HOUSE GIRL EP 08 | S4 | LOVE STORY 💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • #bongomovie #mymother #housegirl

Комментарии • 466

  • @QweenNickson
    @QweenNickson Месяц назад +84

    Wanao amini bibi Zuu atamsaidia Kai weka like hapaaa tafadhali 🥰🥰

  • @BikyeombeLubembela
    @BikyeombeLubembela Месяц назад +48

    Wakwanza Leo atakae soma Ihi comment mungu ambari afike mwakani 🎉🎉🎉❤

  • @helenajoseph6381
    @helenajoseph6381 Месяц назад +19

    Yan zuu mwenye nilitaman nikupige kofi ahsante kai umenisaidia jaribu kuwa mwelewa basi but thanks much housegirl jamaam❤❤❤

  • @ChancelineNimpaye
    @ChancelineNimpaye Месяц назад +189

    Wenye tuko pamoja na Kai ngonga hapa.alaf mung atujalie sote kufika mwaka 2025

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 Месяц назад +18

    Waooo leo mapema sana ❤ Pole sana kai yote Yana mwisho Mungu yupo atajibu❤

  • @TimeAly-z1l
    @TimeAly-z1l Месяц назад +18

    bibi zuu makofi kwako❤❤❤ kazi nzuri mno ila zuu jamani kuwa mvumilivu jamaniiii 😢

    • @AminaAdyan
      @AminaAdyan Месяц назад

      Hiyo zuu mjinga mana huyo Kai angekuwa Kama mume wangu asingeishi nae hata sikumbili😂😂😂

  • @SalmahLuvuno
    @SalmahLuvuno Месяц назад +6

    Jaman tunataka huu wimbo mzur sana mashaallah

  • @JuliethMwanengo-w6b
    @JuliethMwanengo-w6b Месяц назад +8

    Jamaniiii mwachen zuu Kwan mapenz yanama na hasila siku zote hazinaga subra Kwan lazm aone wivu na mmew na kavumilia sana ujue ila japo si kwely ni uzish ila ameona kama kafanya sawa kumbe anmzihaki b Sahil wake nawapenda sana washabiki wenzangu wa house geli

  • @MPeter-c2e
    @MPeter-c2e Месяц назад +25

    Wa pili Leo from Kenya 🇰🇪🇰🇪 Kai usijali shush wa mizimu atasaidia

    • @shamillahsuleiman3431
      @shamillahsuleiman3431 Месяц назад

      😂😂😂shosh wa nini😂😂jamani hii pepo chafu inatembea kila mahali

  • @WaridiSalumu
    @WaridiSalumu Месяц назад +13

    Nimelipenda Kofi la kai😂😂😂

  • @DevothaJohanes-i7g
    @DevothaJohanes-i7g Месяц назад +38

    Kilamba umeendana na somoe kweli mnafaa kuitana wapumbavu wenzio

  • @ShakuurRayyan
    @ShakuurRayyan Месяц назад +11

    Kw mara y kwanz Leo Kai kasimam Kam Simba w nyumb nakupongez San kw hili❤

  • @oswardignas3277
    @oswardignas3277 Месяц назад +8

    Waaaooo nimekuwa wamwanzoni pia naikubali sana house girl mpaka naumwa

  • @JescaMarykarisa
    @JescaMarykarisa Месяц назад +11

    Wenye tuko pamoja na kai tujuane tu🎉🎉❤❤

  • @EmanuelLubala
    @EmanuelLubala Месяц назад +8

    Mungu awabariki wote wanaofuatilia hh muvi Mungu atujarie tumalizie mwaka salama na tufugue mwaka salama like kwa wingi

  • @MekiAli-ub4ld
    @MekiAli-ub4ld Месяц назад +1

    Alhamdulillah namshukuru mungu kunipa afya njema mpaka sai nangalia house girl ❤❤

  • @NeemaEli-wl1dz
    @NeemaEli-wl1dz Месяц назад +23

    Wakwaza leo naombeni laiki zangu

  • @yyuu-ye5bp
    @yyuu-ye5bp Месяц назад +3

    Wewe zuu,kai anakupenda sana chunga ndoa yako .kai wanaweke ni viumbe taifu. Usiwe na hasira sana.

