HAKUNA MTUME ALIYEFUGA MAJINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #muhubirimwaipopo #sheikhmwaipopo #sheikhmwaipopotv

Комментарии • 42

  • @ZuberiZuberi-oi9ci
    @ZuberiZuberi-oi9ci 3 месяца назад

    Mwenyezimungu akulinde inshaallh

  • @phineasmutethia1349
    @phineasmutethia1349 2 месяца назад

    Wee uislam mtihani,mzinifu apigwe viboko.

  • @omanoman-ir1ez
    @omanoman-ir1ez 3 месяца назад

    uko sawa kabisa shekh wangu mwaipopo nakuamini sana endelea kuwa mwadirifu na kusema haki

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 3 месяца назад +1

    I LOVE JESUS ❤❤❤❤ THANK GOD 🙏🙏 I'm Christian 🛐🛐

    • @AbuuBakarMbola-mo4ft
      @AbuuBakarMbola-mo4ft 3 месяца назад

      We're.kuwa.muislmu

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 3 месяца назад

      ​@@AbuuBakarMbola-mo4ft Siwezi kuwa Mwislamu Kwa sababu Allah si MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI pili, Siwezi kusujudia kuelekea Makka kwenye Kaaba yenye Jiwe jeusi yaani Al hajar Al aswad na pia sitaki udugu na majini

    • @AbuuBakarMbola-mo4ft
      @AbuuBakarMbola-mo4ft 3 месяца назад

      @@paulmushi2428 ihurumiye.nafsiyako.kuingizwa.motoni.milele.ewe.kiumbe.dhaifu

    • @berry4726
      @berry4726 3 месяца назад

      @@paulmushi2428 subiri ufe ndio unatujua nani ni Mungu.

  • @makerebul3650
    @makerebul3650 3 месяца назад

    Upo vizuri bro unaeleweka sana, hakuna zaidi ya Allah na Mtume wake,

  • @petermutuku1289
    @petermutuku1289 3 месяца назад

    Umefunza vyema, hao wanaokupinga pengine wanataka kutumia majini.

  • @MwalimJecha
    @MwalimJecha 3 месяца назад

    Sema mtume wetu siyo Sala na salamu zimwendee mtume wangu

  • @thedon8467
    @thedon8467 3 месяца назад

    DOCTOR SULE SAIVI TUNAMUITA MSHIRIKINA

  • @mahfoudhally2879
    @mahfoudhally2879 3 месяца назад

    Mwaipopo kwanini huwatafuti private mkanasihiana huko badala ya kukashifiana mitandaoni

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 3 месяца назад

    Tumeelewa

  • @mobutu3884
    @mobutu3884 3 месяца назад +2

    Mwaipopo hapendi majini sababu ana msingi wa Kikristo, na haamini kuna majini wazuri kwa sababu walishalaaniwa wote katika Biblia na adhabu walishapewa, shida inakuja kila akisoma aya zinampinga zinasema majini walislimu, wapo wazuri na wabaya, yeye mwenyewe anashangaa kimoyo 😂
    Kama nadanganya sikiliza maelezo yake tokea mwanzo yani quran inamgeuka kauli zake 😂
    Kwa kifupi waislamu wanaamini sana majini na hii hamuwezi kuipinga milele, quran haiwez sema majini wazuri wapo na majini walislimu halafu useme majini sio waislamu never.
    Mungu analaani majini quran inahalalisha halafu mnasema quran ni maneno ya Mungu kwa jinsi inavyojichanganya..

  • @AllyLusonzo-sj2zt
    @AllyLusonzo-sj2zt 3 месяца назад

    Uko poa sheikh fikisha ujumbe

  • @thedon8467
    @thedon8467 3 месяца назад

    BORA UMPE MAKAVU YAKE DOCTOR SULE MAANA AMEVUKA MIPAKA

  • @user-rq3vu1zy6c
    @user-rq3vu1zy6c 3 месяца назад

    dr sule mchawi

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 3 месяца назад +1

    Mwaipopo au Mwislamu yeyote, kuwakataa majini ukiwa Mwislamu ni sawa na kusema sijavaa kanzu wakati umeivaa iko mwilini😂😂😂😂😂 kuwa na majini ni Sunna!

    • @sadikiissa7756
      @sadikiissa7756 3 месяца назад

      Hakuna andiko linaloruhusu Majini.

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 3 месяца назад

      ​@@sadikiissa7756 Soma Qur'an Surat Jinn 72:1-14 uone

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 3 месяца назад

      ​@@sadikiissa7756 Soma Qur'an Surat Jinn 72:1-14

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 месяца назад

      Tatizo lako umetanguliza chuki mbele kwahiyo umeizuia akili yako kujifunza,kutafakari na kuuona ukweli

  • @TanganyikaRefrigeration
    @TanganyikaRefrigeration 3 месяца назад

    piga Hao washirikina

  • @KabatoniBoraa
    @KabatoniBoraa 3 месяца назад

    Sasa kama hatuna nayo itakuwa aje?kipaji umepewa nam.mungu ni hayo majini unayo ndiyo yanakusaidiya elim yakuubiri apo.nawa kristu hayohayo majini ndiyo yanayo wasaidiya kanisani kutowa mapepo machafu.ni ivoo ma paster na masheih tusidanganyane

  • @KabatoniBoraa
    @KabatoniBoraa 3 месяца назад

    Yaaapo majini kwakilamtu wakristu waislam soote tunayo. Hamna asiyekuwa nayo

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 3 месяца назад +1

      Wakristo hatuna udugu na majini ila nyie Waislamu majini ni ndugu zenu katika Imani Kwa sababu majini walisilimu wakawa Waislamu Soma Qur'an Surat Jinn 72: 1-14

    • @KabatoniBoraa
      @KabatoniBoraa 3 месяца назад

      @@paulmushi2428 looo nani asiye wajuwa?nani?unanidanganya Nini Cheney sijuwi mimi kuusu ukristu kama ukristu namimi najuwa mwanzo mwisho niliuishi email. Utandanganya izo pumbavu zenu apana sisi tatizo lenu hamko wakweli ajiliya Masahiko yenu. Ya apa duniani.

