MAPOVU YA GB 64 ADATA CHAMA KUONDOKA SIMBA SC / AWACHANA VIONGOZI WA SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • SIKIA MWANZO MWISHO MAPOVU YA SHABIKI WA SIMBA GB64 BAADA YA CHAMA KUSAINI YANGA / SISI HATUWAZI AENDE KAMA WENGINE TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
    #manaratv #yanga #chama #simbasc #football #footballclub

Комментарии • 127

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 3 месяца назад +11

    YANGA NI KUBWA KULIKO SIMBA,GSM NI ZAIDI YA MO DEWJI,NA ENG HERS NI ZAIDI YA MAGOLI+TRY AGAIN+MANGUNGU

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 3 месяца назад +1

    Gb 64 leo unajikanyaga sana, kutoka kusema YANGA HAWANA JEURI...MPK CHAMA ANA GOLI MOJA..hatuzitaki mbichii..🤣🤣🤣🤣🤣 mtu kabanwa kwenye kona,

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 3 месяца назад +3

    Lazima awe mnyonge maana juzi tu alisema gsm hana uwezo wa kumchukua chama

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani4072 3 месяца назад +1

    ETI ALIKUWA ANAJUA CHAMA ANAONDOKA LAKINI ALIKUWA ANAWATULIZA WANA MADUNDUKA WENZIWE!! INA MAANA HII JAMII YOTE YA MADUNDUKA TABIA ZAO WOTE ZINAFANANA,KUDANGANYANA NDIO MTINDO WAO WA KISASA.NDIO YALE YALEEE YA KULETEWA MANZOKI KUJA KUWAPIGIA DEBE LA UCHAGUZI KINA MANGUNGU NA WENZIWE.HAWA MADUNDUKA KWELI,WA SII UTANI!!! NA MAANA YA MADUNDUKA NI WATU AU JAMII YENYE MTINDINDIO WA UBONGO!! (MATAHIRA) WALIKWENDA EGIPTY MISRI,WAMEPIGA PICHA NAMAYELE WAKAWAONGOPEANA TAYARI MAYELE KASAINI TIMU YAO YA MADUNDUKA,NA MADUNDUKA NAO WAMEAMINI HIVYO,YANI HAWA MADUNDUKA KWA KUPEANA MATUMAINI HEWA NDIO JADI YAO.WALA HATUWASHANGAI NA MANENO YAO MEENGI NA MBWEMBWE NYIINGI KUMBE HAMNA KITU.AMA KWELI MADUNDUKA HAWANA MKOLE.WAO KAMA BENDERA HUFUATA UPEPO!! NA BADO MTASEMA SSANNA!! TABU IKO PALE PALE!!!

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 3 месяца назад +1

    Walisema chama mzee leo ,wana mpapatikia ,simba nguvu moja.,,,,, yanga haina mvuto lazima itumie mazao yanayo zalishwa na simba ili itafute kiki ya kuzungumzika mjini.

  • @JohnMbogo-c1n
    @JohnMbogo-c1n 3 месяца назад +1

    Hamia Azam sasa au ulikua hujui unachoongea. Hadi sasa GSM 5 - mo 0😂

  • @JohnMbogo-c1n
    @JohnMbogo-c1n 3 месяца назад +1

    Yaani huyu ni taahila sasa viongozi wako watoe barua ya nini na mkataba ushaisha😅😅😅😅

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 3 месяца назад +1

    Huyo gb 64 kuanzialeo aache Sasa kushabikia Simba sialisema mdomrefu Kama sulusulu tunakatukuone usishangilile Simba achauwongo apo

  • @JumaKhamis-o5r
    @JumaKhamis-o5r 3 месяца назад +1

    Kuwa mkweli maneno uliyoyasema umeyasahau?

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 3 месяца назад +4

    Ww kumbe hufai kabisa ww jana chama hawezi kwenda yanga leo nimebariki toka hapa hufai😅

  • @gastonmbarila9458
    @gastonmbarila9458 3 месяца назад +1

    Usiznguwe mdomo wako umekuponza hamia Azam

  • @EstherMulinga
    @EstherMulinga 3 месяца назад +1

    Wewe GB64 ni km matako ya kichina ww ni feki.,mbona umekua mpole sasa

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge1383 3 месяца назад +1

    Anaikumbuka vzr Galacticos kweli huyu?
    Ike Casias, Michele Salgado, Roberto Carlos, Fernando Hierro, Sergio Ramos, Claude Makelele, David Berckham, Zindin Zidan, Gutti, Ronaldo De Lima, Raul Gonzalez, Fernando Morientes, Luis Figo, Michael Owen na Robinho???
    Simba wakanushe sasa, kuhusu Triple C.

