HANDSOME BOY ALIE TOKEA KUMPENDA BINTI CHOKORAA 💔 Love Story | DONTA TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 486

  • @Agatha-g6v
    @Agatha-g6v 17 дней назад +151

    Jmn love anajua sana ,,,,,kama unampenda loveness gonga like tujuana

  • @AhadiMoses
    @AhadiMoses 17 дней назад +22

    Aiseee hii movie ninzuriii ,,broo Brown hongera,,,naomba likes zakooo broo💯

  • @FatmaFatmaMohammad
    @FatmaFatmaMohammad 16 дней назад +19

    Yan love 💕 nes nakupnd san 🥰 dada yng uko pw san tunao mpenda love tujuane

  • @LoveMshan
    @LoveMshan 17 дней назад +58

    Kumbe ndomna mnachelewesha penzi la dada wa Kaz na mtoto wa boss lovenes yupo na uku

  • @FastaHeradi
    @FastaHeradi 17 дней назад +56

    Ila loveness ume nivunja mbavu dada, naku omba like yako moja tu tafazali.

  • @YASINFADHILI-er1xp
    @YASINFADHILI-er1xp 17 дней назад +36

    Mwenzenuuu sijawai kua WA 1😢😢😢naombeni ata vi like 2😢

  • @rosedzuya6869
    @rosedzuya6869 16 дней назад +7

    Mungu akufikishe mbali Loveness, nawafuatilia nikiwa UAE♥️♥️♥️

  • @peterwanyoike-xl9eh
    @peterwanyoike-xl9eh 18 дней назад +37

    Ak pezi la mtoto wa boss na dada wa kazi inatoka lini

  • @MubayaSelemani
    @MubayaSelemani 17 дней назад +8

    A very good lesson for wicked women who don’t take care for their husbands I❤it keep it up don’t Donta tv

  • @johnokina2879
    @johnokina2879 16 дней назад +7

    Kaka mapenzi ni kipofu, pigania unachokipenda. Much love❤❤❤❤.

  • @andrewkasiga
    @andrewkasiga 17 дней назад +91

    Kama una Anglia moviee hii GONGA LIKE HAPA NIJUE UWEPO WAKO😊❤❤

  • @Guyfleury17
    @Guyfleury17 18 дней назад +110

    Wenzangu gutoka Burundi 🇧🇮 nimekua wa1 naomba likes zangu.

  • @JeanJacquesmotivation-hn6tn
    @JeanJacquesmotivation-hn6tn 18 дней назад +22

    Nipo Wa kwanza kabisa kuiona hii naomba like zangu apa❤

  • @Kize-j4b
    @Kize-j4b 17 дней назад +38

    Jamani tunaoamini loveness anakitu ndani yake na akipambana atafika mbali sana kwenye tasnia ya filamu tujuane kwa likes♥️♥️♥️♥️

  • @ruthlodung
    @ruthlodung 17 дней назад +12

    mngeandika kichwa Cha move kua ,kijana handsome alie mpenda msichana mwenda wazimi Dio msichana chokoraa Kuna tofauti kubwa kati ya chokora na mwendawazimu

    • @ZyadaAll
      @ZyadaAll 12 дней назад

      🎉🎉🎉

    • @MwahijaKhatibu
      @MwahijaKhatibu 9 дней назад

      Bora ww umelioona nilikuwaaa naitafuta comment hiiii😂😂😂

    • @SalhaAley-cl2yj
      @SalhaAley-cl2yj 7 дней назад

      Afadhali nimepata wenzangu maana chokoraa ni mwenye akili

  • @EviathaEdistedius
    @EviathaEdistedius 17 дней назад +30

    Nipo huko nasubir penz la dada wa kaz tok juz😢😢

    • @AidathRweyongeza
      @AidathRweyongeza 17 дней назад

      😂😂😂we endelea kusubili mm nimechoka😂😂

    • @AmenaMm-r5t
      @AmenaMm-r5t 17 дней назад +1

      Hhhhhh tunangoj mpak kielewek

    • @AaAa-tf7sl
      @AaAa-tf7sl 17 дней назад

      Nilisahau pia kma kuna dada wa kazi😂😂😂

    • @AishaAishayahaya-e3w
      @AishaAishayahaya-e3w 17 дней назад

      Wanaker kam nn ila bado twaipenda❤❤

    • @BeatriceSoka-c7c
      @BeatriceSoka-c7c 9 дней назад

      Walisema kev ana dharura that is why wamecheleweaha​@@AishaAishayahaya-e3w

  • @SafariJamal
    @SafariJamal 17 дней назад +8

    Movie kali aisee 👌,,, ila mwanitesea loveness wangu❤ sana jamani 😂😂mateso mengi mnoo kwenye character yake mwaniumiza rorho jamani 💔🫣😂😂😂😂🇰🇪❗

