HOUSE GIRL EP 09 | S4 | LOVE STORY 💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 543

  • @mamaaanmar1261
    @mamaaanmar1261 Месяц назад +133

    Candy. Huyo aliekuja. Ndio baba krish. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @gracemuusi3421
      @gracemuusi3421 Месяц назад +2

      😅😅😅😅😅

    • @Gloriazawad
      @Gloriazawad Месяц назад +5

      😅😂😅😂😅😂😅baba crish ana vimiguu kama kuku choma 😋🤣😂ongeza limau

    • @ZainaibZawad
      @ZainaibZawad Месяц назад +1

      Babxa😂😂

    • @mamaaanmar1261
      @mamaaanmar1261 Месяц назад +1

      @@gracemuusi3421 🤣🤣🤣

    • @MercyMoraa-v3z
      @MercyMoraa-v3z Месяц назад +1

      😂😂😂

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 Месяц назад +16

    Nlisema bibi atafanya Kaz yke...ya wakulu...c mmbo yamekua wazi leo... inshaallah mungu atulinde tuvuke mwaka salamu na tuanze mwingi kwa uzima na mafanikio makubwa kupitia NGUVU zake ALLAH...

  • @AnsaB-j2m
    @AnsaB-j2m Месяц назад +105

    Wa tano leo 😅😅jamani like za bibi zuu apa🎉🎉

    • @MemoryKamutandi
      @MemoryKamutandi Месяц назад +2

      😂😂😂😂😂. bibi zuu karud 😂😂

    • @AnsaB-j2m
      @AnsaB-j2m Месяц назад +1

      @@MemoryKamutandi tena kwa raha🥳🥳

    • @evarkhanaya7891
      @evarkhanaya7891 Месяц назад +1

      Kazi nzuri sana

  • @ChancelineNimpaye
    @ChancelineNimpaye Месяц назад +69

    Nawapenda sana jaman mung atusaidie sote kufika mwaka 2025 inshallah tutafika kwauwezo wake allah

  • @HadijaVinyu
    @HadijaVinyu Месяц назад +39

    Baba krishi kaja mwenyewe sasa candy tulia uko kai hausiki😂😂😂😂

  • @SarahHappy-k1o
    @SarahHappy-k1o Месяц назад +7

    Sania umetulia kweli maua yako❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @naomiyohana7001
    @naomiyohana7001 Месяц назад +10

    Hahahaha,, Kai anavoigiza ulevi ananichekeshaa

  • @LuluPeter-o1t
    @LuluPeter-o1t Месяц назад +21

    Hadi Belinda yupo itazidi kuwa tamuh hii movieee 🔥🔥🔥.

  • @AishaSad-ck8zk
    @AishaSad-ck8zk Месяц назад +2

    Sema hili zuu ni zurii mash allh😘😘🥰🥰🥰nampendaa adi naumwaaa😇😇🤤🕊🥰

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 Месяц назад +46

    Zuu sura imemshuka😂😂😂😂makofi kwa bibi zuu ya Christmas 👏👏👏❤❤❤from 🇰🇪 kenya ❤❤

  • @JulienBaguma-y2s
    @JulienBaguma-y2s Месяц назад +9

    Duuuuu, yaleo imekuwa moto moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 japokuwa imeisha mapema , naomba sana mwenyezi Mungu atuvushe pamoja Mwakani salama naleo nawatakiya ''''Merry Christmas'''kwaote😍😍😍

  • @rahmaqasim5143
    @rahmaqasim5143 Месяц назад +18

    Candy wataka kumuua baba crish😅😅😅

    • @Saumu-q4p
      @Saumu-q4p Месяц назад

      😅😅😅😅

  • @حسنا-ض3ز
    @حسنا-ض3ز Месяц назад

    Much love from Kenya 😮😮😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @MwanakomboAli-p5e
    @MwanakomboAli-p5e Месяц назад +3

    Bibi mpe kichapo uyo rasta😂😂

  • @zuwenakizere4687
    @zuwenakizere4687 Месяц назад +3

    Baba krish kala gongo moja tu na crish aiumpeperusha babake😂😂😂😂

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص Месяц назад

    😂😂😂😂bibi zuu kayayuka kija karopoka😂😂😂

  • @AryonWambui
    @AryonWambui Месяц назад +8

    Baba karish ameitika mwiko wa mwanae 😅😅😅😅😅😂😂😂 candy uchizi wako umefichuka kaa chonjo sasa ujue mbichi na mbivu ndo ngani 😂😂😂 unajaribu kuvurunga ndoa ya khai na zuu kwa laana za mamako kula chuma pekee 😂😂😂😂😂

  • @janekanini
    @janekanini Месяц назад +11

    Na mnapenda hii movie yaani dakika moja msha jaa

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s Месяц назад +3

    Kendy ana muuwa baba krish alafu kendy umeweza sana kucheza chizi we bala ni moto

