DADA KUKUTANISHA NA EX WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024

Комментарии • 103

  • @maikovineventscompany1180
    @maikovineventscompany1180 4 месяца назад +19

    Huyu binti kafanye starehe zote. Kwa sasa anaitaji kujituliza hvyo alitamani sana apate mtu atulie nae. Macho yanaonyesha anajutia sana maisha ya nyuma aliopitia. Ila usijali binti soon you’ll get the right person at the right time InshaAllah 🙏🏻

  • @Eddyx21
    @Eddyx21 4 месяца назад +11

    Oya tutakuja tukupige ngumiii,,,mbona hamna mwendelezo hata moja ulioweka,,kila siku kutudanganya hapaaaaa,,,,unazingua mzeee baba☹☹☹☹☹☹

  • @neemamshote9577
    @neemamshote9577 4 месяца назад +15

    Ila tuko tofauti aiseee mbona mm nikiona dalili najisepesha fasta yan na wala sijui kubembelezaaaa kabisaaa

  • @felistajilala3630
    @felistajilala3630 4 месяца назад +17

    Siku hzi mr U K anakela sana haleti mwendelezo sijui kwann

  • @Favorpoula
    @Favorpoula 4 месяца назад +4

    Jina lenyewe zompa😂 khaa! ila sisi mabint tuangaliage nawanaume tunaodet nao😢 kwakwelii cjui kwavile ni mm tu 😅kudet na vijana wenzangu APANA 🙌🏼

  • @mrymkubali4017
    @mrymkubali4017 4 месяца назад +6

    😂😂😂miez mitano nayo ni mda mrefu😂😂😂😂😂 na ww ukafall kabisa kwa mtu uliyekutana nae kwa mr right😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hampo serious nyooo

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 4 месяца назад

      Mimi nashangaa sana mwanaume kaenda kumtafuta lwa Mr right Leo eti hajuwi tatizo😂😂😂😂😂

  • @JanetAhmad-v3h
    @JanetAhmad-v3h 4 месяца назад +3

    Nacheka kama mazuli hivi watoto2000 muna nini wengi wao ni tamaa za mwili wanataka wakupitie tu😅😅😅😅😅hapo kaliwa tu wewe unamchukulia kama mpenziii

  • @RoseKimath
    @RoseKimath 4 месяца назад +2

    Mr uky kamq hautojali mwambie huyo dada anitafute nitamdaidia bure kabisaa maana anaonekana kuna shida mahali

  • @KylliePaul
    @KylliePaul 4 месяца назад +7

    Mr uky tunaomba muendelezo za video zako

  • @joycealex8652
    @joycealex8652 4 месяца назад +1

    Mabinti zangu jitulizeneni mtafuteni Mungu maadamu anapatikana na ukipata mtu usijirahisishe kwa mwanaume kama anakupenda kweri mwambie mwende mkatambulishane lkn hivi hivi nikukuchezea mwisho anaku acha jifunzeni kupitia wengine walio watangulia walipitia yapi hata huyo dada ni nifunzo tosha, Halafu we dada mbona we mzuri tu na mdogo unahangaika na nini? Huyo kashakuacha kubali kuachika na ukisha jua sababu itakuwaje yani we jitulize fanya kazi zako kuwa busy na maisha jishugulishe achana na kujishughulisha na watoto wawatu tena ukiona ameondoka shukuru Mungu maana kakuacha salama angekuchinchia mbali je? Woi ukikataliwa katalika wanangu…

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 4 месяца назад +5

    Nmba moja

  • @UmmyDaudi
    @UmmyDaudi 4 месяца назад +2

    We dada ebu tafuta pesa huyo atakusumbua hakutaki kuwa muelewa sawa dear

  • @KhadijaJacob
    @KhadijaJacob 4 месяца назад +1

    Mmmh alikaa kwa mwanamke! Mmmmh aibu naiona mimi

  • @MaiKasimu-xf4fz
    @MaiKasimu-xf4fz 4 месяца назад

    Sasa c hakutaki.....ukion hivyo.....😂😂😂😂😂

  • @rashidimuhibu6832
    @rashidimuhibu6832 4 месяца назад +3

    Numeral Uno

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 4 месяца назад +1

    Miez m5 nayo ni mda😂😂😂daaagh mm nawaza nipo kwenye mahusiano miaka 7 hapa sijui nikicwa niiite ni mda au ni muda😂😂

    • @JENIPHAARON
      @JENIPHAARON 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂kama mm miaka 7