  • @igugukisaka2535
    @igugukisaka2535 3 месяца назад +1

    mbona mapovu pro max yameanza kutolewa

  • @jafarially4731
    @jafarially4731 3 месяца назад +1

    Acha uongo ushabikie azam ahadi ni deni

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 3 месяца назад +1

    Sasa chagua moja kuacha kuishabikia Simba na kuhamia Azam,au uachane na ushabiki kabisa.

  • @SeifStambuly
    @SeifStambuly 3 месяца назад +1

    Ulisema akija yanga utahama hama ss kuku ww

  • @aliceniyungeko2279
    @aliceniyungeko2279 3 месяца назад +1

    Jameni ukopeni watu wasio naibu usoni juwa wamelaaniwa GB huna lolote mimi nawaza unatazizo kichwani waya zako zimeunguwa we kichaaa usiojielewa

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 3 месяца назад +2

    SIMBA MJIANDAE....MNABOMOA NYUMBA WAKATI MATOFALI HAMNA.....ANGALIENI MSIJE MKALAZA WATOTO NJE WAKANYESHEWA NA MVUA!

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 3 месяца назад +1

    Upunguze kulopoka uongo angalia ushaanza kuhaibika

  • @SwedAthuman-k5j
    @SwedAthuman-k5j 3 месяца назад +1

    Unazingua wewe hamia azumu

  • @SwedAthuman-k5j
    @SwedAthuman-k5j 3 месяца назад +1

    Unazingua wewe hamia azumu

  • @HamadiMgeja
    @HamadiMgeja 3 месяца назад +1

    We gb 9000000 ni fala sana punguza bange

  • @AhmedJeizan
    @AhmedJeizan 3 месяца назад +1

    Kenge hiyo insemaje

  • @AdoniasManyama
    @AdoniasManyama 3 месяца назад +1

    Tutakufa mwaka huu😅😅

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 3 месяца назад +4

    Mm ni simba nanilikia namkubali sana huyu ila kumbe nimnafik hafai kabisa hamia basi azam

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla 3 месяца назад +1

    Nenda zako Azm tuwachie simba yetu

  • @SamwelLaizer-o3x
    @SamwelLaizer-o3x 3 месяца назад +1

    Povu tu..hakuna kitu

  • @BarakaZakwangu
    @BarakaZakwangu 3 месяца назад +1

    Huyu mnafki

  • @habibukassam9702
    @habibukassam9702 3 месяца назад +2

    Huyo gb c alisema chama akiondoka simba anaachana na simba atimize ahadi

  • @grace200014
    @grace200014 3 месяца назад +1

    Huyu Mae kawa chawa

  • @KalondaWilondja
    @KalondaWilondja 3 месяца назад +1

    Hajielewi uyooo dada GB 64

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 3 месяца назад +1

    Mnafiki huyu sijapata kuona alisema Chama akiondoka anahamia Azam kaitwa kuonywa hiloooooooo Njaa Kali 😂😂😂😂

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 месяца назад

    Kweli kaka:kuna mayele:feitoto na wengine hakuna shida:mbele ya Mgunda hakuna kilichoharibika

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 3 месяца назад +1

    MNAUNDA TIMU MPYA ALAFU MNAANZA MAJIGAMBO ? AMJIELEWI MNAJUAJE KAMA MIFUMO YENU ITAENDANA NA HAO WACHEZAJI ?

  • @khamisrashid6581
    @khamisrashid6581 3 месяца назад +1

    Ww hufai kabisa jana tu unamsifu chama leo hafai anagoli 1 ww ndohufai kabisa

  • @manenomkumba4054
    @manenomkumba4054 3 месяца назад +1

    Ilo Busta atari

  • @jseventz
    @jseventz 3 месяца назад +1

    mamluki

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 3 месяца назад +1

    GB kapigwa na kitu kizito

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 3 месяца назад +2

    Mfate Chama kuwa na msimamo wewe ni mwanaume shenzi sana🤣🤣🤣

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 3 месяца назад +3

    Vipi kushabikia Azam

  • @BekkaJoe
    @BekkaJoe 3 месяца назад +1

    Bora mchome mi huyu kuanzia leo simsikizi tena mnafik uyu Chauwongo

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 3 месяца назад +3

    Ukiwa mnafiki ujanan waulahhi unakuja kuloga uzeeni mbwaa wew

  • @MrMatikiti_kudondoka
    @MrMatikiti_kudondoka 3 месяца назад

    moyo tulia mjini kuna vya watu...tuk pamoja wana simba mpaka mfe...tupishe maneno ya wadhamini

  • @mickdadiNyagal
    @mickdadiNyagal 3 месяца назад +2

    Alisema chama atache Simba na mkongojo Yako wapi

  • @yohanaemanuelylazaro5109
    @yohanaemanuelylazaro5109 3 месяца назад +1

    Alisema ataacha kushabikia simba ataenda azam kama chama akisajiliwa na yanga.

