Mungu Awalipe Kwa Kipi Niwajibu Wao Kupiga Mziki Mzuri Hawawezi Leta Personal Ishu Kwenye Kazi So Kawaida Ongezeni Juhudi Kutuletea Habari Zenye Mashiko Sio Mambo Madogo Kama Haya

  • @amirmotors9735
    @amirmotors9735 6 лет назад +3

    Mi sion ajabu kwan wasaf ni media kama zngne tu

    • @RomanusTv
      @RomanusTv  6 лет назад

      Yah ni kweli

    • @victormboka4732
      @victormboka4732 6 лет назад

      Kusaga hana roho kubwa sioni tatizo tv yake kucheza nyimbo ya msanii yeyote.

  • @wilsonmhaku60
    @wilsonmhaku60 6 лет назад +23

    Hata kama hawatapiga kitu kizuriii ni kizuriii tuu kiba juuuuu

  • @fransiskahaule3343
    @fransiskahaule3343 6 лет назад +1

    Wameongeza views wasafi TV na wanapata pesa zaidi wasafi ni waroho wa pesa sana

  • @mkavutv2043
    @mkavutv2043 6 лет назад

    safi sana bifu za nn jaman

  • @kisongo7985
    @kisongo7985 6 лет назад

    we unataka kukuza beef tuu kwan shida ipo wapi hapo

  • @irenei9480
    @irenei9480 6 лет назад

    Team Kiba 100%

  • @mariamsaidi3084
    @mariamsaidi3084 6 лет назад

    Kwazo ndio nimefurah sana simba king 🤴 mpo juu msisikize mambo ya watu fanya kazi pesa iingie

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 6 лет назад

    lakin kila sku wenyewe kati ya alikiba na mondi hawana bifu ila watu ndo tunawagombanisha kwann wasipige ngoma za kiba mondi hana bifu na ali kiba

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 6 лет назад +1

    Kwa wanaojuwa muziki huwezi linganisha nyimbo za matusi za wasafi na "Hela" ya kiba,ni nyimbo yenye message, haina mambo ya singida dodoma kitandani sodoma,sijui nipitishe boda la kule

    • @rosemaiko9405
      @rosemaiko9405 6 лет назад

      Haji Mnubi waambie ,maana Nyimbo zao za rika Fulani Fulani, aibu kuimba watoto,wazee ,watu wazima wapo unakuwa huna Amani that's music Wa kuishi,bang bang tu kwa muda

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 6 лет назад

      Haji Mnubi hamna kibaya hapo

  • @azizikapakapa3831
    @azizikapakapa3831 6 лет назад +1

    Mwambie Sina

  • @makasittt16
    @makasittt16 6 лет назад +1

    Acha uzushi nae ngoma nzuri n nzuri mwenye kupiga apige lkn ngoma wazimu

    • @RomanusTv
      @RomanusTv  6 лет назад

      uzushi upi sasa ndugu?

    • @makasittt16
      @makasittt16 6 лет назад

      @@RomanusTv wajua nn kaka kma wasafi tv wamepiga hii nyimbo y kibaa tatizo likowapi, umenixhangaza kwa kusema wasafi tv wamemfanyia kiba kitendo kp kma wamepiga wimbo ndio vzur waendele mbele kaka

    • @RomanusTv
      @RomanusTv  6 лет назад

      kitendo kinaweza kuwa kizuri au kibaya, watu wanashindwa kuelewa kilicho zungumzwa kwenye video,ni hivi = wasafitv wamepiga wimbo wa alikiba bila hata mwenyewe kuupeleka ofisini kama wanavyofanya wasanii wengine, so huu ni upendo wa dhati na MUNGU ATAWALIPA KWA HILI

    • @makasittt16
      @makasittt16 6 лет назад

      @@RomanusTv ok swa kaka nimekuelewa vzur ss

    • @hassansadiki6163
      @hassansadiki6163 6 лет назад

      +Romanus Tv
      siyo upendo wa dhati ni kazi yao
      alafu ninachoona mm diamond hausiki na uoangaji wa vipindi wasafi
      wala hausiki na uendehsaji wa TV
      hiyo kazi inawatu wenye professional za uendashaji wa TV
      tena akae mbali na usimamizi wa hiyo media atabaki kuwa brand tu peke yake

