SHEMEJI ANATAKA TENA 💞 Love Story | DONTA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024

Комментарии • 208

  • @PrettySalmah-tt8bh
    @PrettySalmah-tt8bh 4 месяца назад +20

    Da victory nipee huo moyo wako haki upew mauw yako🏵️🌹🌹🥀🥀🌺🌺ustaarabuu umejaliw ni wachach weny moyo kama wakwako, congratulations Donta plus may Allh continue to protect you in every situation and give you more and more talent🙏nguruw wa kijijin 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂

  • @MaA-kn9ty
    @MaA-kn9ty 4 месяца назад +49

    Naomba like zangu hata 5 tusonge mbele kazi nzuri sana nawapenda bure Wana donta family 😂😂😂❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw 3 месяца назад +2

      Watanzania watu wa,,likes,,likes tuu,amna legne

    • @MariamHaji-v1x
      @MariamHaji-v1x Месяц назад

      😅😮❤😮😮😅😢😊😅😮 0:00

    • @MariamHaji-v1x
      @MariamHaji-v1x Месяц назад

      ❤❤😢😅😊🎉 0:00

    • @francisokutoyi
      @francisokutoyi 13 дней назад

      Yyy6yyyyy6yyyy6yyyy6yyyyyy6yy6y6yy6yyyy6y6yyy6yyyyyyyyyy6yyy6yyyyyy6yyyyy6yyyyyyy6yyyyyy6yy6yyy6yy6km

  • @AgnesMwende-p9w
    @AgnesMwende-p9w 4 месяца назад +12

    Tina congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 iyo part unaingiza poa kabisa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sarahnjeri-tz8eu
    @sarahnjeri-tz8eu 4 месяца назад +15

    Vile Tina amenyamaza kwa kumwona Derrick wee ugedhani ni bubu😂😂😂

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 4 месяца назад +8

    Mashallah mashallah mashallah Tina 🎉🎉🎉🎉

  • @Nailaty564
    @Nailaty564 4 месяца назад +9

    Sasa hivi donta inanogeshwa na lovenes na nyuki😍😍😍😍😍😍😍😍❣️❣️

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 4 месяца назад +10

    😂😂😂😂😂 much love from 🇰🇪 nawapenda sana

  • @user-er3cb9mb9m
    @user-er3cb9mb9m 4 месяца назад +14

    Much love from Kenya guys like e😂❤😂

  • @shabaniathumani2284
    @shabaniathumani2284 4 месяца назад +8

    nyuki jilyage imali ja g'wani ngosha tulihamo sana ❤❤❤❤❤

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 4 месяца назад +13

    Yaani nime kubali nyuki alipo muambia Tina shemej bado unanipenda😂😂😂

  • @jovithatibatekeleza6598
    @jovithatibatekeleza6598 4 месяца назад +10

    Huu ni ujinga binafsi siwezi kwenda kwa wifi mjinga kama huyo ambaye tayari ameiahaniita mbwa afu eti kaka mtu anaaema ukaongee nae SIWEZI

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw 3 месяца назад

      Apana,wakati wote mtu anapaswa kutumia akili kiac,unaona vzuri awa nwatu wanapedana,Ivo basi uyu aliletewa habari kua mwezake kaonekana na mwanamke mwegne

  • @Kinyua-ye8kk
    @Kinyua-ye8kk 4 месяца назад +15

    Acha unafiki Tina sema ukweli unapenda Uyo mwanaume

  • @PuritySalama-yv6to
    @PuritySalama-yv6to 4 месяца назад +8

    Lovens amekosea uliza kwanz

  • @aminadjuma7555
    @aminadjuma7555 4 месяца назад +8

    Lakini Tina ww mkali Sana ila nakupenda

  • @lusamonene5643
    @lusamonene5643 4 месяца назад +6

    Booora kabisa asili mia moja mia. Haya yote utokea kati yetu kila wakati.Jawabu, chunguza unacho kiaambiwa kabula ya kuchukua hatua. Wabinafiki ni wengi. Rafiki lakini ndani yake ni tamaa na wivu.