  • @MirajChambo
    @MirajChambo 3 месяца назад

    Uyoalie sema yanga nikubwa kuliko simba ninani uyooo mtovuadabu mie naona hajielewi utopolo

  • @ZachariaMwita-bu7rw
    @ZachariaMwita-bu7rw 3 месяца назад +1

    Mi na SIMBA lkn kuna muda gb unajikubal kipita kiac hamia azam sas

  • @harunaabu3083
    @harunaabu3083 3 месяца назад

    Gb 64 achakushabukia simba sasa ndivyo ulivyosema

  • @hajjnabesaboru704
    @hajjnabesaboru704 3 месяца назад

    Huyu mtu hajielewi hajui chenye anachokiongea mwanzo amesema Chama kasain miaka mbili sai tena vitu vya kawaida bure kabisa

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 3 месяца назад +1

    Timiza ahadi.

  • @petertemu7136
    @petertemu7136 3 месяца назад

    Alipoondoka kwenda Balknlane mbona hamkudata

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад +1

    Aende tu yeye hawez kuwa mkubwa kuliko Simba wamesha Toka wengi tuliwapenda

  • @MashakaSabato
    @MashakaSabato 3 месяца назад +1

    Hakuna kijiji kisicho kuwa na mzee GB 64

  • @maryfides591
    @maryfides591 3 месяца назад +1

    Si halisema hatoshabikia simba tena

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 3 месяца назад +1

    Shida huyu na wenzake akina Dr MO ni ulevi wa bangi na sigara

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack9240 3 месяца назад +1

    Mnafiki huyo anajihakikishia kitu asichokijua eti anaongea na viongoz kiko wapi kadanganywa na viongoz wake

    • @faidha23
      @faidha23 3 месяца назад +1

      😂😂😂

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 3 месяца назад

    Kabadilika TENA SI alisema anaacha kushabikia

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla 3 месяца назад

    uyo gsm munaesem kuwa ni mkubw kuliko moo kwan uyo cham mumemnunuwa shingapi mbn alipokuwa na mkataba uyo gsm alishindwa kumnunuwa

  • @CareenJulias-iu7tf
    @CareenJulias-iu7tf 3 месяца назад

    Sasa hapo GB kumbuka wewe ni brand kubwa sana Tanzania nakushauri uwe na msimamo wa maneno yako yaani 1+1=2 kwa hu msemo wako wa kwenda azam Hapo uliteleza nakuomba uwe na msimamo wa moja kwa moja usiwe kigeugeu na pia ujue kuwa kila unakiongea kwenye midia nyuma yako kuna wengi sana tunaokufuatilia nyooka kama ndiyo iwe ndiyo kama hapana iwe hapana. hapo utakuwa sawasawa.

  • @selemonsalvatory4414
    @selemonsalvatory4414 3 месяца назад

    Huwez ona senkisi kwahyo hata ukiona thanks usiamini GB0

  • @SuleimanJuma-dv8gt
    @SuleimanJuma-dv8gt 3 месяца назад

    Huyu jamaa ni mnafki alisema, Ataamia Azam, mbona sasa. Kudadadeki

  • @MwinjumaShaban
    @MwinjumaShaban 3 месяца назад

    Acha uongu ulisema utaacha kusha ikia Simba kwanini mnakua waongo wanasimba mpaka mnaapa kwamungu pumbavu wewe

  • @ramadhanihaji9047
    @ramadhanihaji9047 3 месяца назад

    Alisha wahi sema Chama akiondoka kuhamia Yanga ataacha kuishabikia Simba.

  • @JanuariMchuno
    @JanuariMchuno 3 месяца назад +2

    Wew gb 64 ulisema unahama chama akisajiliwa yanga unaenda wp bn

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 3 месяца назад

    Hapo kweli nimeona makolo akili zao wote ni dunduka
    Alisema atahama tim

  • @SandaliSaid
    @SandaliSaid 3 месяца назад +1

    Chama azingua bhana aende tu bwana

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 3 месяца назад

      Tajir kashindwa mahitajio ya Mwamba

  • @saidmnenuka7822
    @saidmnenuka7822 3 месяца назад +1

    Kwaiyo ameamia azam? maana nikauli zake alizoahidi.