  • @misalabadotto6251
    @misalabadotto6251 6 лет назад +1

    hata waache kuipiga

  • @stanfordkifaru6257
    @stanfordkifaru6257 6 лет назад

    Kweli kaka wabongo shida kwnn tuweke ubaya wa watu sisi sote ni binadamu

  • @vediantazvedastus6107
    @vediantazvedastus6107 6 лет назад

    hiv we mtangazaji ulisomea hii kaz au ulipewa ada ukaitumia ktika mambo yako ... anyway sijaona ulichoongea zaid ya UCHOCHEZ af hujui kiswahili

  • @raheemidy1245
    @raheemidy1245 6 лет назад

    I don't sure....dayyyym

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 6 лет назад +2

    Sisi sote niwakupita hatuitaji bifu chamsingi nikazi wcb 4life

  • @mahamudusuwedi440
    @mahamudusuwedi440 6 лет назад

    Diamond ni fear boy

  • @yusuphuhakwea8896
    @yusuphuhakwea8896 6 лет назад +1

    Hayeni bwana kwa uchonganishi wenu

  • @ngumaonline5550
    @ngumaonline5550 6 лет назад +11

    Wcb awana ukabila

  • @cassianopatricioadiz6388
    @cassianopatricioadiz6388 6 лет назад

    noma sanaaaaaaaaaaaaaaa

  • @jumajxmart3653
    @jumajxmart3653 6 лет назад

    frexh 2 ni vizur

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 6 лет назад +1

    Wasaf hawana roho ya korosho

  • @Habarika-onlinetv
    @Habarika-onlinetv 6 лет назад +5

    Mond simba ni m2 wa wa2 so so ana mambo ya kitoto kama ayafanyayo alikib

  • @ericbajeme
    @ericbajeme 6 лет назад

    Achaga usenge wew kichwa cha habar na maudhui ya video havifanani unakua Kama sio mwandishi

  • @samrankingfire5009
    @samrankingfire5009 6 лет назад +1

    Mafara ninyii

  • @aminamohd604
    @aminamohd604 6 лет назад

    Jamani kiba na diamond hawana bifu ila sisi mashabiki ndio tunawatengenezea mabifu

  • @laurentmichael1204
    @laurentmichael1204 6 лет назад

    I see

  • @diamondplatnumz5851
    @diamondplatnumz5851 6 лет назад

    Sikuipenda hiiyo maana wcb ni watu si wazur

  • @benjaminkalevela1380
    @benjaminkalevela1380 6 лет назад

    Wasaf akil kubwa sana zile

  • @dailummala3792
    @dailummala3792 6 лет назад

    lazima wapige coz wanamkubali wcb wote wansmueshimu king kiba na watz wote tunamkubali king kiba

  • @kulwakasimulikombe2508
    @kulwakasimulikombe2508 6 лет назад

    biashara na bifu ni 2 tofauti.biashara itabaki biashara na bifu litabaki bifu.

  • @chitwangaseif8162
    @chitwangaseif8162 6 лет назад

    Unazngua mamaaaeeee zako Huna mpya

  • @chibudangote2921
    @chibudangote2921 6 лет назад +5

    yan saiv kiba kumfananisha hata na harmonize ni kosa la jinai

    • @RomanusTv
      @RomanusTv  6 лет назад +1

      😀😀😀😀 kwanini?

    • @Mad1netv
      @Mad1netv 6 лет назад

      Kweli

    • @Mad1netv
      @Mad1netv 6 лет назад

      Romanus Tv hana kiwango

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 6 лет назад

      umewah kuingia studio ata mara moja kwa kuwazarau watu hivyo

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 6 лет назад +1

      Wewe ni boya usimfananishe kiba na natakataka zako hapo wasafi

  • @allyn2c649
    @allyn2c649 6 лет назад +21

    Diamond hana bifu na Kiba tatizo ni Kiba anataka kupenya kupitia bifu na Dia,apambane na hali yake