  • @KemmyMercy-my9uf
    @KemmyMercy-my9uf 16 дней назад

    Nafurahia kubadilika kwa shania❤❤

  • @MwanamisiMunnah-x3v
    @MwanamisiMunnah-x3v Месяц назад

    Wallah house girl hii ni moto kinoma yani..hongeren wahusika nyote maua yenu ila zaidi bibi zuu🎉🎉❤

  • @JustaMartinsEduardo
    @JustaMartinsEduardo Месяц назад

    😂😂😂😂😂Baba Chris 😂😂😂

  • @RisikyCute
    @RisikyCute Месяц назад

    Good job❤❤

  • @MichaelLutonja-i3g
    @MichaelLutonja-i3g Месяц назад

    Safi sana kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤

  • @JazilaHassani
    @JazilaHassani Месяц назад

    Nawapenda bureeee busati kazi nzr❤❤❤❤

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r Месяц назад

    Huu moto 🔥🔥🔥 leo umewashwa vilivyo ndoa zinaharibika to zuri kabaki sula ndogo kama njia ya chooni...

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Месяц назад

    Nawatakia herii ya christmas and new year 🎄🎄🎄🎄🎆🎇🎁🎁🎁🎄🎄🎍🎍 bibi zuu pokea maa yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉♥️♥️♥️

  • @helenajoseph6381
    @helenajoseph6381 Месяц назад +3

    Jaman fanyen kuongeza dakika ata tano tu yan bora wanicheleweshee bumu lakin sio housegirl

  • @UmaziMdzomba
    @UmaziMdzomba Месяц назад

    Hongereni sna kwa kazi nzuri 🎉

  • @YonasKivah
    @YonasKivah Месяц назад +52

    Jaman birthday yangu ni tar 25.12 nipeni maua yanguuu

    • @AshaLidu-tx9ns
      @AshaLidu-tx9ns Месяц назад

      Happy birthday to you friend🎉

    • @YonasKivah
      @YonasKivah Месяц назад

      @AshaLidu-tx9ns Thanks a lot dear

    • @khadijasalim2697
      @khadijasalim2697 Месяц назад

      Happy birthday to you my dear 🎉🎉🎉

    • @AnnaEdward-g3f
      @AnnaEdward-g3f Месяц назад

      ❤❤❤🎉

    • @sharifanyumayo6314
      @sharifanyumayo6314 Месяц назад

      ❤❤❤Hbd my love so tim December mwenzangu mie tar 27/12 naomba kesho uniwish best

  • @FatumaBahatihassan
    @FatumaBahatihassan Месяц назад +21

    Zuu mimi kama dadaako naomba ujitahidi kuvavizri wenimuke wa Bossi Kay nanguo nyeusi kichwani bdisha uwemupya tunaao kubariana kwahiri tujuane kwalike
    asante

  • @ShakuurRayyan
    @ShakuurRayyan Месяц назад +1

    Wllh candy apew tunzo anayiboresh San hii movie wllh🎉🎉🎉et kamba y viatu kayivaa kiunon😂😂😂😂

  • @HabibaZakeo
    @HabibaZakeo Месяц назад

    Big up Bibi zuu❤

  • @yuvinalishmasanya1526
    @yuvinalishmasanya1526 Месяц назад

    This time round ni Kali Kali tu, ausio❤❤

  • @BadriaMaulid-r1o
    @BadriaMaulid-r1o Месяц назад

    So kuliwe kwa mwari t at kwa kungwi kuliweee😂😂 weeeh pweza weeeeh😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @RoseMeshack-c9x
    @RoseMeshack-c9x Месяц назад

    🤣🤣🤣baba Krish kajaa

  • @mohammedganyuma3445
    @mohammedganyuma3445 Месяц назад

    😂😂😂😂😂 baba krish kashakuja🎉😅

  • @AAl-r1s
    @AAl-r1s Месяц назад +2

    hongeren busat movie imefika patamu yan❤❤

  • @MucussiniSaide
    @MucussiniSaide 14 дней назад

    Aaa jama mkweli ❤❤❤❤

  • @noormoammed3116
    @noormoammed3116 Месяц назад

    😂😂😂😂 candy umemuwa mumeo😅😅😅😅😅

  • @pyelesyamwakatika540
    @pyelesyamwakatika540 20 дней назад

    Kibendu kimekulamba 😁😁 et hata vyakungwi viliwe

  • @ahmednassor6887
    @ahmednassor6887 Месяц назад

    Ata kwa kungwi kuliwe😅😅😅

  • @MwanajumaMwinzi
    @MwanajumaMwinzi Месяц назад +2

    Kazi nzuri ila mnatucheleweshea sna

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi Месяц назад +1

    Wa mwisho mie jaman ❤❤❤❤❤mambo moto sasa uku daah kai leo umekua na matengeza wallah 😂😂😂😂😂

