MAPOVU YA GB 64 ADATA CHAMA KUONDOKA SIMBA SC / AWACHANA VIONGOZI WA SIMBA
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- SIKIA MWANZO MWISHO MAPOVU YA SHABIKI WA SIMBA GB64 BAADA YA CHAMA KUSAINI YANGA / SISI HATUWAZI AENDE KAMA WENGINE TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#manaratv #yanga #chama #simbasc #football #footballclub
YANGA NI KUBWA KULIKO SIMBA,GSM NI ZAIDI YA MO DEWJI,NA ENG HERS NI ZAIDI YA MAGOLI+TRY AGAIN+MANGUNGU
Unaota wewe amka una usingizi
Amka ukojoe wewe😅
MKUMBUSHE BABA YAKO KWANZA
Gb 64 leo unajikanyaga sana, kutoka kusema YANGA HAWANA JEURI...MPK CHAMA ANA GOLI MOJA..hatuzitaki mbichii..🤣🤣🤣🤣🤣 mtu kabanwa kwenye kona,
Lazima awe mnyonge maana juzi tu alisema gsm hana uwezo wa kumchukua chama
ETI ALIKUWA ANAJUA CHAMA ANAONDOKA LAKINI ALIKUWA ANAWATULIZA WANA MADUNDUKA WENZIWE!! INA MAANA HII JAMII YOTE YA MADUNDUKA TABIA ZAO WOTE ZINAFANANA,KUDANGANYANA NDIO MTINDO WAO WA KISASA.NDIO YALE YALEEE YA KULETEWA MANZOKI KUJA KUWAPIGIA DEBE LA UCHAGUZI KINA MANGUNGU NA WENZIWE.HAWA MADUNDUKA KWELI,WA SII UTANI!!! NA MAANA YA MADUNDUKA NI WATU AU JAMII YENYE MTINDINDIO WA UBONGO!! (MATAHIRA) WALIKWENDA EGIPTY MISRI,WAMEPIGA PICHA NAMAYELE WAKAWAONGOPEANA TAYARI MAYELE KASAINI TIMU YAO YA MADUNDUKA,NA MADUNDUKA NAO WAMEAMINI HIVYO,YANI HAWA MADUNDUKA KWA KUPEANA MATUMAINI HEWA NDIO JADI YAO.WALA HATUWASHANGAI NA MANENO YAO MEENGI NA MBWEMBWE NYIINGI KUMBE HAMNA KITU.AMA KWELI MADUNDUKA HAWANA MKOLE.WAO KAMA BENDERA HUFUATA UPEPO!! NA BADO MTASEMA SSANNA!! TABU IKO PALE PALE!!!
Walisema chama mzee leo ,wana mpapatikia ,simba nguvu moja.,,,,, yanga haina mvuto lazima itumie mazao yanayo zalishwa na simba ili itafute kiki ya kuzungumzika mjini.
Hamia Azam sasa au ulikua hujui unachoongea. Hadi sasa GSM 5 - mo 0😂
Yaani huyu ni taahila sasa viongozi wako watoe barua ya nini na mkataba ushaisha😅😅😅😅
Huyo gb 64 kuanzialeo aache Sasa kushabikia Simba sialisema mdomrefu Kama sulusulu tunakatukuone usishangilile Simba achauwongo apo
Kuwa mkweli maneno uliyoyasema umeyasahau?
Ww kumbe hufai kabisa ww jana chama hawezi kwenda yanga leo nimebariki toka hapa hufai😅
Usiznguwe mdomo wako umekuponza hamia Azam
Wewe GB64 ni km matako ya kichina ww ni feki.,mbona umekua mpole sasa
Anaikumbuka vzr Galacticos kweli huyu?
Ike Casias, Michele Salgado, Roberto Carlos, Fernando Hierro, Sergio Ramos, Claude Makelele, David Berckham, Zindin Zidan, Gutti, Ronaldo De Lima, Raul Gonzalez, Fernando Morientes, Luis Figo, Michael Owen na Robinho???
