MY DREAM - SIMULIZI MPYA YA MAPENZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 360

  • @MaryamOthman-i5y
    @MaryamOthman-i5y Год назад +20

    😂😂😂 team strong wenzangu popote mlipo like apo

  • @NANCYSAFARI-p2d
    @NANCYSAFARI-p2d Год назад +32

    Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪 inapendeza kweli 🎉❤❤❤

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +146

    Nawahigi sana ila watu wako anko wachoyo haya hawatoi like Jamani, duuuuuh❤❤❤❤❤, acha niendelee kukisapot bila kujal

  • @AishaNanzua
    @AishaNanzua Год назад +30

    Number 1 leo hi family mko poa ❤❤

  • @jacquelinemubezi7762
    @jacquelinemubezi7762 Год назад +19

    Nipo ujerumani. Nasikiliza sana Story za Ankojay. Nahisi nakuwa addicted to these stories.

  • @beatriceonsongo9915
    @beatriceonsongo9915 Год назад +31

    Much ❤ from 🇰🇪

  • @MwanatumuJumaa-rj4fg
    @MwanatumuJumaa-rj4fg Год назад +10

    Nimewahi leo .vip.wadau Anko j simulizi

  • @Abuuhdizzo
    @Abuuhdizzo Год назад +20

    Waoooo, tunatama kusikia. Saut Yako. Kila siku. Mashaall. ❤❤❤

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 Год назад +17

    Kazi kwa mwaarabu😢😢😢 ramadhani inakaribia tuanze kuimba huu wimbo" YESU NITIE NGUVU NIMALIZE MWENDO SALAMA"

    • @Bintmwafurani
      @Bintmwafurani Год назад

      🤣🤣🤣😂😂😂😂Ata nimefurahi tu kuiona hii sms Acha tu ila mungu huwa anatusimamia sana

    • @AgnessHassan-us8ww
      @AgnessHassan-us8ww 8 месяцев назад

      😅😅😅😅dah polen

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад +9

    Maisha ya mtu mungu hanajuiwa shatani yeye hataki mazuri ya mtu hongara Sana simulizi tamu anko jay

  • @babynaadegirl
    @babynaadegirl Год назад +2

    the way unavyoongea anko j unanikosh san❤❤

  • @Mupawarda-gj9qo
    @Mupawarda-gj9qo 11 месяцев назад +1

    Much love ❤❤❤❤❤❤from Kenya

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia4807 Год назад +8

    Uncle jay napenda unavyoingea sana yaani upo good good sauti hiyo ipo romantic sana

  • @SaumuSalim-b2p
    @SaumuSalim-b2p Год назад +2

    Simulizi zako ankojay ni nzuri nasikiza kutoka saudi

  • @peninahmmbone4648
    @peninahmmbone4648 Год назад +29

    Much love❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪

  • @ThuwaibaMbarikiwa-l6e
    @ThuwaibaMbarikiwa-l6e Год назад +17

    ❤king of voice

  • @NamaCollection-li5io
    @NamaCollection-li5io 10 месяцев назад +1

    Jaman ankojy unasauti PW xan

  • @VivianNzingo
    @VivianNzingo Год назад +19

    Leo wa kwanza 🎉🎉🎉🎉nipeni like zanguuuu❤❤❤❤

  • @sophiahassan-kn7ov
    @sophiahassan-kn7ov Год назад +8

    😢nilichelewa mwenzenu but twende nalo🎉🎉🎉🎉

  • @TsfighoCjkgoyy
    @TsfighoCjkgoyy Год назад +7

    Ankojey kenya Tanzania wko wanaume kma Carlos kweli hyo kka sijui kma wako wkufanana na yye kitabia nimempeda bre ❤❤❤

