Huyu binti kafanye starehe zote. Kwa sasa anaitaji kujituliza hvyo alitamani sana apate mtu atulie nae. Macho yanaonyesha anajutia sana maisha ya nyuma aliopitia. Ila usijali binti soon you’ll get the right person at the right time InshaAllah 🙏🏻
Mabinti zangu jitulizeneni mtafuteni Mungu maadamu anapatikana na ukipata mtu usijirahisishe kwa mwanaume kama anakupenda kweri mwambie mwende mkatambulishane lkn hivi hivi nikukuchezea mwisho anaku acha jifunzeni kupitia wengine walio watangulia walipitia yapi hata huyo dada ni nifunzo tosha, Halafu we dada mbona we mzuri tu na mdogo unahangaika na nini? Huyo kashakuacha kubali kuachika na ukisha jua sababu itakuwaje yani we jitulize fanya kazi zako kuwa busy na maisha jishugulishe achana na kujishughulisha na watoto wawatu tena ukiona ameondoka shukuru Mungu maana kakuacha salama angekuchinchia mbali je? Woi ukikataliwa katalika wanangu…
Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t
Tutaacha kukufuatilia sasa ww nae n nn sasa unaanzisha story hufuatilii hizo content zenu si muige watu wa Kenya wanafuatilia mpk sa epsod Moja ndo nn kama hamuwez si muache
Wahanga tupo wengi,alisafil akaenda kwako tukawa tunawasiliana tu mala gafra paaahhh bracklist alivyoona usumbufu akaamua aweke stutus yupo namwanamke chumbani daaahhhhhh hatar sana, nilitumia sms zaid ya ishilin ila hakujibu hata moja bhax nikaamua niendelee namaisha yangu mengine mpaka Leo sijui kaishia wap
Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t
Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t
Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t
Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t ❤
Huyu binti kafanye starehe zote. Kwa sasa anaitaji kujituliza hvyo alitamani sana apate mtu atulie nae. Macho yanaonyesha anajutia sana maisha ya nyuma aliopitia. Ila usijali binti soon you’ll get the right person at the right time InshaAllah 🙏🏻
Waanglie bi harusi ya mbwela
kweli bro macho yake tu yanaonyesha
Oya tutakuja tukupige ngumiii,,,mbona hamna mwendelezo hata moja ulioweka,,kila siku kutudanganya hapaaaaa,,,,unazingua mzeee baba☹☹☹☹☹☹
Ila tuko tofauti aiseee mbona mm nikiona dalili najisepesha fasta yan na wala sijui kubembelezaaaa kabisaaa
mmmh😅😅😅uwongo
Wew kama mim
😂😂😂upo kama mm alafu kurudi rudi huwa hawadumu tena mnakuja kuachana vibaya san
Yani ww upo kama sibembeleziiii
Huyu ni mimi
Siku hzi mr U K anakela sana haleti mwendelezo sijui kwann
Kweli anatia hasila
Jina lenyewe zompa😂 khaa! ila sisi mabint tuangaliage nawanaume tunaodet nao😢 kwakwelii cjui kwavile ni mm tu 😅kudet na vijana wenzangu APANA 🙌🏼
Wewe unatakaa wazeee😅😅😅😅
😂😂😂miez mitano nayo ni mda mrefu😂😂😂😂😂 na ww ukafall kabisa kwa mtu uliyekutana nae kwa mr right😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hampo serious nyooo
Mimi nashangaa sana mwanaume kaenda kumtafuta lwa Mr right Leo eti hajuwi tatizo😂😂😂😂😂
Nacheka kama mazuli hivi watoto2000 muna nini wengi wao ni tamaa za mwili wanataka wakupitie tu😅😅😅😅😅hapo kaliwa tu wewe unamchukulia kama mpenziii
Mr uky kamq hautojali mwambie huyo dada anitafute nitamdaidia bure kabisaa maana anaonekana kuna shida mahali
Mr uky tunaomba muendelezo za video zako
Mabinti zangu jitulizeneni mtafuteni Mungu maadamu anapatikana na ukipata mtu usijirahisishe kwa mwanaume kama anakupenda kweri mwambie mwende mkatambulishane lkn hivi hivi nikukuchezea mwisho anaku acha jifunzeni kupitia wengine walio watangulia walipitia yapi hata huyo dada ni nifunzo tosha, Halafu we dada mbona we mzuri tu na mdogo unahangaika na nini? Huyo kashakuacha kubali kuachika na ukisha jua sababu itakuwaje yani we jitulize fanya kazi zako kuwa busy na maisha jishugulishe achana na kujishughulisha na watoto wawatu tena ukiona ameondoka shukuru Mungu maana kakuacha salama angekuchinchia mbali je? Woi ukikataliwa katalika wanangu…
Nmba moja