  • @NdayisengaKhadidja
    @NdayisengaKhadidja 17 дней назад +19

    Jamani mimi nampenda Love❤❤❤❤

  • @GloriaMtana
    @GloriaMtana 16 дней назад +6

    Loveness unajua sana kwa kweli eeeeee nimecheka sana😂😂❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AghHh-v3f
    @AghHh-v3f 17 дней назад +18

    Tuko wote brown kutoka 🇧🇮 🇧🇮 nakufatasana kaka❤❤❤❤

  • @TantineNshimirimana-he2ty
    @TantineNshimirimana-he2ty 17 дней назад +5

    Loveness uzur wak unatosh usije kupak sijui make up unaharib uzur wak kazi nzur unastahili mauwaa🎉🎉❤❤ kwa kaz nzur unawez

  • @josephineuwizeye8250
    @josephineuwizeye8250 17 дней назад +7

    Much love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @NgalamnyaziScolasticah
    @NgalamnyaziScolasticah 16 дней назад +7

    Haya majina ya kendy huwa na shida gani,Kila mahali ni visiraniila amina kumbe una ukarimu hivyo siokm kwa penzi la mtoto wa boss na kija kazi, loveness hongera mama pokea maua yako toka Saudi Arabia 🇸🇦 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹❤❤❤❤

  • @NiyonsabaJofred
    @NiyonsabaJofred 17 дней назад +14

    Lavness hata ujifanye kichaa unabaki kuwa mzuri sana nakumisi sana❤

    • @MarionImali-j8b
      @MarionImali-j8b 17 дней назад

      😂😂😂😊

    • @NiyonsabaJofred
      @NiyonsabaJofred 17 дней назад

      @@MarionImali-j8b jamani mbona unanicheka nimesema ukweli wewe nimurembo sana kama Kelvin hajaoa basi muangalie juu ya hilo munaendana sana ila blauni siyo sana

    • @AgnesMiyi
      @AgnesMiyi 17 дней назад +1

      Naungana na wewe hata awe vipi Bado mzuri sana binti

    • @AgnesMiyi
      @AgnesMiyi 17 дней назад

      Nataka nimuulize blaun mbona macho yake yanazunguka sana

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 17 дней назад

      Candy Dada 😢😢 Jamn

  • @OmarNzohabonayo
    @OmarNzohabonayo 17 дней назад +11

    Team strong tujuwane🇲🇬🇲🇬

  • @shaydebby5678
    @shaydebby5678 17 дней назад +17

    Nmecheka sana amina alivokimbia baada ya kumuona love😂😂😂😂😂

  • @eunicemwikali5118
    @eunicemwikali5118 17 дней назад +3

    Loveness kumbe uko huko do manake penzi la mtoto wa boss imechelewa...enywei congrats ❤

  • @FastaHeradi
    @FastaHeradi 17 дней назад +5

    Ali nyiye jamani muta tuwa na mapenzi, eti loveness murembo tena chokoraa! Nipeni yangu basi kutoka apa congo drc tena nawapenda sana.

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 18 дней назад +8

    Kazi nzr sana tem Donta plus❤🎉

  • @EzromKasind
    @EzromKasind 17 дней назад +15

    Gonga like kwa loveness❤❤

  • @ConsolathaMakusa
    @ConsolathaMakusa 17 дней назад +4

    ❤❤dontaa bhana nyiee mungu awape nguvu kila iitwapo leo mnafanya vizurii... Hamboiiii hampoiiii🍓🍓

  • @سيييققق
    @سيييققق 16 дней назад +6

    Wakenya tupoo? Gonga like tujuane basi mi na watch nikiwa gulf na wewe unawartch ukiwa wapi

  • @Haji-l9q
    @Haji-l9q 17 дней назад +8

    Handsome mwenyewe kunambi angeigiza tu kelvin ndowanaenda na loveness

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 17 дней назад +3

      wabongo hampendagi maendeleo sijui ni kwanini , mkimtaka mtu mmoja mnamg'ang'ania huyo huyo hiyo nishida kubwa sana badilika lafiki penda kuwapa na wengine nafasi