  • @gladysmkamburi5001
    @gladysmkamburi5001 Год назад +17

    Much love from 🇰🇪

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Год назад +11

    King of voice ❤❤❤

  • @MwanaidiJuma-k2d
    @MwanaidiJuma-k2d Год назад +9

    I love it 💓😍💓😍😍 from KENYA

  • @MohammedAlhabsi-ji4ux
    @MohammedAlhabsi-ji4ux Год назад +11

    Hawa ni warabu au wahindi😊😊

  • @fahmimohd261
    @fahmimohd261 Год назад +11

    Nipo kwenye group la kwanza ❤🎉

  • @agnesagnes5288
    @agnesagnes5288 Год назад +10

    Ndo naamka mie anko much love ❤❤❤❤pamoja mbk mwisho

  • @Ansii806
    @Ansii806 Год назад +7

    Jaman anko j simulizi zako nzur sana 😂😂😂😂

  • @MoshiMoshi-qy8dq
    @MoshiMoshi-qy8dq Год назад +6

    Wooow is anko Jay again tuliokua tumemis saut yake jomon gongen like hapo 🎉🎉🎉 but tulio gulf anko Jay tunaipataje movie yetu ya X part 17

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg Год назад +1

    Anko jay ulisomea shule gani ya kubadilisha sauti❤️❤️❤️🎉😂😂😂😂🙏🇰🇪

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 Год назад +9

    🤭😂🤣 Acha ni 🪑🎧 tuinjoi sasa AnkoJay ahsante kwakweli 🤭

  • @batoolmwajuma3000
    @batoolmwajuma3000 Год назад +6

    Ankooo jy ,, tunakupend kiukweli

  • @Mejumaa-x9f
    @Mejumaa-x9f Год назад +1

    umenikumbucha mbali sana

  • @SumayyaahMuzzammil
    @SumayyaahMuzzammil Год назад +10

    Ankojay wewe hata uspokua romantic saut inatokea, au mnasemaje wadau🎉🎉🎉😂😂

  • @aminarama1633
    @aminarama1633 Год назад +28

    Much love from Kenya

  • @LyidiaSilayo
    @LyidiaSilayo Год назад +5

    Waoooh I like it anko jay penda sana wewe ❤❤❤🎉🎉

  • @fetreshazKhamisi
    @fetreshazKhamisi Год назад +17

    Sawa anko jay 🇴🇲 🇴🇲 ngoja niweke edifoni masikioni Ahasante sana Kwa simulizi ❤️❤️❤️😍😍🇴🇲

    • @Aziza-gv8tm
      @Aziza-gv8tm Год назад

      Tunainjoi tukio 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲

  • @AshaMwinyi-x4h
    @AshaMwinyi-x4h Год назад +9

    Wao tamu sana changanya na magic voice ya anko jay bas wewe utamu juu ya utamu ,sehem ya pili anko jay please

  • @janetkazungu7795
    @janetkazungu7795 Год назад +17

    Yaa 😂tuko hapa kwa warabu tumeeka tayari earphone tunasikiliza ankojay simlizi 😂😂😂❤kutoa stress za warabu

  • @YulithaBujiku
    @YulithaBujiku 11 месяцев назад +1

    Honger Kwa stor

  • @hudumampyahalisi4846
    @hudumampyahalisi4846 Год назад

    ❤❤❤❤ anko j unatuletea vitu vzr

  • @rukayyaali5303
    @rukayyaali5303 Год назад +26

    Tulioko arabuni tumekumbukwa leo... asante

    • @NURIANATV
      @NURIANATV Год назад

      Ilkua natafuta comment kama hii hatimaye nimeipata😂😂😂😂

    • @fatimejamal1686
      @fatimejamal1686 Год назад

      😂😂😂

  • @salmamwangi4343
    @salmamwangi4343 Год назад

    Much more ❤️ anko jey😊

  • @medinahsamita3981
    @medinahsamita3981 Год назад +4

    Hii simulizi ni tamu ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Zeina-y9i
    @Zeina-y9i 5 месяцев назад +2

