Ombi lake limefali hana baki ya kutosha Ankojay hatulali na warabu so hatuju ila waeza juwa kwa kufananisha kuku wa kienyeji na wa girendi ndio utajuwa😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ Ankojay nakupenda sana tu
Congratulations 👏👏👏 my wetu patamu apo anko Jay eti unataka kuacha kutusimulia simulizi mbona tutajinyonga na boligam wakwanza mimi kujitia kitazi kwa ajili yako anko Jay ukiacha kutusimulia simulizi, much 💞❤❤ anko Jay wetu
😂😂😂 team strong wenzangu popote mlipo like apo
Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪 inapendeza kweli 🎉❤❤❤
Nawahigi sana ila watu wako anko wachoyo haya hawatoi like Jamani, duuuuuh❤❤❤❤❤, acha niendelee kukisapot bila kujal
😂😂
😢
😊😊
Mbona kama unalazimisha hadi unalia😂😂😂😂
😅😅😅
Number 1 leo hi family mko poa ❤❤
Nipo ujerumani. Nasikiliza sana Story za Ankojay. Nahisi nakuwa addicted to these stories.
Much ❤ from 🇰🇪
Nimewahi leo .vip.wadau Anko j simulizi
Waoooo, tunatama kusikia. Saut Yako. Kila siku. Mashaall. ❤❤❤
Kazi kwa mwaarabu😢😢😢 ramadhani inakaribia tuanze kuimba huu wimbo" YESU NITIE NGUVU NIMALIZE MWENDO SALAMA"
🤣🤣🤣😂😂😂😂Ata nimefurahi tu kuiona hii sms Acha tu ila mungu huwa anatusimamia sana
😅😅😅😅dah polen
Maisha ya mtu mungu hanajuiwa shatani yeye hataki mazuri ya mtu hongara Sana simulizi tamu anko jay
the way unavyoongea anko j unanikosh san❤❤
Much love ❤❤❤❤❤❤from Kenya
Uncle jay napenda unavyoingea sana yaani upo good good sauti hiyo ipo romantic sana
Simulizi zako ankojay ni nzuri nasikiza kutoka saudi
Much love❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪
Pamoja sana from 🇰🇪
❤king of voice
Jaman ankojy unasauti PW xan
Leo wa kwanza 🎉🎉🎉🎉nipeni like zanguuuu❤❤❤❤
😢nilichelewa mwenzenu but twende nalo🎉🎉🎉🎉
Ankojey kenya Tanzania wko wanaume kma Carlos kweli hyo kka sijui kma wako wkufanana na yye kitabia nimempeda bre ❤❤❤
Much love from 🇰🇪
King of voice ❤❤❤
I love it 💓😍💓😍😍 from KENYA
Hawa ni warabu au wahindi😊😊
Wanahuruma
Nipo kwenye group la kwanza ❤🎉
Ndo naamka mie anko much love ❤❤❤❤pamoja mbk mwisho
Jaman anko j simulizi zako nzur sana 😂😂😂😂
Wooow is anko Jay again tuliokua tumemis saut yake jomon gongen like hapo 🎉🎉🎉 but tulio gulf anko Jay tunaipataje movie yetu ya X part 17
😂😂 kwel tunaipataje
Km uko na pesa kwa mpesa yako ni rahisi sana mbn
Anko jay ulisomea shule gani ya kubadilisha sauti❤️❤️❤️🎉😂😂😂😂🙏🇰🇪
🤭😂🤣 Acha ni 🪑🎧 tuinjoi sasa AnkoJay ahsante kwakweli 🤭
Ankooo jy ,, tunakupend kiukweli
umenikumbucha mbali sana
Ankojay wewe hata uspokua romantic saut inatokea, au mnasemaje wadau🎉🎉🎉😂😂
Kbs😅😅😊
Much love from Kenya
Waoooh I like it anko jay penda sana wewe ❤❤❤🎉🎉
Sawa anko jay 🇴🇲 🇴🇲 ngoja niweke edifoni masikioni Ahasante sana Kwa simulizi ❤️❤️❤️😍😍🇴🇲
Tunainjoi tukio 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲
Wao tamu sana changanya na magic voice ya anko jay bas wewe utamu juu ya utamu ,sehem ya pili anko jay please
Yaa 😂tuko hapa kwa warabu tumeeka tayari earphone tunasikiliza ankojay simlizi 😂😂😂❤kutoa stress za warabu
Kenyans big up pamoja saana
Honger Kwa stor
❤❤❤❤ anko j unatuletea vitu vzr
