SIMULIZI MPYA: KARMA, By Ankojay

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 226

  • @ankojay_
    @ankojay_  Год назад +34

    Kupata part 02 kwa haraka wasiliana nami Ankojay kwa namba hii +255684-689-541

    • @zainbzainb9283
      @zainbzainb9283 Год назад +1

      Una pesa mbona una sema tuwasiliane na wew😂😂😂

    • @polinlizzlizz
      @polinlizzlizz Год назад +3

      ANKO mapesa fanya kazi

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад

      @@zainbzainb9283 😂😂😂

    • @zainbzainb9283
      @zainbzainb9283 Год назад +1

      @@ankojay_ nambie

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад

      @@Alice-tk8vt Elfu 5 tu... Kisha nakupa na part 3

  • @FatmaHassankhamisi
    @FatmaHassankhamisi 9 месяцев назад +12

    Anko jey natamani siku nikirudi Tanzania nije nikutembele nataka nikuwone ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Rummy4871
    @Rummy4871 8 месяцев назад +8

    Mtoto ni mtoto awe wa kwako ama sio wa kwako hustahil kumfanyia unyama kama aliofanyiwa Blanka❤❤❤
    Watu wanatakiwa wawe makin na waume zao kwaajil ya watoto wao wa kike na wa kiume
    Nice story Lissa Mwala with a good voice of Ankojay you may feel like life is simple ❤

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +11

    Usisau bwana Alex na madam babi love wache maneno makali wapunguze wivu wewe ni mume wetu jabali wetu daima sawa kipenzi anko Jay mapesa mungu akubariki zaidi na zaidi ufanikiwe popote uwendapo na lolote ufanyanyo lizidi kubarikiwa maishani mwakwo twakupenda bure tu mpendwa wetu ❤❤❤ too much anko mapesa

  • @DalinaSamweli-ji3fc
    @DalinaSamweli-ji3fc Год назад +4

    Jaman nachelewa sikuhizi twendelee napnd kaz zko anko jay by d

  • @bahatimwachepha9902
    @bahatimwachepha9902 Год назад +4

    Laa usiwatete waume wenzio ank jey ,,,hakika waume hawana shukran

  • @FatmaHassankhamisi
    @FatmaHassankhamisi 9 месяцев назад +1

    Anko jey wewe tu tunakupenda sana ❤️ ❤️❤️ kwasababu unatufariji sana 🎉🎉🎉

  • @حمدانالحويطي-م8ك
    @حمدانالحويطي-م8ك Год назад +3

    shukrani anko jay kwa elimu unayo tupa kila leo ukishirikiana na kipenzi lissa mwala

  • @hdhjdh775
    @hdhjdh775 11 месяцев назад +3

    Duuuh 😢😢huyu baba 🙌

  • @EdinaAosa
    @EdinaAosa Год назад +3

    Wanaume ovyo sana mbaka watoto wao

  • @risperwangari4879
    @risperwangari4879 Год назад +3

    Waah mubaba hiyo Hana adabu, ahsante 🙏 ankojay 🥰

  • @puritylobun5313
    @puritylobun5313 Год назад +2

    Aaa kumbe lissa asha achia mzigo!, Wow 😲

  • @roselinegendo7664
    @roselinegendo7664 Год назад +4

    No matter what anko J story zako kalii San😌🥰..alooh Mungu saidia nikuone live usimulie kidogo😂😂

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +3

    Jamani naisubili hapa saa nne sio mbali nishandaa 🍿🍿🍿za kutosha ankojay tupo teyari hapa 🥰🤣

  • @Fatum112
    @Fatum112 Год назад +2

    Jamani baba,, gani 😢😢 Ibilisi mchafu alaaniwe kabisaa mpaka kifo chake

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi7600 Год назад +3

    To be continued Ankoay simulizi ❤👏👌

  • @tatukigua5456
    @tatukigua5456 Год назад +1

    ❤❤❤Ankojay asante Lisa mwalla love 😍

  • @halimahaji3856
    @halimahaji3856 Год назад +3

    Tupo pamoja na anko jay mapesa 🥰🥰🥰

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад +15

    Mhm jamani huyu baba badala ya kumlinda mtoto wake yeye anageuka simba wakurarua na kuua😭😭😭😭

