MIONDOMBINU ZANZIBAR YAPAMBA MOTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 15

  • @alisalum5845
    @alisalum5845 11 часов назад

    Na njaa pia yapamba moto

  • @mohammedlaabry5799
    @mohammedlaabry5799 3 дня назад

    Halafu hii tv inashiriki ktk kusambaza uwongo

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 3 дня назад +1

    ACT bwana,wao wanapinga tuuuu

  • @Ahmarhassan-lk3ms
    @Ahmarhassan-lk3ms 4 дня назад

    Mbona siku hizi munacherewa San kuzituma habar al fatah

  • @khamismassoud8533
    @khamismassoud8533 3 дня назад

    mbona hichi kidaraja hakijamaliza tu😂😂😂😂😂😂

  • @AbuuShuraimAl-Shirazy
    @AbuuShuraimAl-Shirazy 4 дня назад +3

    Haya majitu maongo sn

  • @mukhtaromar-g5p
    @mukhtaromar-g5p 23 часа назад +1

    Acheni uwongo na dhulma nyinyi waacheni watu wachague wanae mtaka hamuna lolote

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo 4 дня назад

    Masha Allah

  • @mohammedlaabry5799
    @mohammedlaabry5799 3 дня назад

    Meli au tishari wecheni ujinga pemba hakuna bandari ya meli ya kontena haikuwa hapo unguja bandari meli inafunga mmoja tu

  • @khamisjuma2947
    @khamisjuma2947 3 дня назад

    Jenga tu unguja pemba ahidi

  • @mohammedlaabry5799
    @mohammedlaabry5799 3 дня назад

    Hii tv imekuwa ya mchongo Sasa lilobaki hii tv itakuwa yakinafiki karibu tu mumeshajiingiza ktk siasa

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 3 дня назад +1

    Uyo seif iddi bado tu anauza sura

  • @zebracosta5081
    @zebracosta5081 4 дня назад

    Wallah anasema uwongo sio powa zmt waleta kifaa gani shida tuu kule she rashid musikae mitaani nendeni bandarini mukatuonyeshe anacho kiongea ni kweli?

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 День назад

    Wacheni kutuwekea habari za kijinga kama hizi, watu wana njaa mnatuletea porojo za pantoni lilienda pemba...nyambaaaffff

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge 3 дня назад

    Hawa wanatufanya misukule tusojifaham lakini tunawambia njaa hailei wao wanashiba ss wanatudanganya na hosipitali mabarabara yasioisha kila ajae ntajenga barabara mnatufanya hatuna akili nyiee wadanganyeni wasiojielewa wasotembea