Just compare this lovely poetic song from Jabali Marijani Rajab, with the bongo flavour songs!!!! Kweli Marijani, Mbaraka Mwinshehe and Salim Abdallah were very talented and genius. Legends.
Nakumbuka kipindi hicho, nawakumbuka mama na baba yangu, nakumbuka nikiwa bado mdogo nikiwa kijana tu wa miaka 13.Wimbo unaniletea kumbukumbu za miaka mingi iliyo pita..... furaha na huzuni zinakuja kwa wakati mmoja. Maisha yalikuwa mazuri ingawa hatukuwa matajiri....
Jaman Mungu na amlaze pema Marijan,Nilihangaika kumtafuta huyu mtu ili kumfahamu nikamfuata Arusha wakati yupo kurugenzi jazz,naingia mlangon naye anatoka kwa kuwa simjui sikumtambua naulizia ndan naambiwa umepishana naye mlangon,nikamfuata Dar nyumban kwake mtaa wa sikukuu na Somali,nimepelekwa kwake na mtu mmoja anaitwa Babu Delly,kufika kwake hayupo kaenda msikitin,kumbuka simfahamu kwa sura!Babu Delly akaniacha pale kwake akanikabidhi kwa fundi cherehani,kumbe Delly kakutana naye njian akamwambia nyumban Kuna mgeni wako anaitwa Hashim,akaja moja kwa moja ananiambia bwana Hashim habari bwana Karibu nie ndo Marijan Rajabu,ilikuwa kidogo nizimie,nilikaa naye hadi saa tano usiku toka saa kumi jion,hakika Ardhi inakula vingi jaman,tuwen na tabia ya kuwaombea dua marehemu waliotangulia mbele ya haki
nimeanza kumsikiliza Mrijanu 2019. Najilaumu mbona nililala darasani hivi....nyimbo zenye mafundisho. ata ameshinda waimbaji wengi wa goispel wenye wanaimba nyimbo hazina maelekeo ziku hizi
Just compare this lovely poetic song from Jabali Marijani Rajab, with the bongo flavour songs!!!!
Kweli Marijani, Mbaraka Mwinshehe and Salim Abdallah were very talented and genius.
Legends.
Hakika Marijani Rajabu amistahili kabisa kuitwa Jabali la Muziki Tanzania kutokana na tungo zake zenye mafundisho na zinazoishi mpaka sasa hivi.
Miss you dad. Miss you Momma.
na mkumbuka marehemu na radio yake sanyo akiskiliza huu wimbo mungu amlaze pema peponi
Ujumbe kwenye mziki haswaaa.Wachana na hawa vijana wa sasa wanaocheza na kushika mapumbu
Nakumbuka kipindi hicho, nawakumbuka mama na baba yangu, nakumbuka nikiwa bado mdogo nikiwa kijana tu wa miaka 13.Wimbo unaniletea kumbukumbu za miaka mingi iliyo pita..... furaha na huzuni zinakuja kwa wakati mmoja. Maisha yalikuwa mazuri ingawa hatukuwa matajiri....
Huo ndio ulikua muziki, Mungu amlaze pema peponi Marijani mwana wa Rajab
Mziki walifanya Zamani miaka hii ni mauzauza tu!
Reminding me of VOK..Ali Salim Manga
Nakumbuka wakati huo mchana mwema zikianza kupigwa nyimbo hizi time za kwenda shule Zanzibar siku za raha zimepita
jabari la muzi marijani Rajabu hatotokea wa mfano wake
Ukiishi ba watu vizuri, watafini ili mgombane , namsaka mbaya wangu anayetugombanisha
Nakumbuka RTD duuuh nahisi sijielewi maana utamu wa hii nyimbo
nahisi umepitiliza
mziki ya wezee vijana, Weee motoooo.... taratibu!!
Mhhh makubwa pole mwaya
Ukiusikiliza Mziki wa Zaman unavionjo vitamu sana alafu hatua kwa hatua
Hizi nyimbo za zamani ni nzuri mnooo, zinanikumbusha mbali sana Enzi za utoto wangu, jamani nyimbo zilikuwa zamani yani naenjoy mnooo. Asante sana
Sana jamanii!! Tulikuwa waduchu namsikia mama akiimba! Daaah siku hizi mastress tuu aagh
Ni burudani isiyo kifani, zamani sana aisee enzi za RTD Tanzania nzima. Asante sana kwa ukura huu
Wenye kukaanga mbuyu hawatafunii wao
Jabali muziki afrika mashariki nyimbo zake hazipitwi na wakati
RIP Jabali la muziki - Marijani Rajabu. Siku hizi wasanii wana copy nyimbo zake, lakini wanavyoigiza ni tofauti kabisaaa!
