Vijana Jazz - Mundinde

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025

Комментарии • 109

  • @samsonchidzugwe8662
    @samsonchidzugwe8662 Месяц назад +1

    Reminds me of my Grand father Mzee Samson Mwanzanje Chidzugwe BEKADENGE. Way back 1985.

  • @amumamkala7073
    @amumamkala7073 2 года назад +4

    JOYCE AKINYI MICHAEL is a very Proud Woman Though DOWN TO EARTH honestly SITAKI fitina maishani mwetu

  • @herykauli1004
    @herykauli1004 7 лет назад +44

    24/12/2017. Nasikiliza hii nyimbo mundinde.kama na ww unasikiliza kama mimi gonga like twende sawa. From Germany 🔊🕪🔊🕪🔊🕪🎶🎶🎶🎶🎶💃

  • @mzuvendi
    @mzuvendi 5 лет назад +4

    Kweli muziki wa zamani ulikuwa ukisikiliza ulikua una uhai ndani yake..muziki wa sasa ni maiti umekufa..fundisho tosha kwa jamii..waache wazee wenzetu wapumzike huko walipo wametuachia majonzi kuondoka tumekuwa wapweke tunawakumbuka na vinanda na sauti zao...RIP all na sisi njiani..

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 3 месяца назад

    Hongera sana mama Samia kwa kumpa Steven Hiza million 50 .

  • @andersonmwamengo1901
    @andersonmwamengo1901 4 года назад +2

    Yaani vyombo na uimbaji hakuna gap hata sehemu moja ni sawa kabisa tangu mwanzo wa wimbo mpaka mwisho

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 2 года назад +2

    Hongera vijana jazz popote mlipo! Tunashukuru kwa burudani murua!

  • @jumaally4263
    @jumaally4263 7 лет назад +5

    Power Nguzo hongera sana kutukumbusha enzi zetu

  • @amumamkala7073
    @amumamkala7073 2 года назад +1

    Storo nyingi ndani ya maisha yetu NA JOYCE AKINYI MICHAEL MKE WANGU SITAKI

  • @jeranibanzi2127
    @jeranibanzi2127 4 года назад +1

    Vijana hii haiwezi kurudi tens..... Ni Siku ya jumapili Vijana day hiyo!!!!

  • @yassinomary3329
    @yassinomary3329 4 года назад +5

    2020 nipo peke yangu🎻🎶🎶🎤🎵🎶

    • @mzuvendi
      @mzuvendi 4 года назад

      Sio peke yako tupo na sisi pia!

  • @frankstenner5769
    @frankstenner5769 7 лет назад +11

    In 1989, I was worried because there was the strong probability that I had got a deadly virus. So, for two weeks, I even didn't want to change the cassette in my car.
    I don't know how often this song was repeated ( about 60 times), but when I was finally informed I didn't have the virus, the song became some kind of a hymn for me.

    • @cyprianluambano1025
      @cyprianluambano1025 6 лет назад +1

      I like this

    • @isayamazani22
      @isayamazani22 5 лет назад +2

      Pole sana kaka.Haya hutokea kwa watu wengi na kuna wachache huchukua maamuzi ya kujiua.

    • @richmahegah7740
      @richmahegah7740 5 лет назад +1

      Very fantastic and smooth song

    • @richardkisulani9098
      @richardkisulani9098 Год назад

      😂😂😂😂😂 that’s serious. Anyway hope you’re still around now. Reading and enjoying this music in Nairobi on ,5th of may 2023.

    • @jumakiduka4625
      @jumakiduka4625 Год назад

      very melidius and bravo lyrics

  • @raphaelmwakapalila7253
    @raphaelmwakapalila7253 8 лет назад +14

    muziki wa kweli RIP Hemed maneti

  • @mazdunga4233
    @mazdunga4233 8 лет назад +9

    unaweza kutoa machozi! dah old is gold!

  • @yusufsella5622
    @yusufsella5622 7 лет назад +6

    Nyimbo hizi zinanikumbusha mbali sana sizani kama haya yatarudi tena.

