ili mradi --- ili mradi kiswahili gani kibovu ---- ni " ili tusi ..." Unahangaika kujua jina LA hicho chombo --- si uite " KIVUKO tu " sasa wewe ulikuwa unadhani walikuwa wanakuja kushangaa vivuko ? Wakati vinatoka huko kwao.
Unakuja kutafuta nini Huku nenda Kwa wajuaji wenzio WAKi SWAHILI Hii chaneli yetu sisi Mafala bwana piga KAZI mshana miwatu kama Hii IPO Hapa ulimwenguni 😡😡😡
Nakukubari Sana brother kaka. Skupigi
Tupo pamoja Asante 🙏🏻
Good👍🏾
Mshana acha fujo eti track lote Hilo kubwa zima nimecheka saaana nakupenda bulee kamanda wangu 🤣🤣🤣🙏🙏🙏🇿🇦🇿🇦
😂😂🤣
mwanangu sa hv mwl w mbele ndo umekaa❤😊
Mwendo wakutoa darasa tu, tuige mazuri ya wazungu na tusonge mbele
SAF sana unatusaidia sisi ambao tunapasikiwga tu marekan angalau unapata experience
Asante kikubwa ni kuoneshana mazuri yakuiga kutoka 🇺🇸 na kuacha mabaya 🫶🏻
Mshana ww ni mtanzania ila umekuwa muoga Kwa tuoa no zako whps please 🙏 nitumie by private
Insta unatumia jina gani?
Mshana tupe mitandao ya kupata wachumba
Bantu.dating
Planty of fish
Facebook
Okcupid
Eharmony
Ngoja nitafute wachumba sasa
ili mradi --- ili mradi kiswahili gani kibovu ---- ni " ili tusi ..." Unahangaika kujua jina LA hicho chombo --- si uite " KIVUKO tu " sasa wewe ulikuwa unadhani walikuwa wanakuja kushangaa vivuko ? Wakati vinatoka huko kwao.
Acha uchawi ww wivu tuu huo ujalazimishea kumsikiliza fungua channel yako na ww kama unajiweza nwanetu anajitoa kwa ajil yetu
Maajabu ya lugha bwana ukikosea herufi moja tu umeandika neno jingine na hapo watu kama ww wanaopenda kukosoa kila kitu hupata sababu 🤝
Unakuja kutafuta nini Huku nenda Kwa wajuaji wenzio WAKi SWAHILI Hii chaneli yetu sisi Mafala bwana piga KAZI mshana miwatu kama Hii IPO Hapa ulimwenguni 😡😡😡
Habari, nataka kuongea na wewe , nipo iowa naomba Instagram yako