DUDU BAYA AMTETEA HARMONIZE AMCHAKAZA VIBAYA SHEHE SULLE ACHA KUTISHIA MADOGO

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 26

  • @WilleMwangomba
    @WilleMwangomba Месяц назад

    Broother asiye kuelewa nikichwa kigumu aludi kwenye maandiko kifupi ayatafakali maandiko.
    Umezungumza vizuri sana sana ❤❤❤❤ Mungu akupe afya njema kaka

  • @muedezegrandescala
    @muedezegrandescala Месяц назад

    Nakubali

  • @wilsonjonas5481
    @wilsonjonas5481 Месяц назад +1

    Upo vzur sana konk!!!! Master

  • @user-hz3ub4xk4t
    @user-hz3ub4xk4t Месяц назад

    Hapana. Mungu ni mmoja tu hakuzaa Wala hakuzaliwa la hana mfano na kitu chochote

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu Месяц назад

    Nakubali saaana dudu baya

  • @wilbertjosephat1615
    @wilbertjosephat1615 Месяц назад +1

    Master

  • @RogerCharles-jo3qk
    @RogerCharles-jo3qk Месяц назад +1

    Konki safii ni fact kabisa tufichua mazambi ya kila mmoja ni hatari sana

  • @user-hz3ub4xk4t
    @user-hz3ub4xk4t Месяц назад

    Ww mtetee hivyo hio

  • @besteva499
    @besteva499 Месяц назад

    Mwiri umeanza kurudi mdogo mdogo

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 Месяц назад +1

    ❤❤❤

  • @ZinjaLashes
    @ZinjaLashes Месяц назад

    Hiyoo shekheee mwenyewe amekaa kimasiriko kama mchawi yaani unaongelea humuku ya mungu utadhani umetoka nae kijiji kimoja ????

  • @user-hz3ub4xk4t
    @user-hz3ub4xk4t Месяц назад

    Ww usimtete mtualiye kufur

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад

    Konki mungu yupo ni mmoja tu hakuna mungu mwengine..napia anakuwezesha pesa au maisha kwaujumla yan bos uyo sio mungu bali ametumia sababu kwauyo bos ili upate ridhki...kiufupi konki mungu yupo mmoja tu hakuna mungu zaid ya mmoja

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy5882 Месяц назад

    l really thank God to be christian maanake sisi hatuna huwezo wa kumrushia mwenye dhambi vijembe na kumuhukumu maanake ni dhambi ila waislam na hazira zao zote 😂

  • @ibramakaveli1022
    @ibramakaveli1022 Месяц назад +1

    Ww dudu baya ndio mshenzi hujielewi hataunacho ongea.ww nani wakumkosoa sheikh sule.fanya adabu dr sule anajielewa bro sio kama ww.

  • @mkudesimba9518
    @mkudesimba9518 Месяц назад +1

    Lazima Bakwata wabadilishe sheria za kiwango cha elimu ya juu yaani degree ili wawe na upeo was juu was kutafakari jambo ! Kwani sasa kila MTU akivaa kanzu na kofia aruusiwe kuwa shekhe ! Matokeo take ndio haya ya kuchukiana na kutamani kuuwana ! Kuingilia shughuli za Muumba ! Na kuleteana fedheha katika mitandao ya kijamii ! Kutaka kushawishi wengine kuzibiana riski ! Jee mkumbuke kiss cha Nabii Musa kutaka yeye Mwenyezi Mungu ampe Nazi ya kugawa riski kwa wanadamu wrote pia alipewa mtihani akashindwa ! In bora kuzingatia maadili ya uislamu was kale ili tufike safari zetu salama ! Haipendezi kwa viongozi was was dini kutaka kufikia hatua ya mauwaji kinyume na sheria za Mwenyezi Mungu ! Wao wenyewe sio wakalifu wana mapungufu yao ! Haiwezekani Muuba akatuadhibu kwa makosa ya Harmonize !

  • @bigjoe4957
    @bigjoe4957 Месяц назад

    This is guy is a national treasure ! I hope and pray you guys always leave this man with some form of gratuity because you can’t be getting all these gems for free!

  • @user-su7np6sn7s
    @user-su7np6sn7s Месяц назад

    Mbona kaomba radhi sasa kwanini asikaze sasa
    Alafu ana nyimbo yake pia inameseji ya kwamba mwanamke ni mungu wa pili vipi hapo unasemaje we dudu
    Mbona yeye mwenyewe Harmonaise amesema ametubu kwa mungu na kuaomba radhi masheikh na jamii ya waislamu
    We vp bhana embu tuondokee hapa we mwenyewe una madhambi kibao hapo ulipo na ndomana umekua hivyo

  • @user-yf7yg6ow7s
    @user-yf7yg6ow7s Месяц назад

    Mtuu kma dudubaya niwatu ambao hawajielewi nadini hatajuzu ya Amma haijui inasomwa vipi huyu jama nimjinga sana mm nasema dudu baya nikafiri mkubwa

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Месяц назад

    Sema watu wengi ni mabumunda vichwani,hebu eleweni kwanza kauli ya mtu kabla ya kumlaumu" harmonize hakuna sehemu aliyosema " mungu ni mwanamke" kuna maneno kama "huenda"pengine""

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 Месяц назад

    Mumlipe konki, interview zake ndio zinawapa views nyingi