Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Na njaa pia yapamba moto
Halafu hii tv inashiriki ktk kusambaza uwongo
ACT bwana,wao wanapinga tuuuu
Mbona siku hizi munacherewa San kuzituma habar al fatah
mbona hichi kidaraja hakijamaliza tu😂😂😂😂😂😂
Haya majitu maongo sn
Acheni uwongo na dhulma nyinyi waacheni watu wachague wanae mtaka hamuna lolote
Masha Allah
Meli au tishari wecheni ujinga pemba hakuna bandari ya meli ya kontena haikuwa hapo unguja bandari meli inafunga mmoja tu
Jenga tu unguja pemba ahidi
Hii tv imekuwa ya mchongo Sasa lilobaki hii tv itakuwa yakinafiki karibu tu mumeshajiingiza ktk siasa
Uyo seif iddi bado tu anauza sura
Wallah anasema uwongo sio powa zmt waleta kifaa gani shida tuu kule she rashid musikae mitaani nendeni bandarini mukatuonyeshe anacho kiongea ni kweli?
Wacheni kutuwekea habari za kijinga kama hizi, watu wana njaa mnatuletea porojo za pantoni lilienda pemba...nyambaaaffff
Hawa wanatufanya misukule tusojifaham lakini tunawambia njaa hailei wao wanashiba ss wanatudanganya na hosipitali mabarabara yasioisha kila ajae ntajenga barabara mnatufanya hatuna akili nyiee wadanganyeni wasiojielewa wasotembea
Na njaa pia yapamba moto
Halafu hii tv inashiriki ktk kusambaza uwongo
ACT bwana,wao wanapinga tuuuu
Mbona siku hizi munacherewa San kuzituma habar al fatah
mbona hichi kidaraja hakijamaliza tu😂😂😂😂😂😂
Haya majitu maongo sn
Acheni uwongo na dhulma nyinyi waacheni watu wachague wanae mtaka hamuna lolote
Masha Allah
Meli au tishari wecheni ujinga pemba hakuna bandari ya meli ya kontena haikuwa hapo unguja bandari meli inafunga mmoja tu
Jenga tu unguja pemba ahidi
Hii tv imekuwa ya mchongo Sasa lilobaki hii tv itakuwa yakinafiki karibu tu mumeshajiingiza ktk siasa
Uyo seif iddi bado tu anauza sura
Wallah anasema uwongo sio powa zmt waleta kifaa gani shida tuu kule she rashid musikae mitaani nendeni bandarini mukatuonyeshe anacho kiongea ni kweli?
Wacheni kutuwekea habari za kijinga kama hizi, watu wana njaa mnatuletea porojo za pantoni lilienda pemba...nyambaaaffff
Hawa wanatufanya misukule tusojifaham lakini tunawambia njaa hailei wao wanashiba ss wanatudanganya na hosipitali mabarabara yasioisha kila ajae ntajenga barabara mnatufanya hatuna akili nyiee wadanganyeni wasiojielewa wasotembea