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 Месяц назад +6

    Weee leo kivumbi bbi zuuuu atakiwasha mpaka basi 😅😅nimecheka hapo 😅😅😅

  • @SbsBts-g3v
    @SbsBts-g3v Месяц назад

    Next plz 😂😂😂😂😂😂

  • @SbsBts-g3v
    @SbsBts-g3v Месяц назад

    Hatar kweli 🎉🎉🎉🎉

  • @FlorenceCadette-c6p
    @FlorenceCadette-c6p Месяц назад

    Baba Krish kajaaa😂

  • @abdurahmanabdurahman-z7o
    @abdurahmanabdurahman-z7o Месяц назад

    Bibi zuu anatisha Kaz nzur sana 🎉🎉🎉🎉

  • @JescaMarykarisa
    @JescaMarykarisa Месяц назад

    Hongera sana bibi zuu🎉❤

  • @OmanNizwa-uc4ub
    @OmanNizwa-uc4ub Месяц назад

    Bibi zuri maua yk❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg Месяц назад +7

    😂😂😂😂😂😂😂candy the realy father amekuja😂😂😂😂pweza asnte kusema ukweli 😂😂😂😂😂😂hata kwakugwi pia kymbe😂😂😂😂😂😂😂😂😂aki busat mwatumaliza na hii movekilasiku inautamu wake nice busattv hoyee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ bibi zuu hongera bila kusahau Tasha aendeleaje saii thnx busat from+254

  • @mabagamendez1156
    @mabagamendez1156 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ bibi zuu nmukubar sana

  • @SharifaMuhamed-z4c
    @SharifaMuhamed-z4c Месяц назад

    Kweli mama ni mama candy kabakwa kamzaa candy 😂sai candy nae kabakwa 😂😂😂atamzaa nani😂😂😂

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna Месяц назад

    Jaman mwenzenu nmeisha n kucheka tu😂😂😂😂 leo,,kibendu ubaya ubwela

  • @زينه-ل4ح
    @زينه-ل4ح Месяц назад

    Nakukubali bib zuuuu❤❤❤

  • @TunuBukuku
    @TunuBukuku Месяц назад +41

    jamani bibi zuu ananifurahisha anapoongea na mizimu ya kwao

  • @FrankKyando-z1i
    @FrankKyando-z1i Месяц назад +7

    MUNGU awafungulie milango ya zaidi ya uwekezaji katika tasnia hii ya uigizaji isee nawapenda sana BUSATI tv

  • @HagabimanaIrène
    @HagabimanaIrène Месяц назад

    Leo bibi zuu ❤❤❤ apew maua yake

  • @ladye7464
    @ladye7464 Месяц назад

    İi kali nimeipenda kinoma ❤😂yn baba krish umejuwa kunifuraisha

  • @GloryKamathi-k7q
    @GloryKamathi-k7q Месяц назад

    House girl sahi mnawaka Moto,,,,mnawnza turushia episode ata mbili siku,,,,much love,,,,,hongereni sana watu wetu

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy Месяц назад

    Zuu umeona hasira hasar Maneno ulomwambia mmeo pia mim sjayapenda, afu kendy mbon walazimisha Maji kupanda mlima kay❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @زينه-ل4ح
    @زينه-ل4ح Месяц назад

    😂😂😂kibed anajiwagiy maj😅😅😅

  • @BeatriceCharo-cs2wv
    @BeatriceCharo-cs2wv 11 дней назад

    Kwisha mambo yaķo kendi ba krish kafika😂

  • @DzameHamisi
    @DzameHamisi Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂cendy imekula.kwako

  • @StarciaAvitosh
    @StarciaAvitosh Месяц назад

    Nawapenda sana🥰✍️

  • @FatimabibiBibi-p5w
    @FatimabibiBibi-p5w Месяц назад

    Nimecheka kweli hapo kwa baba kirish😂😂😂😂😂😂

  • @jamillawesonga7638
    @jamillawesonga7638 Месяц назад

    Weeeeeeeeh hii n moto kama pasi😂😂😂😂😂

  • @روززنجبار
    @روززنجبار 18 дней назад

    Kai Hilo jicho jamani😂😂😂

  • @SdFft-j5g
    @SdFft-j5g Месяц назад

    😂😂😂😂 Kwa kweli baba krish kaja

  • @LovelyCows-dq2uv
    @LovelyCows-dq2uv Месяц назад

    Kibendu😂😂😂😂😂😂😂 kimekushuka kwamwari huriwa na kwakunqwi huriwa 😂😂😂😂😂

  • @HusseinAmour-o6v
    @HusseinAmour-o6v Месяц назад

    Busat hakuna baya ❤❤❤

  • @Fatima-i7h3w
    @Fatima-i7h3w Месяц назад

    Good job 👏❤❤❤❤❤❤

  • @SevidaEmmanuel
    @SevidaEmmanuel Месяц назад

    Mm nmemc Kaka Tasha na Zatiti na mama Tasha❤, pia nmefurah ukwl kujulikana

  • @MsSafiya-fi3tl
    @MsSafiya-fi3tl Месяц назад

    Waooooo❤❤❤

  • @JusterNovatus
    @JusterNovatus Месяц назад +4

    Mnajua kunifurahisha Mimi jamooon nyie watu kheeee episode inatoka on time shwaaaaaa🥰🥰🥰🥰🥰

