HOUSE GIRL EP 07 | S4 | LOVE STORY 💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • #bongomovie #mymother #housegirl

Комментарии • 378

  • @ANDREWCOMEDIAN
    @ANDREWCOMEDIAN Месяц назад +184

    NAN ANATAMAN KUUONA MWAKA MPYA WEKA LIKE

    • @MissKauthar
      @MissKauthar Месяц назад

      Amiin kwa sote inshaallah

    • @shamyalley2091
      @shamyalley2091 Месяц назад

      😂😂km hatujaeka like hatuuoni

    • @veronicawilliam7276
      @veronicawilliam7276 Месяц назад

      Huyu nae na kuuona mwaka tuweke like hiyo n mipango ya Mungu ujue

    • @shamyalley2091
      @shamyalley2091 Месяц назад

      @@veronicawilliam7276 eeeh nime like but sio serious just joke

  • @Annabellekerry
    @Annabellekerry Месяц назад +173

    Kama unaamini kipara mtelezo atashinda gonga na like ❤❤❤

  • @QweenNickson
    @QweenNickson Месяц назад +71

    Mungu akupe haja ya moyo wako na kheriii katika 2025, Mungu akuvushe salama wewe ambae una rehema na neema zake mwenyezi Mungu.😍😍😍😍

  • @ChancelineNimpaye
    @ChancelineNimpaye Месяц назад +118

    Wenye tulianza house girl s1 mpaka s4 tujuwane gonga hapa

    • @rosechepkorir4998
      @rosechepkorir4998 Месяц назад +2

      Nko hapa kenya

    • @Tecrah
      @Tecrah Месяц назад +2

      Nipo hap mbeya Tanzania tangu zuuuh kuwa house girl

  • @RichardMuteke
    @RichardMuteke Месяц назад +178

    Utakae soma commenti hii wa kwanza Mungu aku jarie neema ya kuona tena mwaka mpya wa 2025

  • @BenadethaSankwa-p7x
    @BenadethaSankwa-p7x Месяц назад +154

    Tunaotaka chiko asiachiliwe huru tuonane kwa like ili kipara afanikiwe kumfunga jela

    • @winfredsali9644
      @winfredsali9644 Месяц назад +1

      Ila n kama baba tasha anadai kummalinza akitoka jela

    • @Fathasssane-vs2th
      @Fathasssane-vs2th Месяц назад

      Mimi nataka hatma yake iwe huko shezi kabisa kipochi manyoya😂😂😂

  • @Jacksonmsafiri112
    @Jacksonmsafiri112 Месяц назад +82

    Tunaotakaaaaa candy aweee chizii tena gongaaa likeeeee,,,,

    • @MalkaNinik
      @MalkaNinik Месяц назад

      Afadhali maana amerudi kukera

    • @Alice-mb9vi
      @Alice-mb9vi Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @AminaNgumba
      @AminaNgumba Месяц назад

      Hapo alipo t ni chizi yaan mwez mchanga

    • @FinindyFiana
      @FinindyFiana Месяц назад

      😂😂😂​@@AminaNgumba

    • @NaomiSanga-p5y
      @NaomiSanga-p5y Месяц назад

      😂😂😂😂​@@AminaNgumba

  • @FaridaIbrahim-t1z
    @FaridaIbrahim-t1z Месяц назад +49

    Assalam ghalaykum warahmatullah wabarakatuh wanaoangalia hii movie 🎥 ALLAH ☝🏽 amfikishe salama mwakan yey na kizazi chake in shaa allah 🤲🤲🤲

  • @Djanjeeroo
    @Djanjeeroo Месяц назад +23

    Bibi yake Zuu aingilie kati na amuazibu Candy mpaka pale atakapo sema ukweli

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg Месяц назад +23

    Laiki za moto kwa kipara mterezo😅😅

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Месяц назад +11

    Kibendu kaka kama unajuwa kuwa anae uguwa wazimu haponi kabisa kabisa mbona uniamini kuwa alibakwa na Kai na kupewa mimba 😢😢cjapenda

