MWEKEZAJI AUZIWA MAKABURI ZANZIBAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 89

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Год назад +6

    Dah huyu mkuu wa wilaya wallahi nimempenda sana maneno yake anaongea kwa upole na utulivu mkubwa 👏👏👏👏👏👏👏

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Год назад

    Mkuu wa uko big up na inshaallah moja kwa moja mpaka mkuu wa mkoa maneno yako yako constantly

  • @jumaothman9449
    @jumaothman9449 Год назад +7

    Mkuu wa wilaya upo vizuri nakukubali

  • @highmedland9280
    @highmedland9280 Год назад +5

    Dah haya maisha yanasikitisha Yani watu wanaekeza ili maasi yaendelee na watu kukaa uchi ktk maeneo mpaka ktk makaburin innalillah wainna ilaiyh rajiun,
    namuomba Allah pindi atakapo viangamiza hivi visiwa vya znz nisiwepo mm na vizazi vyangu inshallah 😭😭😭

    • @fat-hiyasalum3187
      @fat-hiyasalum3187 Год назад

      Amiin

    • @asmaali2911
      @asmaali2911 Год назад

      Ameen 💯

    • @suleimanbadru819
      @suleimanbadru819 Год назад

      Sheikh Kurwa alisema utalii maana yake Utalia salmini akamfukuza aka akamwambia c kwao matokeo yake miaka 30 imepita matokeo yanatoka

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj 2 месяца назад

      Yote Laana ya pesa hawajali lolote ili mradi pesa mbele

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj 2 месяца назад

      ​@@suleimanbadru819😂😂😂hatar Wallah

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka3956 Год назад +9

    Nimeipata hii picha,Nassor yupo sawa ila mamlaka za serikali ndio shida.

  • @abdullahalkindi9673
    @abdullahalkindi9673 Год назад +10

    Kwani ZNZ inaserikali ngapi?. Mwekezaji kafuata sheria zote kuanzia kijijini hadi mkoani leo mkuu wa Wilaya asema haikufuatwa taritibu basi bora wekeni sheria kuwa utoaji wa ardhi utolewe na Rais tu. Mnahimiza uwekezaji kumbe hata utaratibu hakuna. Kwa ujumla sishauri mtu ku invest ZNZ maana ni kujilisha hasara tu

    • @abdillahsimai7191
      @abdillahsimai7191 Год назад

      Muombe mungu kwanza akupe hzo pesa kisha ndo useme kauli za uwekazaji kka

    • @asmaali2911
      @asmaali2911 Год назад

      💯💯💯

  • @digwam4164
    @digwam4164 Год назад +1

    Pole sana sheikh Nassor, usikate tamaa lakini wamekufanyia si Sawa sheikh wangu.

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Год назад +3

    Mkuu wa wilaya umengea point kukukubali ndugu

  • @hamzahaji8583
    @hamzahaji8583 Год назад +6

    Muwekazaji hana makosa kwani amaefuata sheria zote za nchi na serikali inatakiwa kumtendea haki kwanai kama uzembe upo kwa wizara.

  • @alphonceakarrow8673
    @alphonceakarrow8673 Год назад

    Pole Sana Nassor. Mungu aongoze upate haki yako mapema na iendelee na uwekezaji. Amina

  • @mwanaidatkhamis5310
    @mwanaidatkhamis5310 Год назад

    Jamani tunaelekea wapi jaman dah Allah azidi kutufanyia wepesi

  • @jamilahamis2462
    @jamilahamis2462 Год назад

    Laaana magalika lazima wazanzibali mghalikishwe au viongozi makafili Zanzibar wafe wooote ndio mtanusulika lisifa ibilisi filimasoni wazungu makafili waklisto wanaaliza za nzibar

  • @kaykagaruki951
    @kaykagaruki951 Год назад +1

    Huu ni uonevu kabisa mwekezaji ana vibali vyote alafu ndio wanakuja kumstopisha saa hizi walikuwa wapi tangu anaanza kujenga, hii ina demoralize sana Secta ya uwekezaji. Pole sana Nassoro

  • @aboumubarak6542
    @aboumubarak6542 Год назад +1

    Hii sio haki kabisa mtu anatumia pesa zake kwa ajili ya kuleta maendeleo ya kijamii halafu anafanyiwa figisu. Apewa heshima yake kama wawekezaji wengine. Sera ya serikali ni kuhimiza uwekazaji then serikali hiyohiyo inaleta usumbufu kwa wawekezaji wa ndani sio haki.