  • @SwaibaAmry-fk8no
    @SwaibaAmry-fk8no 4 месяца назад +6

    Tina bado unamtaka nyuki 😜😜😜

  • @aishasidi6673
    @aishasidi6673 4 месяца назад +5

    Alfu nyuki hayo macho jmn❤❤❤❤❤❤

    • @aishasidi6673
      @aishasidi6673 4 месяца назад

      @nyukitvonline ndivyo yalivyo amaninyege

  • @user-xr6xk9lb5c
    @user-xr6xk9lb5c 4 месяца назад +7

    Kenya Watching, twapenda

  • @peteryohana891
    @peteryohana891 4 месяца назад +10

    Hata hana akili mwache lovenesi namtaka Mimi, love you wewe mdada👩‍❤️‍💋‍👩👩‍❤️‍💋‍👩👩‍❤️‍💋‍👩👩‍❤️‍💋‍👩👩‍❤️‍💋‍👩👩‍❤️‍💋‍👩💗💗💗

  • @SmartMC-bp9yg
    @SmartMC-bp9yg 4 месяца назад +7

    Huwa anazidi kunifurahisha tina

  • @BekaBouson-rx5uh
    @BekaBouson-rx5uh 4 месяца назад +3

    naombani like zawa congo haha bon jour atous
    ❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂

  • @ElishaElibariki
    @ElishaElibariki 4 месяца назад +5

    🤣🤣🤣🤣 Tina mama kaeleza

  • @OmanIbri-hj8ss
    @OmanIbri-hj8ss 4 месяца назад +5

    Yaan kuna vifilamu vya hovyo kweli vinahamasisha unzinzi t

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 3 месяца назад

      Kwani umelazimishwa kuangalia

  • @PatrickBenjamin-b3n
    @PatrickBenjamin-b3n 4 месяца назад +4

    Vicky uko mutalamu sana na wapenda sana una eleo mucheza mume wako ata pataka muke

  • @shericktv509
    @shericktv509 4 месяца назад +6

    Ila tinah😂😂 ndo maana nakupendaga

  • @BabyeSaumu
    @BabyeSaumu 4 месяца назад +4

    Kazi safi ila Loveness hiyo style ya nywele badilisha jameni...

  • @SamweliJacob-bm2ij
    @SamweliJacob-bm2ij 4 месяца назад +4

    jamani badilisheni kwanza ata mtindo wauigizaji jamani kilasiku mapenzi tu duuh

  • @user-ec2cj5om7v
    @user-ec2cj5om7v 4 месяца назад +4

    Tina unaweza sana🎉🎉🎉

  • @fatuma6011
    @fatuma6011 4 месяца назад +4

    Tina big up uko sawa kwa kuchonganisha😂😂😂😂

  • @umikifupa-mi3re
    @umikifupa-mi3re 4 месяца назад +5

    Tina mkorofi lkn nakupenda

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 4 месяца назад +4

    Lovenese kingekuramba tina angeruka nae wezidi kujitowa akili😂😂😂😂

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys 4 месяца назад +4

    Tina apenda sana kumuingiliya ravnes ktk mapenz yake sijuw kwa nn

  • @SÙAREZMAHANGOBYAOMBE
    @SÙAREZMAHANGOBYAOMBE 3 месяца назад +1

    Donta family kazi nzuri sana kiukweli maana napendelea tuwe naona kazi nzuri kamahizi

  • @user-yq7gq6on5q
    @user-yq7gq6on5q 4 месяца назад +22

    Likes za wakenya tukisonga jameni❤

  • @aminadjuma7555
    @aminadjuma7555 4 месяца назад +4

    Lakini lovunesi imepungua sana

  • @LevinaRichard
    @LevinaRichard 4 месяца назад +3

    We Tina. Mnafiki unae ya mapenz

  • @paulowilliam3319
    @paulowilliam3319 4 месяца назад +4

    nimekubali lovenes una msimaamo wako

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 3 месяца назад +1

    Nakubali sana kazi zenu kelvin❤❤❤

  • @MwanahawaSeif-d6k
    @MwanahawaSeif-d6k 4 месяца назад +2

    Daah nikiangaliaga hii inanikumbusha mbali rafiki yangu alinichukia kisa mtu wangu hiv hiv kwa tamaa xake za pesa hadi leo urafiki wetu umekata tumekuwa maadui