  • @rhinaamiry8535
    @rhinaamiry8535 6 лет назад

    Kiba ana eshimika sio hao wavaa vikuku

  • @officialtvnetwork1320
    @officialtvnetwork1320 6 лет назад +1

    Cheki ngoma mpya ya Alikiba (Licked) ruclips.net/video/t_0T7GifPiY/видео.html

  • @peacemakerrecord88
    @peacemakerrecord88 6 лет назад

    pamoja sanaa

  • @azezaalkh8536
    @azezaalkh8536 6 лет назад +1

    kwani kipi kibaya

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 6 лет назад +7

    Jaman hatutaki kufananishwa diamond hashindan na kiba cz uwezo wa kiba bado mdogo mbosso tu anamtowa mafua na simba hana bifu na mtu jamaa anaroho nzurii sana

    • @RomanusTv
      @RomanusTv  6 лет назад +1

      😀😀😀😀 saana

    • @luswizamobile2934
      @luswizamobile2934 6 лет назад

      Mawazo finyu😏😏😏😏😏👌👌👌👌

    • @mayamohamad710
      @mayamohamad710 6 лет назад

      Yn mm uwe nalia kbs diamond ana bef Na kiba Na kiba ana wivu Na Diamond Kila mtu anakazi Zak lkn media inapenda kuona beff

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 6 лет назад +1

      Wewe nifala hujielewi huezi mfananisha king na takataka kama mboso we hujielewi

    • @magebongole8492
      @magebongole8492 6 лет назад

      acha ujinga wew kiba ana nyimbo ngap huyo mond anangap huwez mfananisha na moso

  • @mpilimieston9982
    @mpilimieston9982 6 лет назад

    Eti kiba juu kakimbia mziki kaende kwenye mpila wakati huko kuna kagere na okwi na kichuya

  • @abdiazizabdullahi6879
    @abdiazizabdullahi6879 6 лет назад

    I dont sure😂

  • @muhsinmsimu7115
    @muhsinmsimu7115 6 лет назад

    mtesema sana kiba yuko poa tu saba

  • @wemakalam9415
    @wemakalam9415 6 лет назад

    Mmmh

  • @egbertrwiza6120
    @egbertrwiza6120 6 лет назад

    Kumbe wa2 hamuangalii mpaka mwisho

  • @allymapande7241
    @allymapande7241 6 лет назад

    hebwana heee king kiba yuko juu xana kwa vi2 vyake anavo towa

  • @uwimanaraoul6824
    @uwimanaraoul6824 6 лет назад +1

    Sasa sinisawatu

  • @josephmnama5102
    @josephmnama5102 6 лет назад

    tukio lakuzamakivuko

  • @jamesmwakitalima96
    @jamesmwakitalima96 6 лет назад

    Ulikua unataka tu views huna jipya

  • @ramadhanirashid7798
    @ramadhanirashid7798 6 лет назад

    Tatizo tumeshazoea majungu mond anatuonyesha upandemwingine wa shilingi kwani nyimbozote za nje zinaretwa na wasaniii

  • @abrahmansleiman9743
    @abrahmansleiman9743 6 лет назад

    Hatakama haunipendi utakimbia tu hata ukiwa chooni

  • @dullahmakongo5210
    @dullahmakongo5210 6 лет назад

    Muda mwingine mnashindwa kuweka vitu vya maana

  • @erasmusnzibonela5151
    @erasmusnzibonela5151 6 лет назад

    Daimond awezishindana na mtu mdogo kiasi iko

  • @bushratshabani4757
    @bushratshabani4757 6 лет назад

    Nyie ndio baadhi ya media ambazo unachochea matatzo ku...a zenu

  • @bin_mussa_hondabike4860
    @bin_mussa_hondabike4860 6 лет назад +1

    Ebwan wameon km umoja ni nguv

  • @kibokoyaotz4509
    @kibokoyaotz4509 6 лет назад

    Kwani wasafi tv mnamjua mmiliki wake....au ndio mnaangalia vichwa vya habari na sio habari halisi....waandishi uchwara...diamond ni km balozi tu wa wasafi

  • @heriramadhani8231
    @heriramadhani8231 6 лет назад

    Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wakuache.

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama6387 6 лет назад +1

    unafiki tu