MFALME ZUMARIDI - ''MIMI SIO MUNGU - YUPO NDANI YANGU - WAANDISHI MUNANIWEKEA NYOKA SIO VIZURI''...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 май 2024
  • MFALME ZUMARIDI - ''MIMI SIO MUNGU - YUPO NDANI YANGU - WAANDISHI MUNANIWEKEA NYOKA SIO VIZURI''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 109

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Месяц назад +2

    Yaani ungelikuwa kwenye nchii nyengine ukijisifia ujinga na kumshirikisha Mungu ungelitiwa ndani

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 Месяц назад +5

    Nimetamanj ku comment ila sitaki kumkufuru Mungu wangu Mungu wa Ibrahim na Isack

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg Месяц назад

      Mi na moment maana nakumbuka yeye alisema anakwebda mbinguni mara nyingi , nimekubali huyu dada ni kichaa siyo mzima kicwani.

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Месяц назад +4

    Mkorogo oyeeee 👍

  • @eliudnjenga9385
    @eliudnjenga9385 5 дней назад

    Nipo kenya🇰🇪 mimi please watanzania 🇹🇿neno linasema tusihukumu ila huyu dada sio mtumishi wa mungu kwa ishara hii anakubali washirika wake kumshudia malaika wanakataa kushuhudiwa sebuse huyu jiepusheni sana na hawa wakala wa kuzimu

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Месяц назад +7

    Unaweza ukawana waumini ef tano lakini hata watatu walio andikwa kwenye kitabu Cha uzima hawapo,itakusaidia Nini,miujiza sio tiketi ya kwenda Mbinguni,,

    • @user-eb9ni9sb3n
      @user-eb9ni9sb3n Месяц назад

      Utajuwaje kama tiketi ya mbinguni Hana? Wewe ni Mungu mpaka umuhukumu wewe unajihesabia haki wewe kama nani?usihukumu usije ukahukumiwa

    • @janethmwihumbo1289
      @janethmwihumbo1289 Месяц назад

      @@user-eb9ni9sb3n hakuna hukumu ya kumuhukumu Nabii wa kuzimu anaye kokota maelfu kwenda jehnm,,kwaiyo uko radhi Mtu mmoja asihukumiwe,ila aongoze maelfu kuzimu,wao mnao watetea wenzenu hawacheki na nyie,kaa kiroho ndugu tupo siku za mwisho una mtazama Mtu kimwili au unaridhika na maneno yake pole we

  • @user-my4gd9px7s
    @user-my4gd9px7s Месяц назад +1

    Kumbe sasa hivi hajiiti Mungu, safi sana, hilo baso ni pigonla kwanza tusuburi next.

  • @user-hh7df4mq1j
    @user-hh7df4mq1j Месяц назад +4

    Hao wanao abudu kwake akiri zao ziko vizurii kweli mm nayaona kama mazombie

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 Месяц назад +4

    Dishi bado halijakaa bado halijakaa sawaaa

  • @user-vt4vd5rh8u
    @user-vt4vd5rh8u Месяц назад +2

    Mpinga kristo huyu walioko rohoni watakua wamemjua cku za mwisho hizi. Ila wkumbuke Mungu haziwakuwagi.mtu mwenye Yesu hayuko ivi

  • @EvelinQueen
    @EvelinQueen Месяц назад

    Ee Mungu tupe kuyatambua majira na nyakati maana haya yote Yesu alisema sas mda ndo huu Yesu yukarib kurudi

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 Месяц назад +5

    Muwakilish wa shetan

  • @deadcrush
    @deadcrush Месяц назад

    Mungu kakimbia.

  • @LucasKaik-xt8qe
    @LucasKaik-xt8qe Месяц назад

    Mwehu kweli wew, umemtaja mbarikiwa et amenyamanzishwa au humsikilizagi siku hizi hajapoa hata kidogo.

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 Месяц назад +2

    "Yesu kambeba Mungu" uislam raha saana straight forward no contradictions!

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Месяц назад +3

      Uislam na shetani ni uji na mgonjwa

  • @vickyadrian1503
    @vickyadrian1503 Месяц назад +1

    Naomba kuuliza hizi online tv mnampa air time za nini??

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 Месяц назад +1

    Kheee!Yeye ni mwamba,King Zumaridi.........😂😂. I thought I've seen n heard it all
    Kila nikimuona nakumbuka ile sura ya Millard very serious "Jua!!??Usiku!!?🤣🤣

  • @GIDIONIYEREMIA
    @GIDIONIYEREMIA Месяц назад +5

    We mama usipo Kua makini utayeyuka ghafla

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po Месяц назад +4

    Hili dada shetani😢 eish dunia hii

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 Месяц назад

    Umependeza mfalme

  • @annamussa185
    @annamussa185 Месяц назад +3

    Sawa Eunice wa kisukuma

  • @Gloria-vh5bz
    @Gloria-vh5bz Месяц назад +1

    Ninaowahurumia ni hayo mazombie yake Hapo nyuma

  • @neemashuma5595
    @neemashuma5595 Месяц назад

    Ameacha kujiita mungu chini ya jua

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Месяц назад

    Mungu anakutakianini sheitani moja akuiingie kivipi kwa Ibadan gani ulio nayo hata akushuhulikie pekee yko ww nyama tubu