  • @shericktv509
    @shericktv509 4 месяца назад +5

    Wakwanzaa

  • @NabiiZawadiFute
    @NabiiZawadiFute 3 месяца назад +1

    Loveness fundisha wanawake ambao hawa fikilii kabula ya kutenda

  • @nananishimwe1963
    @nananishimwe1963 4 месяца назад +4

    Nawapenda.jamani

  • @user-kg3in1lc8z
    @user-kg3in1lc8z 4 месяца назад +5

    ❤❤❤❤❤❤

  • @PatienceFatuma
    @PatienceFatuma 4 месяца назад +2

    Kwel Tina hiyo pat unajua kuicheza x mtan nmecheka paka naumia mbavu

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 4 месяца назад +4

    Eti shemegi unanitaka tena 😂😂😂😂Tina kimeumana 😢😢

  • @aminadjuma7555
    @aminadjuma7555 4 месяца назад +3

    Umepungua

  • @WhatpLucy
    @WhatpLucy 4 месяца назад +4

    Love nakupenda

  • @zaytoonzaytoon-oc4ze
    @zaytoonzaytoon-oc4ze 4 месяца назад +4

    Kaka nyuki swalo.....

  • @BiraliYona-hd3kh
    @BiraliYona-hd3kh 3 месяца назад

    Thanks kwa film nzuri sana inamafunzo kwawenye udako ❤akokasikyana kadogo kila firamu kanakyeza vizuri birali kutoka ug

  • @Zeinabmea
    @Zeinabmea 4 месяца назад +3

    Huyu Tina jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @marima931
    @marima931 4 месяца назад +2

    Tina limemushuka mapenzi sumu❤😂❤😂❤😂❤😂❤😂😂😂😂

  • @mahirmahir2407
    @mahirmahir2407 4 месяца назад +3

    Nyuki jaman😅😅😅😅😅

  • @MohamedRajab-l8r
    @MohamedRajab-l8r 4 месяца назад +2

    Duuuh Tina unaongea Kam umemeza memory 😂😂😂😂

  • @TumainiSaylas
    @TumainiSaylas 3 месяца назад +1

    Daaah jmn penda sana DONTA mna mambo mazur mauwa yenuu🎉🎉❤🎉

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz 4 месяца назад +4

    Mchepuko mwenye comfidance yake mjini😂

  • @cartoonpati2914
    @cartoonpati2914 4 месяца назад +4

    Tina mbaya

  • @PathyMaestro
    @PathyMaestro 3 месяца назад

    Am from Cong Dr but based in Zambia Lusaka I like this movie have been passing through the same story until I divorce my wife

  • @solangerecho
    @solangerecho 4 месяца назад +3

    Tina jamani mbavuzangu 😂😂😂😂😂

  • @bienaimemukongo5852
    @bienaimemukongo5852 4 месяца назад +2

    Et jitu lenyew limeinama kama nguruwe wa kijijin 🤣🤣🤣

  • @BerniceDaniel-th9dz
    @BerniceDaniel-th9dz 4 месяца назад +2

    Kweli Tina kanajua kuchochea jameni 😂😂😂😂

  • @PatrickBenjamin-b3n
    @PatrickBenjamin-b3n 4 месяца назад +1

    Kaka una cheza vizuri sana wende juu Tina na mupendaga sana apa Goma DRC nakuomba number yako

  • @RajjMohamed
    @RajjMohamed 3 месяца назад +1

    Hapa bado hawajaleta uhalisia jamaa bado kabisa mwongozaji sio hajui chochote kuhusu filam

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 4 месяца назад +3

    Tina nakubali maigizo yako

  • @AyubuMnyanyi
    @AyubuMnyanyi 3 месяца назад +1

    Good. Good. Apo Kelvin na mtunga story chukue like zangu

  • @FatmahSuleimanPlayer-ff9jh
    @FatmahSuleimanPlayer-ff9jh 4 месяца назад +3

    Love badilixha mtindo wanywele uwo tumeuchka bhn😂

  • @kiondojuma5798
    @kiondojuma5798 3 месяца назад +1

    Hapo mmezingua .baada ya kumpigia simu angemruhusu aje usiku ule amkute rafk yake hapo getho kungenogaaaa

