Konki mungu yupo ni mmoja tu hakuna mungu mwengine..napia anakuwezesha pesa au maisha kwaujumla yan bos uyo sio mungu bali ametumia sababu kwauyo bos ili upate ridhki...kiufupi konki mungu yupo mmoja tu hakuna mungu zaid ya mmoja
l really thank God to be christian maanake sisi hatuna huwezo wa kumrushia mwenye dhambi vijembe na kumuhukumu maanake ni dhambi ila waislam na hazira zao zote 😂
Lazima Bakwata wabadilishe sheria za kiwango cha elimu ya juu yaani degree ili wawe na upeo was juu was kutafakari jambo ! Kwani sasa kila MTU akivaa kanzu na kofia aruusiwe kuwa shekhe ! Matokeo take ndio haya ya kuchukiana na kutamani kuuwana ! Kuingilia shughuli za Muumba ! Na kuleteana fedheha katika mitandao ya kijamii ! Kutaka kushawishi wengine kuzibiana riski ! Jee mkumbuke kiss cha Nabii Musa kutaka yeye Mwenyezi Mungu ampe Nazi ya kugawa riski kwa wanadamu wrote pia alipewa mtihani akashindwa ! In bora kuzingatia maadili ya uislamu was kale ili tufike safari zetu salama ! Haipendezi kwa viongozi was was dini kutaka kufikia hatua ya mauwaji kinyume na sheria za Mwenyezi Mungu ! Wao wenyewe sio wakalifu wana mapungufu yao ! Haiwezekani Muuba akatuadhibu kwa makosa ya Harmonize !
This is guy is a national treasure ! I hope and pray you guys always leave this man with some form of gratuity because you can’t be getting all these gems for free!
Mbona kaomba radhi sasa kwanini asikaze sasa Alafu ana nyimbo yake pia inameseji ya kwamba mwanamke ni mungu wa pili vipi hapo unasemaje we dudu Mbona yeye mwenyewe Harmonaise amesema ametubu kwa mungu na kuaomba radhi masheikh na jamii ya waislamu We vp bhana embu tuondokee hapa we mwenyewe una madhambi kibao hapo ulipo na ndomana umekua hivyo
Sema watu wengi ni mabumunda vichwani,hebu eleweni kwanza kauli ya mtu kabla ya kumlaumu" harmonize hakuna sehemu aliyosema " mungu ni mwanamke" kuna maneno kama "huenda"pengine""
Broother asiye kuelewa nikichwa kigumu aludi kwenye maandiko kifupi ayatafakali maandiko.
Umezungumza vizuri sana sana ❤❤❤❤ Mungu akupe afya njema kaka
Nakubali
Upo vzur sana konk!!!! Master
Hapana. Mungu ni mmoja tu hakuzaa Wala hakuzaliwa la hana mfano na kitu chochote
Nakubali saaana dudu baya
Master
Konki safii ni fact kabisa tufichua mazambi ya kila mmoja ni hatari sana
Ww mtetee hivyo hio
Mwiri umeanza kurudi mdogo mdogo
❤❤❤
Hiyoo shekheee mwenyewe amekaa kimasiriko kama mchawi yaani unaongelea humuku ya mungu utadhani umetoka nae kijiji kimoja ????
Ww usimtete mtualiye kufur
Konki mungu yupo ni mmoja tu hakuna mungu mwengine..napia anakuwezesha pesa au maisha kwaujumla yan bos uyo sio mungu bali ametumia sababu kwauyo bos ili upate ridhki...kiufupi konki mungu yupo mmoja tu hakuna mungu zaid ya mmoja
l really thank God to be christian maanake sisi hatuna huwezo wa kumrushia mwenye dhambi vijembe na kumuhukumu maanake ni dhambi ila waislam na hazira zao zote 😂
Ww dudu baya ndio mshenzi hujielewi hataunacho ongea.ww nani wakumkosoa sheikh sule.fanya adabu dr sule anajielewa bro sio kama ww.
Lazima Bakwata wabadilishe sheria za kiwango cha elimu ya juu yaani degree ili wawe na upeo was juu was kutafakari jambo ! Kwani sasa kila MTU akivaa kanzu na kofia aruusiwe kuwa shekhe ! Matokeo take ndio haya ya kuchukiana na kutamani kuuwana ! Kuingilia shughuli za Muumba ! Na kuleteana fedheha katika mitandao ya kijamii ! Kutaka kushawishi wengine kuzibiana riski ! Jee mkumbuke kiss cha Nabii Musa kutaka yeye Mwenyezi Mungu ampe Nazi ya kugawa riski kwa wanadamu wrote pia alipewa mtihani akashindwa ! In bora kuzingatia maadili ya uislamu was kale ili tufike safari zetu salama ! Haipendezi kwa viongozi was was dini kutaka kufikia hatua ya mauwaji kinyume na sheria za Mwenyezi Mungu ! Wao wenyewe sio wakalifu wana mapungufu yao ! Haiwezekani Muuba akatuadhibu kwa makosa ya Harmonize !
This is guy is a national treasure ! I hope and pray you guys always leave this man with some form of gratuity because you can’t be getting all these gems for free!
True
Mbona kaomba radhi sasa kwanini asikaze sasa
Alafu ana nyimbo yake pia inameseji ya kwamba mwanamke ni mungu wa pili vipi hapo unasemaje we dudu
Mbona yeye mwenyewe Harmonaise amesema ametubu kwa mungu na kuaomba radhi masheikh na jamii ya waislamu
We vp bhana embu tuondokee hapa we mwenyewe una madhambi kibao hapo ulipo na ndomana umekua hivyo
Wewe lala
Mtuu kma dudubaya niwatu ambao hawajielewi nadini hatajuzu ya Amma haijui inasomwa vipi huyu jama nimjinga sana mm nasema dudu baya nikafiri mkubwa
Sema watu wengi ni mabumunda vichwani,hebu eleweni kwanza kauli ya mtu kabla ya kumlaumu" harmonize hakuna sehemu aliyosema " mungu ni mwanamke" kuna maneno kama "huenda"pengine""
SubhanaAllah..mtihani.walah
Waislam ndio wanamuhukumu
Mumlipe konki, interview zake ndio zinawapa views nyingi
Fact konki anafatiliwa na wengi