Young Dee we ndoo rapa wa kwanza me kujua mistari ako dingoo maybe is just because all we are called David it's hard to know am your number one fan see you international
Hata kama mlilenga mwanamke! Basii hata bajaji mngeonesha maana hahaahaa,,gusa picha sikiliza shoo shoo,song by me! Tuwaachie Hawa na magari yao ya kufikirikaa.
🤪 ... mzeeeeh babaaah umeNiKoShA xNaaaa sipAti piCha kama KuNgeKuwa na Saut ya ChiDiiii bEnziiiiiiiiiiiii 🔥🔥🔥kwa HiLo biTiiiii DaaaaH @ GoNga LiKeee kAma zoTeee
gari aliyoiimba humu ni ghali sana hata yeye mwenyewe ameogopa kuionesha na pengine haipo kabisa hapa bongo. hao wanaosema gari ni hao madem bado haileti maana.
Ngoma kali sana, Abbah unajua CHORUS imetulia sema video mmezingua hujaitendea haki point ya nyimbo ni kuhusu ''gari yangu'' sasa sioni gari sijui ulikua unamaanisha hao video vixen? Plus mngeweza hata kupata magari mazuri tu ya shooting.... rudieni tu video FOR THE SAKE OF THE SONG. Bonge moja la nyimbo
Hiii ni kwa wote ambao tunamiliki mandinga ambayo si ya baba zetu wala ya familia ni kwa jasho letu aijalishi gari.. ata kma nissan march..stallet... ama vitz gonga like hapa tujuane
*Ukiwa huna gari huwezi kujua uzuri wa huu wimbo,nilikuwa nasubiri niwe na gari na sasa hivi ni kidogo tu na play huu wimbo kwenye gari na chomoka shoutout kwa Young Dee na Producer na wote walio husika ku kamilisha huu wimbo*
Mwanangu umetisha gari langu wangapi wameeleww huu wimb kama umeeleww gonga like hapa twende sawa
I always listen to this song whenever I log into my RUclips account.🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Na tuliokuwa tunasubilia kuona Mandinga kutoka U.S.A TOUR ...tujuwaneee hapaaaa....!!!!
Wamezingua idea ya nyimbo na video tofauti
Maana fiche hio utunzi umeenda shule gari ni demu
@@rmprostudio awajazingua mzeee....gari inayozungumziwa hapo ni Manzi ni mjombaaa
Nakubali mwanangu.
Lubava Classic yani ww acha tu boy 🤣🤣🤣
Nyimbo ilikua kali lakini ilivyo toka watu wakaipuuza
ngoma kali ila kazngua k2 kimoja video hkn uhalisia hatuon gari drctr kafeli km umebain hchi gonga like
Kaliiiiiiiiiiiiiiiiiii
Gari anamaanisha mwanamke wake sasa nyie karagabao
Ambao wanaangalia huku wanasoma comment gonga like twende sawa
Ila sjaona gari umu ndan an
2023 Who still watching this i need a like
Mba momba nae kaimba ivo ivo
Noma sana
Young Dee we ndoo rapa wa kwanza me kujua mistari ako dingoo maybe is just because all we are called David it's hard to know am your number one fan see you international
kama huchoki kuview iki kitu #like naomba
Kwel indo gar yangu karisana gar yangu
Kwa wale ambao tuna mpango wa kumiliki gari 2020 tufahamiane kwa like jamani 🚘🚘🚘🚘🚘
Tupo
ruclips.net/video/6D7_mTSohAU/видео.html
Haya vp mshapata mtupe lift😋
Tayr😅😅
2024 tayar mshapata au
Nyimbo kali sana
Sasa mwazo mwisho inasifia gari gari haionekani kwasojiwa kiswahili anaelewa nn sasa mumekosa hata calina jamani daaa so sawa mziki ni niashara jmn
Siamini Kama unaweza kosea kama dee tupo pamoja
Daaah kumbe hii chorus kaifanya abbah duuh anajua kisengee
Hata mm na gari yangu
Dj Aisher kanileta hapa
ingeonyeshwa na gari bhana
Wangapi tumenunua gar mpyaa,tujuanee
Mabachelor kazi kwenu
Kama unaamini huu wimbo haujapewa sifa inayostahili tujuane. Ngoma kali ya ku bang
Umeuwa bb
mngeeka gari kwa hii video like Ferrari, Lamborghini ,rolly hii video ingefanya poa zaidi..
Polisi akisimamishaa anaombaa kuoiga nayoo pichaa na kutoa polee kwa folenii hatariiii
Gariyangu noma bana
Hii nyimb nimeon p boy Kapost nimekuj RUclips kuisachi
jaman hamaanisha gar ana maanisha dem mkal achen ushamba
Hata kama mlilenga mwanamke! Basii hata bajaji mngeonesha maana hahaahaa,,gusa picha sikiliza shoo shoo,song by me! Tuwaachie Hawa na magari yao ya kufikirikaa.
daah young dee noma sana
Hugo ndo paka rapper
Mbona hatuioni hiyo gari au mmetumia tafsida
Mbn cjaiyona iyo gar
Ukionaa demu Kali na hujawahi kumwona ujue huyo ndo demu wako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanini Carlos N mmetoa kwenye huu wimbo
Mdaote nilikuwa nasubiri gari
Ndo hiiii gari yangu
Piga picha baba👏💪🤩🤣🤣
Hii ndio Gari yangu
dddah ili ndinga nalielewa sana
Hilo gari gani kumamake
Hii song inafaa ikue hit song
Noma sana ikitu
TRACK KALI SEMA DIRECTOR KAFELI HAMNA HATA GARI.............