    • @bekabakari7394
      @bekabakari7394 4 года назад

      Bro zama hazirudi
      Wana misic wameondaka
      Na vipaji vyao walikua wengi mno
      Marijan, ongala,manet,juma mrisho,muhidini ngurumo,bichuka,chidumule
      Sijawahi kusikia hata mmoja wakati huu anaweza kuwafikia

    • @josephsteven3928
      @josephsteven3928 Год назад

      Acha tu ndg ni htr

    • @jafarkipengele6492
      @jafarkipengele6492 9 месяцев назад

      😢😢😢

  • @bakaryjuma3714
    @bakaryjuma3714 6 лет назад +4

    Ulikua ni mziki wa ukweli namkubali sana maneti

  • @masanjaelisha1691
    @masanjaelisha1691 2 года назад +1

    Wakati huo hata ukimwi haujaanza kumeza watu, km.unavyomeza leo. Ilikuwa Raha kwa kwenda mbele.

  • @shabaniahmedi4359
    @shabaniahmedi4359 4 года назад +2

    Alikua anaimba anatunga na mpangilio wa vyombo vya hali ya juu. Pamoja na umri mdogo aliokua nao wakati huo lakini alikua genius.

  • @jumaally4263
    @jumaally4263 7 лет назад +9

    Kweli zamani wanamuziki waliumiza vichwa kutunga na kupiga vyombo kwa ufasaha. siku hizi kelele tu

  • @jamedimugamaulidi2625
    @jamedimugamaulidi2625 6 лет назад +2

    Chiriku,u r not replaceable..... Hatutapata mwingine kama wewe

  • @ogetoj6245
    @ogetoj6245 Год назад

    Mundinde amejiandika kazi ya sambaza vitini na umbra. Nani atakulipa mshahara? Jiepushe!! Dr. Ogeto International

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 2 года назад

    Mungu akulaze pema peponi Hemedi Maneti

  • @jumaamwamajeni1907
    @jumaamwamajeni1907 3 года назад +1

    This was good time wen am coming from safari Aboseli I listen this song .

  • @relaxrefreshrechargemusic8767
    @relaxrefreshrechargemusic8767 4 года назад +2

    Swafi sana, mmesema ukweli mtupu. Mudinde wapo tena wengi mno. Dah.... skiliza wanavyochuna guitar aiseeh. Covid-19 ni mudinde pia.

  • @hassanmbonde4391
    @hassanmbonde4391 6 лет назад +5

    dahaaa khatari Sana wakowapi wasanii Kama maneti jamani

  • @johnchoma2522
    @johnchoma2522 7 лет назад +3

    Power Nguzo nimekuvulia kofia kwa nyimbo za enzi zetu keep it up bro

  • @samuelmliwa9224
    @samuelmliwa9224 4 года назад +1

    Nina shindwa kusema kitu maana Hemedi Maneti na Vijana jazz walifanya kazi safi kupanga vyombo vyote na kweli vilipangika. Sijui kama kuna mwanamziki wa enzi hizi anatosha Maneti.

  • @matunduraray1174
    @matunduraray1174 4 года назад +5

    Reminds me of my late dad with his wooden radio national used to hear this music though I never understood the meaning by then

  • @patriciovicente2891
    @patriciovicente2891 9 лет назад +4

    Dah, nyimbo inanikumbusha enzi za Primary, wakati huo nipo Hananasif Kinondoni. Safi sana

  • @sabetiuside7562
    @sabetiuside7562 2 года назад +1

    Very good,l recall my youth

  • @abasikiriba3818
    @abasikiriba3818 9 лет назад +4

    Inanikumbusha kitambo Sana.... Dah enzi hairudi

  • @Agnes-mu8qc
    @Agnes-mu8qc Год назад

    The Legends❤.

  • @petermwangi7110
    @petermwangi7110 5 лет назад +3

    Melodious and unique voice of chiriku Maneti. Very nice and soothing. Timeless!