  • @ZuuAthman
    @ZuuAthman Месяц назад +15

    Asalam alleikum jaman mwenye atakae soma hii comment mwenyez mungu amvushe mwaka 2024 kwenda 2025 imshaalah nawapenda sana wachezaji wa house girl na mashabiki wake

  • @AminaMasunga
    @AminaMasunga Месяц назад +14

    Na mm Leo wa kwanza cjui like zinakazi Gani na mm nataka nyingi nyingi kidogo

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi Месяц назад +4

    Kazi nzuri sana nawatakia kila la hery tuvuke mwaka salama salmini inshallah na hizi siku zilizo baki mungu atujalie tuzimalize salama inshallah mungu atujalie sote watazamaji wenzangu 🤲🙏🤲🙏💯❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @OmanBd-s7z
    @OmanBd-s7z Месяц назад +8

    Me kend ananiuzi jaman mwachen awe chiz kwanza kabisa bibi zuu na mzum wa mama shida uje umsaidie kai❤❤❤

  • @IshimweAisha-x6z
    @IshimweAisha-x6z Месяц назад +10

    Kipala mterezo anamke mzuri❤❤❤

  • @Teresia-bg9dt
    @Teresia-bg9dt Месяц назад +7

    Wao leo nimewai mapema naomba like jamani wapenzi na mungu atawabaliki 🙏🏾

  • @SarahMgaya-o4g
    @SarahMgaya-o4g Месяц назад +3

    Jaman tunao taman Mama candy antokee candy na kumfanya aseme ukwel kuhusu iyo mimba yake gonga like

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 Месяц назад +40

    Mwenyezi Mungu akutunzee wewe unaeangalia hii move ❤🎉

  • @forirombonabuca
    @forirombonabuca Месяц назад +11

    Candy mbwa wew nimelia kwa sababu yako ona kai jinsi anatowa machozi nakwambia utalipa kwa hiri😭😭😭

  • @JescaMarykarisa
    @JescaMarykarisa Месяц назад +5

    Safi sana tunakuombea kipara ushinde ❤❤❤🎉🎉

  • @MwajabuAbdallah-q2v
    @MwajabuAbdallah-q2v Месяц назад +41

    Tunao omba candy awe chiz tena kwa nakosa yake ili ajifunze gonga like

  • @MwanaishaChileta
    @MwanaishaChileta Месяц назад +1

    Wanawake wote wa Team kai niwarembo sana mashaa Allah tabaraka Allah bless you 🙏 muko vizuri

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u Месяц назад +6

    Zuuu kuwa na akilî wew amka toka usingizin

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Месяц назад +17

    Hi vipenzi Ihope mko poa Nawatakia usiku mwema byee from 🇴🇲🇴🇲🇹🇿 wapi like za 🇧🇮🇰🇪🇸🇦

  • @EdnaBochere
    @EdnaBochere Месяц назад +3

    Funzo zuri sana kuwa mwepesi kusikia lakin mpole kwa kutenda. Zuu utaama mara ngapi

  • @AshiraBakary
    @AshiraBakary Месяц назад +8

    Kusema kwel candy ananiboa coz hajabadilika kabisaa adhabu ya kua kichaa haijamnyoosha chcht

  • @GloryMollel-po7ho
    @GloryMollel-po7ho Месяц назад +7

    Huwa mnafikaa saa ngapi hukuu

  • @MiriamuMuro
    @MiriamuMuro Месяц назад +7

    Acha mdomo nenda zako zuu huna adabu . Mwanzo ulimfanya mumeo mpaka akatwekwa . Angalia usimkose mumeo Tena ukalea mtot mwenyewe 😏😏😏😏😏😏😏😏

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 Месяц назад +4

    Candy unataka wifi naye abakwe kaa wewe iliapate ujauzito acha zako mama.😊

  • @evarkhanaya7891
    @evarkhanaya7891 Месяц назад +4

    Chiko asiajiliwe kabisaa

  • @Ummyrahy6666
    @Ummyrahy6666 Месяц назад +5

    Baba tasha wew n jambaz pia ila kiukwel ujatukosea bdo ila hyu mpuuz chiko toa jela malza kwa mikono yko