Yaani wazee wamehama kwa T-touch!!!touch come for me sitaenda mahali, piga like touch aguzwe
Tungo tata watoto hawawezi kuelewa
GARI=ĐEMU
plan b ya mpenzi ni sabuni
Dee Umeua kinoma 🔥🔥
Song Kali sana
Police akisamisha hataki lesen....weweeeee😭😭😭😭😭
Nakukubaly sana
Naikubali sana yani
Gari ya ukweli
🚓 Hii ndio gari yangu
Abbah we ni fundi
noma san young Dee ft abhar kazen buty
🤪 ... mzeeeeh babaaah umeNiKoShA xNaaaa sipAti piCha kama KuNgeKuwa na Saut ya ChiDiiii bEnziiiiiiiiiiiii 🔥🔥🔥kwa HiLo biTiiiii DaaaaH @ GoNga LiKeee kAma zoTeee
peter johnstone
*abbah.. abbah abbah.. duu.. umeuwa icho kiitikio*
Iyoo ndio gar
Nyimbo inahusu ndinga lakini hatuoni ndinga tunaona madema au ndo ndinga
Nawakubar wa kubwa
N hatarrr
Mlimwibia dogo wimbo wake na livideo lenu ovyooo
Bonge la ngomaa
kali hiyo young dee
huyu ndio Young D sasa
Wangapi wamejua kuwa gari anayoizungumzia Young Dee ni...DEM...????
Ngoma ya wizi hii boya ww
gari aliyoiimba humu ni ghali sana hata yeye mwenyewe ameogopa kuionesha na pengine haipo kabisa hapa bongo. hao wanaosema gari ni hao madem bado haileti maana.
bonge moja ya ngoma..i see the original young dar es salaam,,
Ngomaa kalii kinymaaaaa
abbah unasauti Kali sana
Iyi song nimekuwa naskiiya najiuliz when tapata yang ila iv namilik yang BMW car 🚘 thanks 🙏 god mungu njo chief
Nakuku bali sana wana mme tisha
Ngoma kali sana, Abbah unajua CHORUS imetulia sema video mmezingua hujaitendea haki point ya nyimbo ni kuhusu ''gari yangu'' sasa sioni gari sijui ulikua unamaanisha hao video vixen? Plus mngeweza hata kupata magari mazuri tu ya shooting.... rudieni tu video FOR THE SAKE OF THE SONG. Bonge moja la nyimbo
kwa tunaopenda music na tuliokuwa tunasubiria kwa ham hii nyimbo, utagundua kuwa kuna vipande havipo as compared to original audio song.
Salute
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🚀🚀🚀🚀
Song nilamoto sana
Ngoma ni kar sana
I am mtanga tz
xix wa buza tumeiyona gari yako
Doh hiyo. Kali
Unatisha aisee
Ujue iyo gari nice 🥰🥰🥰🥰🥰💥💥💥💥
Tazamza gari yangu ariginal verson by Carlos N ft Young D
Bwanaaaaaaa naweeeee like hapo aiseee
kumbe sis wanambeya tupo pw pw sna
wimbo mzuri sana, haustahiki kuwa hapa ulipo, unahitaji kufika mbali zaidi🙌🙌
ruclips.net/video/39YkBL6GNho/видео.html
Bonge la nyimbo apa nimelizika ulivo itolea official video ni hot
Hiii ni kwa wote ambao tunamiliki mandinga ambayo si ya baba zetu wala ya familia ni kwa jasho letu aijalishi gari.. ata kma nissan march..stallet... ama vitz gonga like hapa tujuane
Salum Said hata ile aliyosema makonda Mkuu😂😂
Gari yangu means Demu Mkali sio gari za barabarani 😂😂😂😂
Wengi hawaelewi ,japo Kuna baiskel,na pkpk,
(Dem)
8❤❤❤❤❤
Qqqq@@victorsir-nga7708
umesomaa hiii au somaaaaaa
Kama unapenda mziki wa kinyamwezi gonga like🔨
Gari yenyew mbona haipo
nyie wote mafundi
N shida aaah
*Ukiwa huna gari huwezi kujua uzuri wa huu wimbo,nilikuwa nasubiri niwe na gari na sasa hivi ni kidogo tu na play huu wimbo kwenye gari na chomoka shoutout kwa Young Dee na Producer na wote walio husika ku kamilisha huu wimbo*
NakubaLi
Yenyewe kaka
Mkuu umetisha ila sasa hiyoo video ilo gari hatuionii
Abbah ni multi-talented kaka lit sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 halafu wanangu humo ndani hiyo GARI ni demu mkali siyo ndinga