  • @Fofo-511F
    @Fofo-511F Год назад

    Pole nasser Hauna makosa

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Год назад

    Mkuu wa wilaya yupo makini Sana

  • @yunussaleh8493
    @yunussaleh8493 Год назад +2

    Mwanamke hawezi kuwa kiongoz

    • @hamadabdullahkhamis977
      @hamadabdullahkhamis977 Год назад

      Kwa hiyo unatukana mama zetu.. mbona unazarau mama zetu..

    • @MWIGAADAM-r3e
      @MWIGAADAM-r3e 5 месяцев назад

      Mama zetu ni viongoz wazuri sana ktk familia zetu kwakweli wanaweza vizuri TU sema tunamfumo dume tu

    • @feisalboy6702
      @feisalboy6702 5 месяцев назад

      ​@@hamadabdullahkhamis977hawajatukanwa Bali ni maneno ya mtume kwmba haitofaulu kaumu yyt ambayo mambo yake yanaongozwa na mwanamke

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 2 месяца назад

    Alipo nunua hilo Eneo hakuangali au hakuona km kuna Makaburi😢

  • @jamilahamis2462
    @jamilahamis2462 Год назад

    Nyinyi viongozi Zanzibar mmetafuta Vita naungu mlaaniwe

  • @othmanawadh3964
    @othmanawadh3964 Год назад +1

    Sijiu tunakwama wapi wallah

  • @hashimalsaadat4905
    @hashimalsaadat4905 Год назад +1

    Kanunua Na Serikali Mumemridhia Leo Eti Kakiuka Sheria
    MAPINDUZI DAIMA

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 Год назад +2

    Mnazigawa ardhi hivi ivi Tena kwa wageni watu wanakuja from nowhere mnawapa tu ardhi mbona huku warabuni hatoi ardhi zao eti mmemuzia aaaa

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад

      Unawaogopa sana waarabu eeeh

    • @oparetionmaalum9030
      @oparetionmaalum9030 Год назад +1

      @@fahadfaraj6474wewe hujatembea katika hii dunia ndomana unasema nawaogopa mm siwaogopi ndomana natamka live ardhi zetu hatutaki

    • @annamzinga6357
      @annamzinga6357 Год назад +1

      Pole sana Nassor, hivi vitu vinakatisha tamaa sana ya uwekezaji, wao wanaatopisha tu hawajui pesa umekopa na mda untick unatakiwa marejesho. Mungu akusimamie. Very disappointing to be honest!! Praying that all goes well.

  • @zaidatyu6464
    @zaidatyu6464 Год назад

    Pole sana Nassor haki itendeke

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Год назад

    Al’fatah benchi la kuetid tittle rekebishen maandishi yenu yanayotoa info za majina apo chini ya video,ziweze kuonekana hati ni ndoqo sana na ranqi zimekuwa nyinqi kias cha kupata shida kuweza kusoma.
    Wakatabahu

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 Год назад

    Nchi ngumu hii khatari

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Год назад +1

    Hawa viongozi hawachaguliwa na WAZANZIBARI wapo madarakani kwa DHULMA.

