Mtoto ni mtoto awe wa kwako ama sio wa kwako hustahil kumfanyia unyama kama aliofanyiwa Blanka❤❤❤ Watu wanatakiwa wawe makin na waume zao kwaajil ya watoto wao wa kike na wa kiume Nice story Lissa Mwala with a good voice of Ankojay you may feel like life is simple ❤
Usisau bwana Alex na madam babi love wache maneno makali wapunguze wivu wewe ni mume wetu jabali wetu daima sawa kipenzi anko Jay mapesa mungu akubariki zaidi na zaidi ufanikiwe popote uwendapo na lolote ufanyanyo lizidi kubarikiwa maishani mwakwo twakupenda bure tu mpendwa wetu ❤❤❤ too much anko mapesa
Napenda sana kazi zenu anko Jay pamoja na Lisa mwana congratulations 👏 all, tatizo nko mbali na nchi yangu kutuma pesa ni shida huwa yakatwa pesa nyingi wewe wataka 5 dollar na huku niliko huwa wanakata shillingi 7dolo ni sawa na kunitwangisha maji kwenye kinu
😭😭😭😭 wababaz wa aina hii kama wako they should not be in society so sad,, alf mm nashangaa babangu anibake then niendelee kunyamaza aaaah wee nijikute yaani baada ya kumaliza kunibaka naishia kituoni
Ila kwakweli mtoto asie zaliwa na mtu kweli haumi maana yake nikweli siku zote wanaume wengi huwa hawatoi misaada ya bure haswa kwa watoto wakufikia huwa nikama wana laana fulani inayo wasukuma kuwafanyia unyama pale maombi yao yanapo kataliwa
Kupata part 02 kwa haraka wasiliana nami Ankojay kwa namba hii +255684-689-541
Una pesa mbona una sema tuwasiliane na wew😂😂😂
ANKO mapesa fanya kazi
@@zainbzainb9283 😂😂😂
@@ankojay_ nambie
@@Alice-tk8vt Elfu 5 tu... Kisha nakupa na part 3
Anko jey natamani siku nikirudi Tanzania nije nikutembele nataka nikuwone ❤❤❤🎉🎉🎉
Mtoto ni mtoto awe wa kwako ama sio wa kwako hustahil kumfanyia unyama kama aliofanyiwa Blanka❤❤❤
Watu wanatakiwa wawe makin na waume zao kwaajil ya watoto wao wa kike na wa kiume
Nice story Lissa Mwala with a good voice of Ankojay you may feel like life is simple ❤
Usisau bwana Alex na madam babi love wache maneno makali wapunguze wivu wewe ni mume wetu jabali wetu daima sawa kipenzi anko Jay mapesa mungu akubariki zaidi na zaidi ufanikiwe popote uwendapo na lolote ufanyanyo lizidi kubarikiwa maishani mwakwo twakupenda bure tu mpendwa wetu ❤❤❤ too much anko mapesa
Jaman nachelewa sikuhizi twendelee napnd kaz zko anko jay by d
Laa usiwatete waume wenzio ank jey ,,,hakika waume hawana shukran
Anko jey wewe tu tunakupenda sana ❤️ ❤️❤️ kwasababu unatufariji sana 🎉🎉🎉
shukrani anko jay kwa elimu unayo tupa kila leo ukishirikiana na kipenzi lissa mwala
Duuuh 😢😢huyu baba 🙌
Wanaume ovyo sana mbaka watoto wao
Waah mubaba hiyo Hana adabu, ahsante 🙏 ankojay 🥰
Aaa kumbe lissa asha achia mzigo!, Wow 😲
No matter what anko J story zako kalii San😌🥰..alooh Mungu saidia nikuone live usimulie kidogo😂😂
Jamani naisubili hapa saa nne sio mbali nishandaa 🍿🍿🍿za kutosha ankojay tupo teyari hapa 🥰🤣
Jamani baba,, gani 😢😢 Ibilisi mchafu alaaniwe kabisaa mpaka kifo chake
To be continued Ankoay simulizi ❤👏👌
❤❤❤Ankojay asante Lisa mwalla love 😍
Tupo pamoja na anko jay mapesa 🥰🥰🥰
Mhm jamani huyu baba badala ya kumlinda mtoto wake yeye anageuka simba wakurarua na kuua😭😭😭😭
¹p0
L0o
0ĺp
❤❤❤❤ npo ndan nasbri ntafurahia najua nirahatu anko unajua nngekua napesa nngekupa gari kbs yn
Kwenye kuimba ankojay 😁😁😁😁😁😁😁sina mbavu
Nko ndani ndani nasubiri kwa hamu ❤❤❤❤
Hii simulizi jemeni ilifanya niote jana hati Ankojay amekuja mtaa wetu kusimulia simulizi 😅😅😅😅😅😅 jemeni ankojay 😘😘😘😘😘
Simulizi nzulisan 😘 anko jay❤❤
Am waiting anko jey
Asante anko jay na lisa mwala kwa kazi nzuri
40 minutes to go Anko jay wewee mm pia nakuita mara tatu jey jey jey haya lete kibao
