Ohhhh! Maskini mvuvi Kinda! Pole nyingi toka vijana jazz band! Ila Bahari ikiwa shwari , mkamsake mvuvi Kinda!Jerry Jerry Nashon Dudumiz! Sauti ya kumtoa nyoka pangoni! Vijana jazz Asanteni wa burudani! Na kwa Kiswahili Sanifu!
Kwa kweli mimi hupata amni ya moyo, vivile utulivu wa nafsi na pumbazo la akili kila ninaposikiliza hii midundo ya kale. Wanamuziki hawa walikua wataalamu, wajuzi mahiri waliojua muziki. Wabunifu waimbaji wa ukweli sio wapiga zogo. Hakika raha na faraja tupu👍🇹🇿😀😀😀
Hivi mvuvi kinda, zainabu na tereza ni albam 1? na je ilikua mwaka tisini na ngapi? Huyu jamaa Jery Nashoni kwangu alikua ni zaidi ya Manet, alafu najua baada ya Jerry kufa vijana jazz walitoa albam ya Top mwaka 94 quine wakiongozwa na Fred Benjamini, muhina panduka, manito musa, shabani yohana, ali jamwaka, john kitime, bakari semuhando, rashid pembe, gotagota, pamela mahalu na wengine kama nimekosea naomba kusahisha maana sisi wengine ni vijana wajuzi tu hapa 80s
Nila shaka tisini na moja na hapo ni utunzi wa benovila Antony kumbuka mvuvi namba moja alitunga akiwa oss hapo saut benovila jery nashon na seleman mbwembwe
@@michaelsimwanza1958 Nyimbo ni usicheze na bahari sehemu ya kwanza OSS,sehemu ya pili ndiyo hii,wengine huuita mvuvi kinda.Ni tungo za Bennovilla Antony
Amkeni leo muone music tunaousifia hakika mtashangaa sikuona ajabu kukuta tungo zenu kwenye mitihani ya kiswahili asante vijana
Ohhhh! Maskini mvuvi Kinda! Pole nyingi toka vijana jazz band! Ila Bahari ikiwa shwari , mkamsake mvuvi Kinda!Jerry Jerry Nashon Dudumiz! Sauti ya kumtoa nyoka pangoni! Vijana jazz Asanteni wa burudani! Na kwa Kiswahili Sanifu!
Wakati ukuta hakika miaka hairud nyuma
Dunia imebadilika. Hakuna tena nyimbo zenye mafunzo kama hizi
Vijana jazz orchestra ilikuwa mito Wa kuotea mbali tuu.Kiswahili walitimia asikwambie mtu
My kind of music
Old is gold.Hawa walikuwa hawasaidiwi Na computer walikuwa mahiri kweli!
Kwa kweli mimi hupata amni ya moyo, vivile utulivu wa nafsi na pumbazo la akili kila ninaposikiliza hii midundo ya kale. Wanamuziki hawa walikua wataalamu, wajuzi mahiri waliojua muziki. Wabunifu waimbaji wa ukweli sio wapiga zogo. Hakika raha na faraja tupu👍🇹🇿😀😀😀
classsic music, i miss kitale ingoo
Watu wanaoujua mziki ndio hawa
Brings back good feelings,memories.....
,
huyu goto gotasheweji wanted mm niko Cambodia natafuta maisha Kll longllllll
Wimbo ulibamba sana
C'est quel pays avec cet orchestre ? uuuuum
Bonjour, Pays de la Tanzanie Afrique de l'Est. T'es oú de toute façon?
Hivi mvuvi kinda, zainabu na tereza ni albam 1? na je ilikua mwaka tisini na ngapi? Huyu jamaa Jery Nashoni kwangu alikua ni zaidi ya Manet, alafu najua baada ya Jerry kufa vijana jazz walitoa albam ya Top mwaka 94 quine wakiongozwa na Fred Benjamini, muhina panduka, manito musa, shabani yohana, ali jamwaka, john kitime, bakari semuhando, rashid pembe, gotagota, pamela mahalu na wengine kama nimekosea naomba kusahisha maana sisi wengine ni vijana wajuzi tu hapa 80s
Mwaka 92
Nila shaka tisini na moja na hapo ni utunzi wa benovila Antony kumbuka mvuvi namba moja alitunga akiwa oss hapo saut benovila jery nashon na seleman mbwembwe
Manet kaka hapo kwenye uwimbaji na utunzi na habari nyingine huyo Huyo Duduminzi ni fundi kweri lkn vyeo vya manet bado ajafikia
Tungo.za.kifasihi. Muziki muruwa.
line uliotaja ya kina mohamed gotagota hujakosea kabisaa
Old is gold!
Perfect!
haitatokea tena hizi nyimbo mpaka mwisho dunia
safi sana mvuvi kina
Waooo!!!
hizo ni sauti zao na mikono tu no computer thax.men
Vipaji mahili Kwelkwel
Tumba za nani na kinanda?,???
Tumba za ali jamwaka kama sijakosea
Kinanda palmela mahalu
Electronics drums juma choka/abuu semhando
Hii ilikuwa miaka ya 88 bila kusahau pamoja na ngapulila
yani azina imeondoka na mziki wake dar mvuvi kinda pole
uyo ni selemani mbwembwe
Jamani mkumbuke mvuvi kinda ya mhina panduka alipiga na safari sound nayo ilikuwa ni moto.walijiita powa iranda
apana, atakuwa benovilla,
Natafuta baba.jeni ya Bantu group (Hamza Kalala) tafadhali.
@@michaelsimwanza1958 Nyimbo ni usicheze na bahari sehemu ya kwanza OSS,sehemu ya pili ndiyo hii,wengine huuita mvuvi kinda.Ni tungo za Bennovilla Antony
@@michaelsimwanza1958 Beno villa Anthony
Hivi anataja neno Asossa au?
@Deus Ngowi ...asusa=kitoweo
mvuvi kinda.
cha kale dhahabu
Enzi hizo hazitarudi kamwe, kweli yakale ni dhahabu.
SANA
Nasikia sauti ya masharubu kwa mbali Sulemani mbwembwe je ni kweri? Au ni Momba huyo! Nisaidieni jibu
Ndio mwenyewe
Yes hujakosea ni yeye suleiman mbwembe/gotagota/fred benjamin/beno/dudumizi
Mbwembe huyo
Kweli Suleiman mbwembwe huyo
Yes ni mbwembwe Huyo sauti ya dhahabu.