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg Месяц назад +4

    Hiii episode ji nzurisanaa busat hoyee❤❤❤❤yani kofi zuu nisawa kisha hata nidogo angekupa mawili mjinga ww ndoa waitiadowa 😂😂😂😂😂😂😂ulikua wajifanya na heshima hivi mdofo mrefu chunga ndoa yako candy wamjua kila kitu muharibifu

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi Месяц назад +3

    Kazi nzuri sana busati tv nawapenda sana chamsingi kumuomba Allah atuvukishe salama mwaka tuone mwaka mpya inshallah 2025 ameen thuma ameen yarab

  • @MusaMwafongo-sr7co
    @MusaMwafongo-sr7co Месяц назад +3

    Kai Leo kaniwakilisha vyema kwa wanawake wenye vinywa vichafu Kama zuu ni kipigo tuu 👏👏👏

  • @HappyNass-mu3lu
    @HappyNass-mu3lu Месяц назад +6

    Safi sana Kai mwanaume anatakiwa kuwa hiyo

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s Месяц назад +3

    Safi sana bibi zuu ulikua umetusahau bibi yetu waonyeshe hao ichunge familiya Yako bibi nakupenda sana sana bibi

  • @PetronilaMtewa-g3h
    @PetronilaMtewa-g3h Месяц назад +1

    Zuu endeleaa kulinga wenzako wanamtakaa kaii 😅😅shaulii akoo candy anamtakaa😢😢badoo yule boss anamtakaa wew endeleaa kulinga linga kitakulambaa😅😅😅

  • @gracenyevu8082
    @gracenyevu8082 Месяц назад +14

    Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @HabibaAthumanMwaboko-vq4qk
    @HabibaAthumanMwaboko-vq4qk Месяц назад +1

    Mm nimependa sania kwa kubadilika maashaallah ALLAH amjaalie awe amebadilika kweli hata nje ya move 🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @BOBGJUNIOR
    @BOBGJUNIOR Месяц назад +4

    🎉🎉Tunawapenda sanaaa from kenya❤❤❤

  • @BintiMambo-ry2vn
    @BintiMambo-ry2vn Месяц назад +3

    Leo nmewahi pia mungu ajalie Kila mmoja wenu aweze kuvuka mwaka mpya salama wa salmn

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th Месяц назад +43

    Subiri leo niwatafute magaid wenzangu km watanioa like😂😂😂

    • @Swabrina-
      @Swabrina- Месяц назад +1

      😂😂😂 tuko hapa

    • @Fathasssane-vs2th
      @Fathasssane-vs2th Месяц назад +1

      @Swabrina- pande zipi kipenz

    • @Swabrina-
      @Swabrina- Месяц назад

      @@Fathasssane-vs2th Riyadh

    • @Benti-f3o
      @Benti-f3o Месяц назад +1

      Tupo kipenzi sema wifi Zapata shida na wakenya hahaha 😆 😂 🤣 😅 😄 😢😂

    • @ImaeImae-p3v
      @ImaeImae-p3v Месяц назад

      😂😂😂

  • @tizzyjayguercham1070
    @tizzyjayguercham1070 Месяц назад +3

    Guys naomba niwakumbushe kwamba Mwana mukee mjinga hu jivunjia ndoa yake namikono yake miwili zuuh usipende kuchukuwa maamuzi ukiwa nahasira jifunze kuchunguza jambo kabra hau jachukua maamuzi Kai ume upiga mwingi Safi sana broh 👍 zuu umenikera sana amezingua sana yani zuu umesahau kwamba kendi ni aduwi wamaisha yako jitahidi kupambania ndoa yako nasiyo kuonyesha wepesi namna hiyo simama kama mukee mwenye hakiri timamu ❤ otherwise Wil love you so much guys im from Zambia ❤❤

    • @Frola-r9z
      @Frola-r9z Месяц назад

      Zuu anakera mno 😮😮

  • @AishaSad-ck8zk
    @AishaSad-ck8zk Месяц назад +2

    Hiii😂 mbn kwa mabao tena😹😹tfdhl kai ustuumiziee mana sahir wet 😂😂

  • @CarolyneMalala-o6x
    @CarolyneMalala-o6x Месяц назад +5

    Kazi nzuri ila Zuuu hata kama uko na hasira dadangu usiliye ukiwa umembeba mtoto

  • @Selma-n4l
    @Selma-n4l Месяц назад +7

    Tulotoka kwa Kelvin tukaend kwa kijit n sasa tupo hapo tujuane😂😂😂😂😂😂😂

    • @MonicaMkombwe
      @MonicaMkombwe Месяц назад

      Yaani sijaimaliza ya kelvin nilikuwa ibadani ngoja nimalize hii kwanza

    • @Selma-n4l
      @Selma-n4l Месяц назад

      @MonicaMkombwe mungu akuongoze

  • @KhadijaJuma-c9q
    @KhadijaJuma-c9q Месяц назад +1

    Kai pole sana kaka angu hiyo ni kipimo Cha Imani yataisha

  • @12omochildren
    @12omochildren 23 дня назад

    Ndo nimetoka kwa mama mkwe wanangu niko na mbio kweli ❤❤❤nawapenda sana si mnisalimie basi

