Tanzania - Marijani Raajab - Namsaka Mbaya Wangu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • Namsaka Mbaya Wangu by Marijani Raajab.

Комментарии • 126

  • @mrmsomali766
    @mrmsomali766 7 месяцев назад +2

    Just compare this lovely poetic song from Jabali Marijani Rajab, with the bongo flavour songs!!!!
    Kweli Marijani, Mbaraka Mwinshehe and Salim Abdallah were very talented and genius.
    Legends.

  • @titongholo6261
    @titongholo6261 3 месяца назад

    Hakika Marijani Rajabu amistahili kabisa kuitwa Jabali la Muziki Tanzania kutokana na tungo zake zenye mafundisho na zinazoishi mpaka sasa hivi.

  • @lorrainekavedza7489
    @lorrainekavedza7489 3 месяца назад

    Miss you dad. Miss you Momma.

  • @dohabisophicateqatar1742
    @dohabisophicateqatar1742 7 лет назад +1

    na mkumbuka marehemu na radio yake sanyo akiskiliza huu wimbo mungu amlaze pema peponi

  • @husnamohamed9448
    @husnamohamed9448 6 лет назад +5

    Ujumbe kwenye mziki haswaaa.Wachana na hawa vijana wa sasa wanaocheza na kushika mapumbu

  • @Jackson-n2c
    @Jackson-n2c 9 часов назад

    Nakumbuka kipindi hicho, nawakumbuka mama na baba yangu, nakumbuka nikiwa bado mdogo nikiwa kijana tu wa miaka 13.Wimbo unaniletea kumbukumbu za miaka mingi iliyo pita..... furaha na huzuni zinakuja kwa wakati mmoja. Maisha yalikuwa mazuri ingawa hatukuwa matajiri....

  • @jumamohamedi4852
    @jumamohamedi4852 6 лет назад +4

    Huo ndio ulikua muziki, Mungu amlaze pema peponi Marijani mwana wa Rajab

  • @abdallahjumbe9480
    @abdallahjumbe9480 10 лет назад +9

    Mziki walifanya Zamani miaka hii ni mauzauza tu!

  • @ngechepeter9568
    @ngechepeter9568 Год назад +1

    Reminding me of VOK..Ali Salim Manga

  • @ommyhassa
    @ommyhassa Год назад +2

    Nakumbuka wakati huo mchana mwema zikianza kupigwa nyimbo hizi time za kwenda shule Zanzibar siku za raha zimepita

  • @jangamagili2601
    @jangamagili2601 6 лет назад +1

    jabari la muzi marijani Rajabu hatotokea wa mfano wake

  • @rashidhemed8331
    @rashidhemed8331 4 года назад +3

    Ukiishi ba watu vizuri, watafini ili mgombane , namsaka mbaya wangu anayetugombanisha

  • @remigiuschilumba4685
    @remigiuschilumba4685 4 года назад +3

    Nakumbuka RTD duuuh nahisi sijielewi maana utamu wa hii nyimbo
    nahisi umepitiliza

  • @annepeninah4185
    @annepeninah4185 7 лет назад +8

    mziki ya wezee vijana, Weee motoooo.... taratibu!!

  • @sufianikigoro9383
    @sufianikigoro9383 4 месяца назад

    Mhhh makubwa pole mwaya

  • @lagosimon2764
    @lagosimon2764 4 года назад +1

    Ukiusikiliza Mziki wa Zaman unavionjo vitamu sana alafu hatua kwa hatua

  • @patricia5137
    @patricia5137 9 лет назад +6

    Hizi nyimbo za zamani ni nzuri mnooo, zinanikumbusha mbali sana Enzi za utoto wangu, jamani nyimbo zilikuwa zamani yani naenjoy mnooo. Asante sana

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 3 года назад +1

      Sana jamanii!! Tulikuwa waduchu namsikia mama akiimba! Daaah siku hizi mastress tuu aagh

  • @josevicente2365
    @josevicente2365 7 лет назад +3

    Ni burudani isiyo kifani, zamani sana aisee enzi za RTD Tanzania nzima. Asante sana kwa ukura huu

