Ila nimejifunza kitu sana ukipigwa tukio ukibahatisha kutoka usirudi jmn watu tumepigwa na vyuma jmn uwiii yaan Kuna muda unaweza mpata mtu sahihi wakati moyo ulishachoka unajua upoupo tu moyo ulishavunjika mtu anangaika kufanya uwe na furaha lakini wew haumo yaan haumo Mungu tusaidie
Anko jay hii simulizi Waallah imenikumbusha wakati wangu so nice haki wanaume waxha tu ndioo Asante sana but for how l a cool much ❤🔥🔥🔥🔥🔥💯💯🙏shukran sana
Nani anpnda anko jey always yuko kwenye umbea bnfsi npnda hyo aly yni uwa naenjoy nakuchka pkyngu kma mweu anko jey mungu azd kukubrki mtu wangu yani maupndo km yot❤❤🎉🎉🎉
Katika maisha haya usimdharau mtu kwani hujui atakufaa vipi hapo baadae ,tena ishi na watu vizuri na uwaheshimu hata wale ambao wanaonekana kama hawana heshima ama hawafai kuheshimiwa kwani upo wakati watasimama na wewe na kukufanya kuwa wewe ni wamaa sana katika maisha yao
Asante sana anko jay kwA simulizu tamu yenye mafunzo mengi ndaniake mungu akubariki sana anko wetu akupe maisha marefu sana thank you so much ❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
Hii simulizi nizuri ya mwandishi Babie love❤ Dear Heart nafurahi uko sikiliza simulizi anko jay nime penda sauti yako king 👑nafurahi uko wamweye Familia ya anko jay na zani Ina simulizi yenye mafunzo migi 🎉🎉🎉
MOVIE NITAKUWA NAZILETA HAPA HAPA KWENYE CHANNEL YANGU HII YA ANKOJAY SIMULIZI
Mungu akubarik handsome wetu🎉🎉🎉🎉
Hongera sana leo mm nimekuwa wa 31
Naombeni like hta moja leo wadau wangu
HONGERA XN ANKOJ 2PO NYUMA YAKO MBK U2CHOKE MWENYEWE 😂❤❤❤
Nice ❤❤❤❤
Wawooo anko umetuamulia masimulizi kweli nikila leo Yani tunakuombea afya njema tuna kupenda bule🌹🌹🌹🏃
🌹🌹🌹🌹
Amin
Dear Heart Mungu akuzidishie 🙏 ❤️ Shukrani sana ancle na Baby love Kwa hii story nzuri sanaa🙏🙏😍😍
Aaaah,sauti wa kinara wetu anko j imekaa mkao,imetuliaaaaa,asante kwa ukaribisho
Bby love wetu tunampenda 🎉🎉🎉🎉
Mmmh candy n rahim😅😅😅😅meet us
waoooh ankojey unajua kufurahisha lakini wanafamilia wako hampendi kunipa like zenu nawaombeni ha kwa leo tu mtakuwa mmenisaidia sana
❤❤❤🎉
"Baada ya kusuguliwa kidoogo mwili ukawa mweeeeeeeepesi" 😂
Asante sana anko jay simulizi nzuri tena yenye mafunzo
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤Ahsante Anko jay kwa kigongo kipya tunaenjoy,,bila kumsahau mwandishi wetu mahiri Babie love ❤️
Tunaenjoi kwa kweli
Walahi hii simulizi nitamu sana mwenyeameandika amejua kuipangilia❤🇰🇪🇰🇪
Babie love hanaga mbamba
@@MwanatumuJumaa-rj4fg kabisa
Jamani jamani mungu ni mwema siku zote kwa kila mtu hapa Duniani
Babie love huwa na mambo mazito mno Asante Ankoj Tuko pamoja
Kwa kweli
Mpe mauwa yake hayo 🎉🎉🎉
Na me naomben like jamn
Salute kwa dada wetu babie love na msimulizi Anko jay mapesa kwa kitu kilonyooka .yaani hamna kupindapinda❤❤❤❤