We dada ebu tafuta pesa huyo atakusumbua hakutaki kuwa muelewa sawa dear
Mmmh alikaa kwa mwanamke! Mmmmh aibu naiona mimi
Sasa c hakutaki.....ukion hivyo.....😂😂😂😂😂
Numeral Uno
Miez m5 nayo ni mda😂😂😂daaagh mm nawaza nipo kwenye mahusiano miaka 7 hapa sijui nikicwa niiite ni mda au ni muda😂😂
😂😂😂😂😂kama mm miaka 7
Pole sana mdogo wangu hata mimi pia ya mawai kunikuta
😅😅😅😅😅😅😅😅😅chiiiiiiiii galfaa tuu
Wakina fay 2nann jmn😢😢ata mi niliachwa bila 7bu😢😢😮😮😮
Tupo wengi,but Mungu mwema kamleta wa kunipenda yule nimemuacha aende tuu🙌🙌
Huyu dad juzi alikuwa Mr right jmn hee
Ndio mjue haya na yale ni maigizo tu
Jamani mm dalili TU natoka chapu nisiumie aka mtoto wa mtu anitese
Miezi mitano kumbe ni mda mrefu kwenye mahusiano 😂 si tunaehesabu miaka je😢
Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t
Unakela kwakweli sasa kwa nn miendelezo minqi ata uweki tukajua maendeleo
Anaboaaa😢
Muendelezo Mr uky
Fey Una sauti Moja Tamu Kinoma Sana daha
Jackson Kimberly White Margaret Martin Gary
😂😂ukute ana bwana mwingine kafuma msg kimya kimya maan sie wadada pia au hajakupenda baada ya kukula🥲🥲🥲🥲
Ako na nguo moja tuu au cz kila mahal yupo na hiyo nguo
Makosa kwa wapendanao ni jambo la kawaida ila inavoonesha shida ipo mwanamme
shumbana jamn😀😂
Na ww kaa kimya daa atakutafuta kama akupenda
😂😂😂😂 Duuh
Pole mwaya unaupendo nae
Demu kaingia kwenye mtumbwi wa vibwengu sio mtamu mwamba kapotea na 200
😂
Tutaacha kukufuatilia sasa ww nae n nn sasa unaanzisha story hufuatilii hizo content zenu si muige watu wa Kenya wanafuatilia mpk sa epsod Moja ndo nn kama hamuwez si muache
Mwendelezo huwa hamuleti
Na ww Mr uk uweke miendelezo
Mr uky unakera Bana hamna muendelezo
Kumbe alikua ameolewa kwa mda
Pole wengi tupo
Mzuri ivi
Bwana tumalizie stor mmoja uanze nyingne
Jaman nimechelewa
Muendelezo wa video zako aisee video ya week Ile ujatoa mwendelezo
Mbona nusu nusu jamani
Duuuuuh hatari
Unazngua mwendlez up wap
Uyu mara yuko mr right
Mr.right ya jumamoc ya trh 11/05 sindo walichaguana 😢mbona apa sielew
Tatzo lako huweki muendelezo
Wahanga tupo wengi,alisafil akaenda kwako tukawa tunawasiliana tu mala gafra paaahhh bracklist alivyoona usumbufu akaamua aweke stutus yupo namwanamke chumbani daaahhhhhh hatar sana, nilitumia sms zaid ya ishilin ila hakujibu hata moja bhax nikaamua niendelee namaisha yangu mengine mpaka Leo sijui kaishia wap
Jaman et blue tik maama yake nini
Ulimtumiq mtu mesej watasaph akiangalia znakua na blue inmamana anaangalia sms hajbu
Pata za bluu😅☑️
Pata za bluu 😅☑️
😅
Uku kwa Mr Uky ukuna likes?
Unajinga ww
Tunasubil
HIYO SEHEMU HAIFAI KELELE NYINGI YA MZIKI DUKA KAMA HILO MM SIINGII USHAMBA MTUPU.
Pole sana Dada 😢
Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t
huyu dada si kapostiwa Mr right may13 juzi tu? mara kaachwa!!! ila bongo asee
😂😂
Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t
Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t
Tan ww Mr uk umaliziag clip una eka nuns nus 😂naikisem ita endelea aijawai kuendelew 😢 sas utakuz vp account yk😂
Tunaangalia vitu havina muwendelezo ndonini sasa 😢😢😢😢😢
Muendelezo wa wadada wa mimba
Dada ungeshitaki kwa gala b au kwa lulu diva huko sitejini😂😂😂😂alia😅😅😅😅😅
Hee so bodaboda hajamfuaata tena imekuja habari ingine
Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t ❤
Kweli bhana nimemuona mr right na gauni yake hiyo hiyo🤣🤣🤣🤣 daar ila hawa watu
Jmnii huyu si alikuwa Mr. Right Jmnii 🤌
Nyie huyu dd c wa Mr Right kwa GaraB ama
Hahahhh😅😅😅😅 ety ukutan na mwanaum Mr Right kwel ump Moy wak kwel
Duh uyu dada gauni moja mbona mr ligth na mr uk
Jmn miezi mitano hiv mapenzi ya sikuizi mbona sielewi
Ufanye haraka sasa hiyo next episode..
Mzee wa chewing gum 🤣🤣🤣
Pole sana dada
Huyu kaka arudi Mr right mar mbili yeye ndo mwenye shida kucheza watoto wawatu
Ndioo anarudi sana mr right anawachezea tu hii n mara ya tatu kwenda