Jamani tunaomba zatiti awe na ulizi wa kutosha maana kama mtoto atachukuliwa bas wengi hatutaangalia tena move maana Amelia sana hebu apewe furaha jamani 😭😭😭😭
Mungu tulindie zatiti wake ma toto ajifungue salama salimin na asikutate na masahibu yoyote shetani chiko aliyo ya panga inshallah na tasha wetu aone mapema kabla zatiti kujifungua shetani chiko afell🤲🤲🤲kwa idhini yake allah
Mungu baba, mungu mwana nibariki na mama mkwe kama uyo wa zatiti ❤,nimechoka kuwa singo😂nimechoka kupatana na mama mkwe kama candy 😂😂, Hakika nikipata ma mkwe kama mama Tasha naamini nitakua kwa ndoa na sio ndoano😂😂,God I promise nipee nitapokea na mikona yangu miwili,nitaitunza adi utake kuniongezea ingine 😂😂😂. Amen 🙏
Warda anepotea maana yuko kwenye penzi jipya kwa mume wa boss huko na yuko na mimba ya Daniel mdimu ☓ Raymond 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 chiko naimani mpango wako utafelly tu siku zote mwenye na ubaya hua yuafelly tu 😂😂
Mama Tasha jamn pokea maua yako❤❤❤❤
Dah walda nilikwa nimekumiss sana walda maua yako pokea🎉🎉pia walio kuwaa wamemumiss walda gonga like🎉
Baba bob male ulikua waenda kutupwa😂😂😂nafuatilia nkiwa Kenya 🇰🇪🇰🇪 Kenyans kiss my coment plz
😂😂😂😂😂 yaani yeye ndo amenichekesha alafu alivocheka mm ningemtupa ningekimbia
Yan we acha2
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂baba bob marley 🙌 nimecheka kwa sauti
Waliofurahi kumwona masozi na chisa gonga like tafadhali 🤣🎉🎉
Tunaompenda mungu like hap❤❤❤🎉🎉
Alihamdulilah alakulli hali
❤❤❤
@mwanakomboshekue9084 🥰🫠
@@AsilaSalim-y6s 🙏🙏
Kama unaamini mpango wa chiko utafel gonga likes tukisonga
Chiko sikupendi unaharibu sinema bana wacha shobo zako
Masoziii wow jmn mekumith... Wanaoungana na mm wapi likes 😅😅😅😅
Mama tasha nimekupenda bulee chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Ila dada ake zatiti ni mzuri mashallah ❤
Ifike mahal zatiti na candy wajifungue tumuone huyo bob male🤣🤣🤣
@@MaryMichael-w1l m hata zatiti sina haraka Naye ila huyo Bob male ndonamsubiri sana
@@TabuBaya-mr4lx 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kabisa
😂😂😂😂😂😂
laaah mama tasha anajua kukeraa, ila chiko anaharibu movie wangemtoa kabisa
Mama Tasha Leo umenifurahisha
Wow nilikua nimemisi masozi sana maua yake dada masozi🌹🥀
Mama tasha umejua kunikosha kwa icho kichambo cha chiko😂😂😂
Kazi nzuri sana team Busati tv🇹🇿
Kamaunamkubali mama Tasha mwaga mauwa tukienda. Choko achaupumbavi basi siutulie uunde uongo wako uko
🎉🎉🎉
@@IsaacOoko-s3f 🙏
Mama Tasha uko vizuri sana mana Chiko anajishauwa sasa hapo kafata Nini kama mke wake mzuri co abaki nae kwao kama tahira vile
Mungu amuazibu chiko mpango yake isifanyikiwe ata mara moja🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 jamani tafazali chiko asifanyikiwe
Mama tasha nakupenda sana Mungu akulinde daima
Jamani tunaomba zatiti awe na ulizi wa kutosha maana kama mtoto atachukuliwa bas wengi hatutaangalia tena move maana Amelia sana hebu apewe furaha jamani 😭😭😭😭
Nikwel
Kbc wana busat mfatilie coment ze2 na kipoch manyoya mumtoe bhn anaboa
Tena mimi nitahama kabsa maana sitaki kumuona zatt alie maana alilia sana
wao🎉mama tasha mwambie chiko ajièlewe mpe mpasho mama angu 😂😂😂😂❤
Yaan huyu Belinda mkosefu wa haya anajikuta nani sipendi wanaweka kama hawa unalazimisha penzi hayawani tuuuu😂😂😂😂😂😂😂