  • @ElizabethBanda-p4i
    @ElizabethBanda-p4i Месяц назад

    Hii muv ni pambe kwa kweli🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @شاميمشاميم-ر9ت
    @شاميمشاميم-ر9ت Месяц назад +6

    Jèe kibendu umeyanyaga ya moto eee yamekuchoma mweneye 😂😂😂😂😂ni humu tu we huogopi 😂😂😂😂😂

  • @SesiliaTemu
    @SesiliaTemu Месяц назад

    Kendi bado kichaaa 😂😂😂😂😂mjue

  • @gracenyevu8082
    @gracenyevu8082 Месяц назад +1

    Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @Gsh-ov2ut
    @Gsh-ov2ut Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂Yaani hii ya leo moto kubakana kuuwana Woooiiiiiii marry christmas and happy new year 🎆🎆🎇🎆🎆🎇🎁🎄🎄🎄🎁🎁🎇🎇🎁🎄🎄🎁🎇🎆🎆🎁🎄🎄🎁🎆🎁🎄🎄

  • @MealiiOmar
    @MealiiOmar Месяц назад

    Candy baba Krishi kaja mwenyew geto😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HadijaMiraji-ul6cy
    @HadijaMiraji-ul6cy Месяц назад

    Kai kakisea sana kunywa pombe hata haviendani

  • @rachaelnyale9617
    @rachaelnyale9617 Месяц назад

    Napenda alichofanya nyanyake zuu😂

  • @MariamRashidi-n7u
    @MariamRashidi-n7u Месяц назад

    Jamani 😂😂😂😂😂 ao bas 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SalmaZuber-h5z
    @SalmaZuber-h5z Месяц назад

    Magaidi mwenzangu mpoo humu.

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад

    Pweza kajipalia makaa😂😂😂 ncheke ka mazuri😊 🙌...zuu uso umekushuka,shuu!

  • @SalmaKenyatta-cn8tg
    @SalmaKenyatta-cn8tg Месяц назад

    Khai kunywa pombe kipaji😂😂😂😂

  • @PatrickiGodfrey
    @PatrickiGodfrey Месяц назад

    Naaaza kumpendaa saniaaaa

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv Месяц назад +2

    Mweñye amempea kendi mimba amejileta mwenyewe ❤❤❤kipendu tulia junga ndoa yako ajana kendi

  • @Mwanamisi-q6y
    @Mwanamisi-q6y Месяц назад +3

    Kunoma sanaaa...tuwape mauwa yao Wana busati❤❤🎉🎉🎉🎉toka 🇰🇪

  • @soleilm823
    @soleilm823 Месяц назад

    Baba krishe huyo huyo 😂😂😂amekuja kucukuwa mutoto wake😂😂 namukewe😂😂😂😂

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe Месяц назад +13

    Bibi zuuuu ananivunjaka mbavu kwakweri arafu mizimu yake ayijawayi kusema uwongo👊🇸🇦🇧🇮🥰

  • @VianeChaula
    @VianeChaula Месяц назад

    Aaaan kibendu we mwenyew mbakaji unahangaika na mwenzako

  • @DomitilaEmily
    @DomitilaEmily 19 дней назад

    Jamaan Kai pole sana

  • @MartinaJoseph-u9r
    @MartinaJoseph-u9r Месяц назад

    Sania upo vzr sasa

  • @CarolyneMalala-o6x
    @CarolyneMalala-o6x Месяц назад +16

    Hapo sasa bibi yake Zuuu pokea maua🎉🎉🎉🎉ukweli ujulikane hapana kuhatarisha maisha ya Kai

  • @NgalamnyaziScolasticah
    @NgalamnyaziScolasticah Месяц назад

    Zuu sema kuumbuka na maneno machafu uliyorushia mumeo,haya utamwangaliaje hivi😂😂😂

  • @AzizaVenansi
    @AzizaVenansi Месяц назад

    Uyo pweza ndo shemej yake kibendu🎉🎉🎉🎉

  • @Leacheieli
    @Leacheieli Месяц назад

    Baba Krish 😂😂😂😂😂 jamn