  • @juliusotucho4436
    @juliusotucho4436 10 месяцев назад

    2024 still green, ever green, Chiriku was a force ❤

  • @arnoldbagambisa7545
    @arnoldbagambisa7545 8 лет назад +5

    RIP Maneti ulikuwa na sauti tamu sana

  • @linusleon7018
    @linusleon7018 6 лет назад +2

    Mundinde dada wa magomeni mtaa wa kiyungi

  • @johnndungu3986
    @johnndungu3986 Год назад

    Masterpiece. 2023 & still rocking

  • @mashakasaidi7276
    @mashakasaidi7276 8 лет назад +2

    mziki wa zamani full ujumbe safi sana!

  • @samsonolocho1908
    @samsonolocho1908 7 лет назад +2

    Misitari ilipangwa kwa usawa kabisa. Mwaneti alikua mwalimu tosha

  • @amumamkala7073
    @amumamkala7073 2 года назад +1

    We all have Pandora's UMBEA ACHENI

  • @kakawalela6927
    @kakawalela6927 Год назад

    This masterpiece is ma number one favorite of all time❤😂🎉

  • @rashidhemed8331
    @rashidhemed8331 9 лет назад +2

    their legacy will never end on this earth

  • @richardkitoshi1360
    @richardkitoshi1360 10 лет назад +3

    Umeniua jamaa... :-)
    Shukran!!!

  • @mbotembote944
    @mbotembote944 6 лет назад

    hakuna kama yeye mwenyezi Mungu amueke pema peponi kwenye wema chiriku

  • @johnngalula3277
    @johnngalula3277 6 лет назад

    hakika jmn salute kwao wataalam hawa vijana jazz natamani ningekuwepo kipindi hicho lazma ningehudhuriaga tamasha hata moja la wa vinara hawa,bc tu Mungu angazia viumbe hao waweke mahala pepa peponi !! mbele wao nyuma cc !!!

    • @azizakhereem5799
      @azizakhereem5799 5 лет назад

      Jamaniii kifo hikii ,rip Manet,shegy,Adam bakari, natokwa namachozi nikikumbuka1988 pale memorial moshi jamani,wapi Elia Gambela,kindora,kingi kombo,chande hamadi wote tuliomaliza lasaba mawenzi1991?

    • @azizakhereem5799
      @azizakhereem5799 5 лет назад

      Wema Musa

    • @abduldunga8413
      @abduldunga8413 5 лет назад

      Raha sana mundinde Mary maria tambiko LA pambamoto rip maneti

    • @renatuskabote9197
      @renatuskabote9197 5 лет назад

      Solo bomba

    • @shabaniahmedi4359
      @shabaniahmedi4359 4 года назад

      Kila Jumamos pale Vijana social Hall Kinondoni ilikua siku ya Vijana day, palikua panawaka moto wa hatari, wajanja wote wa mjini wa zamani na mapedejee ndani ya nyumbani, Maneti alikua the real star. Mziki ulikua mtamu sana.

  • @subiramwashitete6391
    @subiramwashitete6391 6 лет назад

    Mudinde imenikumbusha mbali Sana maji naita mma.

  • @queenikutwa6226
    @queenikutwa6226 9 лет назад

    Mziki taratibu,yanikumbusha wakati mambo yalipokua shwari,vyombo vyachezwa na mikono.Talanta hiyoooo

  • @amumamkala7073
    @amumamkala7073 2 года назад +1

    Maneno ya kusikia yanauma lakini Sina WAKATI HUO MKE WANGU JOYCE AKINYI MICHAEL NAKU AMINI

  • @hazaaahmadhazaa2770
    @hazaaahmadhazaa2770 6 лет назад +2

    2018 niko peke yangu tu

  • @ayshaysh3326
    @ayshaysh3326 4 года назад

    Kumbe sijui nilikuwa naimba nini enzi zile za utoto😁

  • @hassanijuma3487
    @hassanijuma3487 3 года назад

    Inakumbusha sana

  • @justnebagyemu1587
    @justnebagyemu1587 5 лет назад

    Nakumbuka miaka ya 90 kule vingunguti wana nzaya walikuwa wanakesha nacho.