  • @Grace-xh6zq
    @Grace-xh6zq Год назад +1

    ❤❤❤❤ npo ndan nasbri ntafurahia najua nirahatu anko unajua nngekua napesa nngekupa gari kbs yn

  • @sadakimwaki9791
    @sadakimwaki9791 Год назад +2

    Kwenye kuimba ankojay 😁😁😁😁😁😁😁sina mbavu

  • @brigdk
    @brigdk Год назад +3

    Nko ndani ndani nasubiri kwa hamu ❤❤❤❤

  • @wakiomimi7853
    @wakiomimi7853 Год назад +2

    Hii simulizi jemeni ilifanya niote jana hati Ankojay amekuja mtaa wetu kusimulia simulizi 😅😅😅😅😅😅 jemeni ankojay 😘😘😘😘😘

  • @kevenkeven7381
    @kevenkeven7381 Год назад +1

    Simulizi nzulisan 😘 anko jay❤❤

  • @imanwalid6549
    @imanwalid6549 Год назад +3

    Am waiting anko jey

  • @asiamodriq2933
    @asiamodriq2933 Год назад +1

    Asante anko jay na lisa mwala kwa kazi nzuri

  • @ashamenza2212
    @ashamenza2212 Год назад +3

    40 minutes to go Anko jay wewee mm pia nakuita mara tatu jey jey jey haya lete kibao

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +2

    Napenda sana kazi zenu anko Jay pamoja na Lisa mwana congratulations 👏 all, tatizo nko mbali na nchi yangu kutuma pesa ni shida huwa yakatwa pesa nyingi wewe wataka 5 dollar na huku niliko huwa wanakata shillingi 7dolo ni sawa na kunitwangisha maji kwenye kinu

    • @ankojay_
      @ankojay_  Год назад +1

      Kuna njia nzuri.. naweza kukusaidia..fanya tuwasiliane +255684689541

  • @OmanTaqah-u5y
    @OmanTaqah-u5y 8 месяцев назад +1

    Anko j dah unakipaji sana sana yani sana unajua kubadili sauti we kaka uwiiii nikuone basi nikirudi jamanii🤣

  • @zaynabumfamao6792
    @zaynabumfamao6792 Год назад +3

    so sady 😭😭 baba kambaka mwanae uwiiiiii

  • @mkasiseif4587
    @mkasiseif4587 Год назад +5

    Mungu awalaani wazee kama hawa😥😥

  • @mwanamgenimohammed7904
    @mwanamgenimohammed7904 Год назад +3

    Simulizi tamu sana ila Anko jey unajtetea😂😂😂😂❤❤

  • @EmilyBulimo-bw6ee
    @EmilyBulimo-bw6ee 5 месяцев назад

    Mimi Niko Kenya napenda Sana simulizi zako zinanipunga Sana mwenyezi mungu atuwezeshe usonge mbele

  • @aminah9557
    @aminah9557 Год назад +3

    I can't wait this ❤❤❤

  • @saidyaman8158
    @saidyaman8158 Год назад +4

    wakina mam ulinz kwa watot man hayo mamb cyo magen kabisa kweny jamii watot weng wanafanyiw vitend viovu na baba zao

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад +2

    Asante sana Ankojay

  • @salmaedwin5641
    @salmaedwin5641 Год назад +2

    Duh aiseeee eee

  • @dormshana3173
    @dormshana3173 Год назад +1

    Jmni stry zur ach niendlee kuskiliz ❤❤

  • @fatumamuhoma5902
    @fatumamuhoma5902 Год назад +3

    ❤❤❤❤❤ sins jenginelakusema

  • @fjggoxfh9502
    @fjggoxfh9502 Год назад +4

    😢😢😢😢😢uyu baba huuuuuu .mola amusameee

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад +1

    Pole sana manka

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 Год назад +3

    Hapo kwa bichwa kubwa ndio nacheka mpaka 😂😂😂

  • @HappyMshanga-xx1ob
    @HappyMshanga-xx1ob Год назад +3

    Ndio ndio wa 100😂😂❤

  • @jenniferlicko4736
    @jenniferlicko4736 Год назад +7

    Hello everyone my Anko Jays family how are youn 💗💗💗🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺💞💞💞🥰🥰🥰💗💗💗 let's go to start to ::::::::::::::::🥂

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад +3

    Jamani!!!,miaka 11?