Benina hana mako kai ndie yuwampa nafasi kujisongeza kwani amfate nyumbani kwake
Msisahau kama haya ni maigizo msiwatukane watu
Hongera mama Tasha si kwa michambo hio chikooo kula chuma hicho 😂😂😂😂sku zte ww Kwan we nani mmm kaa kwa mtuo, Belinda kisichan kivuruge😂
Shombo😅😅😅
Nimewahi kutoka Kenya 🇰🇪 team strong 💪 mko aje vip baridi inawapelekaje😂mkumbuke Ramadhani Iko karibu mungu atupe subra Kwa hiki kipindi
Zuu atapoteza heshima yake kwa bibiye na hatawahi kumwamini tena,, kama unakubaliana na mm gonga like tafadhali
Mungu tulindie zatiti wake ma toto ajifungue salama salimin na asikutate na masahibu yoyote shetani chiko aliyo ya panga inshallah na tasha wetu aone mapema kabla zatiti kujifungua shetani chiko afell🤲🤲🤲kwa idhini yake allah
Huyo kaka jamani hv hana akili mtu hana uwezo wa kumwaga kakazana namimba feki
Mm nimempenda Bure mama Tasha kamuweza chiko
😂😂😂😂😂😂kumbe baba bobumale mzima😂😂😂😂 mme wake kendy mtatajiwa
Daa masozi karibu kwenye mjengo,,tulikuwa tumekumiss kweli❤❤❤❤
Mama tasha mungu akupe miaka mingi aki ningekuwa na mama kama wewe sijui ningekuwa aje 🎉🎉
Nlchogundua umu ndan ni kwamba watu hawaangalii move mpaka mwisho wanakmbilia kuomba like haya walogundua wengne kama mm nipen like😂😂
MAMA TASHA 😂😂😂❤❤❤
Jamani Busati Tv hii season ya Housegirl iwe ya mwisho ikiisha hii ni bac tafuteni ubunifu mwengine ,leteni kazi mpya🙌🙌🙌
Aki eeee juuu Kai na Belina na chiko wana nimbuu Asa chiko sana
Yan imepoteza ladha kabisaaaa
Kama umechokana nayo siuache kuangalia
@GladysMoraa-fj5nm sim na bando sio y kwako kwahio kaa kwa kutulia mwanamke ,tuliza kishundu🤨
Sasa nyie mnataka chiko aigizeje na kama yeye ndo bosi
Nafurahi sana kuhona tasha nawapenda sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Yaan hapa kila mtu wa kwanza 😂😂😂😂haya na nn wa 120🎉🎉🎉naomben like zang 😢😢
😂😂😂😂😂 ila pweza 😂😂😂 mm ningekimbia ningesikia anaongea
Mama tashaa nakupenda Bure chiko toka
Woooooh maua ya🎉🎉🎉🎉🎉🎉masosi kukuona lkn Ile mimba yenye ilimfanya rahama kujinyonga mtoto aliendanga wapi 🤸
Namkubali sana mama tasha🎉
Mama tasha umenifurahisha ukivyo mjibu chiko 💕💕💕🎉🎉
Mungu baba, mungu mwana nibariki na mama mkwe kama uyo wa zatiti ❤,nimechoka kuwa singo😂nimechoka kupatana na mama mkwe kama candy 😂😂, Hakika nikipata ma mkwe kama mama Tasha naamini nitakua kwa ndoa na sio ndoano😂😂,God I promise nipee nitapokea na mikona yangu miwili,nitaitunza adi utake kuniongezea ingine 😂😂😂. Amen 🙏
Warda anepotea maana yuko kwenye penzi jipya kwa mume wa boss huko na yuko na mimba ya Daniel mdimu ☓ Raymond 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 chiko naimani mpango wako utafelly tu siku zote mwenye na ubaya hua yuafelly tu 😂😂
But chiko kinakuuma sana unapo ambiwa ukweli na mama tasha, lkn unajikaza tu😂😂😂😂😂
Chiko simpendi kabisaaaa .mnakotupeleka mnataka kutuumiza
Sikupenda hii ep huyu chiko mjinga sanaa apendasifa
🤣🤣🤣🤣wapi mchambo wa mama tasha kwa chiko weweeeee
Having mnajisahaulisha masoz qlikua namimba imeenda wapi😂😂
Nice movie 🎥🎥
Jaman tunaomba house girl iishe
Wema waomba, usituombee sisi
Mutoto wa tasha akiibiwa mutakuwa munazinguwa kbs
😂😂oyaa Kai.. tunajua mkeo ni Zuu. sio heshima Kila mara kumuita jina lake "mke wangu Zuu"
😂😂😂🎉
Woooow masozi nimependa sana kurudi kwako nimekumiss wapi mtoto wetu maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Am happy now my man is back mr chiko😂,,so our next taget is mr ganyai😅, am from kenya🇰🇪 much love busati mnafanya kazi safii🎉🎉❤