  • @MakameMufadhil
    @MakameMufadhil 14 дней назад

    Mnunuzi hanamakosa

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Год назад

    HIO NDIO FAIDA YA KUDHARAU MAKABURI. MWISHO WA SIKU KWENYE KABURI LA WAZEE WAKO ITAKUWA NDIO BAA YA ULEVI AU DISCO MIAKA IJAYO. KILA MTU ASHUULIKIE MAKABURI YA WAZAZI WAKE

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      KOSA SIO LA SERIKALI. KOSA NI LA MAWAHABI WANAOKATAA KUSHUULIKIA MAKABURINI YA WAZEE WAO

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Год назад +1

    Tatizo wao hawajapata pesa za rushwa ungewapa wangenkaa kimya.mbona kuna maeneo wameyatanuwa barabara na kubomoa nyumba za wanyonge mpaka sasa hawajajenga hizo barabara kama kule Jang'ombe gengeni pumbavu kweli

  • @w4058
    @w4058 Год назад +3

    Wapumbavu wakubwa hao CCM hawana maana washenzi tu

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      Sio ccm. Ni MAWAHABI wanaowakataza watu kushuulikia makaburi.

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 Год назад +1

    Duuh, hatari kwa kweli

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Год назад

    Kuna vitu waga sivielewi kwenye Serikali vibali wanatoa wao huyu akija tena anasema kuna makosa au Rushwa ndo chanzo cha hayo mtu kapewa kidogo kamwaga wino hata sehemu isiyo sahihi.

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 Год назад +1

    Kwanini jamani ardhi mnaziuza hio ni haram Tena haram kwa wenzetu nyumba tu unakodishwa kwa mzamana wa taifa inakuaje sisi zanzibar ardhi tunawauzia wageni hatutaki ardhi yetu patakuja ruka vita apo hatukuvali sisi

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 Год назад

    Mkuu wa wilaya kanyoooka, Wala hajapindapinda

  • @someparuranga7377
    @someparuranga7377 Год назад

    Sheria irate mkondo iwe funzo kwawengine tamaa hao

  • @hassanicheik5262
    @hassanicheik5262 Год назад

    Hili ndo ttz la serikl zetu ttz hl aliwz kuisha tz ht skmoj

  • @violetmwangakala8725
    @violetmwangakala8725 Год назад +1

    Mwekeji hana kosa haki itendeke

  • @someparuranga7377
    @someparuranga7377 Год назад

    Kuna viongozi wanaona wataishi mpaka dunia is he kumbe maiti tamaa ndizo wameka mbele zakidunia sheriya irate mkondo ni mcyangalie cheo wanarejesha juhudi za serikali azabu ipite nafaini

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Год назад +1

    Kwann mmetoa kibali sasa hii serikali wallahi ni uninga

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Год назад +1

    Wazanzibari subirini kugharikishwa tu kwani mnayo yafanya hayafanani na mlivyo.

  • @feisalmohamed3198
    @feisalmohamed3198 Год назад

    Dah hii serekali au serekasi

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 Год назад

    Njaa mbaya unauzwa unguja ukiwa mzima sasa na mpaka ukiwa marehemu mtihani, Tabu hazishi kwetu kama tumelaaniwa mpaka ukifa zinakufata tabu

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад +2

    Mnamtia mtu hasara kwa ujinga wenu mmempa kibali wenyewe

  • @zuuomar4657
    @zuuomar4657 Год назад

    Hamna lolote mzungu washawatoa pesa

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Год назад

    Matunda ya uhuru hayo kudhulimiana

  • @abdullahhilal5663
    @abdullahhilal5663 Год назад

    Mtu kama waziri angepaswa kuwasikilza wananchi wa eneo hilo na kujua hali halisi ya mahala hapo na iwapo mwekezaji kakiuka sheria au la. Angepata picha kamili na uamuzi wa kwenda kuliko kukurupuka tu

  • @mahmoudshungu2170
    @mahmoudshungu2170 Год назад

    Hili ni tatizo ambalo limekuwa likijitokeza sana kwenye jamii zetu kwa baadhi ya waliopewa dhamana kuto kutimiza ipasavyo wajibu wao, Nilikutana na kadhia ya ardhi jijini Tanga.

    • @ameirhaji3140
      @ameirhaji3140 Год назад

      Zanzibar imekua ina umimi na wanao pewa dhamana ya kuongoza wanafanya njia za shot cat mwenye pesa hua mwenye nguv

  • @MohdJumaa-q3l
    @MohdJumaa-q3l Месяц назад

    Kwanza si vizuri kujenga ukuta karibu ya bahari km mm waziri waziri wa mazingira. Nastopisha ujenzi. Ukuta wa Temporaly tu. Ujinga.

