Saida Karoli: Nimeshanyanyaswa Sana na Kudhalilika, Tunapiga Show Mamilioni napewa Elfu 5 na Meneja.
HTML-код
- Опубликовано: 21 июн 2017
- All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - Развлечения
GE suis ivoirien GE suis un grand fan de Saïda longue vie santé bonheur prospérité bouco argent a Saïda ke Allah te protège
Hi family GE am Ivorian jem pia muziki wa kipenzi chetu Saïda ndoto yangu ya kuona yetu Saïda kabla ya kufa tafadhali nisaidie kukutana na Saïda
❤ diamond ndo mtapeli wa nyimbo za watu
Kilicho na sifa, na lipewe sifa ,Saida Sauti unao,# from Kenya with respect
❤❤❤saida kipaji alichokupa Mungu ni haki yako tu love Tanzania 🇹🇿 🇹🇿
Saida hongera kwa kurudi tena kwenye game
Sasa tazama mbele zaidi
Mungu akupe afya njema
Hongera sana mum ,, MUNGU akubariki sana
Inasikitisha sana watu wanayotajirikia kupitia sauti za wengine so sad. Angekuwa mbali sana dada huyu.
Jamani daaah
Woo!! Swafii sana mama
The iconic saida karoli
asaidiwe apate ridhiki yke jmn,nampenda sana hyu dada,mpole sanaa
Mimi nota ongeza wengine watoto naye bibi saida please madame i love youuuu
naipenda sana nyimbo ya maria Salome
❤kani kama saida big love from Kenya
Nakupenda sana Saidaaa
Nakuombea mafanikio. Mungu akusafishie njia zako!
Nakupenda sana mamy saidia Karoli
Mungu akusaidie mamy! Nakupenda Sana ni mtafutaji
daah nmeipenda i see mama saida BIG-UP MAMA
show Kali ndio hii MTU mzima n mzima tu
Asanteeee mama Saida.
Nikiskia nyimbo zako najikuta nipo school
Napataje nyimbo zako vidio
Saida karoli, Alikiba, Diamond platnumz.. need to link up
. And give us a song... They should take notes. From Nigerians..🇹🇿🇹🇿
Mon rêve de voir Saïda avant de mourir ke dieu me montrer ce jour
Una saut ya kipekee mamy.... Muhaya wetu.. Miss wetu..... Tumekumiss
safi mama
Big up saidi karoli
Dada saida, ahsante Sana. Ninakupenda sana. Nyimbo zako zanituliza moyoni!!
Mãe grande eu amo ela porque ela foi a primeira cantora que eu assisti Moz
Waoooh una saut nzur Saida Karoli
Dah ase historia ya huyu mama imeni touch kinomaa
big up Saida bwana
So far Orugambo stands out the best song to me
dada yangu saida ana hakili sn,nimempenda si mtu wa kulalamika naamini kuna waliomwangusha kisanii lkn mungu ni mwema
kwani mona ni mtangazaji
Mashallah, ng'ombe azeeki maini, kizazi sana.
nampenda sana saida
dada nampata vizuri
Love u Saida
nampenda sana
napenda sana ww
Anaimba live vizuri sanaaaaaaaaaaaaa
nampendaga huyu mama yetu
Sauti mayai sana kwa mama yetu
Jaman Kwa Hit Hz Bdo Ujatoboa du Kweli Wamekunyonya Cnaaa
Safiii
mama Saida huyo, ✌👏
Maria Salome I love the song just don't know the meaning
mimi nawewe umenikumbusha enzi dada angu anaolewa tulichez huo wimbo nilikua mdogo niliku bi harusi mdogo acha weeeeee
Mungu atakuripa tu
mm nawewe tumetokaa mbaliii .unatisha said a kaloli.
Nimekukubali dada saida
Saida dadaangu ninakukubali sana yan sijui niseme nn
nice
original
👏
Jamani Nimejikuta Naumia Moyo Wngu duuu Lakin Mungu Nimwema Hanamakusudi Pia
Wow thats realy sad.. to hear that.. they will reap what they sow..
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👊👊👊👊👊
Penda San saida kaloli
aaaah! hatari sna Dada nasaut ojiiii! lve ww saidaaaaa
Caroline
hio movie inahitwaje
Mourad Radmou Movie inaitwa PEEPLES...Kazi n kwako kuitafuta
Mourad Radmou ,ukiipata nenda mpaka dakika ya 6:55
saida kiboko bwana
dada msitarabu mpaka rahaa yani Anajiheshim xana
What's the title of that movie, sad though she received nothing
hiyo nyimbo mapenzi ukitoa tu basi unitumie Kwa email yangu sawa mama angu iluv u
Kiukweli mtu anaimba watu wanapiga pesa kupitia nguvu za wengine
Ss Tanzania 🇹🇿 akumsaidia huyu mama kulipwa ama nyinyi msiangazie mkafkisha habar kwa kampuni ya Hollywood huyu mama akalipwa
hiyo movie inaitwaje
mama yuko poa sana
+54lots of love mama
saida bado hujachelewa
Mae mpola bojo nashasha muno
penda sana ww
huyu mdada wa mic 1 umenimaliza