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Месяц назад

    Mungu akulaani ww mama Acha kucheza na Mungu nyani ww usio ogopa yaani mnacheza na Mungu bila khofu anaweza kukugeuza nyani shenzi mkubwa

    • @justinruben1967
      @justinruben1967 Месяц назад

      Pole ww usiejua unayemtukana ipo siku utajua

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 Месяц назад +1

    ''BANGI ZA CHOONI''

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 Месяц назад

    DADA D LEO UMEROPOKA VIZURI....

  • @Isabella-ww8ks
    @Isabella-ww8ks Месяц назад

    Watu wangu wanaangamia kwakukosa maalifa😢

  • @noeleliasi8401
    @noeleliasi8401 Месяц назад

    Shetani yuko ndani yako, iwe mwanzo na mwisho leo kumtaja Mbarikiwa kwenye DOMO lako hilo mbavûuuuweee

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele Месяц назад

    Jaman tujihadhal shetan yupo kazin hakuna mungu hapo

  • @ramamasenda6637
    @ramamasenda6637 Месяц назад

    Sasa unajisifia mwenyewe

  • @hamadwazir2733
    @hamadwazir2733 Месяц назад

    Kumbe unajua kama kuna mungu ww ni nan sas unakufuru

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Месяц назад +1

    Nilikuwaga na fikiri ndo mama mzazi wa gigi many juu ni copy right

    • @amosibilingi4299
      @amosibilingi4299 Месяц назад

      Ila kweli jmn mbona kama vile, dah! Kweli dunian tuko double double

  • @JoalAlma-ci1hi
    @JoalAlma-ci1hi Месяц назад

    Kinachonishangaza jamn naona anawaumini watu wazima kabisa wenye akilitimamu .inawezekananje uyu mwehu anafanya iv .mala kanumba amgufufue mala mbinguni magolafa alafu mazee yana kaa yanamsikiliza uyu mwezi mchanga uyu ...

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Месяц назад

    Ili limama nilitajiri kweli,kweli,tena lisukuma.

  • @hawaramadhani6954
    @hawaramadhani6954 23 дня назад

    Hadi chumbani milad kaingia 😂😂😂 hajananihiliyuu Jmn maana anapenda vitoto huyu Dada

  • @ramamasenda6637
    @ramamasenda6637 Месяц назад +1

    Wewe mweu zumaridi piga ela zako tu mwamba wapi wewe

  • @kobelochande6669
    @kobelochande6669 Месяц назад

    😂 Sasa ngoja Mbarikiwa akusikie😂😂😂😂

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 Месяц назад

    Haya miladi ayo unaitwa huku😅

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 Месяц назад

    Huyu mlugaluga nae ana afya ya akili😂😂😂😂😂😂😂

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Месяц назад

    Eti , mbarikiwa ,kaufyata, mbarikiwa sio , type yako wewe 😊

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 Месяц назад

    Hivi waandishi siwalishakatazwa kumhoji huyo mama.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Месяц назад +1

    Shetwani huyo yupokazini

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 Месяц назад

    Huyo bodigad wa nyuma anavoitikia sasa😂😂

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Месяц назад +1

    Zama za mwisho huyu ni Dada yake Masih Dajjal,Sasa kazi kwenu Wafuasi kunawa au kutokunawa, Ukimfuata Motooo utakula kwako,😮😮

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Месяц назад

    Dada njoo geto uje ufue nguo zangu alafu nikupake mafuta ya upako maana wew ni ,,,,,

  • @JeniferNgolanya-gt5xx
    @JeniferNgolanya-gt5xx Месяц назад +1

    Muwakilishi wa shenanigans.. nakuchukia mbaya siku zako zaja...devil ww

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Месяц назад

    Huyu ni mtu kama yule mtu wanaomwamini akina flani. Lakini wanavyomtukana kama wao hawalijui kaburi lake jamaa yao.

  • @reginaldshirima5646
    @reginaldshirima5646 Месяц назад

    Mwili wako utaliwa na ndege wa angani na wanyama wa porini

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Месяц назад +1

    Mie nae niko busy tu kuangalia brazia ya Mfalme hapo kifuani.😝

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Месяц назад

    Anaongea mpaka koo linanikauka mimi

  • @vom84
    @vom84 Месяц назад

    Mmmh mbona huyu hafanani na yule wa gerezani? Au ni mwingine

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Месяц назад +1

    Huyu mama akili zake anazijua mwenyewe cheki na alivyo jipodoa ka robot unice

    • @EmmyNamoyo
      @EmmyNamoyo Месяц назад

      😂😂😂😂😂 wewe ati robot eunice 😂😂😂😂 umenichekesha

    • @rhobywerema6996
      @rhobywerema6996 Месяц назад

      😂😂

    • @SuleimanKhdija
      @SuleimanKhdija Месяц назад

      😅😅😅😂

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Месяц назад

    Watu wamejaa na pesa unazidi kupiga si umalizie tu

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Месяц назад

    Milladi alikula hilo zigo.

