powerful voice, amependeza, show nzuri sana, tunapenda kumuona saida ana nyumba, gari, watoto wanasoma shule nzuri ana biashara na bank papendeze. ana kila sbb ya kupata vitu vyote hivyo na vya ziada, nimefurah sana, amerudi na nguvu ileile.
heshima kwenu wasanii naona hampo nyuma kumsaporti mwenzenu nawashukru mchango wenu nimeuona japo nimeangalia utube kuna wale wanajiita team falani sijamuona hata mmoja hapo cjui walikuwa na shoo wapi mana wana misifa na miguu ile
Nakupenda sana saida, maama wa Africa yeitu.Bob from Uganda
huyu ebitoke na ben paul Mungu anawaonaaaa
Hongera sana Diamond kwa kujua mchango Wa mama na kufanya wengine wakamwona baada ya kupotea kwa zaidi ya mk 15
True
powerful voice, amependeza, show nzuri sana, tunapenda kumuona saida ana nyumba, gari, watoto wanasoma shule nzuri ana biashara na bank papendeze. ana kila sbb ya kupata vitu vyote hivyo na vya ziada, nimefurah sana, amerudi na nguvu ileile.
Nimependa sana Live Music band bila CD. I Feel Good with African rhythm s from Saida.
Saida karoli maashaallah kazi nzuri hongera sana
Walio kuwa wamemterekeza mungu anawaona
safi sana watu wamenyanyuka wenyewe dadadekiiii🔥🔥🔥🔥🔥 #Saida
Mungu na akutie nguvu za kusimama tena saida...Tokea Nairobi Kenya Twakupenda
Dancers wameweza pia. voice tangu nakua ni ile Ile mpaka nazeeka but n bado Ni ile Ile tu. heshima kubwa sana kwa Queen
saida ni international singer .huyu mama m.mungu yupo naye daiman. special kabisa nimempenda sana
Raha sana kumuona mama karudi
jamani wazamini nawaomba mama saida ackose kwenye tamasha la maonyesho bagamoyo mwezi wa tisa ackoese kabisa
😂 😂 wahaya wanajua kuchanganya makongoro
mwehu
saida wewe miaka 100 Mungu akuweke huru na afya njema hakika unastahili
Saida Karoli the Tanzanian Diva.. aisee Saida we Mbayaaaa.. !! Sio mwanamuziki wa mchezo mchezo..ati..!!
this is a show and a half....hope saida comes for a live show in kenya
Kukosa hii show naumia Sana,, kweli kipaji cha ukweli hakipotei,, asante Sana mama saida karol
nimeipenda sana
woooooooooooh was amazing show... so lovely... 👌 go on saida karoli
mashaallah kaua mama kweli rizki kama ipo ipo tu! kafunika hata hao vijana live perfomance zero go mama gooooooooooo
mama nakubonfeza njooo basi burundi tunapenda chambuwa kma karanga
APEWE HESHIMA YAKE PLIIIZZZ QUEEN OF AFRICAN LOCAL MUSICS
nice performance!
she is so bestfull I love u mama keep it up
heshima kwenu wasanii naona hampo nyuma kumsaporti mwenzenu nawashukru mchango wenu nimeuona japo nimeangalia utube kuna wale wanajiita team falani sijamuona hata mmoja hapo cjui walikuwa na shoo wapi mana wana misifa na miguu ile
Ebitoke namuona mumeeeee Benpol
Nakukubali dada yangu kipenzi
yaan my nakupend mpk nalia mungu hakubar San katika kaz zako
am happy that umerud mama. ulimweng wa mziki ulikumiss mmoo
🥰🥰watu wanajua job zao
Ben pol yuko juu simu ameaka kando kuna mijitu peleka dem kila saa macho ganda kwa simu
Hakim Hamis u r right
Hakim Hamis hahaha wanimaliza kaka
Hakim Hamis hahaha ndio hapo sasa
si mchezo
I love her voice for real
Many thx for your return back
Huyo dancer Super ruder/ American height ameweza ❤❤🙊🙊
Bonjo hii nyimbo inanikumbusha mbali jaman mwakola
Aiseee bonge la show
Loved it bad bad big tune. Bless
Waooo hadi raha jamni...hongra Mma yetu... wanachza Hdi natmni ningekuepo lol🙈🙈
hiv unaonaje kama wimbo wa maria salome wangeperfome na diamond,wakaweka kama hybrid flan hivi?
uko vizuri mama kurudi kwako wenye wivu watajinyonga Kweli
Nice show saida njooni Dodoma
nice job karoli one love frm kwapole
asante kwa mond kumrudisha mama kwa game.