Baba bob mungu anakuona 😂😂😂😂❤🎉🎉🎉
Wapili Leo nimewahi bado mapema I like mukuje hapo basi nawapenda sana
Zuu machozi ndio Yako mwaya next episode utalia tena kumliko Sahil😂😂😂😂
Sania Leo nimekuona unguja kwaiy hujarud dar tu
Asante mungu mume wa zatiti kuona tena
Mama Tasha amenikosha❤
MaUaKwamamafaaha❤❤❤❤❤❤
Mama tasha nakupenda bure .umempa chiko maneno ya ukweli mtupu.❤❤❤❤❤
🎉masosi tuliwamiss na chesa
Na mtoto ako wapi atupee jina
Afadhali leo kidogo mumejitahidi🎉🎉yenu
Uyu babake bob Marley kwani akona roho ya paka hafi😂😂😂Yani ameenda kuzimu akakutana na somu wa mwanamwe akarudi hii ni maajabu😂😂
😂😂😂
@AindremeShena 🤣🤣🤣
Sahv mnanifulahisha mnatowa chap nawapenda sana
Busati tv burudani bila kikomo ❤❤❤ chiko azid kukinukisha kwa Mr Tasha na mkewe 🎉🎉🎉
Mama Tasha🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊Chiko kaa mbali na zatiti bnaa
Busati ❤❤ mwendelee na penzi ya ya nyoka pia
Hhahaahah mama tasha umejua kunipa raha leo 😂 🤣😂😂
Mama tasha umenikosha sana
Mama Tashia 🎉🎉🎉🎉👏👏👏👏
Jiko - - - Jiko - - - Jiko mipango yako itafeli i tell you 🤣🤣🤣🤣😂😂😂
ifike mahali iishe tu hii move duh yaan huku mnako elekea ni kama mnatufundisha kusalit ndoa na kudanganya na mume au mke kuamin kumbe sivo ndivyo duh
Chico na ww bhana
Wakwanza from rwanda so like zangu plz then nawapenda sana
Tuna kupenda piya
Nami wa mwisho kutoka Rwanda.
😂😂😂😂😂😂😂😂 Hongera mama Tasha Kwa kumchamba chiko yaani umemchamba kiukweli kweli.😂😂😂😂😂😂
Waawoo mamataxha umeongea mama nimekupenda bule mama❤❤❤❤❤❤❤
Ndani mapema❤
Upo vizuri mama tasha respect
Malizeni limovie lenu maana chiko kai na belinda wanaenda kutukera
Sema pweza mgumu kufa 😅😅 kend alikupg gongo aukuf nakibendu tofal
Kumbe mijanadume mwengine hainaakili hahaha ety kaenda kumringishia zatiti me naona anajisumbuwa tu mwanamke akikuchukia hee utaomba ardhi ipasuke uingie mana izo kusudi zake huwezi wewe mwaume 😂😅😅😅
Huu uongo sasa yaan mtu ammwagie mumewangu tindikali atoke aje tena kwangu sio kweli
Bob ungetupwa sijui ingekuwaje 😂😂😂😂 Tasha upone sasa tumikumiss huku mwenzio kai kawa msaliti😂❤
Sas masozi mimba yak imeend wap jmni 🤔ao ashajifungua mim ndo Sina habar nieleweshen ndug zngu mim hii house girl sas hiv siielew inanichangny wllh🙆
Mwisho niliacha kama amepatwa na uchungu ya kujifungua............
Masozi nilikumis mnoooooooo😅😅😅
Nani mwengine anafurahishwa na sauti ya masozi🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Chiko kachanganyikiwa kwa kweri 😂😂ila mama tasha kiboko ya wachawi😂😂
Mama Tasha anaroho nzuri sn❤❤❤
Mama Tasha ahsanteee❤❤❤❤
Chisa na umbea wke😂😂😂!! Alafu Chiko mtu akitoka jela hubadilika au anazidi kua mbaya😢!
Sema chiko Anajua
Japo Anatuumiza timu Tasha😂
Chiko habari 😂mama Tasha sijaziandaa😂mimi Sasa subiri ziandaliwe Kisha utakujia 😂😂byee
Hongera sana Mama Tasha, ww kweli ni msanii.❤❤
Mom tasha😂 chiko habali :mm tashaa sijaziandaaaa😂😂😂
sasa chiko amekuja Sana inafaa mama Tasha umwabie Mr nganyari hii mambo ya chiko,,alafu chiko Sisi tumejua huyo binti sio mimba ya ukweri
Mbona kwangu inaonesha ukungu ni mimi tu au wote
Ni wewe sisi iko vizuri
Da masozi nilikumos sana jaman ❤❤❤❤❤
Safi sana mama tasha kwa ujasiri ulio ubeba ww na familia yako
Kumbe kibendu ni kujifanya tu kumbe we mwoga😂😂😂😂😂