  • @appsplay4324
    @appsplay4324 4 месяца назад +3

    Much love ❤❤❤

  • @ngusakalima9899
    @ngusakalima9899 4 месяца назад +2

    Nimeipenda ndonta mko poa

  • @Nadzuwamangale
    @Nadzuwamangale 4 месяца назад +3

    Tina kaumbuka viby san pol Tina 😂😂😂😂😂

  • @emorutnicholas1893
    @emorutnicholas1893 4 месяца назад +1

    Glad watching from Nairobi Kenya🥰

  • @AghHh-v3f
    @AghHh-v3f 4 месяца назад +4

    Tina wewe mbavuzagu 😂😂😂😂

  • @user-bm1oe9lh1m
    @user-bm1oe9lh1m 3 месяца назад +1

    Tina koma weee😂😂😂😂

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 4 месяца назад +2

    ❤❤❤❤❤❤much love from saudi

  • @boscojbosco3223
    @boscojbosco3223 4 месяца назад +3

    Hapo saw

  • @MsFatima-le8tr
    @MsFatima-le8tr 4 месяца назад +3

    Rafiki mbaya

  • @LoiceKatana-ci1tx
    @LoiceKatana-ci1tx 4 месяца назад

    Kazi nzuri nawapenda sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MaryGesare-r1j
    @MaryGesare-r1j 2 месяца назад

    Aki loveless kipawa unacho.mungu akuongezee zaidi

  • @AnnaDaudi-ol9gd
    @AnnaDaudi-ol9gd 4 месяца назад +3

    Aaah Tina 😅😅😅😅😅

  • @DinaKatana-e1l
    @DinaKatana-e1l 4 месяца назад +3

    No 1

  • @NdereyimanaLUCIEN-us8ky
    @NdereyimanaLUCIEN-us8ky 4 месяца назад +1

    Kwani Diana alipotelea wapi jameni❤❤

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 4 месяца назад +1

    Ndio Maana Cpendi Marafiki Kwaajili Ya Aya Maneno Ya Tina 😂😂😂😂😂

  • @user-xf5xr3uv8b
    @user-xf5xr3uv8b Месяц назад

    Laveness mbele ya kusema bya kusikiyasikiya inataka uchambuwe maneno apana kwenda kuona mtu na hasira.Vicky nakupenda nataka nice kama wewe❤

  • @Daestoto
    @Daestoto 4 месяца назад +1

    Much love guys

  • @ngusakalima9899
    @ngusakalima9899 4 месяца назад +1

    Tina umeanza❤❤❤❤

  • @kanlizytz
    @kanlizytz 23 дня назад

    Donta family p1 sana like me

  • @user-gm6sc8qu7e
    @user-gm6sc8qu7e 4 месяца назад +1

    ❤❤❤ Tina ayibuuu

  • @Dsmarttz-c4g
    @Dsmarttz-c4g 22 дня назад

    Nakubalisana💥💥💥

  • @MaryGesare-r1j
    @MaryGesare-r1j 2 месяца назад

    Ioveness unajua you're good.

  • @deborahnyiransabimana
    @deborahnyiransabimana 3 месяца назад +1

    🌹❤️🌹❤️😭

  • @user-nq2dc2fp3p
    @user-nq2dc2fp3p 3 месяца назад

    Good 👍👍

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 3 месяца назад

    Kumbeee na ww unamtqkaaa😂ilaaa nyieeee

  • @NaomiEmmanuel-es7mb
    @NaomiEmmanuel-es7mb 3 месяца назад

    Sasa hivi donta inanogeshwa na love 💝💝🌹💖

  • @HamadihamzaHamadihamza
    @HamadihamzaHamadihamza 4 месяца назад +2

    Siosahihi dadakuingia kwenyechumba chamdogowako wakiume akiwabachela ingelikuaanaumwasawa😂😂😢

  • @Kenedy2001
    @Kenedy2001 2 месяца назад

    loveness hapa nae hujanifurahisha ila naelewa ju ni kontenti kwa vijana asanta

  • @Mc_Kibonge_Mwepesi
    @Mc_Kibonge_Mwepesi 2 месяца назад

    Sawa ni nzuri lakini nimekereka pale anakwambia tulale kesho tutajua Cha kufanya halafu bila hata aibu wanaingia kwenye shuka na nguo kwendea kanisani😂😂😂

  • @NabiiZawadiFute
    @NabiiZawadiFute 3 месяца назад

    Nimekupenda dada kwa ushauli mpaka kakaako kaludisha pendo

  • @MartinKachonta
    @MartinKachonta 2 месяца назад

    lovenes umenogesha kazi zuri

  • @shikuhata
    @shikuhata 3 месяца назад

    Yaani mnajua mkiendelea mtafika mbali sana

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 4 месяца назад +1

    Tina ndo kiboko yao😂😂

  • @PeterMatindo
    @PeterMatindo 10 дней назад

    Mku vizuri