    • @Haji-l9q
      @Haji-l9q 17 дней назад

      @@Mpakauseme okay

    • @RizikiZiki
      @RizikiZiki 17 дней назад +2

      Kwaiyo wangine wasicezi waceze tu kelvin na lavenesi inakuja iyo kweli inabidi tutambuwe kama iyi nikazi haicavuwi wacezaji

    • @AidathRweyongeza
      @AidathRweyongeza 17 дней назад

      ​@@Mpakausemendo ushangae wacha hawana dogo mm naona yupo sawa

  • @WiltherArisa
    @WiltherArisa 17 дней назад +4

    Loveness jukua maua yako mapema kazi nzuri 👌👌🔥 🔥

  • @HadijaKanze
    @HadijaKanze 16 дней назад +4

    Eee jamani mim nimecheka eti loveness n chizi waaah kaz nzuri san

  • @AgnesMiyi
    @AgnesMiyi 17 дней назад +17

    Jamani mm ni mara yakwanza kuiangalia hii move kumbe ni nxuri nikaribisheni jamani

  • @ChristineNasambuWekesa-is9qx
    @ChristineNasambuWekesa-is9qx 16 дней назад +3

    Funzo nzuri sana..keep it up guys

  • @ifrahabi4834
    @ifrahabi4834 17 дней назад +3

    Loveness is best actress ❤❤❤

  • @AminaJoseph-m4o
    @AminaJoseph-m4o 17 дней назад +3

    😂😂😂😂😂 Loveness Huwa ananipaujasiri sana nakupenda saaana unanipa shauku ya kuwa muuigozaji❤

  • @VeveVestineniyera
    @VeveVestineniyera 17 дней назад +4

    Nawapenda sana vipenzi❤,loveness apewe maua yake🌷🌷

  • @kokenye9003
    @kokenye9003 17 дней назад +2

    Wow wow loveness jamani ogera kaka Brown

  • @HajiMachano-m6y
    @HajiMachano-m6y 17 дней назад +4

    Oyoo ime Tisha na love ness mungu akubark dada upo vzr

  • @JamilaJaffari-o9k
    @JamilaJaffari-o9k 15 дней назад +2

    Kiufupi donta famili nawakubali sana🎉🎉🎉🎉

  • @EdnaMwashilo
    @EdnaMwashilo 17 дней назад +3

    Yani hii angeigize kev angeuwa Ila sio mbaya mko vizuri mungu awapeke viwango vya juu sana

  • @MamaBright-j3k
    @MamaBright-j3k 16 дней назад +4

    Love unajua kuigiza nawapenda

  • @SegeseMbut
    @SegeseMbut 16 дней назад +3

    Mnazingua sana mnachelewesha kazi kinoma jifunzeni kwa kp na zebuu

  • @rahabundeje7206
    @rahabundeje7206 15 дней назад +3

    Huyu ndy loveness ninayemjua mimi 😀😀😀 aisee ana kitu atafika mbali sanaa ❤❤😊

  • @Diyo-u5o
    @Diyo-u5o 17 дней назад +2

    Chokoraa am mwendawazimu....isiwe issue jamaa mnaupga mwingi❤❤

  • @NoorAli-gk8bj
    @NoorAli-gk8bj 17 дней назад +3

    Hongereni kazi nzuri no na inamafunzo

  • @rozamarcelle1241
    @rozamarcelle1241 17 дней назад +5

    Yahani kusema kweli kabisa hacha mupewe mauwa yenu jamani eeeee Raha sana 🥀❤️🥀❤️🥀❤️🥀❤️

