Amber Lulu feat Country Wizzy - Watakoma (Official Video) Sms 7670769 to 15577 Vodacom Tz
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2017
- #AmberLulu #SlideDigital
AmberLulu Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/amberlulu
Written & Performed by Amber Lulu & Country Wizzy
For Bookings: officialamberlulu@gmail.com
Follow Amber Lulu on:
/ iamamberlulu
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz Видеоклипы
2024 mko wapi❤❤
❤❤❤
❤❤❤
2024 tunabang nalo bonge moja la ngoma huyu demu anajua sema mwehu tu
Yaani katika ngoma zote Za Amber lulu hii ndo ngoma kaliii kuliko zoooteee❤❤❤❤❤❤❤
Leo na mm nimejiunga kwenye kundi la wanaodai haki ya heshima kubwa kwako dada...❤
Am here 2024 amber Rudi kwenye game
Amber lulu wewe unajua BHANA 2023 LAKINI goma Kali.
*Huu ndio wimbo wa Amber Lulu mzuri kuliko zote*
Naomba likes za amberlulu jmn
Why is amber underrated she is a multitalented artist
Let’s mark the 2021 register 🙋🏾♀️ 😍😍😍🇰🇪🇰🇪🇰🇪 There’s something about this song! ❤️
0
Wanao tizama vidéo hii hadi leo, like zetu zipo wapi✌🏻✌🏻
Ooo
Namkubali sana Ambar lulu
🎉
Hii ni kabla amba ajaanza kuvuta bangi
Tupo hapa
Linajua sanaa sema tu nahisi management hanaaa
Chukua tax❤❤ kwani sh ngaaap
2024 kitu kama kimetoka mwaka huu.
Huyu ni mwimbaji mzuri siku hizi asikii
I really love this song 🇰🇪😍😍😍2020✍️✔️✔️✔️👌
Wangapi wanangalia hii nyimbo baada kusikia country boy kwenda kwa konde boy
hii ngoma ni 🔥🔥 hua sichoki kuitazama ❤️ U Amber lulu!
this deserves 10m views,honestly
Wawooop💋💋💋💋💋💋
Walai
❤❤❤
2020 bado with Amber lulu ......Kenya live
Mimi hata sijui nicomment nini kwa huyu demu..mda wote alikuwa wapi jamani.. Sauti nzuri.. she is professional.. video nzuri, beat nzuri.. yaani utafikiri alikuwa anafanya mziki kitambo..good job amber .. wasikubanie tu kwenye hayo maredio.. you are a star ⭐️ my dear..am a fun from now..
pamoko wangu
Binti Fabulous that true
Binti Fabulous yaan acha tu..navile nikiona wanamdharau huko ig...kumbe duh anasauti cmchezo
Binti Fabulous niatari
Binti Fabulous
Noma Sana, the Queen of bongo music.🙌🇰🇪
Nakupenda san my ♥️♥️♥️♥️♥️❤❤❤❤❤❤❤❤🌷🌷🌷🌷
Nmesaka hii ngoma for months since niiskie kwa mix.. I love this track😍😘🤗
Amber Lulu anajua sio gigy money simuelewi
Tuliokuja hapa 17/9/2023 tujuane kwa like ngoma haichoshi hii
Why is this girl underrated?
The way she carry herself is the reason. Pia maisha yake kabla ya muziki
She ain't playing kingdom music with moving spiritual love impartation,she is talented though
Kheee!! Huyu siku zote alikuwa wapi kukata viuno kwenye nyimbo za wasiojua muziki wakati yeye anajua zaidi??? Yaani sikujua kama she is this good
Daah huy mwana ndo kauwa kabisa yani hii ngoma ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Yaani Amber huu wimbo haunikifu dear love you so much ❤️🔥🔥🔥
Mziki ni laana kutoka kwa Allah
Hii nyimbo naipenda sana coz yanikumbusha mbali sana... Love to #Umberlulu
Still love
Niececup
Niece voice Amber still
On the hill of my brain
2019
Fanya kama unalike
Hii nyimbo nzuri balaa.....Big up lulu
2020 kama unaikubali hii ngoma gonga like hapa
7/6/2020/gonga like tusonge mbele 🇹🇿🇹🇿🔥 🔥
Hata Kama ingekuepo miaka ya udhindani 2004 - 2010 bado hii ngoma ingepenya tu nauhakika bonge moja la ngoma 🙌🔥🔥
Naomba usiimbe dada maana kuna watu watalala njaa UTAWAMBAMBA
Well done amber lulu my sister your the best one you have done good job
Yap yap keepin rollin i luv yr music from italy nakupata safi kenya hoyeeee
My best song for ever.
Kazi nzuri Sana, Big Up.............
Nimependa hapo ulipo imba...... Huku kumewaka Moto si kitoto,
Mtoto mzuri na ngoma yenyewe kaali pia. Amber kweli Amber, ushanizingua mtoto, sauti nyweeee...naupenda mziki wako. Bonge la fan toka KENYA.
