Kivukuni ya Marekani sio poa| hadi trucks/maroli-usafi ndio kila kitu huku US.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 19

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 7 месяцев назад +2

    Nakukubari Sana brother kaka. Skupigi

  • @ramadhanrashid1011
    @ramadhanrashid1011 7 месяцев назад +2

    Good👍🏾

  • @Jurbeg
    @Jurbeg 6 месяцев назад +1

    Mshana acha fujo eti track lote Hilo kubwa zima nimecheka saaana nakupenda bulee kamanda wangu 🤣🤣🤣🙏🙏🙏🇿🇦🇿🇦

  • @samsonsamwel8782
    @samsonsamwel8782 7 месяцев назад +1

    mwanangu sa hv mwl w mbele ndo umekaa❤😊

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад

      Mwendo wakutoa darasa tu, tuige mazuri ya wazungu na tusonge mbele

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 7 месяцев назад +1

    SAF sana unatusaidia sisi ambao tunapasikiwga tu marekan angalau unapata experience

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад

      Asante kikubwa ni kuoneshana mazuri yakuiga kutoka 🇺🇸 na kuacha mabaya 🫶🏻

  • @IbrahimMwadini-hz7ib
    @IbrahimMwadini-hz7ib 6 месяцев назад +1

    Mshana ww ni mtanzania ila umekuwa muoga Kwa tuoa no zako whps please 🙏 nitumie by private

  • @KibwayaMsouth
    @KibwayaMsouth 7 месяцев назад

    Mshana tupe mitandao ya kupata wachumba

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 7 месяцев назад

    ili mradi --- ili mradi kiswahili gani kibovu ---- ni " ili tusi ..." Unahangaika kujua jina LA hicho chombo --- si uite " KIVUKO tu " sasa wewe ulikuwa unadhani walikuwa wanakuja kushangaa vivuko ? Wakati vinatoka huko kwao.

    • @OscarSteve-vt8oe
      @OscarSteve-vt8oe 6 месяцев назад

      Acha uchawi ww wivu tuu huo ujalazimishea kumsikiliza fungua channel yako na ww kama unajiweza nwanetu anajitoa kwa ajil yetu

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +2

      Maajabu ya lugha bwana ukikosea herufi moja tu umeandika neno jingine na hapo watu kama ww wanaopenda kukosoa kila kitu hupata sababu 🤝

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 6 месяцев назад +1

      Unakuja kutafuta nini Huku nenda Kwa wajuaji wenzio WAKi SWAHILI Hii chaneli yetu sisi Mafala bwana piga KAZI mshana miwatu kama Hii IPO Hapa ulimwenguni 😡😡😡

  • @emmanuelmwakyusa6273
    @emmanuelmwakyusa6273 6 месяцев назад

    Habari, nataka kuongea na wewe , nipo iowa naomba Instagram yako