  • @DUMMY-B
    @DUMMY-B Месяц назад +5

    Aty candy kasema kuna binti ambae hajatumika na binti mwenyewe ni sania walai hadi nikaishiwa nguvu😂😂😂😂😂

  • @JaneJane-h2i
    @JaneJane-h2i Месяц назад +3

    Jamen juu ameiziga vzur❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @MaryShayo-l2l
    @MaryShayo-l2l Месяц назад +3

    Poleni sana mr tesha kwakati mnao pitia😢😢

  • @حليمهالبلوشي-ز5ث
    @حليمهالبلوشي-ز5ث Месяц назад

    Ongereni Sana wapenz kwazi yen zuri sana mubarikiwe wote ❤❤❤❤❤

  • @NaomiKemunt
    @NaomiKemunt Месяц назад +8

    Nikama huyo gaidi baba tasha anataka chiko achiliwe akamchukue amuue

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy Месяц назад

    Zuuu tuliza mori mbona mnafanya kz asiweze kunywa hata maji ebu kuwa na subr afu kingine chunga ndoa yako, keina pole kibedu uko vzr na keina❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @FaidaYoreki
    @FaidaYoreki Месяц назад +3

    Dadangu zuu msikilize kwanza mumeo😂😂😂

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 Месяц назад +6

    Yaani kuna watu wanakesha you tube 😅😅ila sio mbaya leo na mimi nimewahi acha niwatakie mungu awavushe mwaka salama 🙏

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад +3

    Keina nawe walizwa na huyo chizi😂😂😂...mi anichesh kamwe😊 ati msichana hajatumika hadi sania mwnyw ajishangaa,khaa! Alafu zuu wapenda kua mwepesi wa kuhukumu,wakera😏

  • @ZuraAmisseAbudo
    @ZuraAmisseAbudo Месяц назад

    Pole sana keina,unawifi muendawazimu,mumeo anakupenda

  • @RehemaWandaty
    @RehemaWandaty Месяц назад +9

    Kipara mtelezi Leo umepatikana 😢😢

  • @aisha770
    @aisha770 Месяц назад +4

    Wa kwanza naomba like zenu

  • @Gloriazawad
    @Gloriazawad Месяц назад

    Ila kipara mtelezo ana mke mzuri mashallah 😊❤❤

  • @ZuraAmisseAbudo
    @ZuraAmisseAbudo Месяц назад

    Pole sana Kay, wanawake wenguine ni mashetani wagombanichi,wanaharibu ndowa za watu

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 Месяц назад +2

    Mapemaaa mambo matamu❤❤❤❤❤

  • @SundiMalekwa
    @SundiMalekwa Месяц назад +2

    Ganyar kajufung yey hiy barua ushahid tosh

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Месяц назад +3

    Keina pole kuwa mvumilivu😢 kibendu ddko ana Akili zake n kusudi tu 😢 hivi ashavuruga familia y kina kai😢cmbn busati wanampa ushindi candy 😢

  • @JanetKamene-i4y
    @JanetKamene-i4y Месяц назад

    Bibizuu bibizuu🎉 nmekuita mara gapi komesha keddy achane na familia ya Kai na zuu

  • @fatmamkwende
    @fatmamkwende Месяц назад

    Candy no oneeee umewakilisha vizuri sana zaid ya sana

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u Месяц назад +3

    Keinà na ww ushakuwa chiz unalia kisa kend hi 😂😂😂

  • @josephnzuma-uv5vg
    @josephnzuma-uv5vg Месяц назад

    KAZI nzuri ongereni Wana busati TV Joseph nzuma from Kenya ❤❤❤❤

  • @HafsaShekigenda
    @HafsaShekigenda Месяц назад

    Kipara mtelezo unamke mzuri mashaallah

  • @JuliethLughuyu
    @JuliethLughuyu Месяц назад +2

    sema zuu na ww hufikirii

  • @ZuraAmisseAbudo
    @ZuraAmisseAbudo Месяц назад

    Kibendu umeamini kama NTU akiwa chizi ata akipona,arudii kuwa na aquili timamu,kuanini uhamini kama Kennedy anamuongopeya Key ujauzito ni WA Key,,kkkk kutoka Moçambique província de cabo Delgado Distrito de Macomia 🇲🇿💯👏🎉🇲🇿💯 nawapenda wote ❤