Let's hit 1M on this 💥💥
Nakupenda tu amber-lulu Mungu akuinue juu zaidi, awashangaze wanaokudharau
Watoto wakali
Nakukubali sana amber lulu.....💘👏👏👍
Amen
Just remembering some days back ....more love for both Amber and Counrty Boy
I love this song,sauti poa,the tune iko poa danceable me lyk
big up mchiz wang mwanang hakuna level yako uko juu mdada wang
Yr voices amber lulu yr beautiful lady go uppppppp baibe 🔥☄️👍🏽🍾🥂
Umenifanya ni fall in love ❤️ na mziki wako! Nimezisikiliza nyimbo zako zote hadi mpya ya jini kisirani! Umeongeza mshabiki 😉😉
Favourite of all time from the queen
dry Hutu 6urytteweww2eeeeeeeerrrrrrrtttyggtreweh
NOLA Jy uyr Rrwwt
Tgn
fyyymymg
Y
yy
Gm
ttyyht.gngmnf
t.gng y
watakoma kweli na usiwape chansi
Kha!! Huyu dem bana, raha sana.
mashaallah watanzania wanavipaji
Jamani uuuuwiii🥰🥰🥰 nakumbuka feeling za Chuga kipindi hicho 2017 nilipokimbia shule😂
This song is a killer 🔥🔥🔥🔥.
Umetisha sana kwenye hii ngoma connty wizzy
bonge la ngoma ww nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
In love.....my boo
.Amber😍😍
Achana umodel imba yaan unaweza nimeskiliza kwa makini nimejua unauwezo mkubwa Sana wa kuimba ujaingia kwa mkumbo unafanya kitu unachokiweza kweli nimependa kwakweli ckujua Kama ni mkali kiasi hiki amber lulu
amba lulu umetisha sana nice song nlkua sjuag ukal wako
Upo vzur mama
Wewe sasa ndio muimbaji sio yule mwenzio wa SUPU sijui ya makongoro sijui supu gani. Salute 🙌 na County Wizy nae kaua mbaya
Jackson Wilson Makala 🤣🤣🤣😂😂😂😂
Jackson Wilson Makala 😂😂😂😂😂😂 mi naona ni supu ya omenaaa duuu umeniacha hoi aki na comment yako dear😂😂😂
Unatesa dada daaa....
nakukubali xna mamlai unaweza xna tena ckidogo km vile umeanza kitambo Nouma xna
saut yko amber uuuuuh...leo watakoma:)!
Uko gud my dear
Uko vizuri dada pambana wakome lov you
I really love this song...
My song back then. Amber aliua 😂
Unatembea na beat, unasaut nzur sana na style yako yakuimb vannesa atakutafut kwa torch ,jiongeze kuandka nymbo ambazo mashabik wanavutiw nazo baaas utatusua
Amber NAKUPENDA bure huu wimbo sichokag kuusiklza
Ngoma kali sana hii tunao iskila leo uck wa 2020 tujuane
nice video ww unaweza sijui ulikua wasubir nn skuzote kutupa vtu vizur nyimbo bomba sana uani sichoki kuiskilza amber lulu ww ni mkariiiiiiiii
mie huwa nairudi kusikiliza kila wakati ki ukweli
Dah anajua kuimba
I love this song 👍👍👍
Yaaah u kill it buddy
this song is dope.... good job amber.. this is wat u suppose to do
yaani bonhe la nyimbo ni bora u wimbe tuu amber lulu unasaut nzur sana yann hadi raha unaburudishaaa watuu nimeimbena sana nyimbo yako sauti yako nzurr nyimbo haina vurungu yaan ni bonge la nyimbo big up mamy
Cute Mamy23 nice
This is bung unajua amba unajua sana kuwa tu serious na mziki afu siku utakumbuka haya maneno
supporting you lulu ,wanna see you win so baad
the good video good audio. one step ahead. fanya vizur zaid ya happoooo
Hatar
2019 stil banging.....
we amber lulu ulikua wapi sasa ,ngoma kali
Hii ngoma Kali, inabamba Kila konaaaaaaa big up @Amber
Congratulations lulu yr songs🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍🏽🔥🔥☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽 hater🌏☄️💫🤛🏾🖐🏽👀👁👌🏽👊🏽👍🏽 I wish this song we put top of the top ++++++ jini song also give us more music lulu 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾
Big up mama 🥰
ujue umber lulu unakuja na kas ya ajab kuna cku ulisema unampenda Vanessa mdee na ukasema anaku inspire kufanya vtu kama vyke nakuombea kwa Mungu ukae meza moja nae mkiwania tuzo moja nakuombea nmeipenda nyimbo yko mpya only you nzur sana pia me huwa nakupendaga tyuuu ulivyo yaan be blessed mama
Girl come on where were you all that time Big up good start nice song
this is my best song from Tanzania,,,,i love u bureeeeee!! 😍
wimbo ni mzuri kila Mara si choki kusikiliza amber lulu ulikuwa wapi u rock girl
Amber Lulu you are may best singer I love you from 254
Leo watakoma 👆
Hii hatakuja kuimba tena amber lulu
nyimbo kali sana bigup
aaawww,,,, I looove this song
2020 nan katika pita pita zake akaikuta ii akaona akumbushie✌✌✌✌
Amberlulu nakupenda sana❤❤❤
upo vizuri Saut nzurii Leo watakoma Si unanisomaa
nakumbuka mwaka 2016/2017 nikiwa ghetto afu pembezoni kulikuwa na club flan hivi, basi ikifika mida ya sa nne nne hvi ucku DJ ilikuwa ni lazima apige huo wimbo!!!!!basi nikawaga natikisa kichwa tu humo chumbani1!!!!!! goma nalikubali mpaka sasa
tishaaaaa big up amber
Such a talent aiseeeh life is so unfair.....keep it up gal never give up
Umbelulu kusema kwel anaujua mzikiii
amber your so good in every thing god blessing you go forward
Kichupa kikaliii...
i appreciate xana ngoma kali na i listen it every day