Hakina kona kona kwa kweli
@@RahelIbrahim-id2li wallah .hizi ndio simulizi ninazozipenda
Tamu kushinda lisa
Penda saan ankoy jay nipen like zang
Ila nimejifunza kitu sana ukipigwa tukio ukibahatisha kutoka usirudi jmn watu tumepigwa na vyuma jmn uwiii yaan Kuna muda unaweza mpata mtu sahihi wakati moyo ulishachoka unajua upoupo tu moyo ulishavunjika mtu anangaika kufanya uwe na furaha lakini wew haumo yaan haumo Mungu tusaidie
Anko jay hii simulizi Waallah imenikumbusha wakati wangu so nice haki wanaume waxha tu ndioo Asante sana but for how l a cool much ❤🔥🔥🔥🔥🔥💯💯🙏shukran sana
Ni tamu sana
Ankojay mungu akuzidishie maisha marefu
Amin
Kazi nzuri sana ankojay tunakupenda sana❤❤❤
NIMEWAI LEO AISEEEE NIPE LIKE HATA TANO NITASHUKURU XN..ANKOJAY BARIKIWA XN ❤❤
Pamoja🌹🌹🌹🏃
Tupo pamoja 🎉🎉🎉🎉
Baby love hongera San ❤❤❤anko jay
Nani anpnda anko jey always yuko kwenye umbea bnfsi npnda hyo aly yni uwa naenjoy nakuchka pkyngu kma mweu anko jey mungu azd kukubrki mtu wangu yani maupndo km yot❤❤🎉🎉🎉
Ahsante bwana anko Jay simulizi ❤❤❤😂😂
Ahsante sana Anko kwa simulizi yetu hii nzuri, usisahau bado tuko pamoya, Ankoo much love ❤.
Asante sana babilove nimeinjoi sana kweli tamaa mbaya sana mvumilivu hula mbivu
Leo nimejikuta nachekacheka tuuuuu
Had naulizwa shida nn nikajib Anko j
Jaman Anko J salute zako so kwa hii sauti nice story from babie❤❤❤
Nilishawaambia kuna mambo motoooo❤❤❤❤❤❤❤❤
Mimi nimewahi leo hata like
Wacha niseme nimekuwa namba 1🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Pole dada Candy Mungu yupo na wewe!! Ipo siku.
❤❤❤❤hongera mashabiki wa anko jay
Asante anko jay ❤
Kazi nzuri kaka,listening from Kenya much love.
Anko mwenye sura yake mjini,🎉🎉🎉🎉🎉
Katika ubora wake kijana wa watu hana mbaa mbaa mbaaa
Jamani leo nmekuwa wa kwanza 🎉🎉🎉🎉 wow 👏👏
🎉 zawadi yako iyoo
Mh ankojay leo kaamuwa kwakwer ❤❤❤
Watu hatuchekewi jamani? Sante sana Anko jay Mungu azidi kukutia nguvu Katika kazi zako nzuri zenye mafunzo.
Katika maisha haya usimdharau mtu kwani hujui atakufaa vipi hapo baadae ,tena ishi na watu vizuri na uwaheshimu hata wale ambao wanaonekana kama hawana heshima ama hawafai kuheshimiwa kwani upo wakati watasimama na wewe na kukufanya kuwa wewe ni wamaa sana katika maisha yao
MashaAllah mtunz uko vzur hongera babie love msumlzi nae uko juu y hewan Anko Jay mungu azdi kukubrki
Hata kwenye move tumejaa huko
Nice story be blessed anko Jay wetu kipenzi thank youuuuuuu so much 💞❤❤❤🎉🎉🎉
Tunasikiliza Ankojay ana movie simati. Thank you
Sana
Mimi Jo Wa mwisho kabisa nipeni ata like Moja jamani
Haya jaman wale wa uck tujuane hapa kwa Like hata 5 tu
Whoooozaaaah 🕊️🕊️ Leo nimewahiii
Wakwanza like zangu naombeni
Lol! Candy that's great.....mbona kama ni stroy yangu jamani....ila dunia tunayoishi watu wema ni wachache mnoo...