  • @MariamAbuubakar-e5o
    @MariamAbuubakar-e5o 4 месяца назад

    Pole sana mdogo wangu hata mimi pia ya mawai kunikuta

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 4 месяца назад

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅chiiiiiiiii galfaa tuu

  • @faithkaganda-k3s
    @faithkaganda-k3s 4 месяца назад +2

    Wakina fay 2nann jmn😢😢ata mi niliachwa bila 7bu😢😢😮😮😮

    • @AgnethaIgnath
      @AgnethaIgnath 4 месяца назад +2

      Tupo wengi,but Mungu mwema kamleta wa kunipenda yule nimemuacha aende tuu🙌🙌

  • @maryamedi9141
    @maryamedi9141 4 месяца назад +1

    Huyu dad juzi alikuwa Mr right jmn hee

    • @bhokesaid3264
      @bhokesaid3264 4 месяца назад

      Ndio mjue haya na yale ni maigizo tu

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 4 месяца назад

    Jamani mm dalili TU natoka chapu nisiumie aka mtoto wa mtu anitese

  • @pillyramadhani3726
    @pillyramadhani3726 4 месяца назад

    Miezi mitano kumbe ni mda mrefu kwenye mahusiano 😂 si tunaehesabu miaka je😢

  • @BahatiMahaja
    @BahatiMahaja 4 месяца назад

    Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t

  • @HasnaHasna-q5x
    @HasnaHasna-q5x 4 месяца назад +1

    Unakela kwakweli sasa kwa nn miendelezo minqi ata uweki tukajua maendeleo

  • @RithaMassawe
    @RithaMassawe 4 месяца назад

    Muendelezo Mr uky

  • @MatiasiBonfas
    @MatiasiBonfas 4 месяца назад

    Fey Una sauti Moja Tamu Kinoma Sana daha

  • @BealleMoriniE
    @BealleMoriniE 8 дней назад

    Jackson Kimberly White Margaret Martin Gary

  • @aboudijaaboudija
    @aboudijaaboudija 4 месяца назад

    😂😂ukute ana bwana mwingine kafuma msg kimya kimya maan sie wadada pia au hajakupenda baada ya kukula🥲🥲🥲🥲

  • @marthakassim2740
    @marthakassim2740 4 месяца назад

    Ako na nguo moja tuu au cz kila mahal yupo na hiyo nguo

  • @Salma-ho6wx
    @Salma-ho6wx 4 месяца назад

    Makosa kwa wapendanao ni jambo la kawaida ila inavoonesha shida ipo mwanamme

  • @aysher2322
    @aysher2322 4 месяца назад

    shumbana jamn😀😂

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 4 месяца назад

    Na ww kaa kimya daa atakutafuta kama akupenda

  • @UmmyDaudi
    @UmmyDaudi 4 месяца назад

    😂😂😂😂 Duuh

  • @innocentcareen818
    @innocentcareen818 4 месяца назад

    Pole mwaya unaupendo nae

  • @Itsblackghost
    @Itsblackghost 4 месяца назад

    Demu kaingia kwenye mtumbwi wa vibwengu sio mtamu mwamba kapotea na 200

  • @KalengaUla
    @KalengaUla 2 месяца назад

    😂

  • @halimajuma-zq9dk
    @halimajuma-zq9dk 4 месяца назад +1

    Tutaacha kukufuatilia sasa ww nae n nn sasa unaanzisha story hufuatilii hizo content zenu si muige watu wa Kenya wanafuatilia mpk sa epsod Moja ndo nn kama hamuwez si muache

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i 4 месяца назад

    Mwendelezo huwa hamuleti

  • @JoyceSteven-tu2fi
    @JoyceSteven-tu2fi 4 месяца назад

    Na ww Mr uk uweke miendelezo

  • @RosemaryJoseph-cb4sj
    @RosemaryJoseph-cb4sj 4 месяца назад

    Mr uky unakera Bana hamna muendelezo

  • @MariaMagele
    @MariaMagele 4 месяца назад

    Kumbe alikua ameolewa kwa mda

  • @VumiliaZahoro
    @VumiliaZahoro 4 месяца назад

    Pole wengi tupo

  • @moshiomary1082
    @moshiomary1082 4 месяца назад

    Mzuri ivi

  • @DalphinaMnyau-ho9vx
    @DalphinaMnyau-ho9vx 4 месяца назад

    Bwana tumalizie stor mmoja uanze nyingne

  • @Denismayeye18
    @Denismayeye18 4 месяца назад

    Jaman nimechelewa

  • @rachelkaminyoge1046
    @rachelkaminyoge1046 4 месяца назад

    Muendelezo wa video zako aisee video ya week Ile ujatoa mwendelezo

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 4 месяца назад

    Mbona nusu nusu jamani

  • @JuliethPesa
    @JuliethPesa 4 месяца назад

    Duuuuuh hatari

  • @FatumaFadhiri
    @FatumaFadhiri 4 месяца назад

    Unazngua mwendlez up wap

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 4 месяца назад

    Uyu mara yuko mr right

    • @SalomeSylvester-er3rq
      @SalomeSylvester-er3rq 4 месяца назад

      Mr.right ya jumamoc ya trh 11/05 sindo walichaguana 😢mbona apa sielew

  • @Denismayeye18
    @Denismayeye18 4 месяца назад

    Tatzo lako huweki muendelezo

  • @Lizzy-u4m
    @Lizzy-u4m 4 месяца назад +1

    Wahanga tupo wengi,alisafil akaenda kwako tukawa tunawasiliana tu mala gafra paaahhh bracklist alivyoona usumbufu akaamua aweke stutus yupo namwanamke chumbani daaahhhhhh hatar sana, nilitumia sms zaid ya ishilin ila hakujibu hata moja bhax nikaamua niendelee namaisha yangu mengine mpaka Leo sijui kaishia wap