    Much love from saudi 😂🎉🎉

  • @patriciakyalo3454
    @patriciakyalo3454 Год назад +8

    Wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +9

    Anko najua utanipea zawad ya maua🎉🎉🎉❤❤

  • @mwanamisiabdalla5551
    @mwanamisiabdalla5551 Год назад +12

    Much love ❤anko j 🇰🇪🇸🇦

  • @saadamohammed7431
    @saadamohammed7431 Год назад +8

    Ahsante ancojay kwani tunakukubali kwa kweli mungu akubariki

  • @RusyJackson
    @RusyJackson Год назад

    Waooooo najua nimecherewa

  • @SalomeKaleb
    @SalomeKaleb Год назад +8

    Ngom mpya tyr jamn mpen like Zak ankojay ❤❤❤❤🎉

  • @GraceBakari-wo8ly
    @GraceBakari-wo8ly Год назад +5

    Asante anko jay boss wangu ❤❤❤❤

  • @racheluwda6552
    @racheluwda6552 Год назад +12

    Much love you Ankojay from Kenya 🇰🇪❤❤❤💖💖🎉🎉🎉

  • @fatmahmkuzi
    @fatmahmkuzi Год назад +5

    Ombi lake limefali hana baki ya kutosha Ankojay hatulali na warabu so hatuju ila waeza juwa kwa kufananisha kuku wa kienyeji na wa girendi ndio utajuwa😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ Ankojay nakupenda sana tu

  • @rqmadhaniabeid3143
    @rqmadhaniabeid3143 Год назад +5

    Asante anko kwakutuletwa simulizi tamu

  • @MadinaRashid-v5n
    @MadinaRashid-v5n Год назад +4

    Ahsante Kwa kazi mpya nakupenda anko j

  • @rahmamainani
    @rahmamainani Год назад +1

    Much ❤ from ❤🇰🇪🇰🇪

  • @FadhilunMohamed-je8en
    @FadhilunMohamed-je8en Год назад +7

    Dada Lisa nimekumic njooo

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Год назад +6

    Congratulations 👏👏👏 my wetu patamu apo anko Jay eti unataka kuacha kutusimulia simulizi mbona tutajinyonga na boligam wakwanza mimi kujitia kitazi kwa ajili yako anko Jay ukiacha kutusimulia simulizi, much 💞❤❤ anko Jay wetu

  • @CatherineWaweru-y4j
    @CatherineWaweru-y4j Год назад +7

    😂😂😂sawa nmesikia my Ankojay❤❤❤🎉🎉🎉

  • @nuriatqueen5575
    @nuriatqueen5575 Год назад +5

    Thanks ankojay 💚💚🇬🇧🇬🇧🎉🎉🎉👩‍💻👩‍💻🤗🤗🤗

  • @vailethmwakipesile6698
    @vailethmwakipesile6698 Год назад

    Jamani we anko j. Mungu akuweke

  • @ZinaTanzani
    @ZinaTanzani Год назад +6

    Mashallah anko Jay tunakupenda sanaaaa Allah akutunze akupe itaji la moyo wako

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 Год назад +5

    Marhaba anko❤❤❤❤❤anko Jay simulizi 🥰😍😘😘😘🤣🤣🤣

  • @AshuraIbrahim-o2b
    @AshuraIbrahim-o2b Год назад +9

    😂😂😂😂 zingatia neno wakubwa

  • @WwEe-qc7tc
    @WwEe-qc7tc Год назад +6

    Duuuh sawa acha basi nijipangee ili nisikilize kwani sio kwa angalizo hiso

  • @BapileMeshack
    @BapileMeshack Год назад

    So cool 😎😎

  • @joyceabeli3787
    @joyceabeli3787 Год назад +1

    Yan sauti yako anko j jaman 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FadhilunMohamed-je8en
    @FadhilunMohamed-je8en Год назад +3

    Sawa Kaka nakuelewa sana asante

  • @tabiasalum3381
    @tabiasalum3381 Год назад +4

    Nimewaii❤❤🎉🎉

  • @MohammedAlhabsi-ji4ux
    @MohammedAlhabsi-ji4ux Год назад +2

    Wakwaza leo🎉🎉🎉🎉

  • @hidayamanda-gk7nf
    @hidayamanda-gk7nf Год назад +5

    Mhh mambo ni motooo subili tupate utam❤❤❤❤❤

  • @TattooAmina
    @TattooAmina Год назад +4

    Safi🌹🌹🌹

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v Год назад +1

    ❤❤❤❤nakupenda sana

  • @sephrinewarenga2745
    @sephrinewarenga2745 Год назад +20

    Kazi nzuri Anko,listening from Kenya,much ❤

  • @TatyntihebuwayoUmmulawi
    @TatyntihebuwayoUmmulawi Год назад +3

    Weeee anko weee,achatu nikuite anko chautamu😂

  • @LevinaNikanori
    @LevinaNikanori Год назад +3

    Ahaaa,ankojay mapesa kijana handsome ila sasa kuimba balaa😊😊😊😊😊

  • @selfamitche3530
    @selfamitche3530 Год назад +9

    Amazing ❤❤❤❤❤

  • @batoolmwajuma3000
    @batoolmwajuma3000 Год назад +4

    Maua yako ankooooo🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @wertqwe8326
    @wertqwe8326 Год назад +5