  • @mussamrisho1283
    @mussamrisho1283 2 года назад +1

    Wenye kukaanga mbuyu hawatafunii wao

  • @ahmednoor2617
    @ahmednoor2617 11 лет назад +6

    Jabali muziki afrika mashariki nyimbo zake hazipitwi na wakati

  • @jumannemwakalinga2586
    @jumannemwakalinga2586 2 года назад +1

    RIP Jabali la muziki - Marijani Rajabu. Siku hizi wasanii wana copy nyimbo zake, lakini wanavyoigiza ni tofauti kabisaaa!

  • @erickyahaya6784
    @erickyahaya6784 4 года назад +5

    This song should be hit when i was about to die will give me peace🙏❤

    • @Zip-c3g
      @Zip-c3g 2 года назад

      WHAT IS WRONG WITH YOU????

  • @adammwanjugilo7827
    @adammwanjugilo7827 8 лет назад +10

    Ujumbe uliotuachia ni mafunzo sana kwetu..
    Mungu hailaze roho yako mahali pema peponi...😢
    KILA NAFSI ITAONJA MAUTI

  • @babalois7240
    @babalois7240 6 лет назад +4

    I do real miss you my lovely mummy,when i listen this kind of music RIP MUMY

  • @abdallahjuma9895
    @abdallahjuma9895 7 лет назад +5

    Maisha hayarudishiki nyuma, tungependa jana iwe leo lkn haiwezekana. Mungu awarehemu waliotutangulia hasa waliofanya kazi hizi, inshallah!

    • @saidali9282
      @saidali9282 6 лет назад

      mziki zamani sasa wanaume wanavaa uzuri wanawake wako uchi wamnyama

  • @ommarthabiti4834
    @ommarthabiti4834 10 лет назад +8

    marijan ni jabali wa muziki,namkubali sana,mungu ailaze roho yake mahali pema peponi

    • @sumatanasemkungu8165
      @sumatanasemkungu8165 7 лет назад +1

      jamaa ni hatari sana.kila kigongo kikipigwa kama kimetungwa jana kila kitu kinasikika

    • @kidaumtumbwi1128
      @kidaumtumbwi1128 9 месяцев назад

      Amiin Yarabil Alamiyn

  • @malahoomary6079
    @malahoomary6079 8 лет назад +3

    wapendwa jaman nautafuta wimbo siwema part 2 wa marijan Rajabu'na Mama watoto acha roho mbaya'hakika hizo nyimbo ni faraja kwangu

  • @robertsrugimbana6086
    @robertsrugimbana6086 8 лет назад +13

    wa siku hizi Sio wanamuziki, ila ni waimbaji,mtu unanitamanisha mwanamuzika huwezi puliza saxophone, trumpet, huwezi piga chombo chochote cha muziki,

  • @husseinmussa9683
    @husseinmussa9683 8 лет назад +20

    Da jamani machozi yananitoka nimekumbuka mbali

    • @sumatanasemkungu8165
      @sumatanasemkungu8165 7 лет назад +1

      hiki kilikua kichwa adimu.hamna kama yy kwa sasa

    • @samorakajiru3258
      @samorakajiru3258 5 лет назад

      hata Mimi ingawa bado nilikuwa mdogo ila machozi yanatoka hasa wimbo ndoa ya mateso au mwana meka

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 3 года назад

      Sasa @Hussein Mussa mbn unaniambukiza kutoa machozi banaa! Daaaah

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge3695 5 лет назад +5

    Hapo ndio utajua tofauti ya wanamziki🎼🎸🎻🎺 na wasanii🎶🎧🎤📽.

  • @abdullsadiq2378
    @abdullsadiq2378 11 лет назад +3

    Inapendeza sana kwa hakika tumepoteza watu wenye uwezo mkubwa katika mambo ya music

  • @mustaphamohamed7831
    @mustaphamohamed7831 2 года назад +3

    Rest easy my parents 🙏 💔

  • @hoseakayubu5677
    @hoseakayubu5677 6 лет назад +4

    kizuri hudumu zaidi. nyimbo nzuri ujumbe mzuri.