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s Месяц назад +5

    Zuu hilo Kofi Lina kuhusu kabisa umepata ndowa tu unakua jeuri huskiyi kwani kendy humjui wewe ni ngeni kwako kwanza nikicha tayari dishi limeyumba

    • @MdHossen-q8c
      @MdHossen-q8c Месяц назад

      Anastahili hasa Hilo kofi hata engelipata makofi mawili Ili akae sawa ingelikuwa vizuri sana Kila anavyoeleweshwa haelewi.

  • @PetronilaMtewa-g3h
    @PetronilaMtewa-g3h Месяц назад +1

    Afuu naww zuu hebuu ach kumkalipiaa kai mwanaum hakalipiw mpuuzii ww kuwa na adabu kwa mme wakoo sawa 😢😮😮😮😮wanawakee tunae jielewa hatupo hvoo bibiee sawa😢😢😢

  • @asmaabdalla-v7f
    @asmaabdalla-v7f Месяц назад +4

    Kiramba maongezi mengi punguza 😮

  • @MenzaSuleiman
    @MenzaSuleiman Месяц назад +2

    Ila kendy bana kamuandama sana Kai hata naogopa❤❤❤

  • @ShadiaIdrissa-r2f
    @ShadiaIdrissa-r2f Месяц назад +1

    Jaman Kai anasingiziwa mimba ya kendi sio yake😮😮

  • @MasauShida
    @MasauShida Месяц назад +1

    Kazi nzuri sana team Busati tv🇹🇿

  • @Tecrah
    @Tecrah Месяц назад +6

    Mim watatu😂😂😂😂 naomba like zanguuuuu jmn 🤣🙏🙏🙏🙏🙏

  • @HhUhh-io8ix
    @HhUhh-io8ix Месяц назад +2

    Yes bi zuuu hapo sasa asante munoooo

  • @Elizabeth-p3d
    @Elizabeth-p3d Месяц назад +4

    Waooo nimewahi na mimi

  • @HappyFania-ry2ch
    @HappyFania-ry2ch Месяц назад

    😂😂😂 haaaaaa kumbe mawazo yangu yalikuwa sawa na kai bora umemzabua

  • @HhUhh-io8ix
    @HhUhh-io8ix Месяц назад +3

    Zuuu haaa kuwa na moyo wa kuvumilia kwanza😮😮😮

  • @NiyonsabaTheogene-pd6pi
    @NiyonsabaTheogene-pd6pi Месяц назад +2

    I'm in Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼 I love tanzanian movie particularly this house girl

  • @Phanny-Nyonge
    @Phanny-Nyonge Месяц назад +6

    Mambo yamenoga kweli😊 nipeni like hata 5 jamani

  • @Smileface-h3y
    @Smileface-h3y Месяц назад

    Mwanzilishi wa hii Story mpeni maua yake... movie iko Moto 🔥 mwanzo wa season 1 adi season 4...

  • @SwaumSungambisi
    @SwaumSungambisi Месяц назад +40

    Zuu acha kutukera Yale mafunzo alokupa bibi yote umeyasahau acha kuchukua mambo juujuuu jambo uliahakikishe ndo uchukue mamuzi ndoa ngumu inataka uvumilivu

    • @MaymunaOmar-s4l
      @MaymunaOmar-s4l Месяц назад

      Zuu anaboa hadi anakera kila cku afahamishwe yy tu ah

    • @FurahaHaule
      @FurahaHaule Месяц назад

      Anaboaaa zuu saisi

    • @merrypetar7144
      @merrypetar7144 Месяц назад +1

      Anamwambiaje mambo ya msingi juu ya huzuni

    • @merrypetar7144
      @merrypetar7144 Месяц назад

      Zuu hana shida hata kidogo tatizo alokua anayaona na kuona kendy anasema ameamini