  • @fadhilimasud-mb9nk
    @fadhilimasud-mb9nk 3 месяца назад +1

    nakukubali sana ww

  • @MzeeNgwali-x7p
    @MzeeNgwali-x7p 3 месяца назад

    Atoe Nani thank you wakati mktaba umeisha mweu ww

  • @HuseinOmari
    @HuseinOmari 3 месяца назад +1

    Penda were gb64 mimi nafurahi chamade kuondoka

  • @brightonsiriwa5880
    @brightonsiriwa5880 3 месяца назад

    aliuza mechi ya goli 5 zidi ya yanga asepe tu

  • @ALLYMEMBE
    @ALLYMEMBE 3 месяца назад +1

    GB huna jipya unajuwaje pengine alishawishiwa na yanga asikubali kuongeza mkataba ili wamchukuweje

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 3 месяца назад +4

    Ulisema hawezi kutua yanga

    • @luckygmdegela8477
      @luckygmdegela8477 3 месяца назад

      Mlisema chama mzee

    • @luckygmdegela8477
      @luckygmdegela8477 3 месяца назад

      Mlisema yanga hawezi kusigniwa na yanga ,na mkasema atacheza namba ya nani ? Na mkasema atakaa bechi sio ninyi ?

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 3 месяца назад +1

    😂😂😂sijui na mm nacheka nn jmn

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 3 месяца назад

    Maneno ya mkosaji😂😂😂😂

  • @MTANGIRASHIDI
    @MTANGIRASHIDI 3 месяца назад +4

    Koloooooooooo hamia azam xx

  • @SalomeMkumbae
    @SalomeMkumbae 3 месяца назад

    Kachanganyikiwa maskini

  • @SwedAthuman-k5j
    @SwedAthuman-k5j 3 месяца назад

    Unazingua wewe hamia azumu

  • @MejandomoTungu
    @MejandomoTungu 3 месяца назад

    Kwahiyo utaenda azma au

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 месяца назад

    Chama akauze mech tu huko

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA 3 месяца назад

    TUKIANZA KUPIGA KELELE ZA CHAMA TUTAKUWA SIO CLUB KUBWA...CHAMA Kwa Simba ameshinda kila kitu .. HANA Spirit KUBWA Kwa team kama Simba .....LAZIMA IJE ASUBUHI IJE JIONI NA USIKU UINGIE..tuwe na. Amani.....UMOJA ndio siraha ya MAFANIKIO .

  • @law93king
    @law93king 3 месяца назад +1

    umeitwa azam huko😅

  • @GETRUDEGODWIN
    @GETRUDEGODWIN 3 месяца назад

    Tunataka uhamie azam

  • @MejandomoTungu
    @MejandomoTungu 3 месяца назад

    Mbon kigeugeu boy

  • @MirajChambo
    @MirajChambo 3 месяца назад

    Mambo vep wana simba

  • @jofreymwampamba1236
    @jofreymwampamba1236 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂

  • @CareenJulias-iu7tf
    @CareenJulias-iu7tf 3 месяца назад

    Safi sana GB leo nimekuelewa sana. Safi sana viongozi wangu wa simba kututolea hilo janga chochezi la chuki ndani ya wachezaji wetu. Chama nenda sana ni kama umetuchelewesha sana.

  • @magrethnovatus2972
    @magrethnovatus2972 3 месяца назад +1

    GB umetuponza sana weeeee😢😢

  • @martinabel3896
    @martinabel3896 3 месяца назад +1

    gb ww chizi

  • @khamiskhamis6809
    @khamiskhamis6809 3 месяца назад +1

    Uyu mbabaifuuu

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 3 месяца назад +2

    Huyo ni Mbumbumbu. Ooh Chama hawezi kusajiliwa na YANGA. Anajiona ana Akili anafahamu mengi kumbe Juha
    Usilinganishe na Timu za Ulaya Makolo Chakavu Madunduka ni Vigeugeu

  • @MakarotiKamugisha
    @MakarotiKamugisha 3 месяца назад

    ❤100

  • @ShabanPaschal
    @ShabanPaschal 3 месяца назад +1

    Hamia azam sasa

  • @safiliMuhammad
    @safiliMuhammad 3 месяца назад

    Ulinitukama wewe chama sio mkubwa kuliko. Simba. Huyo alikua

  • @MkumbeSalimu
    @MkumbeSalimu 3 месяца назад

    Lofa tu uyoo

  • @martinepanga6350
    @martinepanga6350 3 месяца назад

    Safi sana 64 GB umemjibu svizur uyo mdada

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 3 месяца назад

    Yanga inasajili wabovu sasa

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад +1

      Kwaniii wanamtaka na jobe ?? Au Wanamtaka Fred ??

  • @MashakaSabato
    @MashakaSabato 3 месяца назад

    GB64
    Mimi nakufatilia sana ningependa kuwa na uhakika je chama kasaini yanga ama bado tupo nae

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack9240 3 месяца назад

    Wanajipa moyo tu hapa hadharan lkn wakiwa peke yao wanalia ovyo