This song should be hit when i was about to die will give me peace🙏❤
WHAT IS WRONG WITH YOU????
Ujumbe uliotuachia ni mafunzo sana kwetu..
Mungu hailaze roho yako mahali pema peponi...😢
KILA NAFSI ITAONJA MAUTI
Asante jabari
Amiin
I do real miss you my lovely mummy,when i listen this kind of music RIP MUMY
Maisha hayarudishiki nyuma, tungependa jana iwe leo lkn haiwezekana. Mungu awarehemu waliotutangulia hasa waliofanya kazi hizi, inshallah!
mziki zamani sasa wanaume wanavaa uzuri wanawake wako uchi wamnyama
marijan ni jabali wa muziki,namkubali sana,mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
jamaa ni hatari sana.kila kigongo kikipigwa kama kimetungwa jana kila kitu kinasikika
Amiin Yarabil Alamiyn
wapendwa jaman nautafuta wimbo siwema part 2 wa marijan Rajabu'na Mama watoto acha roho mbaya'hakika hizo nyimbo ni faraja kwangu
wa siku hizi Sio wanamuziki, ila ni waimbaji,mtu unanitamanisha mwanamuzika huwezi puliza saxophone, trumpet, huwezi piga chombo chochote cha muziki,
Da jamani machozi yananitoka nimekumbuka mbali
hiki kilikua kichwa adimu.hamna kama yy kwa sasa
hata Mimi ingawa bado nilikuwa mdogo ila machozi yanatoka hasa wimbo ndoa ya mateso au mwana meka
Sasa @Hussein Mussa mbn unaniambukiza kutoa machozi banaa! Daaaah
Hapo ndio utajua tofauti ya wanamziki🎼🎸🎻🎺 na wasanii🎶🎧🎤📽.
Inapendeza sana kwa hakika tumepoteza watu wenye uwezo mkubwa katika mambo ya music
Rest easy my parents 🙏 💔
kizuri hudumu zaidi. nyimbo nzuri ujumbe mzuri.
Jaman Mungu na amlaze pema Marijan,Nilihangaika kumtafuta huyu mtu ili kumfahamu nikamfuata Arusha wakati yupo kurugenzi jazz,naingia mlangon naye anatoka kwa kuwa simjui sikumtambua naulizia ndan naambiwa umepishana naye mlangon,nikamfuata Dar nyumban kwake mtaa wa sikukuu na Somali,nimepelekwa kwake na mtu mmoja anaitwa Babu Delly,kufika kwake hayupo kaenda msikitin,kumbuka simfahamu kwa sura!Babu Delly akaniacha pale kwake akanikabidhi kwa fundi cherehani,kumbe Delly kakutana naye njian akamwambia nyumban Kuna mgeni wako anaitwa Hashim,akaja moja kwa moja ananiambia bwana Hashim habari bwana Karibu nie ndo Marijan Rajabu,ilikuwa kidogo nizimie,nilikaa naye hadi saa tano usiku toka saa kumi jion,hakika Ardhi inakula vingi jaman,tuwen na tabia ya kuwaombea dua marehemu waliotangulia mbele ya haki
Uko sawa hizi nyimbo za zamani zilikuwa na mafundisho sana
Muziki unaoishi , siyo huu was leo Moto wa mabua !!
Muziki wako bado almasi jabali la muziki. Siku hizi mashauzi tu na ubishoo mwingi.
Hakika yuyu bwana Rajab alikuwa stadi kwa utunzi na gita pamoja na uimbaji. we miss you Marijan.
Hii nayo ni moto, moto sana.
Mmoja wa mabingwa wa muziki wale walikua hodari kwa utunzi wa mashairi
Vya kale ni dhahabu.
Imenikumbusha mbali sana
Old is gold bhanaaaa..marijani much respect....