    • @HellenAshery
      @HellenAshery Месяц назад +1

      Bora alivyopigwa safi

  • @FredrickOnyango-d2p
    @FredrickOnyango-d2p Месяц назад +12

    Episode's ziko poa..keep it up Busati Tv

  • @MsSafiya-fi3tl
    @MsSafiya-fi3tl Месяц назад +1

    Jamani ungezeni mda basi😢😢😢❤❤❤

  • @angelinamgaya5802
    @angelinamgaya5802 Месяц назад +1

    Yan zuu anakera hadi bas hv kweli anashindwa kumuamini mmewake

  • @FzvvzChhxgdgd
    @FzvvzChhxgdgd Месяц назад +2

    Aah kwn nyi mwalala humu humu au😂

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 Месяц назад +4

    Huyu kilamba naomba msiwe mnampa kipande kirefu maana sioni vingi vya kujifunza kwake, anamambo ya cjui nisemeje, ila isiwe kesi

  • @Kamamaah
    @Kamamaah Месяц назад +12

    Wakwanza Leo mnipee likes

  • @WaridaZakaliyya
    @WaridaZakaliyya Месяц назад +3

    Jaman zuu usimfanyie kai hivoo

  • @UmaziMdzomba
    @UmaziMdzomba Месяц назад

    Hongereni sna kwa kazi nzuri ❤❤🎉

  • @zarihaSalum
    @zarihaSalum Месяц назад +7

    Kwanzaa😂😂😂

  • @GinaFaruqueFaruque-e6j
    @GinaFaruqueFaruque-e6j Месяц назад

    Jamani jamani mambo ni moto kikweli ❤❤❤❤

  • @PiliRamadhani-cl6nw
    @PiliRamadhani-cl6nw Месяц назад

    Duuu iko vzr xaana msichereweshe kipande kinachofata

  • @LovelyCows-dq2uv
    @LovelyCows-dq2uv Месяц назад

    Bibi kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Emmilyjuma
    @Emmilyjuma Месяц назад +5

    Wale wa gulf mko wapi.... Christmas yatupitaa tukiwa uku ...👋Candy bado hajarudi sawaa jamanii 😢

  • @AshaMalekela-o7t
    @AshaMalekela-o7t Месяц назад +7

    Zuu nae mda mwengin anakela jaman yan akiambiw ty kitu afkilii kwanz yy anaanz tu kulopoka ty yn

    • @FatumaMbalawa
      @FatumaMbalawa Месяц назад

      Yaan nakerekwa na vitabia vya zuuh

    • @shamyalley2091
      @shamyalley2091 Месяц назад

      Ana act kwenye uhalisia acheni makasiriko

  • @ZawadiMumba-xw3uf
    @ZawadiMumba-xw3uf Месяц назад +11

    Nimewahi leo kutoka Kenya 🇰🇪

  • @GlycerySadkin
    @GlycerySadkin Месяц назад +1

    Mko vizuri tu watu wangu🎉

  • @jamillawesonga7638
    @jamillawesonga7638 Месяц назад

    Kazi nzuri sana Wana Busati TV 🎉🎉🎉🎉🎉ila Zuu umeniudhi sana😢😢

  • @SamouOman
    @SamouOman Месяц назад

    Wowiii bonge la kazi

  • @LeilaWasasa
    @LeilaWasasa Месяц назад +1

    Mazingira ya vyumban mume fer muonekano wa nyumba na vyumba vilivyo tofauti.

  • @SwabrinahJuma
    @SwabrinahJuma Месяц назад +2

    Kai mbona kofi dogo zibua huyo hana adabu...mapenzi gani ikiwa uaminifu hakunaaa...zuu mdogo wangu wafeli😢😢

  • @IrineMyengo
    @IrineMyengo Месяц назад

    😊😊 kumbe magoti so heshima et.

  • @mwanamisikifogo869
    @mwanamisikifogo869 Месяц назад +1

    Nimewahi sio mchezo🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад +4

    Zuu zuzu😏 kumbe yale magoti ulikua wayapiga tu umpate kai sai humuheshimu...kua na subra ww!

