A.I.C CHANGOMBE VIJANA CHOIR - MIKATA
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Subscribe to Wyld Pytch / 51 Lex: bit.ly/WyldSubs
Wyld Pytch / 51 Lex Records
Web - wyldpytch.com/
Instagram- wyldpytch51lex
Facebook - / 51lexrecords. .
Tiktok: / wyldpytch51lexrecords
Twitter - / wyldpytch
Heard this song for the first time nikiwa youth camp 2015 and I'm still jamming...Kama unaelewa Kiswahili nipe like
Blessing me every time ⏲️
Niko mwisilamu tokea Kenya ila napenda sana nyimbo zenu zinanifafanulia mengi sana Kwa mandiko
Mikate! Mikate!! Mikatee!!! Inaiangamiza Dunia
Scriptural based songs will never fade. Am blessed watching from +254
Who is still blessed with tis song like me💪
Wimbo huu unanigusa sana mungu awabariki ninyi nyote mlio fanikisha kazi ya mungu kuwafikishia watu ujumbe kwa njia ya uimbaji,
Wimbo unanibariki kwel, nawapenda Aic Chang'ombe,mung awabariki kwa yenu,🙏🙏🙏
feeling blessed nikiwa machakos kenya
Nabarikiwa sana ,👍👍👍
Munakuaga Anglican ao kwasababu napendaka sana nyimbo zenu . Mimi ni mromani catholic
Sichokagi kutizama hii nyimbo... Inanibariki an.. Mikate
This song is 7 years old?? Wow I just discovered it.
abalikiwe aliye umba bingu naichi mngu awabaliki waimbaji hawa uwazidishie kwakazi nzuli ameee
Hongereni Kwa kueneza injili. Natafakari maisha yangu ya ukristo.
This song reminds me so far but I thank God for his protection may God bless you guys
Mungu awazidishie maono kulitangaza neno la Mungu,mbarikiwe sana watumishi.
Nyimbo hiii hunipeleka mbali sana
Am really blessed by this song
Wana AIC Changombe Mungu azidi kuwabariki sana..Huu wimbo una ujumbe mzuri sana kwa wanaoelewa, sauti na mpangilio wa maneno hata na show ya picha nimebarikiwa sana kuona na kusikia kutoka kwenu.
r,
tumsifu yesukirito milele amena nimependa sana ujumbe wenu umenigusa munguawabaliki sana watumishi wake amena
Barikeni Sana, very touching song
Yeah
Baraka za bwanaya ziwe nanyi.from usa
hongereni Sana nabarikiwa Sana na nyimbo zenu
hongereni kwa huu wimbo ambao unaeleza ukweli juu ya fumbo la mikate.
It's true my dear
binadamu hawezi kuishi kwa mikate bali kwa neno la uzima
Thanks for the one who sang this song
Mungu azidi kuwainua Amen
A very good song. Am blessed
Mpo juuuuuuuuuu barikiwa sana.
nyimbo hiii ninzur tena inafundisha
Kweli kabisa yan nimetoka nyumban kuja mjini kutafuta mikate
Kazi zuri sana mnayotenda barikiweni sana
Mbarikiwe wana kwaya aic changombe
sifa kwa BWANA MUNGU WETU, mubarikiwe sana wa pendwa na muzidishiwe maono, AMINA.
mbarikikiwe sana...kwaya bora kwangu toka kitaambo sana...kazi yenu ina malipo msikate tamaa ..Mungu atawapa lililo jema..
SYLVIA KADEHA ongeni
Huwezi kuishi kwa mikate tu
nabarikiwa sana na nyimbo zenu,,,Mungu awatie nguvu Shambani mwake
I love this song
Waaaau mko juu mikate nazo
Nyie hongeren kwa huduma nzur jaman
Amen, blessed song.
mbarikiwe sana wa ndugu zangu katika jina la YESU
wimbo mtamu kweli kweli wanibariki
Hongera sana na Mungu awwbarikii
Huu wimbo naipenda xana
Hivi huyo kwaya master wao Yuko wapi ? Alikuwa anailea kwaya vizuri sana , nitaleta mkate ili mnipende 😅😅😅😅
mnani fundisha kuubiri injili nikiwa saudirabia hakika mnabariki moyo wangu kiunfani
Mbarikiwe watu wa Mungu
Mungu nimwem skuzote awabarik san naawakuzie kipaj
I love this!may God bless u
Rose Mwendo lozi upo?
waooo..I love the song..it kills me..be bless team..especially the leading gentleman
Mbarikiwe sana wana aic
naipenda sana kwaya hiii mungu awabariki
mungu awabariki xana aic changombe mungu atawalipa xikuya mwixho mungu xikuzote achoki napendaga kwaya hiii napenda nyimbo zao nimependa xana wimbo huu wa mikate kwa mtu alioa elewa unaujumbe mzuri xana tutaixhi kwa neno la mungu kweli xioa kwa mikatea mungu awabariki aic changombe
Wimbo huu unanibariki sana. Umenifanya niifaham kwaya hii.
it is good one it stands out dear
Huu wimbo hunibariki sana.
Wimbo mzuri kweli
Shalom.naitwa Esther ninaishi burundi
Napenda mkate mimi
Kwaya mzuri sana bwna awabariki
Lovely songs to lisen too
Loove this song inspiring
Nice song
Mikateee mikateee
Wimbo mtamu sana
Hongera kabisa
Nyimbo hii inanibariki sana
Daaah kwakwel unanibariki
God bless u
mbarikiwe wapendwa katik bwana nimependa sana ujumbe wenu
kila Mtu anapenda mkate
👍
Eko wanachagombe nyimbo zenu unibariki sana mungu awabariki
Balikiwa sana
2022 na baraka ni zile zile freshi
254
good work may God bless you all
1/1 / 2020? Who is watching?
Ameeeen mbarikiwe wapendwa
mungu awabari
Good
mungu in mwema SKU zote uwainua wamwitao
Amen may God you so much
waooo amazing song!!!!
I love you people😘
I like that song
Hello ❤
Wooow
bigup
Good song
Ahsanten sana. mtu huishi kwa neno la MUNGU
Well done
Waoooh i like this song Be blessed
Kwanelo la uzima Amen amen
nice song
ukweri naupeda sana uwibo
Nabarikiwa kwa uimbaji wenu na ujumbe
mko sawa nawezaji kupata kama odio kwa simu yangu
Aminaaaaaaaaaaaa
Ongera
Bwanayesu asifiwe
Mikate
October 2020
God bless you so much how will i get a copy Eldoret kenya
jaribu jomba music store
It really song 1:59
😍😍😍😍😘
nawpenda sn
🤣🤣🤣🤣