Tulioko arabuni tumekumbukwa leo... asante
Ilkua natafuta comment kama hii hatimaye nimeipata😂😂😂😂
😂😂😂
Much more ❤️ anko jey😊
Hii simulizi ni tamu ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Much love from saudi 😂🎉🎉
Wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉🎉
Anko najua utanipea zawad ya maua🎉🎉🎉❤❤
Much love ❤anko j 🇰🇪🇸🇦
Ahsante ancojay kwani tunakukubali kwa kweli mungu akubariki
Thanks
Waooooo najua nimecherewa
Ngom mpya tyr jamn mpen like Zak ankojay ❤❤❤❤🎉
Asante anko jay boss wangu ❤❤❤❤
Much love you Ankojay from Kenya 🇰🇪❤❤❤💖💖🎉🎉🎉
Ombi lake limefali hana baki ya kutosha Ankojay hatulali na warabu so hatuju ila waeza juwa kwa kufananisha kuku wa kienyeji na wa girendi ndio utajuwa😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ Ankojay nakupenda sana tu
Asante anko kwakutuletwa simulizi tamu
Ahsante Kwa kazi mpya nakupenda anko j
Much ❤ from ❤🇰🇪🇰🇪
Dada Lisa nimekumic njooo
Congratulations 👏👏👏 my wetu patamu apo anko Jay eti unataka kuacha kutusimulia simulizi mbona tutajinyonga na boligam wakwanza mimi kujitia kitazi kwa ajili yako anko Jay ukiacha kutusimulia simulizi, much 💞❤❤ anko Jay wetu
😂😂😂sawa nmesikia my Ankojay❤❤❤🎉🎉🎉
Thanks ankojay 💚💚🇬🇧🇬🇧🎉🎉🎉👩💻👩💻🤗🤗🤗
Jamani we anko j. Mungu akuweke
Mashallah anko Jay tunakupenda sanaaaa Allah akutunze akupe itaji la moyo wako
Marhaba anko❤❤❤❤❤anko Jay simulizi 🥰😍😘😘😘🤣🤣🤣
😂😂😂😂 zingatia neno wakubwa
Duuuh sawa acha basi nijipangee ili nisikilize kwani sio kwa angalizo hiso
So cool 😎😎
Yan sauti yako anko j jaman 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sawa Kaka nakuelewa sana asante
Nimewaii❤❤🎉🎉
Wakwaza leo🎉🎉🎉🎉
Mhh mambo ni motooo subili tupate utam❤❤❤❤❤
Safi🌹🌹🌹
❤❤❤❤nakupenda sana
Kazi nzuri Anko,listening from Kenya,much ❤
Weeee anko weee,achatu nikuite anko chautamu😂
Ahaaa,ankojay mapesa kijana handsome ila sasa kuimba balaa😊😊😊😊😊
Amazing ❤❤❤❤❤
Maua yako ankooooo🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Haya tuko hapa wakubwa anko jay ❤❤❤❤❤❤
😂😂kumbe nimewah jaman like zenu wapendwa ,😘😘😘🎉🎉😍🎉🙏🔥
Wow shukran kaka Ankojay nakupenda bure
Hongera kwakutuburudisha ❤❤
😂😂😂😂😂😂😂😂 Ankojay nakupenda bure ❤❤❤❤❤
😂😂wadogo mfunge macho ilimusisikie ..MUCH LOVE ANKO JAY ❤
😂😂😂😂😂😂Ngoja nilale kabisa Vya wakubwa Havinihusu😅😅
@@jacklinemsafiri5948😂😂😂😂😂😂
Carlson mwanaume mwenye roho nzuri na tabia yenye huruma ❤
Asante jay yani hapa ni full utamu ❤,, hapa ni earphone tu kupunguza kesi 😂😂😂
Jamani anko tuhurumie sisi tulioko mbali tunaitamani movie yetu ya xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
hatimae tumefikiwa Wa ugaibuni 😂😂😂😂😂😂😂😂
daa KAKA #ankojay unafurahisha kwa kweli 😂😂😂
Much love from Saudi Arabia
Niko mwenyew anko usijal❤❤❤❤
Wadau nimechelewa ila nipo kwa sanaa tuuuu
🎉🎉🎉🎉🎉acha siskilizie utamu😂😂 Ankojay hey🖐
🎉🎉🎉mauwa yako Anko j
Anko j bwana hujui kuimba sauti yako n nzuri na kusimulia tu❤❤❤
Ahanteni sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Simulizi zuri sana jaman
Nilitaka nishangae usijitete atakidogo haiwezekani hta siku moja 😅😅😅
Nice ❤❤ ankojoy
Aaaah nshafiki jamani Anko napenda 2 manjonjo yako😂😂😂
Asante anko j kwa simulizi nzuri