Vijana Jazz - Usicheze Na Bahari No 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Old is Gold!

Комментарии • 52

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 10 месяцев назад +1

    Amkeni leo muone music tunaousifia hakika mtashangaa sikuona ajabu kukuta tungo zenu kwenye mitihani ya kiswahili asante vijana

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 2 года назад +6

    Ohhhh! Maskini mvuvi Kinda! Pole nyingi toka vijana jazz band! Ila Bahari ikiwa shwari , mkamsake mvuvi Kinda!Jerry Jerry Nashon Dudumiz! Sauti ya kumtoa nyoka pangoni! Vijana jazz Asanteni wa burudani! Na kwa Kiswahili Sanifu!

  • @williammakhanu7610
    @williammakhanu7610 Год назад +1

    Dunia imebadilika. Hakuna tena nyimbo zenye mafunzo kama hizi

  • @wilkinsonndigajustus33
    @wilkinsonndigajustus33 2 года назад +1

    Vijana jazz orchestra ilikuwa mito Wa kuotea mbali tuu.Kiswahili walitimia asikwambie mtu

  • @christineungadi4188
    @christineungadi4188 3 года назад +3

    My kind of music

  • @amonijustini119
    @amonijustini119 6 лет назад +6

    Old is gold.Hawa walikuwa hawasaidiwi Na computer walikuwa mahiri kweli!

  • @khamiskhamis864
    @khamiskhamis864 3 года назад +1

    Kwa kweli mimi hupata amni ya moyo, vivile utulivu wa nafsi na pumbazo la akili kila ninaposikiliza hii midundo ya kale. Wanamuziki hawa walikua wataalamu, wajuzi mahiri waliojua muziki. Wabunifu waimbaji wa ukweli sio wapiga zogo. Hakika raha na faraja tupu👍🇹🇿😀😀😀

  • @juliusotucho4436
    @juliusotucho4436 3 года назад +2

    classsic music, i miss kitale ingoo

  • @godfreychialo7679
    @godfreychialo7679 3 года назад +1

    Watu wanaoujua mziki ndio hawa

  • @mamakisan
    @mamakisan 3 года назад +1

    Brings back good feelings,memories.....

  • @makamehaji7994
    @makamehaji7994 5 лет назад +1

    huyu goto gotasheweji wanted mm niko Cambodia natafuta maisha Kll longllllll

  • @justnebagyemu1587
    @justnebagyemu1587 5 лет назад +1

    Wimbo ulibamba sana

  • @wamupepe120
    @wamupepe120 4 года назад +1

    C'est quel pays avec cet orchestre ? uuuuum

    • @galagotours12
      @galagotours12 4 года назад

      Bonjour, Pays de la Tanzanie Afrique de l'Est. T'es oú de toute façon?

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 8 лет назад +9

    Hivi mvuvi kinda, zainabu na tereza ni albam 1? na je ilikua mwaka tisini na ngapi? Huyu jamaa Jery Nashoni kwangu alikua ni zaidi ya Manet, alafu najua baada ya Jerry kufa vijana jazz walitoa albam ya Top mwaka 94 quine wakiongozwa na Fred Benjamini, muhina panduka, manito musa, shabani yohana, ali jamwaka, john kitime, bakari semuhando, rashid pembe, gotagota, pamela mahalu na wengine kama nimekosea naomba kusahisha maana sisi wengine ni vijana wajuzi tu hapa 80s

    • @justnebagyemu1587
      @justnebagyemu1587 5 лет назад

      Mwaka 92

    • @abduldunga8413
      @abduldunga8413 5 лет назад +2

      Nila shaka tisini na moja na hapo ni utunzi wa benovila Antony kumbuka mvuvi namba moja alitunga akiwa oss hapo saut benovila jery nashon na seleman mbwembwe

    • @najmasaleh9231
      @najmasaleh9231 3 года назад +1

      Manet kaka hapo kwenye uwimbaji na utunzi na habari nyingine huyo Huyo Duduminzi ni fundi kweri lkn vyeo vya manet bado ajafikia

  • @sheriazetu8220
    @sheriazetu8220 5 лет назад +1

    Tungo.za.kifasihi. Muziki muruwa.

  • @jumbempalasinge3528
    @jumbempalasinge3528 8 лет назад +2

    line uliotaja ya kina mohamed gotagota hujakosea kabisaa

  • @amanimohameddagila3704
    @amanimohameddagila3704 8 лет назад +2

    Old is gold!

  • @odiero40
    @odiero40 10 лет назад +1

    Perfect!

    • @mussahassan6310
      @mussahassan6310 7 лет назад

      haitatokea tena hizi nyimbo mpaka mwisho dunia

  • @flowila82
    @flowila82 9 лет назад

    safi sana mvuvi kina

  • @trickytriggtz9440
    @trickytriggtz9440 6 лет назад +1

    Waooo!!!

    • @makamehaji7994
      @makamehaji7994 5 лет назад +1

      hizo ni sauti zao na mikono tu no computer thax.men

  • @gabrielmtenga680
    @gabrielmtenga680 6 лет назад +1

    Vipaji mahili Kwelkwel

  • @carlosalfan1099
    @carlosalfan1099 6 лет назад +2

    Tumba za nani na kinanda?,???

    • @fareedfareed8247
      @fareedfareed8247 5 лет назад +1

      Tumba za ali jamwaka kama sijakosea
      Kinanda palmela mahalu
      Electronics drums juma choka/abuu semhando

    • @kakaokitomari9148
      @kakaokitomari9148 4 года назад +3

      Hii ilikuwa miaka ya 88 bila kusahau pamoja na ngapulila

  • @jastinbenjamin1132
    @jastinbenjamin1132 6 лет назад +1

    yani azina imeondoka na mziki wake dar mvuvi kinda pole

  • @jumbempalasinge3528
    @jumbempalasinge3528 8 лет назад

    uyo ni selemani mbwembwe

    • @michaelsimwanza1958
      @michaelsimwanza1958 6 лет назад

      Jamani mkumbuke mvuvi kinda ya mhina panduka alipiga na safari sound nayo ilikuwa ni moto.walijiita powa iranda

    • @hermankomba5017
      @hermankomba5017 4 года назад

      apana, atakuwa benovilla,

    • @tsumabanya8934
      @tsumabanya8934 3 года назад

      Natafuta baba.jeni ya Bantu group (Hamza Kalala) tafadhali.

    • @benedictokatole906
      @benedictokatole906 2 года назад +1

      @@michaelsimwanza1958 Nyimbo ni usicheze na bahari sehemu ya kwanza OSS,sehemu ya pili ndiyo hii,wengine huuita mvuvi kinda.Ni tungo za Bennovilla Antony

    • @tumainimalulu7708
      @tumainimalulu7708 2 года назад

      @@michaelsimwanza1958 Beno villa Anthony

  • @deusngowi
    @deusngowi 7 лет назад +1

    Hivi anataja neno Asossa au?

    • @mgm412
      @mgm412 6 лет назад

      @Deus Ngowi ...asusa=kitoweo

  • @VenanceWoiso
    @VenanceWoiso 8 лет назад +2

    mvuvi kinda.

  • @harunarajabu3476
    @harunarajabu3476 9 лет назад +1

    cha kale dhahabu

  • @djtonny4655
    @djtonny4655 8 лет назад

    SANA

  • @najmasaleh9231
    @najmasaleh9231 8 лет назад +1

    Nasikia sauti ya masharubu kwa mbali Sulemani mbwembwe je ni kweri? Au ni Momba huyo! Nisaidieni jibu