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 17 дней назад +4

    Lovenes jmn upo vizuri nimecheka leo😂😂❤❤❤❤

  • @AidathRweyongeza
    @AidathRweyongeza 17 дней назад +3

    Mambo ni 🔥🔥🔥💯💯 mko vizuri mno hongereni Sana

  • @GreatOman-vg4qu
    @GreatOman-vg4qu 15 дней назад +2

    Lovenes..unajuwa..sana..kipenzi..utafika .mbali..sanaa

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 14 дней назад +1

    😂😂😂😂😂wangapi wanamkubali loveness ❤❤❤ from 🇰🇪

  • @VumiliaMwaiswelo
    @VumiliaMwaiswelo 16 дней назад +3

    Nasubilia mtoto wa bos kelvin na love

  • @CathrineMlialia
    @CathrineMlialia 16 дней назад +2

    Jamani loveness amecheza vizuri natamani iendeleeee ❤

  • @NeriusKithisyo
    @NeriusKithisyo 17 дней назад +4

    Loveness Leo umenipamba roho.umeingiza kweli

  • @KuvunaGonda
    @KuvunaGonda 17 дней назад +9

    Haya tujivunie na donta

  • @elosygatwiri-r4l
    @elosygatwiri-r4l 15 дней назад +1

    Kendi akona kisirani mingi sana ,loveness unaingiza vizuri akh hongera pokea maua yko much love from kenya

  • @Samiafficial3942
    @Samiafficial3942 15 дней назад +3

    Wengangu kutoka Rwanda tujuane❤❤❤❤

  • @DorcasAlii-eu9vu
    @DorcasAlii-eu9vu 17 дней назад +2

    Good lesson to all ladies,,,

  • @BeatriceAron-j3b
    @BeatriceAron-j3b 17 дней назад +5

    Kunambi tunampenda ila kwa kuingiza na lovenes bdo san, mwachie kelvn bna

  • @fatuma6011
    @fatuma6011 14 дней назад +2

    Love umeweza dadaangu maua yako❤❤❤🎉🎉🎉

  • @ifrahabi4834
    @ifrahabi4834 17 дней назад +2

    Beautiful movie.

  • @StacyMkadinali
    @StacyMkadinali 16 дней назад +2

    Daah loveness umeweza kwel kwenye hio party ya uchizi apo ambapo ulijirusha kwenye machupa baada ya kumfukuza kunambi

  • @FransBeda
    @FransBeda 5 дней назад +1

    move nzuri sana ila sijamuona vick amepoa sana

  • @SafiMahoro
    @SafiMahoro 16 дней назад +2

    Dada kwa Nini iyi n'a fasi kelvin asinge usika nayo ww n'a kelvin muna endana sana,❤❤❤❤

  • @PiliMakame
    @PiliMakame 15 дней назад +2

    Hongereni sana kwa mafundisho yenu mazuri

  • @MariamRiziki-o8x
    @MariamRiziki-o8x 16 дней назад +3

    Mbna loveness ameigiza kama mwenda wazimu si chokoraa

  • @FredChacha-c5s
    @FredChacha-c5s 18 дней назад +4

    First one waoo

  • @GloriaHilla-b5f
    @GloriaHilla-b5f 4 дня назад

    I like the tune wow love good job

  • @DianaDiana-ej6fn
    @DianaDiana-ej6fn 17 дней назад +3

    Ak loveness wewe ,,,,nmecheka venye ulikuwa unataka 😂😂😂😂😂,,, anyway umeicheza poa

  • @BintiM-di1wm
    @BintiM-di1wm 14 дней назад +2

    Loveness na hilo teke ulotaka kumpiga Amina aki nmecheka 😂😂😂❤❤ kzi nzr 🔥

  • @DominikaBahat
    @DominikaBahat 16 дней назад +2

    Ongera sana loveness my dear

  • @TeshmonyAntonio
    @TeshmonyAntonio 18 дней назад +17

    loveness unakuanga mzuri sana tatizo ni eti ulijiharibu na kujikondesha wakati ulikuwa na kamwili kiasi hata hio jina uliyokuwa unajiita miss warld ilikuwa inakustahiki ila skuizi toka ujikondeshe we niwakawaida tu mamaa

    • @Agyy628
      @Agyy628 17 дней назад +2

      Mmmmh ila walimwengu khaaa

    • @TeshmonyAntonio
      @TeshmonyAntonio 17 дней назад +2

      walimwengu wana nn mwenzetu

    • @TeshmonyAntonio
      @TeshmonyAntonio 17 дней назад +2

      we usiwe unajaza susu kwayasiyokuhusu we mshamba

    • @priscahmahenzo642
      @priscahmahenzo642 9 дней назад

      😂😂😂😂​@@TeshmonyAntonio

    • @priscahmahenzo642
      @priscahmahenzo642 9 дней назад

      𝙻𝚋𝚍𝚊 𝚖𝚊𝚙𝚎𝚗𝚣𝚒 𝚢𝚗𝚊 𝚖𝚜𝚞𝚖𝚋𝚞𝚊😂😂😂😂

  • @GastoMariana
    @GastoMariana 16 дней назад +2

    Mnaacha kuendelea na series ya penzi la mtoto wa boss mnalukia vitu vinavyopoteza mood ,😂

  • @kumugishahalima9863
    @kumugishahalima9863 17 дней назад +2

    Team loveness gather here 😂

  • @AshaShapan
    @AshaShapan 16 дней назад +2

    Love. Ness. Anaiweza. Sana. Mungu. Amjaliye.