  • @PopoMwangudya
    @PopoMwangudya Месяц назад +3

    Woyee nmewasli team strong mapema ndio best

  • @ImaniSalustini
    @ImaniSalustini Месяц назад +3

    Jamani tunaomba kwa dhati mtoe muv Kila cku

  • @NancyErnest-j2i
    @NancyErnest-j2i Месяц назад +2

    Amina nawe piy2025🎉🎉🎉

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r Месяц назад +4

    Kumbe wewe zuri Akili mbovu kabisaa yani wewe huyo candy bado hujamzoweya to...

  • @Mungumwema-g9p
    @Mungumwema-g9p Месяц назад

    Wew nyumba ya kipara nzuri jmn

  • @aishajuma439
    @aishajuma439 Месяц назад

    Mke wa kipara mzur mashaallah

  • @sharifamahamudu182
    @sharifamahamudu182 Месяц назад +3

    Sasa sania ajawai kutumia kweli candy ajapona uchizi wake😂😂😂😂 ety msichana ajatumika nimecheka duh😂😂😂😂😅

  • @VicentPaschal-w7x
    @VicentPaschal-w7x Месяц назад

    Natamani Mr. Kipara ashinde na Chiko asiachiliwe akalionje joto la mahakamani am sure Kipara atashinda!!!

  • @ASHANDEGWA
    @ASHANDEGWA Месяц назад +5

    Huyo Chiko afie jela hatutaki kumuona

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Месяц назад +3

    Mashallah ❤❤❤❤❤❤❤

  • @AnnaSillo-mn8mq
    @AnnaSillo-mn8mq Месяц назад

    Jaman zurii usimlaumu kai anasingiziwaa

  • @MohammedshuNguya
    @MohammedshuNguya Месяц назад +3

    Leo namimi nimewai like zangu 🎉🎉

  • @BenadethaSankwa-p7x
    @BenadethaSankwa-p7x Месяц назад +3

    Wa kwanza jamn ishatoka naomben like

  • @MwanashaMwinyi-j9n
    @MwanashaMwinyi-j9n Месяц назад +2

    Candy anasumbua simchezo😂😂

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 Месяц назад +2

    Nice movie ❤❤❤

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 Месяц назад +3

    Nilikua nimeboeka afadhal sasa 😂❤

  • @gracenyevu8082
    @gracenyevu8082 Месяц назад +2

    Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @kamarhelo
    @kamarhelo Месяц назад +4

    Tunao penda Kuona familia ya matha ikiwa na furaha like hapa tafazari tuwaombee mama ake awe na furaha

  • @MahupaMwajuma
    @MahupaMwajuma Месяц назад +6

    Kwan bibiake zuu mizimu yake haifanyi kazi jaman si atatue huu mgogoro wa Kai na zuu😢😢

    • @mariamvictor3097
      @mariamvictor3097 Месяц назад

      Natamani nimzabue zuu kofi moja mpk akili ikae sawa mfyuuu

  • @HagabimanaIrène
    @HagabimanaIrène Месяц назад

    We zuri leo umekosa adabu kabisa

  • @Soone123
    @Soone123 Месяц назад +1

    Zuuh😢 usimuhukum MTU BILA kufatilia jambo tuliz jaziba nautafalal naufatilie sio hivyo mumeo Kai hawez Kufanya kitu kam hicho
    Bibi zuuh mwabia basi Najua unaelew Kai hawez kufany hivyo.