I love you mama yetu saida karoli
Show imependeza sana dada, komaa 2
Team kujipaka mafuta Ben Pol na Ebitoke√√
22:30 That was awesome! I wish i was there!
mwandish ana mbwe mbwe kweli said a umetisha sana dada
NICE PERFORMANCE #SAIDA
Waliokua nakodoa kwa #BenPol na #Ebitoke give me some feedbacks....!!
km kweki benpol mungu awaongoze inshaallah
Saida Karoli safisana, Mziki mnene.
kina nshomile wana yarudii balaa
mma saida karibu xna uko juu sauti yke haijabadilika
wakola omurungi mama.....ndagukunda chaneee
mungu hkubari saida
Mandar um forte abraço a Tanzânia yote.
asante sana umenikosha sana daida
nimeipenda xana iyo
good job Mama I'm laizer
wakola owaishe
OG voice
laknii hizo gita zina leta kelele sauti yako hatoki vizuri
we mbona unakosoa sana embu zakwako zikoje
Best show ever
Amazing
happy mallya Thanks sanaa
ben pol na ebi pol nawaona nawaona
Emmanuel Frank hehehehe
Din't Ben Pol is that cute,alaaah!!! mmetisha
Emmanuel Frank nawapenda Ben na ebitoke wawaache miaka mia name na said Mungu akuongoze
love you saida caroli
madee ndani
👍👍
vizuri said a
wow penda sana saida
OK anatsha yuko vzr
mbona wamejaa wahaya?
Justine Malima sisi ndio watemi kabila teule Tanzania nzima.
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe
hahahahaha!
Justine Malima mtani wangu ninekuvunja mbavu hahaha inabidi nijicheke Mtani
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe umenifurahisha kweli kweli coz tokea asubuhi nilikuwa sijacheka
ni shida hii ni ya kibabe
Iko poa sana
show ya ebipol&bentoke😂😂😂.mama katisha👏👏
wana haribu
Very Nice
Nyimbo zako zinamaadili mazur
Ikopoa sana
Good
Big up mama
bentoke na ebipol, nawaona nawaona, Mmetisha xana
saida umebarikiw sauti nzuri
orugambo maana yake nini? nice show saida
Fetty Slim kama majungu
dah.....natamani ningejoin with these crowd of people
nice performance
mkufunz legend
nan aliedislike hapo kubafu sakee
HAJUI MAANA YA HIVYO VIDOLE HAPO JUU YE ANABONYEZA BONYEZA TU
John Gasto umeiyona labda alikosea huyu mama hana ubaya na mt
Evar Samndeli uhhhhh mbavu zang
wengine awajui maana ya hizo alama
abokuzana akabaiya nkai au alienda bk kuwatafuta maana wanatisha
Sijamuona mwingine zaid ya ebitoke kw ben paul
Okakola kazilo
Said we hatari mama
muache sisi wahaya tuzungushe makongoro
piga kaz sana aminia u
nawa chezaji niwengi sana haipendezi
😂😂😂😂😂😂😂wahaya mmetisha sio kwa kucheza huko
kwenda huko mxiiuu
warda lward
Jamn nilikumiss mamy kalib tena.....
nooo! big no, saida tunataka tuone ukicheza kama zamani
Wilson Israel Katoka hospitali
Wilson Israel alijikaza tu kwani alikuwa anaumwa, ilikuwa liahilishwe tamasha.
imenoga
krb saida dada yetu
Dance wake mbona hawapo
Ben, mwenye wivu ajinyonge
rud kweli mama saida tumekumic
love your voice..hit the gym a little though..
Wakola Muno, Nitukwenda Muno!
naenda kuoa bukoba jamani watoto kiuno senene