    Haya tuko hapa wakubwa anko jay ❤❤❤❤❤❤

  • @victoriaedfonss727
    @victoriaedfonss727 Год назад +12

    😂😂kumbe nimewah jaman like zenu wapendwa ,😘😘😘🎉🎉😍🎉🙏🔥

  • @susansamira8137
    @susansamira8137 Год назад +5

    Wow shukran kaka Ankojay nakupenda bure

  • @mary-kamara
    @mary-kamara Год назад +5

    Hongera kwakutuburudisha ❤❤

  • @estherimbotsi7553
    @estherimbotsi7553 Год назад +8

    😂😂😂😂😂😂😂😂 Ankojay nakupenda bure ❤❤❤❤❤

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Год назад +9

    😂😂wadogo mfunge macho ilimusisikie ..MUCH LOVE ANKO JAY ❤

    • @jacklinemsafiri5948
      @jacklinemsafiri5948 Год назад +2

      😂😂😂😂😂😂Ngoja nilale kabisa Vya wakubwa Havinihusu😅😅

    • @percyerick7254
      @percyerick7254 Год назад

      ​@@jacklinemsafiri5948😂😂😂😂😂😂

  • @christinahaule-p8i
    @christinahaule-p8i Год назад +10

    Carlson mwanaume mwenye roho nzuri na tabia yenye huruma ❤

  • @salmasasha
    @salmasasha Год назад +6

    Asante jay yani hapa ni full utamu ❤,, hapa ni earphone tu kupunguza kesi 😂😂😂

  • @jasecsjasecs5775
    @jasecsjasecs5775 Год назад +5

    Jamani anko tuhurumie sisi tulioko mbali tunaitamani movie yetu ya xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

  • @zuenahz5514
    @zuenahz5514 Год назад +6

    hatimae tumefikiwa Wa ugaibuni 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ANKOZUBERI881
    @ANKOZUBERI881 Год назад +5

    daa KAKA #ankojay unafurahisha kwa kweli 😂😂😂

  • @winniekwamboka4229
    @winniekwamboka4229 Год назад +2

    Much love from Saudi Arabia

  • @sarahhagai8191
    @sarahhagai8191 Год назад +3

    Niko mwenyew anko usijal❤❤❤❤

  • @Fatum112
    @Fatum112 Год назад +7

    Wadau nimechelewa ila nipo kwa sanaa tuuuu
    🎉🎉🎉🎉🎉acha siskilizie utamu😂😂 Ankojay hey🖐

  • @pilishazycounterog8200
    @pilishazycounterog8200 Год назад +2

    🎉🎉🎉mauwa yako Anko j

  • @Mariamsuleiman-b9c
    @Mariamsuleiman-b9c Год назад +2

    Anko j bwana hujui kuimba sauti yako n nzuri na kusimulia tu❤❤❤

  • @Sifandekelwika
    @Sifandekelwika Год назад +2

    Ahanteni sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @NeemaEli-wl1dz
    @NeemaEli-wl1dz 26 дней назад

    Simulizi zuri sana jaman

  • @Nuru8700
    @Nuru8700 Год назад +8

    Nilitaka nishangae usijitete atakidogo haiwezekani hta siku moja 😅😅😅

  • @PhoebeWafula-d6c
    @PhoebeWafula-d6c Год назад +1

    Nice ❤❤ ankojoy

  • @yusrambodze3804
    @yusrambodze3804 Год назад +8

    Aaaah nshafiki jamani Anko napenda 2 manjonjo yako😂😂😂

  • @ترووكالحارثي
    @ترووكالحارثي Год назад

    Asante anko j kwa simulizi nzuri