Dah mungu mwenyewe awarehemu watu hawa pamoja na wazazi wangu mana kama namuona mama yangu jaman
Legend never died
Mziki zilizoenda shule na kuhitimu.
Wakati wa kbc kiswahili Ali Salim Manga akiwa continuity announcer.. waaa kijana marijani Raajab akifanya mambo yake... Erude Gladys uko wapi
Namsaka mbaya wangu....enzi zao
he will remain as legend alawys
nimeanza kumsikiliza Mrijanu 2019. Najilaumu mbona nililala darasani hivi....nyimbo zenye mafundisho. ata ameshinda waimbaji wengi wa goispel wenye wanaimba nyimbo hazina maelekeo ziku hizi
Raha sana kusikiliza hizi nyimbo zinamafunzo fulani
timeless song.great musician.RIP
RIP Marjani #LEGEND
Hakika tutazidi kukumbuka daima jabari wa muziki
Jabali la muziki
Tumebarikiwa
Hizi ndo zenyewe, zinanitoa stress zote.
Sikuhizi wanasema ukilikoroga utalinywa. Ukikaanga mbuyu utazitafuna mwenyewe.
Nakumbuka mbali sana Urafiki flats.kweli Old is gold
Upo?
Naacha comment hapa ili mwanangu siku aje kusoma miziki nilioipenda baba yake
tutakukumbuka daima
The one and only.
Still the one
Excellent Bw. Abdalla
Jabali la MUZIKI ...
kwa kweli hii ndiyo burudaani ya ukweli ki ukweli.
huu ndo mziki bwana
Enzi hairudi tena ile!!!!
Hao ndio wenye kuukaanga Mbuyu,wacha wainama na wautafunee.
Waachie wenye meno watafune *
Asante kwa marekebisho 🙏🙏🙏
jabali la mzuki
Hakika haya yapo yana sumbua huku uswahilini wanamziki wa enzi
Well put together
hizi ndio nyimbo. sasa hivi wimbo wanaita nyimbo. suruali makalioni. RlP Jabali
Mama maria
July 26/2024 tuko apa
Super music
Siwezi na simchoki
ngoma bila jasho
Asante kwa nyimbo hizi.
wanamuziki wa sasa wasikize hii miziki ili kujirekebisha
Daa. Kiukweri
Sinaneno
Kwa
Mzee
Mwenzangu
Ayat
Marijani
Arikuwa
Fundi
Sana
Wa
Muziki
Shauri za kweli
Wakati mziki ilkuwa taaluma.
Sasa hivi wanabwabwaja maneno hawaimbi
penda hii saut ya huyu jamaa alieimba aisee
Hawa watu walikuwa wakiimba kwa mapenzi sio sasa hivi mipasho ubishoo mwingi kila mtu anataka kiki
Mr Abdallah Ally
Nahitaji nyimbo za Marijani, SIO MIMI NI SABABU YA MAPENDO na PENDO SI KULAZIMISHANA. Nimezitafuta sana humu (ytb) sijazipata.
umezipata
mbona znapatkana tu youtube
huo ndio ulikuwa mziki sasa iv wanajua kuvaa suruali chini ya makalio tuu.
Hv kuna kizazi kitafikia uku kwel jamani
mohamed shebe halafu ujumbe ni mapenzi tuuu.
ni hatari sana aisee!
Utasikia eti kuku kavaa raizoni kuku kapanda basker miziki ya kipuuzi sana ihi ya kizazi kipya wajifunze miziki ya zamani.
Hakuna
mkono wa iddi
Nakumbuka enzi zangu wewe usiguse kabisa kidude
kipaji hicho,siku hz hakuna tena
Marijani.Rajabu.a.k.a.jabari.arikuwa.fundi.wa.muziki.wa.dans
Maanzese wakati huo inaitwa soweto
Familia yake inafaidikaje na hiki kipaji cha ndugu yao costa naomba jibu
Mmoja wa 'familia yake' ni mimi na wewe, je tunafaidikaje na kipaji chake!?
Nyimbo zao ni kama kusoma vitabu vya wenye hekima
Sisemi kitu
2020
Nikweli
Bambo
inn box
yaani hakunaga kama hizi za kare.
Kweli nilikuwa napona nikisikia hizo tarumbeta
Mziki unaoishi
yaani hakunaga kama hizi za kare.