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 17 дней назад +5

    Alifu nyie miyusho uyo ni handsome boy au badboy nimecheka mbavu cna😅😅

    • @JuliethMaketh
      @JuliethMaketh 14 дней назад +1

      Sijapenda brown namkubali sana🎉🎉 hii term kwa ujumla Iko vizuri

    • @AllyBabu-kr6lg
      @AllyBabu-kr6lg 14 дней назад

      @@JuliethMaketh sasa hansom boy apo yuko api

  • @carolinesamwel5282
    @carolinesamwel5282 16 дней назад +2

    Mbona mnachelewesha story penzi la

  • @AnnaMbale-r1l
    @AnnaMbale-r1l 17 дней назад +2

    Kazi nzuri jamn nimecheka san

  • @haviradha4058
    @haviradha4058 16 дней назад +3

    Mko vizr Donta mauw yenu 💞💞💞💞💞

  • @ChristinaJoab
    @ChristinaJoab 17 дней назад +5

    Tunsubr penzi la mtot wa boss mwendelezo

  • @KomboAlly-s2m
    @KomboAlly-s2m 16 дней назад +2

    Mbn mnazingua penz la mtoto wa boss mnauchelewesha kuuwachia

  • @IsakaKiyalo-s3v
    @IsakaKiyalo-s3v 17 дней назад +2

    Jaman loveness mweeee

  • @SophlinerDaniel
    @SophlinerDaniel 15 дней назад +1

    Loveness apa ulieza hongela

  • @kahozaMediaWorld
    @kahozaMediaWorld 18 дней назад +6

    Wa Kwanza ❤❤❤

  • @rakenmontes7981
    @rakenmontes7981 16 дней назад +2

    Loveness umenifanya nicheke sana😂😂😂 unajuwa sana yani kama kichaa kweli😂

  • @AishaAishayahaya-e3w
    @AishaAishayahaya-e3w 17 дней назад +4

    mim ndo mjumbe wa nyumba kumi awa ndo niwapangaj wang😂😂

    • @TulinaveMgeni
      @TulinaveMgeni 16 дней назад

      nimecheka kwa sauti😂😂😂

  • @gudilasway4144
    @gudilasway4144 16 дней назад +2

    Loveness leo umenichekesha 😂😂

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 7 дней назад +1

    Tuluokuja kutizama hii baada ya interview ya lovenes plz like hapa❤

  • @AmadiBilali
    @AmadiBilali 17 дней назад +2

    Shavu sana brwon unaweza broo,from Mozambique pamoja

  • @NemaAli-zh6hr
    @NemaAli-zh6hr 17 дней назад +5

    Yn nilivyoona handsame boy mwenyew kunambi nimeacha kuangalia bola angekuwa kelv

  • @AaAa-tf7sl
    @AaAa-tf7sl 17 дней назад +2

    Afadhal kwa hii movie amina ashaolewa😂😂😂😂

  • @mariamOsman-l1l
    @mariamOsman-l1l 15 дней назад +2

    Msitufanyie ivo jamaan mda mwingine tunakata tamaa muv haitufikii kwa wakat inachelewa bas muwe mnatumalizia kwanza penz la mtoto wa boss na dada wa kaz ikiiisha then ndo muachie zingine

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 12 дней назад

    Waaah hiyo kali,know touch,know kiss,know disturbing sleep well .

  • @ChanceRugohera-gz3lm
    @ChanceRugohera-gz3lm 17 дней назад +2

    Love❤❤🎉🎉

  • @kimbiliojosephat
    @kimbiliojosephat 17 дней назад +10

    Kama unamkubali brown nipe like

  • @DJAZBABOYS
    @DJAZBABOYS 17 дней назад +6

    Hiyi muvi niatari kwakweli naipenda sana❤❤❤❤❤😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🥀🥀🥀🥀

  • @PaulinaLorry-b4m
    @PaulinaLorry-b4m 14 дней назад +1

    Aminaaaaaa, umeruka km mshale wa mwarabi