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 Год назад

    Sofa watu wa mjini watajuwaje kama mkenda makaburini mnapita hapo moikuwa nyie ndio muwafahamishe kwanza.makosa yenu viongozi wa shamba.

  • @marcinsalim8742
    @marcinsalim8742 Год назад

    JAMANI TUNASHIDA NA MKUU WA WILAYA NA SS KUNA JAMAA ANATAKA KUTUZULUMU... KISINGIZIO KIWANJA CHETU KAPEWA NA SEREKALI... PLEASE 😭

    • @seifali7138
      @seifali7138 Год назад

      serekal ya njàa na uzulumat wanatowa vibali halafu halafu wanazulumu kwa tamaaa zao

  • @haroubsalim779
    @haroubsalim779 Год назад +1

    Hamna taratibu yeyote mnayotoa ni kuburuza watu tu
    Kwanini amepewa vibali na nyie halafu mzuie kama si utapeli.

  • @innocentmushi4479
    @innocentmushi4479 Год назад

    Haki itendeke, aliyenyima Haki aukumiwe, mwekezaji asicheleweshwe suala lipo wazi

  • @princefakamiomupovizurifak5929

    Hawana lolote wizi Tu hao.ss mtu kashauziwa mnasema sehemu siyo ndo vp bc mlipeni pesa zk

  • @natashatoni5594
    @natashatoni5594 Год назад

    Ila hyu mkuu wa wilaya anatabia chafu sna analazimisha wasichana kulala nae usiku anawapambe wake akikutaka ukimkataa wanakufanyia fujo .

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад

    Kama sio laana nini mnauza mpaka makabury nilaana kubwa kwa walouza na walonunua zazibry imesha pata laana toka 64

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 Год назад

    Yaani hata sijui ni comment nini naona vurugu mechi tu..

  • @khaamisame7223
    @khaamisame7223 Год назад +2

    Aridhi mnauza wenyewe leo hii mnagombamban

    • @aboumubarak6542
      @aboumubarak6542 Год назад

      Hii sio haki kabisa , huyu ni mwekezaji kama wawekezaji wengine na amefuata taratibu zote kupata ardhi kwahiyo aachwe aendelee kuleta maendeleo kwa jamii husika

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Год назад +1

    Makaburi karibu na baharini?!

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Год назад

    Makabur yapo kando na bahari, aisee!! Hicho hata mkikiacha kitakuja kupigwa bei tu

    • @hamadabdullahkhamis977
      @hamadabdullahkhamis977 Год назад

      Hapo kapigwa Nasoro... Sinunui maeneo ya matemwe hata siku moja...hasa maeneo ya pwani..

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад +2

    hapa znz kuna mambo ya kijinga inakuaje mumuuzie makaburini? kwa ukubwa gani nchi hii ilonao.mpaka iwe matatizo kama haya? mlipeni sasa mwekezaji.gharama zake zote

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Год назад

    The system is corrupted

  • @sahimm4767
    @sahimm4767 Год назад +1

    Halafu baraza la mji linajinasibu hasa eti kibali kipo na tumetoa.. najiuliza je wamekitoa bila ya kujua kama au ndio kuna mkono wa wakubwa? Halafu leo hii eti wanalumbana wenyewe kwa wneyewe😅😅. Ccm muna tabu tena kubwa. ZIPA,MKUU WA MKOA,WIZARI WA ARDDHI mumelikoroga hili

    • @hasnuumakame9219
      @hasnuumakame9219 Год назад +1

      Hawajielewi Wanafanya nini hao, Wana vitengo tele utadhan wako serious vile kumbe wababaishaji tu....Mh Sadifa kanyoosha maelezo na inaonekana kua ZIPA na watu wa wizara ndio chanzo Cha huo mchezo mchafu..

    • @sahimm4767
      @sahimm4767 Год назад

      @@hasnuumakame9219 hivo vitengo vimewekwa kusudi kwa ajili ya kuwapatia ndugu, rafiki na watoto wao chejio.