Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
😭😭😭Jmn kusema sote ndo njia lakini isikujute kifo haziweleki wallah Allah amrehem na awape subrah ndugu zangu
Pole sana kaka MUNGU akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu apumzike kwa amani dada yetu
Pole sana idris.kaa sehemu ulie toa sauti upate nafuu.silie Kwa kubana utaumia sana .inaniuma.
Nikweli angefanya kama kumbuka ili apate afueni ya moyo
Ngoja niwashe spika langu nikahubiri NENO LA MUNGU MTAANI , NAONA NDIO KAZI PEKEE YA KUJIPENDEKEZA KWA MUNGU wallah BORA NICHAPE INJILI WATU WAMJUE MUNGU ALIYE HAI ......MANA DUNIA HII NGUMU SANA BILA KUKAA UPANDE WA MUNGU UWIIII
Sisi sote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake ni lazma tutarejea..tumuombeni aipate kauli dhabit 🤲🤲
Pumzika kwa amani mpendwa wetu M'Mungu akusamehe makosa yako, pole kaka kiatu chako ni kinabana mno M'Mungu akupe uvumilivu InshaAllah 😭😭
Pole sana idris umeniliza wallah😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ni ngumu kuamin ila polen sanaa wapendwa natumae msiban ni wetu sote😭😭
Poleni Sana wasafi , Lia kwa sauti utaumia Sana. . Pole Sana kaka
Poleni sana
Poleni sana Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki 😢
Tuseme innalilah wainna ilahi rajiuun
😢😢😢utaweza Babu idd Yani mm nalia sn
Anajikaza asilie kwa sauti 😢😢😢 anaumia sana maskin
yaan mliposikia msiba wa dida nliumia sana lkn pia nlimuwazia idris
Idrisa lia Kwa nguvu sanaaaa jmn utaumia Ivo unavyolilia ndani
Mungu awatie nguvu wote jaman
Poleni sana sisi sote waja wa Allah na kwake tutalejea
Babu idd analia kichina😮 ila pole mwwya
😂😂😂 pole sana kaka
Huyu kaka anapitia wakati mgumu sana pole sana kaka tuko pamoja
Mnooo
Yeye na Mwajuma lokole 😢😢
Na mwenye Kila muda unakosea unamuita hadija Mzee dida Allah akupe nguvu
Mwajuma tena @@Mina.15
😢😢😢msiwahoji jmn kwanini!?🥹🥹🥹🥹🥹
Innalilah wainna ilahi rajiuun😪😪🙏🏼
Inauma pole idrissa
Polen wafasi media kwa ujumla kwa kuondokea na mpendwa wenu😢😢😢
Pole sana ndugu
Rest in peace 😢didah
No Doubt Kifo Ametangukia Twamuombea Kwa MOLA Amswamehe Makosa Yake. Hakuna Dawa Yaķifo Isipokuwa nikujianda Nakifo.
Pole sana
Pole kaka imeniuma mno😢😢
Pole san😂😂
Innalillah wainalillah rajiun
Pore sana kaka idrsa kazi yamungu haina makosa
Idrisa anajikaza daah😢
Jamani 😭😭😭😭
😂😂😂😂pole kaka
😢😢
Mm nalia sn Babu idd basi nyamanza
Toa sauti ,lia kwa nguvu machungu yatoke kaka
😭😭😭
😢😢😢😢pole san
😭😭😭Jmn kusema sote ndo njia lakini isikujute kifo haziweleki wallah Allah amrehem na awape subrah ndugu zangu
Pole sana kaka MUNGU akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu apumzike kwa amani dada yetu
Pole sana idris.kaa sehemu ulie toa sauti upate nafuu.silie Kwa kubana utaumia sana .inaniuma.
Nikweli angefanya kama kumbuka ili apate afueni ya moyo
Ngoja niwashe spika langu nikahubiri NENO LA MUNGU MTAANI , NAONA NDIO KAZI PEKEE YA KUJIPENDEKEZA KWA MUNGU wallah BORA NICHAPE INJILI WATU WAMJUE MUNGU ALIYE HAI ......MANA DUNIA HII NGUMU SANA BILA KUKAA UPANDE WA MUNGU UWIIII
Sisi sote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake ni lazma tutarejea..tumuombeni aipate kauli dhabit 🤲🤲
Pumzika kwa amani mpendwa wetu M'Mungu akusamehe makosa yako, pole kaka kiatu chako ni kinabana mno M'Mungu akupe uvumilivu InshaAllah 😭😭
Pole sana idris umeniliza wallah😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ni ngumu kuamin ila polen sanaa wapendwa natumae msiban ni wetu sote😭😭
Poleni Sana wasafi , Lia kwa sauti utaumia Sana. . Pole Sana kaka
Poleni sana
Poleni sana Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki 😢
Tuseme innalilah wainna ilahi rajiuun
😢😢😢utaweza Babu idd Yani mm nalia sn
Anajikaza asilie kwa sauti 😢😢😢 anaumia sana maskin
yaan mliposikia msiba wa dida nliumia sana lkn pia nlimuwazia idris
Idrisa lia Kwa nguvu sanaaaa jmn utaumia Ivo unavyolilia ndani
Mungu awatie nguvu wote jaman
Poleni sana sisi sote waja wa Allah na kwake tutalejea
Babu idd analia kichina😮 ila pole mwwya
😂😂😂 pole sana kaka
Huyu kaka anapitia wakati mgumu sana pole sana kaka tuko pamoja
Mnooo
Yeye na Mwajuma lokole 😢😢
Na mwenye Kila muda unakosea unamuita hadija Mzee dida Allah akupe nguvu
Mwajuma tena @@Mina.15
😢😢😢msiwahoji jmn kwanini!?🥹🥹🥹🥹🥹
Innalilah wainna ilahi rajiuun😪😪🙏🏼
Inauma pole idrissa
Polen wafasi media kwa ujumla kwa kuondokea na mpendwa wenu😢😢😢
Pole sana ndugu
Rest in peace 😢didah
No Doubt Kifo Ametangukia Twamuombea Kwa MOLA Amswamehe Makosa Yake. Hakuna Dawa Yaķifo Isipokuwa nikujianda Nakifo.
Pole sana
Pole kaka imeniuma mno😢😢
Pole san😂😂
Innalillah wainalillah rajiun
Pore sana kaka idrsa kazi yamungu haina makosa
Idrisa anajikaza daah😢
Jamani 😭😭😭😭
😂😂😂😂pole kaka
😢😢
Mm nalia sn Babu idd basi nyamanza
Toa sauti ,lia kwa nguvu machungu yatoke kaka
😭😭😭
😢😢😢😢pole san
Pole sana
😭😭😭
😭😭😭