Mimi Mars Feat Young Lunya & Marioo - Una (Official Video) Sms 9507013 to 15577 Vodacom Tz
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Mimi Mars Teams Up with Young Lunya and Marioo.

Tanzanian Pop Darling Mimi Mars releases the follow up to her hit song Ex Remix, UNA. The color Bongo Flava track sees Mimi Mars collaborate with freestyle King, Young Lunya and SOUNDCITY Award Best NewComer Nominee, Marioo. This end year anthem was produced by Baddest 47 and Paul Maker. Spiced up with great production from some of Tanzania’s hottest new producers and a video shot on Dar Es Salaam by Director Ivan. Mimi Mars closes the decade in style. All rights reserved to Mdee Music. Enjoy new Mimi Mars.
Listen to Una: audiomack.com/...
Watch EX Remix Feat MwanaFA: • Mimi Mars - EX Remix F...
Mimi Mars on Social Media
Facebook: / mariannemdee
Twitter: / mimi_mvrs11
Instagram: / mimi_mvrs11
Snapchat:@ms.mars1
Tunaoangalia 2024 gonga like
ila hii ngoma🔥🔥🔥🔥🔥
Yeah muda wote kama mpo mnasikiliza Una we piga like yko hapo
Yaan Ili Dude nalikubaL!
Wale ambao hatuchoki kurudi zaidi ya mara 3 kuangalia hii ngoma tuna like hapa👇👇👇 kwa pamoja. ili mini,lunya,mario, wote wazione.
Yes
×10 daily 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
❤❤❤❤
Nakupenda huu wmbo kutoka moyo
❤❤❤ hngrn sana
Yani huu wimbo naupenda sana yani kila nikimuona lunya tuuuu mimi hoi
Lunya mkali sana🎶
Mariooo uwii nitakutafuta nikuombe tufanye kazi sio kiki ila nimziki 💥💥💥💥💥
Team Mario n Young lunya wimbo we2 huu🔥🔥🔥🔥
Nomasana
Noma sanaaa
Good maboy
Makubali
Watoto wa kanda ya kaskazini..Tanga,Manyara, Kilimanjaro na Arusha like zenu
❤❤
Yong lunya nakukubari san broo.
Wahuni marioo × Lunyaa balaa zitoo🔥🔥🔥
Naomba like za lunya jamani
Shika mahali poa mashabik kama mnapenda hii song like 👏👏👏🤍🤍🤍🤍🤍♥️♥️
Atar sana izi Ladha ya tz mziki mtamu mim mars Mario. Lunya so amaizing
Kama nawew unaiskia vionjo vya particular kama mim gonga like za kutosha
Hii ngoma kiukweli badest 47 umefanya bonge LA bit huwezi amini mwanangu ume kill hii ngoma mimimars fire marioo fire
Oyooo lunyaa boy juu aiseee wote kwenye i ngoma big up mars best planets hhh keep on work Mario big boss
2023 here, still song hits!! My favorite song up to this year 👐love you mimi mars
Naomben like zenu jamani
Kama imemuelewa Toto bad ngonga like apo chin
Wale ambao tumerudi leo kwa mimi marss la UNA
Huyu #Marioo huyu naomba like zake jamanii
Wale wa Mnyama Lunya Tujuane hapa..
Daaah bongo tuna vichwaaaa jamani yani Unasiklza mziki kW tabasamu kubwaa wekaaaaaa n wekeeee🙌🏻🙌🏻🙌🏻🔥🔥🔥
15/12/2023 mgonge like hapaaa
Uyu mim Mars miaka 3 mbelee....uwiiiiii 🙌🙌🙌🙌 uyo Lunya ndo mamamamam mariooo ndo sisemiii kbs🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥mmeuaaa wakubwa
Duuuh hi ngoma kali bhn gonga like km umeikubali
Habari za Mjini kwani nini, Weee!!!
Kama unamkubali marioo weka like twende sambamba
Nakupenda Mimi Mars unajua ujawah kosea kaskazini mojaaaaa hiyo
Mimi mars.... The 🌏 is yours enjoy your time mommy love your voice... Good music
Lunya umetoshaaaaaa sanaaaa
Hili goma mmetisha wote hamna alobaki nyuma like 👇 tujuane wale tulioijua hii ngoma kuwa haijakosewa
Lunyaaaaaa
Nakupenda sana mimi mars tangia uwanze kuimba ujawai kosea bonge yangoma😘😘
duuh hii nyimbo sio yakukosa M1 viewers ad leo asee kwl watu hawajui vtu vzr
Mimi mars you knailed the song , congratulations
Nailed with a k,🤣🤣
Moto sana I love the BTS and the message ❣️❣️
Kama unamkubali Mimi Mars gonga like tujuane
Naikubali sana hii ngoma lunya umeuwa mzee baba
Kama una Ikubaki hii nyimbo gonga like twend sawa
Bado naikubali sana hii ngoma, Marioo ulitisha sana
Wapi likes za marioo
Kjhhhjhhjjjjjjjbjkkjhhujh
Marioo OG
Mmetisha sana
Mdee music in da house 🏡
Hili zaga hata mimi linanichanganya.love u Mars!