  • @wachiramoses9388
    @wachiramoses9388 3 года назад

    Right on the right time

  • @afroflame
    @afroflame 10 лет назад +1

    Hemed Maneti.....Mziki bomba

  • @mbelozie
    @mbelozie 9 лет назад +4

    Huu ndo ulikuwa muziki R.I.P Maneti a.k.a chiriku

  • @henryndoni1497
    @henryndoni1497 5 лет назад

    Nakumbuka mbali sana

  • @jeminusbilauri6873
    @jeminusbilauri6873 6 лет назад

    Hiyo ndo Leo ya zamani

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 2 года назад

    Nimeirudi January 17 /2023

  • @calvinmorgan66
    @calvinmorgan66 6 лет назад +1

    Aisee noma

  • @vincentomondi6131
    @vincentomondi6131 7 лет назад +1

    Sauti ya Kenya Nairobi..Sina mengi ila machozi

  • @twilamtumbi949
    @twilamtumbi949 9 лет назад

    Kama Sijakosea hapo safi ya mbele kuna marehemu Adam Bakari Saudi ya zege na marehemu Chiriku manet

    • @mbungembunge9865
      @mbungembunge9865 4 года назад

      Adam bakar yuko hai hadi leo ni mtangazaj Ufm

  • @isayamazani22
    @isayamazani22 5 лет назад

    Mzee Kitime.

  • @lamechmayaka1037
    @lamechmayaka1037 5 лет назад

    nani aliroga vijana wetu eti muziki wa kisasi kipya .Leo nimesikia wimbo redioni hati 'zima moto.ita wazima moto,moto unawaka'.let them compose music that will stand taste of time like this hit

  • @abdallahorait6345
    @abdallahorait6345 2 года назад

    Miamba ilikuwepo zama huzo

  • @jumamashala8578
    @jumamashala8578 Год назад

    Mundinde, kumbukumbu kibao.

  • @josiahmuthemba115
    @josiahmuthemba115 6 лет назад +1

    Vincent Omondi tuko pamonja, ni machozi tu tukizikumbuka hizi nyimbo wakati wa VOK hata RTD Tanzania. Naomba wengi watuzaidie kulia tu kuhusu hizi nyimbo na hao wadungu walizitunga. +254722762665

  • @joshuamwayupa6203
    @joshuamwayupa6203 7 лет назад +2

    safu ya waimbimbaji anayo zomboko

  • @dotlinegraphics2507
    @dotlinegraphics2507 5 лет назад

    Muzik ndo huo!! Hongera Maneti and the rest...

  • @funneybozzendaddy7631
    @funneybozzendaddy7631 7 лет назад +3

    nooma za kale nitamu

  • @husnamohamed9448
    @husnamohamed9448 6 лет назад

    Hapo inanikumbusha wakati nikiwa Bomu pry sch dooooooh wacha tu

  • @asheriniyongabo2385
    @asheriniyongabo2385 5 лет назад

    Natamanikama wangerudi, lakinindohivotenewametutoka.

  • @michaellimu2332
    @michaellimu2332 6 лет назад

    Hapo sasa.

  • @isaqlid4289
    @isaqlid4289 3 года назад

    Uhondo halisi

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 2 года назад

    Music ulikua na raha mno hisia vyombo ktk ubora

  • @sangomamourice3251
    @sangomamourice3251 5 лет назад

    asante

  • @grantmsengi3619
    @grantmsengi3619 5 лет назад

    Kuna wimbo mmoja sijui aliimba nani?hila chorus ilikuwa inaimbwa wote wake zangu mapenzi yangu Ni sawa mpendane ndio heshima ya ndoa

  • @mtunesalumu3101
    @mtunesalumu3101 5 лет назад

    Mundide

  • @papaakizwi3077
    @papaakizwi3077 7 лет назад

    TUPE MAGAIDI WA MSUMBIJI YA VIJANA JAZZ WEMBE NI ULEULE

  • @joshuamwayupa6203
    @joshuamwayupa6203 7 лет назад

    tunapata raha