    • @malahoomary6079
      @malahoomary6079 5 лет назад

      Jaman Mungu na amlaze pema Marijan,Nilihangaika kumtafuta huyu mtu ili kumfahamu nikamfuata Arusha wakati yupo kurugenzi jazz,naingia mlangon naye anatoka kwa kuwa simjui sikumtambua naulizia ndan naambiwa umepishana naye mlangon,nikamfuata Dar nyumban kwake mtaa wa sikukuu na Somali,nimepelekwa kwake na mtu mmoja anaitwa Babu Delly,kufika kwake hayupo kaenda msikitin,kumbuka simfahamu kwa sura!Babu Delly akaniacha pale kwake akanikabidhi kwa fundi cherehani,kumbe Delly kakutana naye njian akamwambia nyumban Kuna mgeni wako anaitwa Hashim,akaja moja kwa moja ananiambia bwana Hashim habari bwana Karibu nie ndo Marijan Rajabu,ilikuwa kidogo nizimie,nilikaa naye hadi saa tano usiku toka saa kumi jion,hakika Ardhi inakula vingi jaman,tuwen na tabia ya kuwaombea dua marehemu waliotangulia mbele ya haki

  • @anthonyriobamtete6005
    @anthonyriobamtete6005 2 года назад

    Uko sawa hizi nyimbo za zamani zilikuwa na mafundisho sana

  • @donaldsassa7532
    @donaldsassa7532 4 года назад

    Muziki unaoishi , siyo huu was leo Moto wa mabua !!

  • @josephyegella4816
    @josephyegella4816 4 года назад

    Muziki wako bado almasi jabali la muziki. Siku hizi mashauzi tu na ubishoo mwingi.

  • @sospeter291
    @sospeter291 5 лет назад

    Hakika yuyu bwana Rajab alikuwa stadi kwa utunzi na gita pamoja na uimbaji. we miss you Marijan.

  • @vinmaranga2360
    @vinmaranga2360 Год назад

    Hii nayo ni moto, moto sana.

  • @qalinmalgc1470
    @qalinmalgc1470 6 лет назад +1

    Mmoja wa mabingwa wa muziki wale walikua hodari kwa utunzi wa mashairi

  • @misanalwanga394
    @misanalwanga394 8 лет назад +3

    Vya kale ni dhahabu.

  • @ramadhanimwasi1647
    @ramadhanimwasi1647 2 года назад

    Imenikumbusha mbali sana

  • @alibomba5408
    @alibomba5408 4 года назад

    Old is gold bhanaaaa..marijani much respect....

  • @jumaally67
    @jumaally67 6 лет назад

    Dah mungu mwenyewe awarehemu watu hawa pamoja na wazazi wangu mana kama namuona mama yangu jaman

  • @mahirfauz1993
    @mahirfauz1993 2 года назад +1

    Legend never died

  • @kipchumbakemei7270
    @kipchumbakemei7270 3 года назад

    Mziki zilizoenda shule na kuhitimu.

  • @aggreychoreh9937
    @aggreychoreh9937 6 лет назад +3

    Wakati wa kbc kiswahili Ali Salim Manga akiwa continuity announcer.. waaa kijana marijani Raajab akifanya mambo yake... Erude Gladys uko wapi

  • @hasacustomsclearance5849
    @hasacustomsclearance5849 11 лет назад +3

    he will remain as legend alawys

  • @elijahaywago7274
    @elijahaywago7274 5 лет назад

    nimeanza kumsikiliza Mrijanu 2019. Najilaumu mbona nililala darasani hivi....nyimbo zenye mafundisho. ata ameshinda waimbaji wengi wa goispel wenye wanaimba nyimbo hazina maelekeo ziku hizi