Kuliko upate like za Mario uko una una una pata like za mimi mars
Respek ,yanichanganya bado 🔥
I just wanna make it public I loveeee Mariooo with all my heart y’all that’s my Tanzanian celebrity crush 💯😭
Wimbo naupenda kila leoo pale kat marioo daah makin sana💯
Wachag wenzang koment zen 2po kila idala kusak jax ukorof we2 kuimba ni sis eebna ee chuga juuu
Uko vzr sana
mimimars anajua sn love you baby 😍😍😍
Kama unasema young lunya kauwa gonga like
Huyu dada Ni family related to Vanessa wamefanana Sana mbona
Sanaaaa
@@chrischleopa7738 ni mdg wake huyo
young lunya kauwa
Sanaaaaa young lunya nakukubal broo
Mrembo Wa chuga ,nzuri hiooooo,Mario, duu lunya, umenigusaaaaa
namtazama younglunya kama msanii mkubwa wa hip hop ajae africa nzimaa!!!
Ni vyema maneno yangeleta utukufu kwa Mungu so kwa binadam
Bonge la ngoma,
*Mimi Mars* uko vyed
*Young Lunya hatari sn*
*Marioo* baba la baba umeua kinyama
Marioo kawafunika knyama an lunya kaza mwamba
Lunyaa hujawai niangusha brooo. #WATUACHE.
My star my queen mimi Mars❤️ good job
I like this song ni nzuri sanaaa
nimemukubari Mimi mars
Noma xana
Nice song
Nikalii kinoma
hivi hitatokea tena uwimbe ngoma nyingine kali kama hii ✌️✌️✌️
Wale tumeletwa na Marioo wapi likes
Nomaaaaa
Namkubl san mario
@@nadiyaally4084 tupoooooo
😝😝😝😝😝 Mimi Popote ulipo kunywa Pepsi ulipe mama Bonge la Song 🌹
Chuga queen achia mambo tunasubiri
Nom sana
Penda sana Mimi mars
Alafu sasa , kitandani mtamu haswa 🤗 Nani kasikia.....
☝🏿
😊☝️
,mim mars unatisha sana
Nice nice nice
Nakubali sana💣💥💥🔥💥💥🔥🔥🔥🔥💣💥💥
ngoma kali ile mbaya..ila sasa kuna watu wawili kama wamekosena, G_nako na Jux.
Shout sana kwenu Lunya na Marioo,hawajawahi kosea
Mbona kama Marioo kaua humu.
kweli mario kaua
Ngoma kubwa saana hii afu kaliiiiii
Yani nilivyosoma tuu majina ya hii combination,mimi mars,young lunya na marioo,niligonga like button kabla sijafinya play.Kama kweli ngoma yenyewe ni 🔥🔥
Kaliii
This song is legendary who is here 2022
Saut yko tyu had mwil unavaib omg love u mimi mars😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Me like yako @mimi mars ngoma kali
Hatareeee na nusu merioo kaua like kama zote
Ndio nimeskiza leo x10 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Bonge LA Ngoma Aiseee
Naikubalii xana hii nyimbo kam ninavomkubalii marioo 🤜🤛
Like 5 to jmn xinajuia nyimb kali hiii
Dada etu uko fire big up Sana
I was on holiday in Zanzibar and one of the drivers used to put this song!! I loved it ! It reminds me of ZNZ ... From DR Congo
Mimi tu ndiyo naona Mimi Mars anamfanana Vanessa mdee 😍😍😍
The real queen Mimi maaaaaaaars much love from Kenya
Nimeipenda sana hi nyimbo imbeni nyingine kama mlivo imba wote ivi watatu mme tisha sana
Mwambie Y.Lunya level yake kaali
nakukubal mimi mars naona kesho yk yan bonge moja la star wa kinyamwez
2 years but I still love this song💪💪
Ila Hii pici kali
Ngoma kali yamoto
Idea kalii ndo kitu ambacho tunapendaga combination Kali tunapendaga kitu ambacho
Lunya kaua 🔫
Umefanana na dadako Vanessa Mdee
Kwanini wabongo hatusuportiani jaman hii nyimbo inakuwaje mpaka sasa haina views Million?
Dada nakuelewa xana na saut yako keep it up 👏🏼👏🏼👊🏻
Lunya 🔥🔥
mimi mars wew ni noumaaaaaaa nakupenda sanaaaaaaaaaa
Asante kwa mziki mzurii iii chemistry meielewaa san
uyo lunya hiphop nomaaa san uyo lunya uyo kawafunika wote yaan anajuaaa uyo duhh uyo lunya nomaaaa
Goma. Lunyaaaaa LY
kalisi sana sema ukawapa uhuru jamaa hao kukushika!!😂😂😂