Simba wakanushe sasa, kuhusu Triple C.
mbona mapovu pro max yameanza kutolewa
Acha uongo ushabikie azam ahadi ni deni
Sasa chagua moja kuacha kuishabikia Simba na kuhamia Azam,au uachane na ushabiki kabisa.
Ulisema akija yanga utahama hama ss kuku ww
Jameni ukopeni watu wasio naibu usoni juwa wamelaaniwa GB huna lolote mimi nawaza unatazizo kichwani waya zako zimeunguwa we kichaaa usiojielewa
SIMBA MJIANDAE....MNABOMOA NYUMBA WAKATI MATOFALI HAMNA.....ANGALIENI MSIJE MKALAZA WATOTO NJE WAKANYESHEWA NA MVUA!
Upunguze kulopoka uongo angalia ushaanza kuhaibika
Unazingua wewe hamia azumu
Unazingua wewe hamia azumu
We gb 9000000 ni fala sana punguza bange
Kenge hiyo insemaje
Tutakufa mwaka huu😅😅
Mm ni simba nanilikia namkubali sana huyu ila kumbe nimnafik hafai kabisa hamia basi azam
Nenda zako Azm tuwachie simba yetu
Povu tu..hakuna kitu
Huyu mnafki
Huyo gb c alisema chama akiondoka simba anaachana na simba atimize ahadi
Ahamie Azam rasmi sasa.
Huyu Mae kawa chawa
Hajielewi uyooo dada GB 64
Mnafiki huyu sijapata kuona alisema Chama akiondoka anahamia Azam kaitwa kuonywa hiloooooooo Njaa Kali 😂😂😂😂
Kweli kaka:kuna mayele:feitoto na wengine hakuna shida:mbele ya Mgunda hakuna kilichoharibika
MNAUNDA TIMU MPYA ALAFU MNAANZA MAJIGAMBO ? AMJIELEWI MNAJUAJE KAMA MIFUMO YENU ITAENDANA NA HAO WACHEZAJI ?
Ww hufai kabisa jana tu unamsifu chama leo hafai anagoli 1 ww ndohufai kabisa
Ilo Busta atari
mamluki
GB kapigwa na kitu kizito
Mfate Chama kuwa na msimamo wewe ni mwanaume shenzi sana🤣🤣🤣
Vipi kushabikia Azam
Bora mchome mi huyu kuanzia leo simsikizi tena mnafik uyu Chauwongo
Ukiwa mnafiki ujanan waulahhi unakuja kuloga uzeeni mbwaa wew
moyo tulia mjini kuna vya watu...tuk pamoja wana simba mpaka mfe...tupishe maneno ya wadhamini
Alisema chama atache Simba na mkongojo Yako wapi
Alisema ataacha kushabikia simba ataenda azam kama chama akisajiliwa na yanga.
Uyoalie sema yanga nikubwa kuliko simba ninani uyooo mtovuadabu mie naona hajielewi utopolo
Mi na SIMBA lkn kuna muda gb unajikubal kipita kiac hamia azam sas
Gb 64 achakushabukia simba sasa ndivyo ulivyosema
Huyu mtu hajielewi hajui chenye anachokiongea mwanzo amesema Chama kasain miaka mbili sai tena vitu vya kawaida bure kabisa
Timiza ahadi.
Alipoondoka kwenda Balknlane mbona hamkudata
Aende tu yeye hawez kuwa mkubwa kuliko Simba wamesha Toka wengi tuliwapenda
Hakuna kijiji kisicho kuwa na mzee GB 64
Si halisema hatoshabikia simba tena
Shida huyu na wenzake akina Dr MO ni ulevi wa bangi na sigara
Mnafiki huyo anajihakikishia kitu asichokijua eti anaongea na viongoz kiko wapi kadanganywa na viongoz wake
😂😂😂
Kabadilika TENA SI alisema anaacha kushabikia
uyo gsm munaesem kuwa ni mkubw kuliko moo kwan uyo cham mumemnunuwa shingapi mbn alipokuwa na mkataba uyo gsm alishindwa kumnunuwa
Sasa hapo GB kumbuka wewe ni brand kubwa sana Tanzania nakushauri uwe na msimamo wa maneno yako yaani 1+1=2 kwa hu msemo wako wa kwenda azam Hapo uliteleza nakuomba uwe na msimamo wa moja kwa moja usiwe kigeugeu na pia ujue kuwa kila unakiongea kwenye midia nyuma yako kuna wengi sana tunaokufuatilia nyooka kama ndiyo iwe ndiyo kama hapana iwe hapana. hapo utakuwa sawasawa.