    • @KabatoniBoraa
      @KabatoniBoraa 3 месяца назад

      @@paulmushi2428 Kisha Ayo mapepo mnatowaga apo kanisani mnaanza kupiga Ngoma kisha umojawenu paster Pepo inapanda kichwani anaanza kutunza wenye mapepo machafu anayatowa Ni Nini siyo majini ndo yanajaaga vichwani mwenu.toweni upotevu kazi tu kupoteza Watu tu nani hawajuwi.

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 3 месяца назад +1

    Mwaipopo, majini Walisilimu wakawa Waislamu Surat Jinn 72 1-14 Sasa mbona unang'ang'ana kutaka kuvunja udugu wa kiimani na majini? Ukishakuwa Mwislamu majini wanakuwa ndugu zako hata hapo nyumbani kwako wapo Misikitini wapo na kila Mwislamu ana majini wanne ingawa hamuwaoni Kwa macho, Masheikh Wenye Ilimu wanalijua hilo!! Pia hata khadith zipo zinazosema Muhammad alienda kuwasomea majini Qur'an!! Tatizo lako Mwaipopo misingi ya Ukristo ya kupinga majini bado haijakutoka!! lakini Uislamu na Majini Damdam!!

    • @sheemaryam
      @sheemaryam 3 месяца назад

      Pia yapo makanisani na mnayatoa kila jumalipi pia hayo mapepo wachafu na imani yenu moja
      Na sio kweli ati muisilamu Ana majini maane mbona tangu nisilimu haijawai nipagawa😂😂😂 wacheni porojo

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 3 месяца назад

      ​@@sheemaryamKanisani tunayafukuza majini Kwa watu yaliyowavania ili yarudi msikitini yalikosilimu na Kwa ndugu zao Waislamu!! Wewe majini unayo yametulia Kwa sababu yako Kwa ndugu Yao katika imani😂😂😂 Jaribu kumwita Mkristo aje ayakemee Uone utakavyo pagawa!!

    • @ibnmazrui1977
      @ibnmazrui1977 3 месяца назад +1

      @paulmushi2428..Elewa na kufikiri sawa sawa kinachozungumzwa ndio useme venginevyo Dini si ushabiki! Allah mwenyewe ashaelezea haya mitume na wahubiri wanafunza tu alichosema Allah ila uongofu na kuamini bado ni kazi ya Mungu kwa anayejitahidi kuikubali haki huyo anaongoka ama kwa anayeikataa haki huyo hajaongoka sasa hiyari iko kwako mwenyewe wala usilaumu wahubiri wa kweli wanaomtakasia Mungu dini wanaposoma maandiko yake kwa lipi uone yanakugusa kwa unachofanya kama ni haki wasiwasi wa nini au kama si haki lawama ya nini kila nafsi inajua inachochuma!
      Mwalimu amesema kama maandiko yalivyo sasa kubali au kataa ni juu yako hiyo ikiwa akili ni timamu unajua mwenyewe!

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 3 месяца назад

      ​@@ibnmazrui1977Kila alichozungumza Mwaipopo nimekielewa! Ila majini walisilimu wakawa Waislamu Qur'an 72:1-14 hivyo hao ni ndugu zako katika imani wewe na Mwaipopo!! Jamani vibaya kuvunja udugu na ndugu zenu wa Kijini!!

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 месяца назад

      ​@@ibnmazrui1977Paul Mushi anaujua ukweli kuwa uislam ni dini ya kweli, tatizo lake ni kuwa uislam unapingana na matashi yake,ulevi,uzinifu,kula kiti moto na wizi

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 3 месяца назад

    Kuna wapuzi bado watamsikiliza sule baada kuona kabisa ni mganga acheni kumsikiza sule wapuzi nyie. Ni mganga yule

  • @joezeno8
    @joezeno8 3 месяца назад +2

    Mwaipopo wewe unatowa Tiba, lakini Mtume hakutibu Mtu yoyote! Wenzako wakitumia Majini kama mfalme Suleiman, unaanza kuleta unafki oohh kigezo chetu ni Mtume tuu!

    • @papsmicrocreditcompanylimi1443
      @papsmicrocreditcompanylimi1443 3 месяца назад +1

      Kweli kabisa Mimi navyoona mwaipopo anawivu na mafanikio Dr Sure

    • @user-rq3vu1zy6c
      @user-rq3vu1zy6c 3 месяца назад +2

      wewe mtume katoa ruhusa ya kutibu na yeye katibu na kaelekeza dawa soma

    • @joezeno8
      @joezeno8 3 месяца назад

      @@user-rq3vu1zy6ctowa aya au Hadith mtume katibu mtu

    • @joezeno8
      @joezeno8 3 месяца назад

      ⁠ Mwaipopo ana chuki na Husda na mafanikio ya dr Sule

    • @RashidKaoneka-bj8mm
      @RashidKaoneka-bj8mm 3 месяца назад

      Ivi unamuelewa mwaipopo soma​@@joezeno8