  • @rahimaally9838
    @rahimaally9838 7 лет назад +1

    Raha sana kusikiliza hizi nyimbo zinamafunzo fulani

  • @petermwangi7110
    @petermwangi7110 7 лет назад +2

    timeless song.great musician.RIP

  • @mwaka308said7
    @mwaka308said7 4 года назад

    RIP Marjani #LEGEND

  • @malikishabani6207
    @malikishabani6207 5 лет назад

    Hakika tutazidi kukumbuka daima jabari wa muziki

  • @batiishirima2051
    @batiishirima2051 4 года назад +1

    Jabali la muziki

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 3 года назад

    Tumebarikiwa

  • @yusuflalu2887
    @yusuflalu2887 8 лет назад +1

    Hizi ndo zenyewe, zinanitoa stress zote.

  • @mussamrisho1283
    @mussamrisho1283 2 года назад

    Sikuhizi wanasema ukilikoroga utalinywa. Ukikaanga mbuyu utazitafuna mwenyewe.

  • @evamwamafupa3512
    @evamwamafupa3512 5 лет назад

    Nakumbuka mbali sana Urafiki flats.kweli Old is gold

  • @davidzacharia2373
    @davidzacharia2373 3 года назад

    Naacha comment hapa ili mwanangu siku aje kusoma miziki nilioipenda baba yake

  • @twilamtumbi2647
    @twilamtumbi2647 11 лет назад +1

    tutakukumbuka daima

  • @smarealle
    @smarealle 11 лет назад +2

    The one and only.

  • @tyty1794
    @tyty1794 11 лет назад +1

    Excellent Bw. Abdalla

  • @rafiiabdul6217
    @rafiiabdul6217 2 года назад

    Jabali la MUZIKI ...

  • @morrissombe8539
    @morrissombe8539 7 лет назад

    kwa kweli hii ndiyo burudaani ya ukweli ki ukweli.

  • @jamilabaraka8449
    @jamilabaraka8449 6 лет назад +1

    huu ndo mziki bwana

  • @omarmussa488
    @omarmussa488 10 лет назад

    Enzi hairudi tena ile!!!!

  • @raskenneth1981
    @raskenneth1981 Год назад

    Hao ndio wenye kuukaanga Mbuyu,wacha wainama na wautafunee.

    •  9 месяцев назад +1

      Waachie wenye meno watafune *

    • @raskenneth1981
      @raskenneth1981 9 месяцев назад

      Asante kwa marekebisho 🙏🙏🙏

  • @hamisimohamed7690
    @hamisimohamed7690 5 лет назад

    jabali la mzuki

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 5 лет назад

    Hakika haya yapo yana sumbua huku uswahilini wanamziki wa enzi

  • @arthurmuema6233
    @arthurmuema6233 4 года назад

    Well put together

  • @bhonatesha2390
    @bhonatesha2390 7 лет назад

    hizi ndio nyimbo. sasa hivi wimbo wanaita nyimbo. suruali makalioni. RlP Jabali

  • @graceshomari7727
    @graceshomari7727 2 года назад

    Mama maria

  • @RevocatusJulian
    @RevocatusJulian 6 месяцев назад

    July 26/2024 tuko apa

  • @kefanyarega2542
    @kefanyarega2542 6 лет назад

    Super music

  • @sangomamourice8680
    @sangomamourice8680 4 года назад

    Siwezi na simchoki

  • @dohabisophicateqatar1742
    @dohabisophicateqatar1742 7 лет назад

    ngoma bila jasho

  • @shangaashangaa
    @shangaashangaa 11 лет назад

    Asante kwa nyimbo hizi.

    • @omarali-dk5el
      @omarali-dk5el 8 лет назад +2

      wanamuziki wa sasa wasikize hii miziki ili kujirekebisha

    • @runcksmatindiko1930
      @runcksmatindiko1930 7 лет назад

      Daa. Kiukweri
      Sinaneno
      Kwa
      Mzee
      Mwenzangu
      Ayat
      Marijani
      Arikuwa
      Fundi
      Sana
      Wa
      Muziki

  • @richardmarisa3888
    @richardmarisa3888 10 лет назад

    Shauri za kweli

  • @kipchumbakemei7270
    @kipchumbakemei7270 4 года назад

    Wakati mziki ilkuwa taaluma.