Huwez ona senkisi kwahyo hata ukiona thanks usiamini GB0
Huyu jamaa ni mnafki alisema, Ataamia Azam, mbona sasa. Kudadadeki
Acha uongu ulisema utaacha kusha ikia Simba kwanini mnakua waongo wanasimba mpaka mnaapa kwamungu pumbavu wewe
Alisha wahi sema Chama akiondoka kuhamia Yanga ataacha kuishabikia Simba.
Wew gb 64 ulisema unahama chama akisajiliwa yanga unaenda wp bn
Hapo kweli nimeona makolo akili zao wote ni dunduka
Alisema atahama tim
Chama azingua bhana aende tu bwana
Tajir kashindwa mahitajio ya Mwamba
Kwaiyo ameamia azam? maana nikauli zake alizoahidi.
nakukubali sana ww
Atoe Nani thank you wakati mktaba umeisha mweu ww
Penda were gb64 mimi nafurahi chamade kuondoka
aliuza mechi ya goli 5 zidi ya yanga asepe tu
GB huna jipya unajuwaje pengine alishawishiwa na yanga asikubali kuongeza mkataba ili wamchukuweje
Ulisema hawezi kutua yanga
Mlisema chama mzee
Mlisema yanga hawezi kusigniwa na yanga ,na mkasema atacheza namba ya nani ? Na mkasema atakaa bechi sio ninyi ?
😂😂😂sijui na mm nacheka nn jmn
Maneno ya mkosaji😂😂😂😂
Koloooooooooo hamia azam xx
Utopolo bhana
Kachanganyikiwa maskini
Unazingua wewe hamia azumu
Kwahiyo utaenda azma au
Chama akauze mech tu huko
TUKIANZA KUPIGA KELELE ZA CHAMA TUTAKUWA SIO CLUB KUBWA...CHAMA Kwa Simba ameshinda kila kitu .. HANA Spirit KUBWA Kwa team kama Simba .....LAZIMA IJE ASUBUHI IJE JIONI NA USIKU UINGIE..tuwe na. Amani.....UMOJA ndio siraha ya MAFANIKIO .
umeitwa azam huko😅
Tunataka uhamie azam
Mbon kigeugeu boy
Mambo vep wana simba
😂😂😂😂😂
Safi sana GB leo nimekuelewa sana. Safi sana viongozi wangu wa simba kututolea hilo janga chochezi la chuki ndani ya wachezaji wetu. Chama nenda sana ni kama umetuchelewesha sana.
GB umetuponza sana weeeee😢😢
gb ww chizi
Uyu mbabaifuuu
Huyo ni Mbumbumbu. Ooh Chama hawezi kusajiliwa na YANGA. Anajiona ana Akili anafahamu mengi kumbe Juha
Usilinganishe na Timu za Ulaya Makolo Chakavu Madunduka ni Vigeugeu
❤100
Hamia azam sasa
Ulinitukama wewe chama sio mkubwa kuliko. Simba. Huyo alikua
Lofa tu uyoo
Safi sana 64 GB umemjibu svizur uyo mdada
Yanga inasajili wabovu sasa
Kwaniii wanamtaka na jobe ?? Au Wanamtaka Fred ??
GB64
Mimi nakufatilia sana ningependa kuwa na uhakika je chama kasaini yanga ama bado tupo nae
Wanajipa moyo tu hapa hadharan lkn wakiwa peke yao wanalia ovyo