  • @mwananassor8602
    @mwananassor8602 Год назад +2

    Waoo tayari

  • @selfamitche3530
    @selfamitche3530 Год назад +2

    Fantastic ❤❤❤❤

  • @reginarichard3349
    @reginarichard3349 5 месяцев назад

    Inaumiza sanaa😭😭😭😭😭 shukrani ancle na Lissa❤❤🎉🎉

  • @ColethaMwenda-qd1ck
    @ColethaMwenda-qd1ck Год назад +10

    Nimekuwa wakwanza naomben like zangu

  • @MourineJebetkibor-vk9ti
    @MourineJebetkibor-vk9ti Год назад +2

    Hii ni funzo kwa wamama tuchunge watoto wetu wa kike sana kwanza hawa baba za kambo

  • @ChristinesifaRuwa-ix9iy
    @ChristinesifaRuwa-ix9iy Год назад +3

    Hata kama hajakuzaa lkn hafai kufanya unyama kama huo

  • @mayasamayasa1205
    @mayasamayasa1205 Год назад +2

    Asante anko jay

  • @nindymuruga4798
    @nindymuruga4798 Год назад +3

    😂😂😂anko jay kwa kujitetea

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Год назад +3

    😭😭😭😭 wababaz wa aina hii kama wako they should not be in society so sad,, alf mm nashangaa babangu anibake then niendelee kunyamaza aaaah wee nijikute yaani baada ya kumaliza kunibaka naishia kituoni

  • @ShukuraniMapunda-lz3un
    @ShukuraniMapunda-lz3un Год назад +1

    P😢😢😢😢 jamani huyu mbaba duu kichomi

  • @maryworkman635
    @maryworkman635 Год назад +2

    Thank you Anko Jay ❤❤❤❤❤ 👏🏽👏🏽👏🏽

  • @issanuru9552
    @issanuru9552 Год назад +2

    I'm waiting❤❤❤❤

  • @salmahasani5169
    @salmahasani5169 Год назад +1

    Jmn tamuuuuu

  • @noonnoon9476
    @noonnoon9476 Год назад +2

    Ankojay upewe mauwa Yako kwahuyo mwimbo wakaciri nimeceka

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 Год назад +2

    Baba shetani huyu na wa mama tuwemakini na watt

  • @Sabrina-oc5nc
    @Sabrina-oc5nc Год назад +3

    Nipo ndani na waiting card😊

  • @RusyJackson
    @RusyJackson 10 месяцев назад +1

    Huyu baba mungu hamrani

  • @maimyuss5863
    @maimyuss5863 Год назад +1

    Ankooooooh akakuzaba mdomo et 😂😂😂

  • @AdmiringGrazingCows-im1kh
    @AdmiringGrazingCows-im1kh 3 месяца назад +1

    Anko uyo mwalim mkuu kamwaga mboga mbele yatuca.

  • @rizkimw1301
    @rizkimw1301 Год назад +2

    Mmh wa baba wengine wana roho mbaya kikwel

  • @RahelIbrahim-id2li
    @RahelIbrahim-id2li 7 месяцев назад +1

    Nilipoumizwa zaid ni pale hilo libaba lilipombaka kwa mara ya kwanza na kuendelea had akapata magonjwa niliumizwa sana