  • @Habibtyzuu
    @Habibtyzuu Месяц назад +4

    Keina kavaa shati la kai😂😂

  • @VioVdn
    @VioVdn Месяц назад +1

    Zuuu musikilize mpezio 21:24

  • @aishahamis1609
    @aishahamis1609 Месяц назад +3

    Zuu we hujielewi

  • @GraceOtieno-vo3sj
    @GraceOtieno-vo3sj Месяц назад

    Hongera🎉🎉

  • @FelistusAdhiambo-o3p
    @FelistusAdhiambo-o3p Месяц назад +2

    Zuu punguza jazba kai anakupenda

  • @CharmingAngel-wx2sk
    @CharmingAngel-wx2sk Месяц назад +2

    Rule no 1 ukipata mkeo analia mpee hug kwanza ndo uanze kumuongelesha😂😂😂 sasa kibendu acha ufala😂😂😂

  • @JosephaSulle-yi4zr
    @JosephaSulle-yi4zr Месяц назад

    Wew ulikaa na kay mda ganii wew

  • @AminaMwaka-zv5hu
    @AminaMwaka-zv5hu Месяц назад +2

    leo nimesheka😂😂😂😂

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 Месяц назад +2

    Zuu punguza wivuu,ulifanya akashikwa na akateswa juu Yako Saai umeazda tena

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg Месяц назад

    Zuu nawe humzoei candy wataka kuharibu ndoa yako bure ❤❤❤

  • @SinahakikaChengo
    @SinahakikaChengo Месяц назад +1

    Wee zuuu unaboo na hizo hasira zako za kipuuzi,, si ufikirie kwanza

  • @FatumaBahatihassan
    @FatumaBahatihassan Месяц назад +6

    Assalam alaykumu walhama tullahiwa barakatuh!
    Bibi Zuu! Mizimu yako inakazi gani mbona Candy! Kibendu wanareta utanikwenye Ndoa ya Kay na Zuu mispendi rawama za Candy anavyo retaujinga kirasiku timbwiri timbwiri kwa Kay
    hatupendi kama masha biki

  • @EliaOunja-k8r
    @EliaOunja-k8r Месяц назад

    Naipenda movie hii kend anathema nafasi yake vzr lkn hongereen wote

  • @kassimmgeni8190
    @kassimmgeni8190 Месяц назад +2

    Uyu anaejiita baba Kai awezi kuubeba ubaba kazi yake kusikiliza na kukodoa macho tu ata kusimama kama baba awezi uyo ndio anaearibu uusika

  • @Emmilyjuma
    @Emmilyjuma Месяц назад +1

    Jamani kipara mtelezo 😢😢wakenya wenzangu hope mko poa...

  • @حسنا-ض3ز
    @حسنا-ض3ز Месяц назад

    Much love from Kenya ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😮😮

  • @EmilianaJuma-l6t
    @EmilianaJuma-l6t Месяц назад +2

    Mbn hamn sauti😊

  • @NosimuJoramu
    @NosimuJoramu Месяц назад +1

    Kibendu kama umejua kendi miyeyusho ulichukua uwamuzi wa Nini wa kwenda Kwa Kai bila ata kuchunguza na wewe dishi lako kama la kendi tu

  • @evarkhanaya7891
    @evarkhanaya7891 Месяц назад +2

    Candy vipi 😅😅😅

  • @FarhhFarhh
    @FarhhFarhh Месяц назад +2

    Mnshallah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Mwanauru
    @Mwanauru Месяц назад

    Amba kwel mwenda wazimu hua aponi kbsa nimeamini et sania ni bikra dhuuu huyo ngo'nde alieka puani ad akashika mimba ikatoka😂😂😂😂😂😂

  • @FinindyFiana
    @FinindyFiana Месяц назад

    Uwiiii,hicho kiluga jamani vipi😂😂 bibi na zuu wanabonga lugha nisiyoelewa mie,,babake tasha anaakili nyingi ,,🤔🤔ndo karithi tasha

  • @ChristopherKipiga
    @ChristopherKipiga Месяц назад

    Wakwanza kutoka🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🔥🔥🔥♥️♥️♥️