    • @ASAS-q9u9e
      @ASAS-q9u9e Месяц назад +1

      Kweli alikua yuataka mume wa mtu saì tuamshinda😂😂😂😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Месяц назад

      @ASAS-q9u9e afaa kua mpole akiskia au kuona kitu achunguze

  • @SdFft-j5g
    @SdFft-j5g Месяц назад

    Ila haka katoto kanamfanana zuu kabisaaa, hivi ndo mamake kabisaa au😂😂😂

  • @Khairath-d9c
    @Khairath-d9c Месяц назад

    Bi zuu na kuelewa sana😂😂

  • @EstherMzungu-b4n
    @EstherMzungu-b4n Месяц назад +2

    Wakwanza leo naomba like na mm

  • @Maryam-h1b2i
    @Maryam-h1b2i Месяц назад

    Jmn kai leo kakasirikaa😂heeh kwa bao looh aka mungu nisaidie jmn nisije pata mume wakunipiga mibao mm heeh ndoa mbon ngumu hiv jmn😅

  • @زينه-ل4ح
    @زينه-ل4ح Месяц назад

    Kendiy wew bwan unaniuwag san walah😂❤❤

  • @FredrickOnyango-d2p
    @FredrickOnyango-d2p Месяц назад +7

    Kali sana

  • @NuraMunyasia
    @NuraMunyasia Месяц назад

    Fupi sana jamani ongezeni muda ama mulete episodes mbili kwa siku Kama hapo awali itakuwa bora zaidi In Shaa Allah ❤🎉

  • @HagabimanaIrène
    @HagabimanaIrène Месяц назад

    Zuri amekuamgomvi kiasi hicho we zu uwe naadhabu leo unanikela sana kbs we sikiliza we amini mme wako

  • @wemakorogwe6900
    @wemakorogwe6900 Месяц назад

    Mm kuwapenda tu jaman mnatuletea vitu kwa wakat

  • @MariamuKulumba
    @MariamuKulumba Месяц назад

    Zuu umeandza kubore sasa mbna usiwe muelewa angeongeza kofi la pili😂😂

  • @SalamaRajabu-c6h
    @SalamaRajabu-c6h Месяц назад

    Hongeren busat tv kazi inanoga🎉🎉

  • @Ashora-s2x
    @Ashora-s2x Месяц назад +12

    Wa10 leo🎉🎉🎉❤❤

  • @Mauwa-r2v
    @Mauwa-r2v Месяц назад

    Inatufundisha sana ongereni

  • @MwanashaMwinyi-j9n
    @MwanashaMwinyi-j9n Месяц назад +1

    ALafu somoe na kiramba mwapenda kusengenya😂😂❤

  • @KanaelMgovano
    @KanaelMgovano Месяц назад

    Zuuu unazingua sana

  • @AbrianaHawa
    @AbrianaHawa Месяц назад

    Zuu saizi Hana adabuuu hats kidogo

  • @EvethaSimba-i1c
    @EvethaSimba-i1c Месяц назад

    Zuu acha kumuhukumu kai hajafanya chcht,Afadhali bibi zuu jamani ita wasambongo umsaidie kai jamani,Kai safi sana asipande kichwani ,Yaani candy unanikera ungejua wewe

  • @RuthNyongesa-me9cx
    @RuthNyongesa-me9cx Месяц назад

    Kama sania amemrudia muumba wake mbona aruhusu kendi kufanyia kai hivo na mbona ajue ukweli na anyamaze munatupima😂😂😂 mm sijapenda

  • @NestoryMhagama-ci5pq
    @NestoryMhagama-ci5pq Месяц назад

    Kwa mke aliye king'ang'aniz kama zuu ninge ng'oa meno ya sebren jmn😂😂

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 Месяц назад

    Bibi zuu fanya mambo❤❤❤❤

  • @dorcasmathew-z1z
    @dorcasmathew-z1z Месяц назад +2

    Zuuh unakera sana nakuboa , we husikilizi wakubwa wala mumeo

    • @NEEMAMHAGAMA-ot2gn
      @NEEMAMHAGAMA-ot2gn 27 дней назад

      yaan anaboa sana hadi nakasirika Kila saa kumlazimisha Kai akati anajua fika kuhusu candy

  • @HamisJinda
    @HamisJinda Месяц назад

    Uko vizuri kai

  • @NiyonsabaTheogene-pd6pi
    @NiyonsabaTheogene-pd6pi Месяц назад

    I love you so much ❤️❤️❤️❤️ chiko habari kaka

  • @Elizabeth-p3d
    @Elizabeth-p3d Месяц назад +11

    Kumeanza kuchangamka sasa na makofi

  • @SamiraNjira
    @SamiraNjira Месяц назад

    Kutesa mtoto tu, Alfu we Zuu kumbe ulikua wanijifnya tu una lolote ungezabwa vibao kumi😂😂

  • @YusraMohammed-fs4tq
    @YusraMohammed-fs4tq Месяц назад

    Ww zuuu ukisikia kitu washika tayri nakulia 😅😅

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 25 дней назад

    Zuu kuamuelewa sazengine unazengua sana.