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 7 лет назад +3

    Sasa hivi wanabwabwaja maneno hawaimbi

  • @calvinmorgan66
    @calvinmorgan66 7 лет назад

    penda hii saut ya huyu jamaa alieimba aisee

  • @ommykhatib
    @ommykhatib 7 лет назад

    Hawa watu walikuwa wakiimba kwa mapenzi sio sasa hivi mipasho ubishoo mwingi kila mtu anataka kiki

  • @kassongokittapa7762
    @kassongokittapa7762 9 лет назад

    Mr Abdallah Ally
    Nahitaji nyimbo za Marijani, SIO MIMI NI SABABU YA MAPENDO na PENDO SI KULAZIMISHANA. Nimezitafuta sana humu (ytb) sijazipata.

  • @heesramhemed4869
    @heesramhemed4869 8 лет назад +2

    mbona znapatkana tu youtube

  • @mohamedshebe9919
    @mohamedshebe9919 9 лет назад +18

    huo ndio ulikuwa mziki sasa iv wanajua kuvaa suruali chini ya makalio tuu.

    • @mohamedmdoka2762
      @mohamedmdoka2762 7 лет назад +1

      Hv kuna kizazi kitafikia uku kwel jamani

    • @gracianpaul2608
      @gracianpaul2608 6 лет назад +1

      mohamed shebe halafu ujumbe ni mapenzi tuuu.

    • @gracianpaul2608
      @gracianpaul2608 6 лет назад

      ni hatari sana aisee!

    • @athumanisudi891
      @athumanisudi891 6 лет назад

      Utasikia eti kuku kavaa raizoni kuku kapanda basker miziki ya kipuuzi sana ihi ya kizazi kipya wajifunze miziki ya zamani.

    • @ericernest845
      @ericernest845 5 лет назад

      Hakuna

  • @sofiahamza1873
    @sofiahamza1873 6 лет назад

    mkono wa iddi

  • @deogratiusmarandu7355
    @deogratiusmarandu7355 4 года назад +1

    Nakumbuka enzi zangu wewe usiguse kabisa kidude

  • @jacobmwamba2592
    @jacobmwamba2592 7 лет назад

    kipaji hicho,siku hz hakuna tena

    • @runcksmatindiko1930
      @runcksmatindiko1930 6 лет назад

      Marijani.Rajabu.a.k.a.jabari.arikuwa.fundi.wa.muziki.wa.dans

  • @faridasabu8946
    @faridasabu8946 5 лет назад

    Maanzese wakati huo inaitwa soweto

  • @nicksonjackson8638
    @nicksonjackson8638 9 лет назад +3

    Familia yake inafaidikaje na hiki kipaji cha ndugu yao costa naomba jibu

    • @jacksonzebedee4668
      @jacksonzebedee4668 7 лет назад

      Mmoja wa 'familia yake' ni mimi na wewe, je tunafaidikaje na kipaji chake!?

    • @jacksonzebedee4668
      @jacksonzebedee4668 7 лет назад +1

      Nyimbo zao ni kama kusoma vitabu vya wenye hekima

  • @aggreychoreh9937
    @aggreychoreh9937 11 месяцев назад

    Sisemi kitu

  • @asiliyakechuma4319
    @asiliyakechuma4319 5 лет назад

    2020

  • @hamzahaji175
    @hamzahaji175 6 лет назад

    Nikweli

  • @salimsultan4461
    @salimsultan4461 6 лет назад

    Bambo

  • @oswaldchuwa2767
    @oswaldchuwa2767 9 лет назад

    inn box

  • @saidibadawi469
    @saidibadawi469 8 лет назад

    yaani hakunaga kama hizi za kare.

  • @pudencianamlewa6486
    @pudencianamlewa6486 4 года назад

    Mziki unaoishi

  • @saidibadawi469
    @saidibadawi469 8 лет назад +2

    yaani hakunaga kama hizi za kare.