  • @ImeldaMtewa
    @ImeldaMtewa 4 месяца назад

    Jaman et blue tik maama yake nini

    • @Hanan-bc6ps
      @Hanan-bc6ps 4 месяца назад

      Ulimtumiq mtu mesej watasaph akiangalia znakua na blue inmamana anaangalia sms hajbu

    • @pillyramadhani3726
      @pillyramadhani3726 4 месяца назад

      Pata za bluu😅☑️

    • @pillyramadhani3726
      @pillyramadhani3726 4 месяца назад

      Pata za bluu 😅☑️

  • @KingTheben
    @KingTheben 4 месяца назад

    😅

  • @xavieramandiocristovao8286
    @xavieramandiocristovao8286 4 месяца назад

    Uku kwa Mr Uky ukuna likes?

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 4 месяца назад

    Unajinga ww

  • @RadhiaMgonja
    @RadhiaMgonja 4 месяца назад

    Tunasubil

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 4 месяца назад +1

    HIYO SEHEMU HAIFAI KELELE NYINGI YA MZIKI DUKA KAMA HILO MM SIINGII USHAMBA MTUPU.

  • @ZainaHalifa
    @ZainaHalifa 4 месяца назад +4

    Pole sana Dada 😢

  • @BahatiMahaja
    @BahatiMahaja 4 месяца назад

    Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t

  • @benniebm1738
    @benniebm1738 4 месяца назад +1

    huyu dada si kapostiwa Mr right may13 juzi tu? mara kaachwa!!! ila bongo asee

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 3 месяца назад

    😂😂

  • @BahatiMahaja
    @BahatiMahaja 4 месяца назад

    Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t

  • @BahatiMahaja
    @BahatiMahaja 4 месяца назад

    Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t

  • @ZainaLameck
    @ZainaLameck 4 месяца назад

    Tan ww Mr uk umaliziag clip una eka nuns nus 😂naikisem ita endelea aijawai kuendelew 😢 sas utakuz vp account yk😂

  • @Halim-in5gm
    @Halim-in5gm 4 месяца назад

    Tunaangalia vitu havina muwendelezo ndonini sasa 😢😢😢😢😢

  • @innocentcareen818
    @innocentcareen818 4 месяца назад

    Muendelezo wa wadada wa mimba

  • @EzekielAgnes
    @EzekielAgnes 4 месяца назад

    Dada ungeshitaki kwa gala b au kwa lulu diva huko sitejini😂😂😂😂alia😅😅😅😅😅

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 4 месяца назад

    Hee so bodaboda hajamfuaata tena imekuja habari ingine

  • @BahatiMahaja
    @BahatiMahaja 4 месяца назад

    Ndio Hy Dada alikuwa juz t ktk Mr right Na uyo zopa nijaa alikuja mwanza ktk Mr right akaondk Na msichana hakukaa naee akarud Tena akasema kashindwana Na yule bint ndo akamchukuwa Hy fey momo leo Tena femomo kaachwa aaaahh Hy bwan anatatiz t mybe anachezea t ❤

  • @lyidiajuakaly3335
    @lyidiajuakaly3335 4 месяца назад

    Kweli bhana nimemuona mr right na gauni yake hiyo hiyo🤣🤣🤣🤣 daar ila hawa watu

  • @reinakamgisha2558
    @reinakamgisha2558 4 месяца назад

    Jmnii huyu si alikuwa Mr. Right Jmnii 🤌

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 4 месяца назад

    Nyie huyu dd c wa Mr Right kwa GaraB ama

  • @EnaraMfwango
    @EnaraMfwango 4 месяца назад

    Hahahhh😅😅😅😅 ety ukutan na mwanaum Mr Right kwel ump Moy wak kwel

  • @AliluHassan
    @AliluHassan 4 месяца назад

    Duh uyu dada gauni moja mbona mr ligth na mr uk

  • @didadisminder5559
    @didadisminder5559 4 месяца назад

    Jmn miezi mitano hiv mapenzi ya sikuizi mbona sielewi

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu5722 4 месяца назад

    Ufanye haraka sasa hiyo next episode..

  • @kijangwaalbert2303
    @kijangwaalbert2303 4 месяца назад

    Mzee wa chewing gum 🤣🤣🤣

  • @MwajumahamzaIsaya
    @MwajumahamzaIsaya 4 месяца назад

    Pole sana dada

  • @maryamedi9141
    @maryamedi9141 4 месяца назад +2

    Huyu kaka arudi Mr right mar mbili yeye ndo mwenye shida kucheza watoto wawatu

    • @Tyughcdrbdt
      @Tyughcdrbdt 4 месяца назад

      Ndioo anarudi sana mr right anawachezea tu hii n mara ya tatu kwenda