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Месяц назад

    Huyu ni Amber Ruty aliechangamka

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Месяц назад +1

    Kumbe Bado yupo😂😂😂

  • @thamratysuleiman3053
    @thamratysuleiman3053 Месяц назад

    Anahashuo

  • @jkuser7593
    @jkuser7593 Месяц назад

    Akili imekukaa sasa ulijitamba wewe Mungu leo umebadili msemo woiii acha ujinga wako

  • @user-eo3xr2ld3g
    @user-eo3xr2ld3g Месяц назад

    Mpuzi mkubwa ww utakufa vibaya

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser9389 Месяц назад

    Kumbe Millard Ayo alifika Chumbani kwa Mfalme Zunarid na Hatujui😂

  • @nancyenock5601
    @nancyenock5601 Месяц назад

    Kama Giggy kiasi fulani

  • @Kautharkabanga
    @Kautharkabanga Месяц назад

    Huyo shetani katokea wapi tena

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 Месяц назад

    Anahitaji wenye akili wa mshauri

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Месяц назад +1

    Wee mwehu na wehu wenzio unaukweli gani shetani mkubwa subiri tu siku zako kwa muumba zinahesabika

    • @user-eb9ni9sb3n
      @user-eb9ni9sb3n Месяц назад

      Kati yeye nawewe nani mwehu?huna unachokijuwa ndiyo maana unaropoka Linda kinywa chako kitakugharimu

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 10 дней назад

    wewe usimtumie Mungu kwa biashara zako

  • @teddylyimo5897
    @teddylyimo5897 Месяц назад

    We mchawi tuu huna kitu shetanii mkubwa ww

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Месяц назад

    Watu mnashida. Mnafanya hukumu ni kazi yenu?
    Sisi wenyewe tuna midhambi yakufa mtu. Kama yeye anajitambua ana Mungu ndani yake shida yetu ni nini haswa. Mwacheni aendelee na mambo yake sisi wote tutakitana na Mungu siku ya hukumu.

  • @user-eb9ni9sb3n
    @user-eb9ni9sb3n Месяц назад +1

    Ipo siku mtajuwa kuwa Zumaridi ninani nyinyi mnaishia kutukana mwenzenu anazidi kupaaa nyinyi mnayetukana mnjulikana nanani?mwenzenu dunia nzima wanamtambuwa nyinyi hata balozi wako wa mtaa hakujui acheni chuki zisizo na msingi Zumaridi ni Mungu mkatae mkubali haibadiliki

    • @jkuser7593
      @jkuser7593 Месяц назад

      😂😂😂 pole yako mweee

    • @hawaramadhani6954
      @hawaramadhani6954 23 дня назад

      Mungu anakunya chooni,anapelekwa gerezani,anafanya mapenzi Jmn hizo hisia za nini kajiwekea😮😮

  • @user-ub1yx5vc8b
    @user-ub1yx5vc8b Месяц назад

    Kila anayemfuata huyu shetani ni zizu

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp Месяц назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @user-hg5wr2mc7k
    @user-hg5wr2mc7k Месяц назад

    Haka kashetani kananiuma sana

  • @mulolemary1317
    @mulolemary1317 Месяц назад

    Tafuta pesa za kula na make up achana na shirk

  • @KasemaTV
    @KasemaTV Месяц назад

    wewe ndiwe masihi wa kizazi hiki wakubali wakatae ndivyo ilivyo

  • @drsilo
    @drsilo Месяц назад

    Ukiristo una shida kweli alimradi hamdi dini kila mmoj ana mambo yake😂
    Ila karibuni ktk din ya haki kitabu kimoj tu ni QURAN

    • @charlesmwasi7646
      @charlesmwasi7646 Месяц назад

      Nani amemwambia huyo mkristo?? Kwenu huko Kuna mbingu zenye wanawake na mapombe Mambo ya kidunia kabisa, hatutaki kabisa.

    • @hawaramadhani6954
      @hawaramadhani6954 23 дня назад

      ​@@charlesmwasi7646kasome vzr hizo pombe hujaelewa kaka

  • @Gloria-vh5bz
    @Gloria-vh5bz Месяц назад

    Ninaowahurumia ni hayo mazombie yake Hapo nyuma

  • @majaliwaandulile8379
    @majaliwaandulile8379 Месяц назад

    Huyo dada wa nyuma kafanana na mfanyakazi wa ahime wa Kendra

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Месяц назад

    Global kwanini mnamuhoji huyo kwani nanini kawatuma nimekuwa nimeshakwisha msahau huyo iblis myacheni huo Mungu yupo daima kitamrambaga tu