Nimempenda sana candy ni mwanamke na nusu kwanza ana msimamo mathubuti ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Asante sana anko jay kwA simulizu tamu yenye mafunzo mengi ndaniake mungu akubariki sana anko wetu akupe maisha marefu sana thank you so much ❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
Anko jay hizi siku una tu nyima sana huondo 😢
Babie love huna baya mungu akubariki
Amin
Nimechelewa sana❤❤❤
Anko jay twakupenda sana,simulizi zako ni tamu, movie zako ni tamu,,sauti zako ni tamu na bilashaka wewe nimtamu❣️❣️💋💋
Anko jay nakupenda Bure we kaka
Duuh hii kali
Ankojay kazi anaijua
😂😂😂😂 Ni Utamu Utamu
😂😂😂 duuuh hii kiboko
Wakwanza leo mapema dear heart ❤️🪑🎧
Umeiona eeeeee🤸
❤❤🎉🎉🎉🎉nimewahi pia kiasi
Wengine awana moyo kama uwo wakwako🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Leo nimekuwa wakwanza
Pamoja anko wetu
Huyu ni mwanaume wa kwanza ktk simulizi nilizosikia za anko jay kukaa karibu na mwanamke na asimchokonoe,,asimpekeche,asimkoroge,asimjegeje
Tunakupeda baba usijali❤❤❤❤
Namimi nasubiri wakati wa mungu ufike maana sio kwa haya ninacho pitia l love you Lucas nimetubu mimi
Wakwanza jameni 🎉
Huyu ndo ankojay tuliyemzoea xx wakutupakulia vitu 😂😂❤❤
Hii simulizi nizuri ya mwandishi Babie love❤ Dear Heart nafurahi uko sikiliza simulizi anko jay nime penda sauti yako king 👑nafurahi uko wamweye Familia ya anko jay na zani Ina simulizi yenye mafunzo migi 🎉🎉🎉
Ni vzur tu anko
Tupe mazur ss tuinjoi ako jay ❤❤
Mungu akubarki sna sis mungu akuzidishie roho ya utu lnshallah 🎉🎉,ankojay Asante kwa simuliz tama na ya mafundushi
Hongera ank jay
Mumbi Wa Naivasha ako Ndani Ndani
Anjo umetisha nimecheka sana simulator nzuri sana
Ankojay no one anaeweza kukufikia kwenye kusimulia str una act like wahusika wenyewe i really like ur story
Nimeipenda kwakweli ishi na watu vizuri uvae viatuu
Haya jamaniii DEAR HEART 😢 HAYA HUYO CANDY KAFANYANINI TUNASIKILIZA HILI LIKE 10 TUNAOPENDA MOVIE ❤
Wakwaza leo jamani 😢
Babie love❤❤
Mbon candy na rahim wa meet us😊
umeonae😂
Baby love ktk mambo yako na kinara wako anko j,simulizi wapate huku huku you tube shenzi zao wanaokutaman kijana wa watu mwenye yake
Narudi badae namalizia Davina maana imefika mwisho
Very nice Kwa video unclejay
Hahahahahahha, Anko Jay wewe, yaani nimecheka sana,na ukitazama Tena nipo single jamani😂😂
😂😂😂 Ila anko ww unajua kutufurahisha khaa sikwakujisifu uko, I wish one day ututembelee mombasa mashabiki zako
Na arusha pia tunamsubiri sana tumuone
Candy huyu kweli akili zake anazijua mwenyewe
Thanks for nice story anko Jay
Waooooh Anko J mapesa japo nmechelewa ila siyo mbaya ngoj tusikilize Anko hataki tulale 😂😂😂
Tupo pamoja Ankojay leta hizo movies tutakusapoti
Wakwaza leo like zenu wapenzi ❤❤
Leo umeamua
Sijacelewa 🪑namimi 👩💻leo jamani naomba like zenu please 😊💛🫡🫡
Atimaye nikuwa sa 78 dhaaaa ila kwa lissa nigekuwa wa mwisho
🤣🤣🤣🤣🤣 walai Binti Lisa nitamu aiseeee
@@agnesagnes5288 na ndomana nikesha mara tatu siwezi kuwa kwanza
Nimewahi leo nipeni likes zangu ❤
Much love from this side ❤❤
Mhhh anko j bana ati utelezi😂😂
Dear heart moyo mpendwa
Ankojay umetisha...yaani ni mwendo wa kuenjoi tu
Tupo pamoja ❤❤🎉🎉
Mambo ni moto
Hii tamu jamani simulizi hii tamu sana jamani akojay mapesa part2kama hii achiya ❤❤
Uyu candy na rahim ni meet us😂😂😂😂 asante san anko jay
, 😂😂😂😂ila Anko🎉🎉🎉unaweza