  • @mishelygodlisten1171
    @mishelygodlisten1171 Год назад +1

    Uwiiiiii nyie watu jmn

  • @RusyJackson
    @RusyJackson 10 месяцев назад +1

    Wanaume ni wanyama😂😂😂😂😂

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg 8 месяцев назад +1

    Makubwa hayooo 😂😂😂

  • @catherinekadima
    @catherinekadima Год назад

    Hii nayo hapana its so painfull

  • @AminaHusseni-yd7nm
    @AminaHusseni-yd7nm Год назад +1

    Anko jay mapesa

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 Год назад +2

    Aaaaaaaahhh..Anko kajisifia utadhani si mwanaume😅😅😅 ama yeye malaika???labda Anko ndio mkali kuliko wote💔💔💔

  • @sophiahassan-kn7ov
    @sophiahassan-kn7ov Год назад

    👋 vipi bado hujaachia 2

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 Год назад +2

    Asate sana ako j ila baba we ulaniwe

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi Год назад +1

    Sw Anko asante

  • @aminanuranassor660
    @aminanuranassor660 6 месяцев назад

    Very stor so much ❤❤

  • @janethdaud201
    @janethdaud201 Год назад +2

    Pamoja🚶‍♀️

  • @SophiatembaTemba
    @SophiatembaTemba 11 месяцев назад +2

    😢😢😢😢huyo baba anapaswa kunyogwa huyo😢😢😢😢

  • @soldd-xz5ue
    @soldd-xz5ue 9 месяцев назад

    Ni wanaume wote kweli

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg 8 месяцев назад

    Wanaume wengi ni ooooovyooo wengine ni jinaa Tu,

  • @mercymusundi8779
    @mercymusundi8779 Год назад +2

    Anko unaniumiaza niko mbali na mume wangu jamani 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @laizakisiaka2064
    @laizakisiaka2064 Год назад +2

    Roho inauma kabisa

  • @beatriceonsongo9915
    @beatriceonsongo9915 Год назад +2

    Amazing ❤❤

  • @christinahaule-p8i
    @christinahaule-p8i Год назад +1

    ❤❤❤

  • @LenaPimbo
    @LenaPimbo 7 месяцев назад +1

    Nakupenda Ako jay

  • @GloryMayele
    @GloryMayele 19 дней назад

    Anko jay na misifa dah😂😂

  • @SophiatembaTemba
    @SophiatembaTemba 11 месяцев назад

    Yarabi maulana duuu😢😢😢😢😢😢 this is two much

  • @ReginaJumanne
    @ReginaJumanne 5 месяцев назад

    Kwa kweli Kuna wanaume vichomi San hap dunian walikuja kuumiz watu

  • @rosalienahimana6287
    @rosalienahimana6287 Год назад +1

    Anko Jay wewe unanichekesha kila siku

  • @ashaabdalla924
    @ashaabdalla924 Год назад +1

    Mhm mkuu kaniacha hoi😂😂😂 shukran anko J❤

  • @suzanachambo4206
    @suzanachambo4206 Год назад

    Naomba sehem yapili

  • @EstherJoram-gt4lt
    @EstherJoram-gt4lt 7 месяцев назад

    😊😊😊

  • @EpimackChami-g2f
    @EpimackChami-g2f 5 месяцев назад +2

    Nipen like bc

  • @AsdAsd-d7f
    @AsdAsd-d7f 8 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @GodlygiveKazadi
    @GodlygiveKazadi 4 месяца назад +1

    Bb malaya 😢

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Год назад +1

    Darasa la leo ni komakoma

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 Год назад +3

    Kunawatu wanaroho mbaya kaaa mtoto wa 11 years unambaka😢😢

  • @janetkazungu7795
    @janetkazungu7795 Год назад

    ❤❤ thanks 👍

  • @nackymrutu1869
    @nackymrutu1869 Год назад +1

    Siku zote huwa napenda sms Ila hii ,😭😭😭umri wa binti na anayoyafanya sio,wanaume,nawaita Mara 3😭😭😭😭

  • @حمدانالحويطي-م8ك
    @حمدانالحويطي-م8ك Год назад +2

    Ila kwakweli mtoto asie zaliwa na mtu kweli haumi maana yake nikweli siku zote wanaume wengi huwa hawatoi misaada ya bure haswa kwa watoto wakufikia huwa nikama wana laana fulani inayo wasukuma kuwafanyia unyama pale maombi yao yanapo kataliwa