Napenda sana kazi zenu anko Jay pamoja na Lisa mwana congratulations 👏 all, tatizo nko mbali na nchi yangu kutuma pesa ni shida huwa yakatwa pesa nyingi wewe wataka 5 dollar na huku niliko huwa wanakata shillingi 7dolo ni sawa na kunitwangisha maji kwenye kinu
Kuna njia nzuri.. naweza kukusaidia..fanya tuwasiliane +255684689541
Anko j dah unakipaji sana sana yani sana unajua kubadili sauti we kaka uwiiii nikuone basi nikirudi jamanii🤣
so sady 😭😭 baba kambaka mwanae uwiiiiii
Mungu awalaani wazee kama hawa😥😥
Yaan uume uwaingie 2mbon 😢😢😢
Simulizi tamu sana ila Anko jey unajtetea😂😂😂😂❤❤
Mimi Niko Kenya napenda Sana simulizi zako zinanipunga Sana mwenyezi mungu atuwezeshe usonge mbele
I can't wait this ❤❤❤
wakina mam ulinz kwa watot man hayo mamb cyo magen kabisa kweny jamii watot weng wanafanyiw vitend viovu na baba zao
😢😢😢😢
Asante sana Ankojay
Duh aiseeee eee
Jmni stry zur ach niendlee kuskiliz ❤❤
❤❤❤❤❤ sins jenginelakusema
😢😢😢😢😢uyu baba huuuuuu .mola amusameee
Pole sana manka
Hapo kwa bichwa kubwa ndio nacheka mpaka 😂😂😂
Ndio ndio wa 100😂😂❤
Hello everyone my Anko Jays family how are youn 💗💗💗🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺💞💞💞🥰🥰🥰💗💗💗 let's go to start to ::::::::::::::::🥂
🔥🔥🔥
Jamani!!!,miaka 11?
Waoo tayari
Fantastic ❤❤❤❤
Inaumiza sanaa😭😭😭😭😭 shukrani ancle na Lissa❤❤🎉🎉
Nimekuwa wakwanza naomben like zangu
Hongera
Asante dear
Hii ni funzo kwa wamama tuchunge watoto wetu wa kike sana kwanza hawa baba za kambo
Hata kama hajakuzaa lkn hafai kufanya unyama kama huo
Asante anko jay
😂😂😂anko jay kwa kujitetea
😭😭😭😭 wababaz wa aina hii kama wako they should not be in society so sad,, alf mm nashangaa babangu anibake then niendelee kunyamaza aaaah wee nijikute yaani baada ya kumaliza kunibaka naishia kituoni
P😢😢😢😢 jamani huyu mbaba duu kichomi
Thank you Anko Jay ❤❤❤❤❤ 👏🏽👏🏽👏🏽
I'm waiting❤❤❤❤
Jmn tamuuuuu
Ankojay upewe mauwa Yako kwahuyo mwimbo wakaciri nimeceka
Ahsante sana
Baba shetani huyu na wa mama tuwemakini na watt
Nipo ndani na waiting card😊
Huyu baba mungu hamrani
Ankooooooh akakuzaba mdomo et 😂😂😂
Anko uyo mwalim mkuu kamwaga mboga mbele yatuca.
Mmh wa baba wengine wana roho mbaya kikwel
Nilipoumizwa zaid ni pale hilo libaba lilipombaka kwa mara ya kwanza na kuendelea had akapata magonjwa niliumizwa sana
Uwiiiiii nyie watu jmn
Wanaume ni wanyama😂😂😂😂😂
Makubwa hayooo 😂😂😂
Hii nayo hapana its so painfull
Anko jay mapesa
Aaaaaaaahhh..Anko kajisifia utadhani si mwanaume😅😅😅 ama yeye malaika???labda Anko ndio mkali kuliko wote💔💔💔
👋 vipi bado hujaachia 2
Asate sana ako j ila baba we ulaniwe
Sw Anko asante
Very stor so much ❤❤
Pamoja🚶♀️
😢😢😢😢huyo baba anapaswa kunyogwa huyo😢😢😢😢
❤
Ni wanaume wote kweli
Wanaume wengi ni ooooovyooo wengine ni jinaa Tu,
Anko unaniumiaza niko mbali na mume wangu jamani 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Pole bora Hata wewe una mume wengine tuko
Single 😂
Hahahaha broo bn. Ww
Roho inauma kabisa
Amazing ❤❤
❤❤❤
Nakupenda Ako jay
Anko jay na misifa dah😂😂
Yarabi maulana duuu😢😢😢😢😢😢 this is two much
Kwa kweli Kuna wanaume vichomi San hap dunian walikuja kuumiz watu
Anko Jay wewe unanichekesha kila siku
Mhm mkuu kaniacha hoi😂😂😂 shukran anko J❤
Naomba sehem yapili
😊😊😊
Nipen like bc
❤❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Bb malaya 😢
Darasa la leo ni komakoma
Kunawatu wanaroho mbaya kaaa mtoto wa 11 years unambaka😢😢
Sana
❤❤ thanks 👍
Siku zote huwa napenda sms Ila hii ,😭😭😭umri wa binti na anayoyafanya sio,wanaume,nawaita Mara 3😭😭😭😭
Ila kwakweli mtoto asie zaliwa na mtu kweli haumi maana yake nikweli siku zote wanaume wengi huwa hawatoi misaada ya bure haswa kwa watoto wakufikia huwa nikama wana laana fulani inayo wasukuma kuwafanyia unyama pale maombi yao yanapo kataliwa